Mselabog.Com

Mselabog.Com MADOMIDO FULL RESPECT FAMILY

Simulizi ya kutisha 0754631535
15/01/2025

Simulizi ya kutisha 0754631535

25/12/2024
01/10/2024

Penda ukurasa na fuata ukurasa

01/10/2024

Hivi sasa tupo na Simulizi mbalimbali

30/09/2024
01/09/2024

Wale watu wangu wa simulizi

SIMULIZI: FURAHA YANGU IKO WAPI?MTUNZI na MWANDISHI:  AISHA KHANSEHEMU YA 01Cont:+255754631535Jiunge na group la simuliz...
29/01/2024

SIMULIZI: FURAHA YANGU IKO WAPI?
MTUNZI na MWANDISHI: AISHA KHAN
SEHEMU YA 01
Cont:+255754631535

Jiunge na group la simulizi
Link 👇👇👇👇👇

https://chat.whatsapp.com/IKYPRiZhDbL2GOKO8KwMca
UTANGULIZI: jina langu naitwa Aisha Juma Nina umri wa miaka 20 naishi kigoma sikubahatika malezi ya baba nimeishi na mama yangu pekee, maisha yetu tulioishi yalikuwa ni mabaya Sana kutokana mama aliumwa uvimbe wa tumbo hivo Nikajikuta Mimi ndie mwenye majukumu yote.

SONGA NAYO!

Siku moja Majira ya Mchana nilikuwa natoka kuhangaika kwenye mihangaiko yangu ya kawaida, nilipofika nyumbani nilimkuta mama yangu akiwa amejilaza nje ndipo nikamsogelea na kumuuliza: mama umezidiwa Sana eehh!!

Mama alitabasamu na kuniibu: Aisha mama! Usijali Mama yako mzima.

Nikamuuliza: Ila mbona tumbo lako linazidi kuvimba lakini?

Mama kwa sauti ya maumivu alinijibu: hapana Aisha! Unajuwa binti yangu Kwenye hii Dunia kuna Mambo mengi yanayopitikana, kila mwanadamu ana shida zake pia ana matatizo yake jitahidi Sana Uwe mwenye kutabasamu pia Uwe mvumilivu kwa kila Jambo, Aisha mama! Nina maumivu mama yako! Tumbo linauma Sana.

Hakika maneno ya mama yalinipa wasi wasi mkubwa maana mama yangu alikuwa ni mtu anaejikaza hata awe ana maumivu makubwa kiasi gani alikuwa Hawezi kuniambia kuwa anajisikia vibaya.

Uvumilivu ulinishinda nilinyanyuka nikatoka hapo haraka huku nikiwa nafuta machozi kwa huzuni.

Moja kwa moja nilielekea mjini katikati huku nikionekana k**a kichaa mbele za watu, nilifika hospital kuu iliopo mkoani Kigoma, nilipofika kwa mbali nilimuona Doctor mkuu nikamkimbilia ili ikiwezekana aweze kunisaidia, nilipomfikia nilishuka chini kwa presha na kupiga magoti bila kujali watu wananitazama vipi.

Doctor baada ya kumshika alishtuka na kuniuliza: binti nini shida?

Nikamjibu huku nikilia kwa uchungu: doctor! Mimi ni Yule binti namletaga mama yangu kwenye hii hospital anaumwa uvimbe ukanipaga dawa siku ileee umenikumbuka.

Doctor: Ndio embu nyanyuka kwanza.

Nilinyany

WhatsApp Group Invite

🔞KILAZA🔞SEHEMU YA 03Mwalimu alitoa ukelele wa raha na furaha, machozi yalitiririka kuanzia kwenye kope, mashavuni hadi t...
30/09/2023

🔞KILAZA🔞
SEHEMU YA 03
Mwalimu alitoa ukelele wa raha na furaha, machozi yalitiririka kuanzia kwenye kope, mashavuni hadi tumboni; Ila Kilaza ni msenge sana, rungu wala hakulizamisha lote, alilisugua juu juu tu, juu ya nyama laini, alikisugua kipele, alipiga piga k**a anaua nyoka, mwalimu alifumba macho alirusha maji marefu!!

