Yanga Pulse's

Yanga Pulse's ๐Š๐š๐ซ๐ข๐›๐ฎ ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐๐€๐†๐„ ๐ก๐ข๐ข๐Ÿ™ ๐ค๐ฐ๐š ๐“๐€๐€๐‘๐ˆ๐…๐€ ๐ค๐š๐ฆ๐š ;
-๐Œ๐€๐Š๐€๐‹๐€ ๐ณ๐š ๐ฆ๐ข๐œ๐ก๐ž๐ณ๐จ ๐Ÿ“š.
-๐“๐€๐€๐‘๐ˆ๐…๐€ ๐ณ๐จ๐ญ๐ž ๐ค๐ฎ๐ก๐ฎ๐ฌ๐ฎ ๐˜๐€๐๐†๐€ ๐ฉ๐š๐ฆ๐จ๐ฃ๐š ๐ง๐š ๐”๐๐ƒ๐€๐“๐„๐’ ๐ณ๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐œ๐ก ๐Ÿ”ฐ.
-๐“๐€๐Š๐–๐ˆ๐Œ๐” ๐ง๐š ๐‡๐ˆ๐’๐“๐Ž๐‘๐ˆA

๐Ÿ“ถ... WANANCHI WE COMING HOME โœˆ๏ธ๐Ÿ”ฐ Baada ya kazi safi kule ANGOLA, safari ya kurejea Dar es Salaam rasmi imeanza! Kikosi c...
20/09/2025

๐Ÿ“ถ... WANANCHI WE COMING HOME โœˆ๏ธ

๐Ÿ”ฐ Baada ya kazi safi kule ANGOLA, safari ya kurejea Dar es Salaam rasmi imeanza!

Kikosi cha Young Africans Sports Club kinarudi nyumbani kikiwa na ushindi mzito wa 3-0 dhidi ya Wiliete Benguela kwenye CAF Champions League



๐Ÿ“ถ... EDMUND JOHN โ€“ KIPAJI KINACHOKUA KWA KASI! ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟKutoka Serengeti Boys hadi kufunga kwenye michuano ya kimataifa akiwa n...
20/09/2025

๐Ÿ“ถ... EDMUND JOHN โ€“ KIPAJI KINACHOKUA KWA KASI! ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Kutoka Serengeti Boys hadi kufunga kwenye michuano ya kimataifa akiwa na Young Africans SC โ€“ EDMUND John anaendelea kuthibitisha ubora wake ๐Ÿ”ฅ

โšฝ๏ธ Leo ameweka jina lake kwenye orodha ya wafungaji, kwenye ushindi wa 3-0 dhidi ya WILIETE BENGUELA Benguela katika CAF Champions League.

Sifa zake k**a kasi, utulivu, na uwezo wa kuwabeba mabeki vinamfanya kuwa hatari mbele ya lango โ€“ na Young Africans Sports Club imepata lulu ya thamani! ๐Ÿ’Ž

Hongera sana EDMUND โ€“ mwanzo mzuri msimu huu!



๐Ÿ“ถ... NYUNDO ZINAREJEA LIGINI!* ๐Ÿ”จ๐Ÿ”ฐ MCHEZO UNAOFUATA:๐Ÿ†  โšฝ YOUNG AFRICANS ๐Ÿ†š PAMBA JIJI ๐Ÿ“… Jumatano | 24.09.2025 ๐ŸŸ Benjamin M...
20/09/2025

๐Ÿ“ถ... NYUNDO ZINAREJEA LIGINI!* ๐Ÿ”จ

๐Ÿ”ฐ MCHEZO UNAOFUATA:

๐Ÿ†
โšฝ YOUNG AFRICANS ๐Ÿ†š PAMBA JIJI
๐Ÿ“… Jumatano | 24.09.2025
๐ŸŸ Benjamin Mkapa Stadium
๐Ÿ•– Saa 1 Usiku (19:00 EAT)

Baada ya ubabe wa kimataifa, sasa ni muda wa kuendelea na safari ya kutetea ubingwa ndani ya ligi kuu ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ’ช



ANAANDIKA FARHAN JR.Kwenye suala la Kocha Fadlu kuondoka kwa mujibu wa Mwandishi Mkongwe  wa EFM ni kuwa Kocha hataki ku...
20/09/2025

ANAANDIKA FARHAN JR.

