Areeh injinia

Areeh injinia 󰟱󰟷󱢱♡ 🏟️ُ

󰤥 3k 󰤦 457󰤧 12k

󰣐¹⁵ 󰤖 󰤗 󰤘 󰤭
HABARI 🎖️I MICHEZO 🎖️I TETESI ZA USAJILI 🎖️I ZOTE UTAZIPATA HAPA HAKIKISHA UMENIFOLLOW✅

MBUNIFU WA JEZI ZA YANGA SC SHERIA NGOWI HATOKUWA SEMEMU YA YANGA SC UPANDE WA JEZI.THANK YOU.
06/07/2025

MBUNIFU WA JEZI ZA YANGA SC SHERIA NGOWI HATOKUWA SEMEMU YA YANGA SC UPANDE WA JEZI.

THANK YOU.

NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA 🙏🙏
06/07/2025

NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA 🙏🙏

♻️TAARIFA RASMI KUHUSU KIKOSI CHA YANGA SC Mara baada ya kutwaa Ubingwa wa Ligi Kuu na CRDB Federation Cup lilifanyika P...
05/07/2025

♻️TAARIFA RASMI KUHUSU KIKOSI CHA YANGA SC

Mara baada ya kutwaa Ubingwa wa Ligi Kuu na CRDB Federation Cup lilifanyika Parade kubwa nchini kusherehekea ubingwa huo. Baada ya sherehe hizo wachezaji walipewa likizo kwenda kupumzika na watatakiwa kuwasili wiki ya mwisho ya mwezi huu wa 7 kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa 2025-2026.

Kuhusu suala la wapi Yanga SC watafanya Pre–Season bado klabu haijathibitisha moja kwa moja juu ya nchi gani ya kwenda kati ya nchi nne zilizopo mezani. Yeah! Kuna nchi nne ambazo hazijatazwa ila zipo kwenye plan za Yanga ambapo kati ya hizo nchi nne, kuna nchi mbili zinatokana na mialiko wakati nchi nyingine mbili ni mapendekezo ya klabu yenyewe.

Bado Uongozi upo kwenye mchakato wa kuchagua mahali sahihi zaidi pa kupeleka timu kwa ajili ya kujiandaa na msimu ujao wa klabu bingwa hatua za awali mwezi Agusti, Ngao ya Jamii pamoja na ligi kuu.

◇Kumbuka msimu uliopita Pre–Season yetu ilifanyika Afrika Kusini🇿🇦 kufuatia mwaliko kutoka kwenye klabu ya TS Galaxy pamoja na Kaizer Chiefs.

05/07/2025

HII KITAALAM INAITWAJE😁😂😂

𝗠𝗔𝗡𝗭𝗢𝗞𝗜 🙆‍♀️SIKU AMBAYO NILILIA BAADA YA KUONA YANGA YANGU INATUKANWA NA MPITA NJIA.Jamaa huyu aliitukana LIVE azam tv h...
05/07/2025

𝗠𝗔𝗡𝗭𝗢𝗞𝗜 🙆‍♀️
SIKU AMBAYO NILILIA BAADA YA KUONA YANGA YANGU INATUKANWA NA MPITA NJIA.
Jamaa huyu aliitukana LIVE azam tv huku Kenge zikishangilia.
Ila mwisho wakasajili Mohamed Ouatara na Victor Akpan.
Heri wangemsajili basi🙆‍♀️.
Tumepitia mengi

Big shout out to my newest top fans! Alan Benard, Mwinyi Haji, Karamen Tupaman, Abubakar Seif
04/07/2025

Big shout out to my newest top fans! Alan Benard, Mwinyi Haji, Karamen Tupaman, Abubakar Seif

𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱...Young Africans Sports Club wameshinda Vita nyingi sana kwenye usajili wa Celestinè Ecua 🇨🇮. Pesa, nguvu ya ...
03/07/2025

𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱...

Young Africans Sports Club wameshinda Vita nyingi sana kwenye usajili wa Celestinè Ecua 🇨🇮. Pesa, nguvu ya ushawishi (vyote kwa pamoja) vimetumika.

