Az Entertainment

  • Home
  • Az Entertainment

Az Entertainment Michezo, Habari na Burudani, Pia Tunaeddit Picha & Videos, Kudesign Logo, Tangazo la Biashara, Stika za Bidhaa, Business Cards n.k

MUME AMUUA MKEWE NA KUMFUKIA CHUMBANI๐ŸŸฃMwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Salima Maulid mkazi wa Mtaa wa Mbilani Ka...
10/03/2023

MUME AMUUA MKEWE NA KUMFUKIA CHUMBANI

๐ŸŸฃMwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Salima Maulid mkazi wa Mtaa wa Mbilani Kata ya Kidogo Chekundu Manispaa ya Tabora, ameuawa na mtu anayedaiwa kuwa ni mumewe kisha mwili wake kufukiwa chumbani, chini ya uvungu wa kitanda.

Tayari mwili wa marehemu umefukuliwa na Jeshi la Polisi limetangaza kumsaka mtuhumiwa wa mauaji hayo, ambaye alitoweka kusikojulikana baada ya kutekeleza tukio hilo. (cc: azam tv)

๐ŸŸฃKlabu ya Yanga SC imepangwa dhidi ya Club African ya Tunisia katika droo ya hatua ya mwisho ya mtoano ya kombe la Shiri...
18/10/2022

๐ŸŸฃKlabu ya Yanga SC imepangwa dhidi ya Club African ya Tunisia katika droo ya hatua ya mwisho ya mtoano ya kombe la Shirikisho

Yanga SC itaanzia nyumbani Dar es Salaam mnamo Novemba 2, 2022 kabla ya kurudiana Novemba 9, 2022.

โ€˜AMCHARANGAโ€™ MAPANGA MKEWE KISA NAMBAMaria Marwa, Mkazi wa kijiji cha Isango Wilaya ya Rorya Mkoani Mara, amekatwa katwa...
20/09/2022

โ€˜AMCHARANGAโ€™ MAPANGA MKEWE KISA NAMBA

Maria Marwa, Mkazi wa kijiji cha Isango Wilaya ya Rorya Mkoani Mara, amekatwa katwa na panga maeneo mbalimbali ya mwili na mumewe usiku wa kuamkia Septemba 8,2022, baada ya kukosekana kwa namba ya simu ambayo mume alitaka kuiona katika simu ya Maria.

Akisimulia tukio hilo, Maria anasema baada ya chakula cha jioni, mumewe Werema Wambura, alimuuliza moja ya namba ya simu iliyopigwa siku mbili zilizopita katika simu yake (Maria), lakini Maria alimjibu, hakuna namba yoyote, hali iliyosababisha mwanaume huyo kuchukua panga na kuanza kumkatakata maeneo mbalimbali ya mwili wake ikiwa pamoja na kuondoa t**i la kushoto na sehemu ya mkono wa kushoto. (๐Ÿ“ธ: Azam Tv)

CHEMSHA BONGO.! UKISHINDWA SHARE KWA WENGINE.๐Ÿ˜ƒ๐ŸŸฃUnahitaji Kununua Nguo Ya Shilingi Elfu 10 Dukani, Umekopa Elfu 5 Kwa Dad...
16/09/2022

CHEMSHA BONGO.! UKISHINDWA SHARE KWA WENGINE.๐Ÿ˜ƒ

๐ŸŸฃUnahitaji Kununua Nguo Ya Shilingi Elfu 10 Dukani, Umekopa Elfu 5 Kwa Dada na Elfu 5 Kwa Kaka,

Ukaenda Dukani Ukauziwa Kwa Tsh. 9700 (Yaani Punguzo Ikawa Ni Shilingi 300) na Ukarudishiwa Hiyo Shilingi 300,

Sasa Ukaamua Kwenda Kupunguza Deni Lako Kwa Kaka na Dada Na Kila Mmoja Ukamlipa Shilingi 100,

Hivyo, Kaka Akabaki Anakudai Shilingi 4,900, na Dada Naye Akabaki Anakudai Shilingi 4,900,

Ikumbukwe kuwa Mkononi Utakuwa umebakiwa Na Shilingi 100,

Sasa Tufanye Mahesabu Kidogo,

Ukichukua Hiyo Shilingi 4,900 anayokudai Dada na Shilingi 4,900 anayokudai Kaka Kisha Ukaongeza Hiyo Shilingi 100 Ya Mkononi Inakuwa Jumla Shilingi 9,900 Badala ya 10,000

SWALI:
๐Ÿ‘‰๐ŸฟJe, Shilingi 100 Imeenda Wapi?