Kwenye suala la Kocha Fadlu kuondoka kwa mujibu wa Mwandishi Mkongwe wa EFM ni kuwa Kocha hataki kukaa kwenye benchi leo na ili akae basi klabu ikubali kumwachia aondoke bila kulipa mishahara ya miezi mitatu maana ndio utaratibu wa Kimkataba maana Klabu haijavunja bali yeye.

Lakini pia Mkongwe Maestro anaripoti kuwa Kocha haamini vipigo vya Yanga vinatokana na Kiufundi, analalama kuwa Wachezaji aliowataka wote wameenda kwa Mpinzani, huku pia anaumizwa na miundombinu ya Uwanja wa mazoezi wa Simba, hivyo machache kati ya mengi ni kuwa Mwalimu kwasasa anataka kuondoka na walipofikia na Simba sio pazuri hata kidogo.


๐Ÿ“ถ... HII NDIO YANGA SC โ€“ TIMU YA KIBABE ๐Ÿ’ช๐Ÿฝโฑ๏ธ Dakika 90 za Derby ya Kariakoo โ€“ ushindi!  ๐Ÿ•“ Saa 4 usiku โ€“ hotelini.  ๐Ÿ•– Saa...
20/09/2025

๐Ÿ“ถ... HII NDIO YANGA SC โ€“ TIMU YA KIBABE ๐Ÿ’ช๐Ÿฝ

โฑ๏ธ Dakika 90 za Derby ya Kariakoo โ€“ ushindi!
๐Ÿ•“ Saa 4 usiku โ€“ hotelini.
๐Ÿ•– Saa 7 โ€“ Airport.

โœˆ๏ธ Ndege hadi ETHIOPIA, tusubiri saa 3...
โœˆ๏ธ Tunaruka tena hadi Angola โ€“ saa 4 ANGANI.
๐Ÿ›ฌ Tunaingia Angola, siku 1 tu ya MAZOEZI...

โšฝ๏ธ TUNASHINDA 3-0 UGENINI! ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

Hii si timu ya kawaida โ€“ hii ni mashine ya ushindi!

Wananchi wameonesha kiwango cha juu cha kujituma, nidhamu, na ubora wa hali ya juu kimataifa

Respect kwa kocha FOLZ, benchi la ufundi, na wachezaji wote!



๐Ÿ“ถ... MOHAMED DOUMBIA NI BALLER WA KWELI!Anasoma mchezo, anapiga pasi safi, anabeba kiungo na kutengeneza nafasi kwa usta...
20/09/2025

๐Ÿ“ถ... MOHAMED DOUMBIA NI BALLER WA KWELI!

Anasoma mchezo, anapiga pasi safi, anabeba kiungo na kutengeneza nafasi kwa ustadi mkubwa.

๐Ÿ”ฅ Ila k**a unavyosema, washambuliaji wakimalizia zile chance anazotengeneza, YANGA ingekuwa na magoli kibao kila mechi.

Tunahitaji clinical finishing ili juhudi zake zionekane kwa takwimu.



๐Ÿ“ถ... ULINZI IMARA! Jana ilikuwa ngumu sana kupenya ngome ya Wananchi! Kapteni wa makombe BAKARI MWAMNYETO  akishirikiana...
20/09/2025

๐Ÿ“ถ... ULINZI IMARA!

Jana ilikuwa ngumu sana kupenya ngome ya Wananchi!

Kapteni wa makombe BAKARI MWAMNYETO akishirikiana na sajenti Ibrahim BACCA waliweka ukuta wa chuma โ€“ hakuna aliyevuka!

๐Ÿ”ฅ Timu ya wananchi ilikuwa salama, thanks to hawa magwiji wa ulinzi.



๐Ÿ“ถ... MWENDA โ€“ MZINGA WA PEMBENI!  Progress ya MWENDA ni ya kushangaza! Sasa ni mchezaji aliyekamilika โ€“ anazuia kwa nidh...
20/09/2025

๐Ÿ“ถ... MWENDA โ€“ MZINGA WA PEMBENI!

