Pastor R

Pastor R Young pastor under worship culture ministry

Maana sijui nifanyalo, kwa sababu lile nilipendalo, silitendi; bali lile nilichukialo ndilo ninalolitendaKifungu hichi C...
08/09/2025

Maana sijui nifanyalo, kwa sababu lile nilipendalo, silitendi; bali lile nilichukialo ndilo ninalolitenda

Kifungu hichi Cha biblia kina akisi kabisa ukweli kuhusi maisha Yako ambayo una ishi kwa Sasa, mambo mengi ambayo unayafanya siyo kwamba hufahamu kuwa ni mabaya, ila Kuna nguvu hushindana na Nia Yako njema katika kutenda na unajikuta unafanya yaliyo maovu sana katika maisha Yako.

Umalaya, uzinzi, wizi, utapeli na mambo mabaya yanayo fanana na hayo, inawezekana kabisa usiwe kuyatenda k**a utaamini kuwa Yesu kristo ana uwezo wa kubadilisha haya, k**a unahitaji msaa wa kuondoka na kukaa mbali na ivyo vifungu, comment shida yako na nitakuombea
0693945059

Bidii katika kutengeneza mahusiano na Mungu ni jambo la muhimu kwa sababu wanao kuroga wapo seriously sana zaidi ya vile...
06/09/2025

Bidii katika kutengeneza mahusiano na Mungu ni jambo la muhimu kwa sababu wanao kuroga wapo seriously sana zaidi ya vile unavyo fikilia, juhudi zinazo tumika ili wewe ubaki kwenye mateso ni kubwa mno, Yesu kristo anaweza kukusaidia tengeneza bond na Yeye usaidike,
Fanya maamuzi sahihi sasa

‎Uzima wa milele siyo tu kuhusu kufika mbinguni baada ya kifo. Unaendelea sasa, kupitia uhusiano wetu na Mungu.‎‎“Na uzi...
05/09/2025

‎Uzima wa milele siyo tu kuhusu kufika mbinguni baada ya kifo. Unaendelea sasa, kupitia uhusiano wetu na Mungu.

‎“Na uzima wa milele ndio huu: Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.” - Yohana 17:3 SUV

‎Andiko hili linaeleza kuwa uzima wa milele ni kumjua Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo, aliyemtuma. Huu “kumjua” siyo wa kiakili tu bali ni uhusiano wa kina. Ni kuishi katika uwepo wa Mungu na kutembea naye kila siku.

‎Mbingu ndiyo kilele cha safari, lakini uzima wa milele unapatikana sasa kupitia imani yetu kwa Kristo.

Hakikisha tarehe 30 mwezi huu ukosi kwenye ibada Usimtegemee binadamu mwenzako kwa kuwa binadamu huzima simu katika ya m...
19/08/2025

Hakikisha tarehe 30 mwezi huu ukosi kwenye ibada

Usimtegemee binadamu mwenzako kwa kuwa binadamu huzima simu katika ya matatizo

Kwa neema ya Mungu mwezi huu nimekuandalia ibada nzuri ambayo utapokea maarifa na utapata uponyaji, usikoseee0744474919
16/08/2025

Kwa neema ya Mungu mwezi huu nimekuandalia ibada nzuri ambayo utapokea maarifa na utapata uponyaji, usikoseee
0744474919

Mikoani tunatuma kwa uaminifu
12/07/2025

Mikoani tunatuma kwa uaminifu

Uaminifu kwetu ni kipaumbele cha msingiMkoa wowote ulipo tunakuagizia mzigo
12/07/2025

Uaminifu kwetu ni kipaumbele cha msingi
Mkoa wowote ulipo tunakuagizia mzigo

Katikati ya changamoto nyingi Kuna ushindi ndani yake, lakini ushindi huo huwezi kuupata pasipo kuwa na nguvu, na hizo n...
02/07/2025

Katikati ya changamoto nyingi Kuna ushindi ndani yake, lakini ushindi huo huwezi kuupata pasipo kuwa na nguvu, na hizo nguvu za kukupa ushindi zinapatikana kwa Yesu kristo
Daudi alimuangusha goriati kwa sababu ya nguvu alizopewa na Mungu
Yusuphu alishinda na kuinuliwa ndani ya gereza kwa nguvu za Mungu
Hata wewe unaweza kushinda changamoto zako
Magonjwa yako yataondoka
Umaskini wako utaondoka
Shida zako zitaondoka

In the midst of many challenges, there is victory within them. But that victory cannot be attained without strength, and that strength comes from Jesus Christ.
David defeated Goliath because of the strength he received from God.
Joseph overcame and was lifted even from prison by the power of God.
You too can overcome your challenges.
Your sickness will be healed.
Your poverty will be removed.
Your troubles will come to an end.

To change old things is a common act for Jesus.  When you are in Him, the old passes away, new things are made.  Kuyabad...
26/06/2025

To change old things is a common act for Jesus.
When you are in Him, the old passes away, new things are made.

Kuyabadilisha yazamani ni jambo la kawaida kwa Yesu

Ukiwa ndani yake yakale yanapita, mapya yanatengenezwa

Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru. Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza. Mungu akaiita nu...
25/06/2025

Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru. Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza. Mungu akaiita nuru Mchana, na giza akaliita Usiku.

Kwa nini Mungu aliona nuru ni njema badala ya gizaa

✅ Giza huzuia maendeleo yako, kwakuwa hutakuwa na uwezo wa kuona kipi kipo mbele yako
✅ Giza hutengeneza maangamivu, uharibufu

Nasimama K**a balozi wa nuru katika maisha yako, nalitamkia giza lililopo kwenye maisha yako likuachie sasa kwa Jina la Yesu kristo
0693945059 call
0744474919

Kwa msaada wa Mungu tutatenda mambo makuu  Ijumaa hii tutakuwa na ibada ya Nguvu za MunguUnabii,uponyaji na ufungulivu T...
11/06/2025

Kwa msaada wa Mungu tutatenda mambo makuu
Ijumaa hii tutakuwa na ibada ya Nguvu za Mungu
Unabii,uponyaji na ufungulivu
Tutakuwa live kupitia Facebook
Jina la account Pst Robert mdemwa

Link ya group
https://chat.whatsapp.com/ByAbvIxi3NACbKE8iAMXeh

Address

Toangoma

15118

Telephone

+255714047449

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Pastor R posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Pastor R:

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share