SHARE KWA WENGINE..๐Ÿ˜ƒ

๐ŸŸฃMATOKEO YA MECHI ZA LEO   Yanga Na Simba Wameanza na Ushindi wakiwa Ugenini, Huku KMKM Mambo Magumu Akiwa Nyumbani,FT: ...
10/09/2022

๐ŸŸฃMATOKEO YA MECHI ZA LEO Yanga Na Simba Wameanza na Ushindi wakiwa Ugenini, Huku KMKM Mambo Magumu Akiwa Nyumbani,

FT: Zalan 0-4 Yanga

FT: Nyasa 0-2 Simba

FT: KMKM 0-2 Ahly Tripoli

๐ŸŸฃAhsante Ashe Food Products Kwa Kuniamini Na Kunipa Kazi, Ukihitaji Sticker K**a Hii ya Kubandika kwenye Bidhaa zako, Un...
10/09/2022

๐ŸŸฃAhsante Ashe Food Products Kwa Kuniamini Na Kunipa Kazi,

Ukihitaji Sticker K**a Hii ya Kubandika kwenye Bidhaa zako, Unatengenezewa Ndani ya Muda Mfupi kwa Bei Sawa na Bure,

Pia Unapata na Huduma ya Kudizainiwa ๐—Ÿ๐—ผ๐—ด๐—ผ/ ๐—ก๐—ฒ๐—บ๐—ฏ๐—ผ ๐˜’๐˜ธ๐˜ข ๐˜ˆ๐˜ซ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช ๐˜ ๐˜ข ๐—•๐—ถ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ฌ๐—ฎ๐—ธ๐—ผ/ ๐—ž๐—ฎ๐—บ๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ถ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ง๐—ฎ๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐˜€๐—ถ ๐—ฌ๐—ฎ๐—ธ๐—ผ, ๐—ž๐˜‚๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐—ป๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜‡๐—ผ ๐—Ÿ๐—ฎ ๐—•๐—ถ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ, ๐—ž๐˜‚๐—ฒ๐—ฑ๐—ถ๐˜๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—ฃ๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ, ๐—ž๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐—ธ๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ป๐—ฒ๐—ป๐—ผ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฃ๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ, ๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐—จ๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐—ป๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ๐˜„๐—ฒ ๐—ก๐—ฑ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐˜‚๐—ฑ๐—ฎ ๐— ๐—ณ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ:๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
๐—ฃ๐—ถ๐—ด๐—ฎ/๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—”๐—ฝ๐—ฝ:- ๐Ÿ“ฒ0769678809

๐—ฃ๐—ถ๐—ด๐—ฎ/๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—”๐—ฝ๐—ฝ:- ๐Ÿ“ฒ0769678809 LINK YA WHATSAPP ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ
https://wa.me/message/FSZOWTJQIAPQF1

โžก๏ธMatokeo Ya Michezo Miwili Ya Leo Ligi Kuu   FT: Mtibwa Sugar 3-1 Ihefu FcFT: Simba Sc 2-2 KMC
07/09/2022

โžก๏ธMatokeo Ya Michezo Miwili Ya Leo Ligi Kuu

FT: Mtibwa Sugar 3-1 Ihefu Fc
FT: Simba Sc 2-2 KMC

๐ŸŸฃMchezo Ni Mapumziko Uwanja Wa Benjamin Mkapa    Azam Fc Wapo Mbele Kwa Goli Moja Dhidi ya Yanga SC,HT: Yanga Sc 0-1 Aza...
06/09/2022

๐ŸŸฃMchezo Ni Mapumziko Uwanja Wa Benjamin Mkapa Azam Fc Wapo Mbele Kwa Goli Moja Dhidi ya Yanga SC,

HT: Yanga Sc 0-1 Azam Fc
(Daniel Amoahโšฝ)

๐ŸŸฃTimu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu Zoran Maki.Vilevile tumefikia m...
06/09/2022

๐ŸŸฃTimu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu Zoran Maki.

Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mikataba ya Kocha wa viungo Sbai Karim na Kocha wa makipa Mohammed Rachid.

Uongozi wa klabu ya Simba unawashukuru Makocha hao kwa mchango wao ndani ya klabu yetu na inawatakia kila la heri katika majukumu yao mapya.

Kuelekea mchezo wa kesho wa Simba SC dhidi ya KMC kikosi kitakua chini ya Kocha msaidizi Selemani Matola.

Tayari mchakato wa haraka wa kutafuta makocha wapya umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.