MWALIMU: Oohps! today im going crazy!! nipeee jamani mimi leo nitadediiii uwiih!!
Mwalimu alimtazama Kilaza kisha alimrushia kofi la bega, kofi la mahaba, mara amng'ate meno, mara amkumbatie, yeye mwenyewe alik**ata dude alilizamisha lote ndani, alipandisha kiuno juu ili achokonolewe vizuri. Hata hivyo Kilaza alichomoa mashine alizamisha ulimi, ticha alipiga kelele nzito; alijikuta akizungusha uno kwenye ulimi, aliloana tepetepe! alimvuta Kilaza alimpa mate ya taratibu kisha alik**ata mashine aliizamisha tena. Hapo sasa Kilaza aliingia kazini rasmi, alifanya hivi; alipiga rungu juu juu mara 30, katikati mara 40, alizamisha yote mara 50, alimpeleka ticha ukutani; ngoma ilipigwa wakiwa wamesimama, ticha aliishiwa nguvu alijikuta anashuka chini; kilaza nae hakuzubaa, alishuka chini mwendo wa mende aliyekufa!! ilifikia hatua mwalimu alihisi kitu chenye hasira kali kikigonga kwenye kuta za mwisho za naniliu, sijui ndo kizazi au kitu gani.
MWALIMU: Bebi Nakujaa... KILAZA: Unajukuja wapi?

MWALIMU: Jamani nakujaaaa...Usije ukaniacha...Niambie k**a hutoniachaa
KILAZA: Nitakuacha kwa sababu wewe ni mwalimu wangu.
MWALIMU: Sitaki sitaki sitakiiiii...jamani sultani wangu nakujaaaaaaaaaa
Ilikuwa ni muda ambao hata Kilaza alikaribia kufika kilele cha mlima kitonga, aliongeza kasi ya mashambulizi. Kilaza akiwa anashusha mzigo mwalimu alijinyonga kulia kushoto kisha alitulia kimyaa, kelele zilikatika ghafla, ticha alimwaga mkojo wa mwisho kisha alikak**aa mwili mzima; sasa sijui ndo alikufa au alidedi. Kilaza alibaki amekodoa macho tu, alipumua kwa kasi akishangaa, alichomoa dude lake akiwa amevurugwa!! Alijaribu kumuamsha lakini ticha hakuamka, hakutikisik

Leteni simulizi zetu tuziwekee sauti
30/09/2023

Leteni simulizi zetu tuziwekee sauti

14/08/2023

SIMULIZI MEDIA
MSITU NDANI YA BAHARI
STORY BY ANTHONY
Sehemu ya pili
WHATSAPP: +255754631535

🄹🄸🄽🄸 🅆🄰 🄱🄰🄷🄰🅁🄸

Baada ya pale zaynabu alikuwa akinikataza nimwachie Mamu maji yake,
Aliendelea kunisihi nimrudishie maji yake kwani yeye ameyatoa mbali baharini halafu Mimi naanza kumnyanyasa nayo huku njiani!

Mhhhh nilikasirika maana Mimi sikutaka kabisa Mamu arudi nayo maji yake nyumbani lakini ndo kwanza aling'ang'ania

[email protected]

Tuliendelea na safari yetu ya kurudi nyumbani na tulikuwa tukielekea stand kupanda gaari,
Lakini kiukweli sikuridhishwa na mambo ya Mamu na zaynabu kumuacha Mamu arudi na maji nyumbani, niliendelea kumfanyia fujo nikiwa naipiga Ile chupa idondoke chini Ili niitupe, nilifanya jaribio lakwanza chupa ilidondoka Ile kuinama tu nilipigwa teke mpaka chini,Zay alicheka sana "akasema hayo ndo unataka" niliwafyonya Mamu na Zay,

MCHAKO akasema "[email protected] Emu muache bwana Mamu

Niliitikia sawa, tuliendelea na mambo yetu,

Zay alituonyesha kitu kwenye simu yake, upande wangu niliona wamezubaa na nilizungika upande wa Mamu na kwenda kuitupa Ile chupa,
Niliitoa mikononi make na kuitupa mbali lakini ikadondoka karibu, nilisogea na kuipiga teke pia Mamu aliniwahi kitendo Cha kuipiga teke Ile chuma nae alinisukuma nilienda na chupa mpaka chini na nikawa nimeidondokea,

Ile chupa ilianza kuleta mauzauza maji ndani yake yalionekana kuwa mekundu mithili ya damu,

Wote tulipigwa butwaa wote kuniona Ile Hali,

Mamu aliyawahi maji yake lakini nilimkataza kuichukua alitaka kulazimisha kuichukua lakini nilimzuia, niliichukua Ile chupa na kuitizama Kwa makini niliona maji ni damu tupu, nikatoa mfuniko na kuanza kuyamimina chini lakini Cha Ajabu maji yalitoka meupe kabisa ikiwa kwenye chupa yanaonekana damu,

Tulistaajabu sana Kisha Mamu akadai maji yake NAMI nikampa, alijaribu kumimina kushangaza ikatoka damu!!!!!