Progress ya MWENDA ni ya kushangaza! Sasa ni mchezaji aliyekamilika โ€“ anazuia kwa nidhamu, anatulia kwenye box, na akivuka kwenda mbele, anaibadilisha mechi kwa kasi na maamuzi bora.

YANGA wamepata mchezaji wa maana sana upande wa kulia โ€“ kijana yuko focused, anacheza kwa akili na hasikii presha. ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ‘

Huyu ni MWENDA mpya โ€“ sio yule wa mwanzo!



๐Ÿ“ถ... ROMAIN FOLZ NI MWAMBA WA KAZI!๐Ÿ”ฅ๐Ÿ‘Kocha huyu si wa majina makubwa, bali kazi kubwa! ๐Ÿ’ชAnayestahili, anacheza. Anaangal...
19/09/2025

๐Ÿ“ถ... ROMAIN FOLZ NI MWAMBA WA KAZI!๐Ÿ”ฅ๐Ÿ‘

Kocha huyu si wa majina makubwa, bali kazi kubwa! ๐Ÿ’ช

Anayestahili, anacheza. Anaangalia juhudi, nidhamu na ubora mazoezini โ€” sio jina kwenye jezi! ๐Ÿ™Œ

Vijana wakizalendo, kaeni tayari, mana kwa FOLZ, nafasi haipendelewi, inapiganiwa! ๐ŸŸฉ๐ŸŸจ



๐Ÿ“ถ....HESHIMA YA TANZANIA KIMATAIFA IKO SALAMA MIKONONI MWA WANANCHI! ๐Ÿ”ฐ MATCH DAY iko tayari, Taifa linawakilishwa na mab...
19/09/2025

๐Ÿ“ถ....HESHIMA YA TANZANIA KIMATAIFA IKO SALAMA MIKONONI MWA WANANCHI!

๐Ÿ”ฐ MATCH DAY iko tayari, Taifa linawakilishwa na mabingwa wa kweli!

๐Ÿ† CAF Champions League
โšฝ Wiliete Benguela ๐Ÿ†š Young Africans
๐Ÿ“ Estร dio 11 De Novembro, Angola
๐Ÿ“… Ijumaa | 19.09.2025
๐Ÿ•– Saa 12 Jioni (EAT)

Ni muda wa kuonesha ubora wa soka la Tanzania barani Afrika! ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ



๐Ÿ“ถ.... "K**A HUWEZI KUPAMBANA NAO, BASI JIUNGE NAO!" Mohammed HUSSEIN โ€˜ZIMBWE Jrโ€™ ameamua kuandika ukurasa mpya kwa kujiu...
18/09/2025

๐Ÿ“ถ.... "K**A HUWEZI KUPAMBANA NAO, BASI JIUNGE NAO!"

Mohammed HUSSEIN โ€˜ZIMBWE Jrโ€™ ameamua kuandika ukurasa mpya kwa kujiunga na Young Africans Sports Club , timu ambayo kwa misimu kadhaa imekuwa ikitawala soka la Bongo.

Akiwa ndani ya SIMBA, alikosa ladha ya mataji k**a hayaโ€”leo ndani ya Wananchi, ameanza rasmi na NGAO YA JAMII Pamoja na medali ya kwanza ya msimu.

Kapteni ameanza kuonja kile alichokuwa akikikosa kwa muda mrefu... na hii ni mwanzo tu!

โœ… Maamuzi sahihi huleta matokeo sahihi!



๐Ÿ“ถ.... HABARI NJEMA KUTOKA KWA WANANCHI!  Tumewasili salama kabisa LUANDA, Angola ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด kwa ajili ya kuwakabili Wiliete Beng...
17/09/2025

๐Ÿ“ถ.... HABARI NJEMA KUTOKA KWA WANANCHI!

Tumewasili salama kabisa LUANDA, Angola ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด kwa ajili ya kuwakabili Wiliete Benguela kwenye mechi ya kwanza ya CAF Champions League hatua ya awali.

Tunaenda kuandika historia nyingine



Address

Zanzibar City

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Yanga Pulse's posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Yanga Pulse's:

Share