      ๐ŸŸฃโ€œWatu Wanayo Mengi ya Kuzungumza Kuhusu Wewe, Ila Ni Mpaka Ufe Kwanza.โ€โžก๏ธ๐˜’๐˜ธ๐˜ข ๐˜”๐˜ข๐˜ฉ๐˜ช๐˜ต๐˜ข๐˜ซ๐˜ช ๐˜บ๐˜ข  ๐—Ÿ๐—ผ๐—ด๐—ผ/ ๐—ก๐—ฒ๐—บ๐—ฏ๐—ผ ๐˜’๐˜ธ๐˜ข ๐˜ˆ๐˜ซ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช ๐˜ ...
04/09/2022



๐ŸŸฃโ€œWatu Wanayo Mengi ya Kuzungumza Kuhusu Wewe, Ila Ni Mpaka Ufe Kwanza.โ€

โžก๏ธ๐˜’๐˜ธ๐˜ข ๐˜”๐˜ข๐˜ฉ๐˜ช๐˜ต๐˜ข๐˜ซ๐˜ช ๐˜บ๐˜ข ๐—Ÿ๐—ผ๐—ด๐—ผ/ ๐—ก๐—ฒ๐—บ๐—ฏ๐—ผ ๐˜’๐˜ธ๐˜ข ๐˜ˆ๐˜ซ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช ๐˜ ๐˜ข ๐—•๐—ถ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐—ฌ๐—ฎ๐—ธ๐—ผ/ ๐—ž๐—ฎ๐—บ๐—ฝ๐˜‚๐—ป๐—ถ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ง๐—ฎ๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐˜€๐—ถ ๐—ฌ๐—ฎ๐—ธ๐—ผ, ๐—ž๐˜‚๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐—ป๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜‡๐—ผ ๐—Ÿ๐—ฎ ๐—•๐—ถ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ, ๐—ž๐˜‚๐—ฒ๐—ฑ๐—ถ๐˜๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—ฃ๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ, Stika Za Bidhaa Mbalimbali, ๐—ž๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐—ธ๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ป๐—ฒ๐—ป๐—ผ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฃ๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ, Na Huduma Nyingine Za Graphics Designing, ๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐—จ๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐—ป๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ๐˜„๐—ฒ ๐—ก๐—ฑ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐˜‚๐—ฑ๐—ฎ ๐— ๐—ณ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ, Na Gharama Ya Chini Zaidi:๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

๐—ฃ๐—ถ๐—ด๐—ฎ/๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—”๐—ฝ๐—ฝ:- ๐Ÿ“ฒ0769678809 LINK YA WHATSAPP ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ
https://wa.me/message/FSZOWTJQIAPQF1

TOZO IMEENDELEA KWANI BADO TUNAHITAJI KUWEKA NGUVU KWENYE SHUGHULI ZA UZALISHAJI - MWIGULU...โ€ผ๏ธ๐ŸŸฃWaziri wa Fedha na Mipan...
01/09/2022

TOZO IMEENDELEA KWANI BADO TUNAHITAJI KUWEKA NGUVU KWENYE SHUGHULI ZA UZALISHAJI - MWIGULU...โ€ผ๏ธ

๐ŸŸฃWaziri wa Fedha na Mipango Dr. Mwigulu Nchemba leo akiwa Dodoma amekutana na Waandishi wa Habari kutolea ufafanuzi ishu ambayo imekua gumzo nchini kuhusu masuala ya tozo kwenye miamala ya simu na benki ambapo hizi ni baadhi ya nukuu ya alichokisema.

๐Ÿ—ฃ๏ธโ€œKwanini mwaka huu tozo ziliendelea tena?, tumeendelea tena kwasababu tumeshafanya kwenye madarasa na vituo vya afya lakini kuna mambo ya msingi ambayo yana umuhimu wa kuchukuliwa hatua kwa haraka sanaโ€

โ€œTunahitaji kuweka nguvu kubwa sana kwenye shughuli za uzalishaji, tatizo la ajira kwa Vijana ni kubwa mno, Watu wasio na kipato nchini ni wengi sana, kila wanapomaliza darasa la saba kuna Watoto laki mbili hawaendelei na kidato cha kwanza na kila wanapomaliza kidato cha nne kuna Watoto karibu laki tatu hawaendelei kidato cha tano, tumewahi kujiuliza wanaenda wapi na โ€˜futureโ€™ yao ipoje?โ€

โ€œTumeshajiuliza wale wanaohitimu na hawaingii Ofisini wanaenda wapi!?, hakuna Kijiji hata kimoja ambacho hakina Mhitimu ambaye hana kazi ndio maana Rais anasema tuweke nguvu kubwa kwenye shughuli za uzalishaji, ndio maana tumeweka pesa nyingi kwenye kilimo ili Vijana wengi watengeneze kipatoโ€ฆ. hawa ambao hawana ajiraโ€

โ€œMnyororo wa umasikini mkiubariki inakuwa unabaki hivyohivyo haundoki kwahiyo zaidi ya Trilioni 1 zimeenda kwenye kuongeza nguvu kwenye uzalishaji upande wa kilimo, uvuvi, Wamachingaโ€

-Amesema Waziri Nchemba.

