Simon peter

Simon peter Taarifa sahihi kwa wakati sahihi

Kila lenye heri 🦁
07/12/2025

Kila lenye heri 🦁

06/12/2025

ZIJUE SHERIA ZA MPIRA WA MIGUU TFF & ZFF

Leo nimeona nifungue darasa fupi kwa mashabiki wote wa kandanda hapa nchini, ili kila mmoja wetu aelewe kwa undani. Karibuni sana, tuchambue hatua kwa hatua.

1️⃣ Sheria ya Mpira (The Ball)
Mpira unaotumika lazima uwe wa mviringo (spherical), uwe na shinikizo sahihi na ukubwa kulingana na viwango vya FIFA. Mechi rasmi lazima zitumie mpira ulioidhinishwa na TFF au ZFF.

2️⃣ Sheria ya Wachezaji (The Players)
Timu lazima ianze na angalau wachezaji 8 ili mchezo uwe sahihi. Idadi kamili ni wachezaji 11 kwa kila upande (akiwemo kipa). Team zote za Tanzania na Zanzibar kwa ujumla lazima zifuate kanuni hii bila shaka.

3️⃣ Sheria ya Vifaa (Equipment)
Kila mchezaji anatakiwa kuvaa jezi, bukta, soksi, viatu na shin guard. Jezi ya kipa lazima iwe tofauti na wachezaji wengine ili kutambulika haraka.

4️⃣ Sheria ya Mwamuzi (The Referee)
Mwamuzi ndie mwenye mamlaka ya juu zaidi ndani ya uwanja. Maamuzi yake ni ya mwisho. Ndio maana tunasema. Mwamuzi ni kioo cha ligi yetu.

5️⃣ Sheria ya Kuanza & Kuendelea kwa Mchezo
Mechi huanza kwa kupiga mpira kutoka kati kati ya uwanja kwenye michoro na kiduara husika kilichothibitishwa kuwa ni kati kati. Baada ya goli, mpira pia huanzwa tena kutoka kati kati.

6️⃣ Sheria ya Mpira kuwekwa nje ya Uwanja
Mpira ukiwa umevuka mistari yote ya uwanja (iwe hewani au ardhini), unachukuliwa kuwa umetoka, hapo Sheria nyengine zitaamua k**a ni kona or goal kick.

7️⃣ Sheria ya Kufunga Goli
Goli ni halali iwapo tu:
●Mpira umevuka mstari wa goli kikamilifu.
●Hakuna kosa lililotokea kabla ya kufunga hapa namaanisha foul, offside, kuingiliwa na mpira mwengine kutoka nje au kuguswa na referee.

8️⃣ Sheria ya Offside
Mchezaji anakuwa offside iwapo ameweka mwili wake mbele ya beki wa mwisho kabla ya pasi kutolewa. Lakini si offside ikiwa yupo nyuma ya mpira, au anapokea pasi moja kwa moja kutoka kwenye kona, goal kick au throw in.

TUTAENDELEA KESHO KAA TAYARI ASUBUHI SAA 3:00

Nukuu kutoka kwa Baraka MpenjaKiungo wa Wydad Casablanca, Aziz Ki, amefichua kuwa klabu ya Simba SC ina umaarufu mkubwa ...
06/12/2025

Nukuu kutoka kwa Baraka Mpenja

Kiungo wa Wydad Casablanca, Aziz Ki, amefichua kuwa klabu ya Simba SC ina umaarufu mkubwa nchini Morocco, hasa katika jiji la Casablanca, ambalo ni kitovu cha soka la nchi hiyo.

Aziz Ki amesema kuwa alipotua Wydad mara ya kwanza, baadhi ya mashabiki na watu wa soka Morocco walidhani anatokea Simba ya Tanzania, kutokana na jina kubwa ambalo klabu hiyo imejijengea katika mashindano ya kimataifa.

Ameongeza kuwa Simba imekuwa ikiheshimiwa na kutajwa mara nyingi nchini humo kutokana na rekodi zake nzuri katika michuano ya CAF, kiwango cha wachezaji wake pamoja na namna klabu inavyojiendesha.

Kauli ya Ki imeendelea kuonyesha jinsi taswira ya Simba ilivyoimarika nje ya Tanzania, huku wadau wa soka wakitafsiri maneno yake k**a ishara ya ukubwa wa klabu hiyo barani Afrika.

🦁USISAHAU:
Angalia Mechi zote za Simba SC kwenye simu yako LIVE popote ulipo, Bonyeza Link Ku download Ligi Kuu app👉🏾 https://is.gd/ligitvkuu

05/12/2025

Hapo mwisho k**aliza kabisa.
Wana Simba hii ni hazina kwa Simba SC Tanzania

Picha yenye tabasamu
04/12/2025

Picha yenye tabasamu

🫣🫣
02/12/2025

🫣🫣

02/12/2025

😭😭

Afadhali
02/12/2025

Afadhali

02/12/2025

Tunapofungwa mpaka nzi hutuzomea

30/11/2025

Imani ni maisha
‎Maisha yetu ni imani
‎Tunaishi kwa imani
‎Kila anayeishi anaimani
‎Maisha yetu ni matokeo ya imani
‎Utofauti wa maisha yetu ni kwa sababu ya imani zetu.
‎Kabla ya kufanya chochote tunaweka imani kwanza
‎Imani ni maisha ya mtu.

Ole wako utuseme wafupi
29/11/2025

Ole wako utuseme wafupi

29/11/2025

Akina babu wa 2060.

Address


Telephone

+255764018736

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Simon peter posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share