Mchako aliyamba Yale maji na kujaribu kumimina Cha Ajabu hayakumwagika kabisa,

Hapo watu tuliokuwa nao njiani walisogea kushangaza kitu kile,

Kuna vijana wawili walitokea wakikimbia walikuwa wakifukuzana walipsmia Yale maji na Yale maji mara yakammwagikia Yale maji na mara mwili mzima alienea Kwa kuloa Yale maji na Cha kushangaza sasa asaaa lionekana kutapakaa damu, mwili mzima halafu alipiga chini huku akigalagala,
Watu waliokusanyika pale walizidi kushangaaa maajabu yaliotokea hapo,

Maji ya damu Yale yalionekana kumsulubu huyu kijana Kwa maana aligalagala Kwa maumivu makali,
Tukiwa Bado tunamtazama hatujui Nini Cha kufanya mara tulishangaaa kijana yule akinyanyuliwa juujuu akielea hewani, alienda k**a umbali wa futi 50 halafu akaganda pale,

Mara ngozi yaka ikaanza kubadilirika Tanga na maumbile yake na kuwa k**a kibabu SI ki Babu sijui kibibi duh alianza kutisha sana hardhat zombi sijui zombi sijui Nini Ile,

*************************
Endelea kufuatilia simulizi za [email protected] pamoja na [email protected]

Gafla alichomoka k**a upepo aliyeyuka k**a Mfano wa mwewe amnyakuavyo kifaraanga Cha kuku mara yuleeeeeeeeeeeeee

KiMbembe tuliobakia hapo chini Kila mmoja alianza kutafuta njia yake ya kukimbilia, mchako hakuweza kujishulisha na kukimbia aliendelea kusimama palepale, nilipotazama upande wa Zay eebwana weee alichomoka k**a vile kiswaswadu kinavyocholopoka mfukoni,Yani na ule ubonge haikuwa kitu kwakwe

Kila upande aliokimbilia Mamu watu walimkataa na kumuogopa maana walijua yeye ni muhusika wa hili jambo,chupa yake ndiyo iliyosababisha maafa kutokea,

Upande wangu nilikuwa Bado sijafanya maamuzi nikimbie ama nifanyaje
Niligeuka upande wanyuma nilimuona mchako amesimama wima akitizama juu mbinguni.

Nilipoendelea kusimama kumtazama vizuri bwana MCHAKO gafla radi ilipiga pande tatu upande wa wale walikokimbilia kushoto kwao na kulia kwao na mbele waendako, ulipiga mwanga mkali mno takribani sekunde 72 na wale walio kimbia wakajikuta wanashindwa kwenda mbele na iliwagharimu kurudi nyuma, walikuja Kwa kukimbia upande wangu na wote waliweza kusimama pale nilipokuwepo, walijazana pale wote na kuona k**a Mimi ndiye mtetezi wao, nilifyatua jicho upande wambele walipotokea kundi hili la watu nilistaajabu Anga limekuwa jekundu pande zote tatu AMBAPO radi ilipiga, nilianza kumtafuta Mamu na Zay Ili tuanze sakata la kujiokoa na janga hili maana ni kifo tu Kwa kwenda mbele, nilimtafuta Mamu nilimuona nikamtafuta Zay huku na huko lakini sikumuona nikamuuliza Mamu, "zayb Yuko wapi? Alitikisa kichwa kuashiria hafahamu, nikamshika mkono mpenzi wangu Mamu na kutaka kutimka nae, lakini kundi nalo lilianza kuniganda na kunifuata niligeuka nyuma Ili kumchukua na MCHAKO nae tukimbie lakini Cha Ajabu MCHAKO sikufanikiwa kumuona bwana MCHAKO nilipiga jicho kule na kule mpaka uko kunako wapi lakini hayupo niliona umati wawatu unaanza kujawa na hofu.

Emu fuatilia kisa hiki soma na toa comments hapo chini
Karibu kujiunga na group letu la simulizi WHATSAPP +255754631535

Sehemu ya kwanza tulipoishia hatukufahamu bwana MCHAKO alifikaje baharini maana yupo Tanga na dar Kwa ule muda alifikajefikaje na hatukupata majibu,

Sehemu ya pili Tumeshangaa kuona haogopi haya mambo na gafla kapotea
Fuatilia uweze kupata vyema kisa hiki.

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mselabog.Com posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share