KUTOKA AZAM FC..๐Ÿšจโ€œTumefikia makubaliano ya pande mbili na kocha wetu, Abdihamid Moallin, na msaidizi wake, Omary Nasser,...
29/08/2022

KUTOKA AZAM FC..๐Ÿšจ

โ€œTumefikia makubaliano ya pande mbili na kocha wetu, Abdihamid Moallin, na msaidizi wake, Omary Nasser, kuachia ngazi k**a kocha mkuu na Msaidizi mtawalia.

โ€œHata hivyo, makocha hao wataendelea kubaki k**a sehemu ya idara ya ufundi klabuni kwetu katika nafasi nyingine ambazo tutazitangaza hapo baadaye.

โ€œKwa sasa timu itakuwa chini ya Daniel Cadena, ambaye ni kocha wa makipa, hadi tutakapotangaza kocha mpya.

โ€œCadena ni kocha mwenye leseni ya juu kabisa ya ukocha, UEFA Pro License.

๐ŸŸฃ   Mechi Imemalizika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.FT: Tanzania 0-1 Uganda.MutyabaโšฝTanzania sasa itahi...
28/08/2022

๐ŸŸฃ Mechi Imemalizika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

FT: Tanzania 0-1 Uganda.
Mutyabaโšฝ

Tanzania sasa itahitahitaji ushindi wa angalau mabao 2-0 ugenini wiki moja ijayo ili kufuzu

๐ŸŸฃKikosi Cha Taifa Stars ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Dhidi ya Uganda๐Ÿ’ช๐Ÿพ
28/08/2022

๐ŸŸฃKikosi Cha Taifa Stars ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Dhidi ya Uganda๐Ÿ’ช๐Ÿพ

๐ŸŸฃKufuzu CHAN 2023: Timu Ya Taifa Ya Tanzania โ€˜Taifa Stars' Leo Itashuka Katika Dimba La Benjamin Mkapa Mudanwa Saa 10 Ji...
28/08/2022

๐ŸŸฃKufuzu CHAN 2023: Timu Ya Taifa Ya Tanzania โ€˜Taifa Stars' Leo Itashuka Katika Dimba La Benjamin Mkapa Mudanwa Saa 10 Jioni Kucheza Mchezo dhidi ya Uganda.

KILA LA KHERI TAIFA STARS๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

KARANI AIBIWA KISHIKWAMBI CHA SANSA..โ€ผ๏ธ๐ŸŸฃKarani wa Sensa Kata ya Majimoto  Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Mkoani Katavi...
23/08/2022

KARANI AIBIWA KISHIKWAMBI CHA SANSA..โ€ผ๏ธ

๐ŸŸฃKarani wa Sensa Kata ya Majimoto Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe Mkoani Katavi Kenan Kasekwa amevamiwa na kuporwa kishikwambi cha kutunzia kumbukumbu za Sensa.

Akithibitisha tukio hilo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Catherine Mashala amesema Karani huyo ambaye ni Mwalimu alivamiwa na Mtu ambaye alivunja kitasa na kuingia chumbani kisha kubeba kifaa hicho, fedha kiasi cha Tsh. 760,000, radio na vitu vingine.

"Inavyoonekana alipuuliza dawa ya kuwalaza usingizi yeye na Familia yake, yule Mwizi alingia chumbani akabeba ka lasketi, kishikwambi, fedha alizozikuta, simu na radio aina ya sabufa"

Mashala amesema baada ya tukio hilo alitoa taarifa kituo cha Polisi ndipo Polisi walipofuatilia na kufanya msako na kumk**ata Mtuhumiwa.

๐ŸŸฃWachezaji wa Timu ya Taifa  Taifa Stars wakiendelea na mazoezi uwanja wa Benjamin Mkapa kujiandaa na mchezo wa Kufuzu C...
23/08/2022

๐ŸŸฃWachezaji wa Timu ya Taifa Taifa Stars wakiendelea na mazoezi uwanja wa Benjamin Mkapa kujiandaa na mchezo wa Kufuzu CHAN dhidi ya Uganda utakaochezwa 28, Agosti 2022.

๐ŸŸฃMatokeo Ya Michezo Minne Ya Leo Ligi Kuu
21/08/2022

๐ŸŸฃMatokeo Ya Michezo Minne Ya Leo Ligi Kuu

Address


Telephone

+255769678809

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Az Entertainment posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Az Entertainment:

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share