24/12/2025
: Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, amewatakiwa watanzania wote Heri ya Christmas
"Tusherehekee sikukuu hii kwa Amani, upendo ma UTULIVU tukidumisha mshik**ano wa kitaifa"