Yanga wamelazimika kuingia sokoni kutafuta mchezaji wa aina yake kwasababu msimu huu wamempoteza Aziz Stephanie KI 🇧🇫 na kuna uwezekano wakawapoteza nyota wengine muhimu.

Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika kutoka nchini Tanzania 🇹🇿 vinadai kuwa, Young Africans sc walimtumia Pacome zouzoua kukamilisha lengo lao.

Celestine Ecua atavaa jezi namba 11 msimu ujao.

Haya ni mabaki ya ajali ya gari aina ya Lamborghini aliyokuwa akiendesha Diogo Jota, ambayo ilisababisha vifo vya Nyota ...
03/07/2025

Haya ni mabaki ya ajali ya gari aina ya Lamborghini aliyokuwa akiendesha Diogo Jota, ambayo ilisababisha vifo vya Nyota huyo pamoja na Ndugu yake André Silva Zamora, Hispania.

Imeripotiwa kuwa gari lilipasuka tairi na kuwaka moto ghafla

Klabu ya Yanga  imemsajili beki  Aboubakar nidhar Othman (Ninju) aliyekuwa anacheza kwa mkopo  klabu ya JKU  ya Zanzniba...
03/07/2025

Klabu ya Yanga imemsajili beki Aboubakar nidhar Othman (Ninju) aliyekuwa anacheza kwa mkopo klabu ya JKU ya Zanznibar akitokea timu ya vijana ya Azam FC,

Ninju anamudu kucheza nafasi ya beki wa kushoto na beki wa kati

YANGA 🏆🏆🏆🏆
01/07/2025

YANGA 🏆🏆🏆🏆

MAOMBI🙏🌎♥Ndugu wapendwa katika Kristo,Tumepewa neema kuu ya wokovu kupitia damu ya Yesu Kristo. Hii ni zawadi kuu tusiyo...
01/07/2025

MAOMBI🙏
🌎♥Ndugu wapendwa katika Kristo,
Tumepewa neema kuu ya wokovu kupitia damu ya Yesu Kristo. Hii ni zawadi kuu tusiyostahili, lakini Mungu kwa upendo wake ametufunulia njia ya uzima wa milele. Hata hivyo, tunapoendelea katika wokovu huu, hatupaswi kuuchezea wala kuupuuza, kwa kuwa wapo wengi bado wamefungwa katika giza la dhambi na hawajui namna ya kutoka.
Hebu tuishi maisha ya shukrani kwa kumtumikia Mungu kwa bidii na uaminifu.

🌎 *WITO WANGU KWA WEWE ULIEOKOKA*

✅ 1. Soma Neno la Mungu
“Neno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia yangu.”
— Zaburi 119:105

✅ 2. Uwe Mtu Wa Maombi
“Ombeni bila kukoma.”
— 1 Wathesalonike 5:17

✅ 3. Hubiri Injili kwa Wengine
“Basi enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi…”
— Mathayo 28:19

✅ 4. Kuwa na Ushirika Mzuri
“Wala tusiache kukusanyika pamoja, k**a desturi ya wengine ilivyo…”
— Waebrania 10:25

✅ 5. Katika Maisha yako, Mungu awe wa kwanza kwa kila jambo
“Lakini utafuteni kwanza Ufalme wa Mungu na haki yake, na hayo mengine mtazidishiwa.”
— Mathayo 6:33

✅ 6. Kubali kuongozwa na Roho Mtakatifu
“Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu.”
— Warumi 8:14

✅ 7. K**a kuna sehemu inakutatiza katika BIBLIA, uliza watumishi wakusaidie
“Na wakawa wakimweleza njia ya Bwana kwa usahihi zaidi.”
— Matendo 18:26

👋 Mungu awabariki kwa kunisikiliza.
Naomba wote tujitahidi kuishi maisha yanayompendeza Mungu, tukikumbuka kuwa neema hii ni ya thamani kuu.

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Arfaty Msigwa, Asenal Damu, Edes Mpemba
01/07/2025

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Arfaty Msigwa, Asenal Damu, Edes Mpemba

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Areeh injinia posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Areeh injinia:

Share