Yanga Pulse's

Yanga Pulse's ๐Š๐š๐ซ๐ข๐›๐ฎ ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐๐€๐†๐„ ๐ก๐ข๐ข๐Ÿ™ ๐ค๐ฐ๐š ๐“๐€๐€๐‘๐ˆ๐…๐€ ๐ค๐š๐ฆ๐š ;
-๐Œ๐€๐Š๐€๐‹๐€ ๐ณ๐š ๐ฆ๐ข๐œ๐ก๐ž๐ณ๐จ ๐Ÿ“š.
-๐“๐€๐€๐‘๐ˆ๐…๐€ ๐ณ๐จ๐ญ๐ž ๐ค๐ฎ๐ก๐ฎ๐ฌ๐ฎ ๐˜๐€๐๐†๐€ ๐ฉ๐š๐ฆ๐จ๐ฃ๐š ๐ง๐š ๐”๐๐ƒ๐€๐“๐„๐’ ๐ณ๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐œ๐ก ๐Ÿ”ฐ.
-๐“๐€๐Š๐–๐ˆ๐Œ๐” ๐ง๐š ๐‡๐ˆ๐’๐“๐Ž๐‘๐ˆA

YANGA SC INA KIONGOZI WA ROHO NGUMU! ENG. HERSI ATIA NGUVU MAZOEZINIYoung Africans Sports Club   Rais wa Klabu Eng. HERS...
27/11/2025

YANGA SC INA KIONGOZI WA ROHO NGUMU! ENG. HERSI ATIA NGUVU MAZOEZINI

Young Africans Sports Club

Rais wa Klabu Eng. HERSI ALLY SAID () ameungana na timu kwenye mazoezi licha ya baridi kali ya nyuzi 5โ€“6.

Uwepo wake mazoezini unaonesha dhamira ya uongozi kutoa sapoti ya karibu kwa wachezaji na benchi la ufundi, sambamba na falsafa ya LEADERSHIP by example.

Klabu inaendelea na maandalizi kwa umakini mkubwa kuelekea mchezo huo muhimu.

WHAT A LEADER

WYDAD CASABLANCA wapo njiani kuja Tanzania! โœˆ๏ธWalitarajiwa kuingia leo moja kwa moja ZANZIBAR, Ijumaa hii wakikabiliana ...
26/11/2025

WYDAD CASABLANCA wapo njiani kuja Tanzania! โœˆ๏ธ

Walitarajiwa kuingia leo moja kwa moja ZANZIBAR, Ijumaa hii wakikabiliana na Azam FC kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho. ๐Ÿ”ฅ

๐Ÿ”ฐ Wakati walipokuwa Dubai, AZIZ KI (mchezaji wa zamani wa Yanga SC) alipiga picha uwanjani na kupost kwenye Insta Story akiwa na wimbo wa I am Phobos โ€“ โ€œIโ€™m Coming Homeโ€ ๐ŸŽถ๐Ÿ’š๐Ÿ’›

โžก๏ธ Hakika, Tanzania na Yanga SC ni nyumbani kwa Aziz Ki daima! Karibu tena Master Ki, shemeji ๐Ÿค

TIKETI ZA MCHEZO WA JS KABYLIE ๐Ÿ†š YANGA SC ZIMEISHA NDANI YA MASAA 3 TU! ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅMashabiki wameshajivamia! Tiketi zote zilizot...
26/11/2025

TIKETI ZA MCHEZO WA JS KABYLIE ๐Ÿ†š YANGA SC ZIMEISHA NDANI YA MASAA 3 TU! ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ

Mashabiki wameshajivamia!

Tiketi zote zilizotolewa kwenye tovuti zimeisha ndani ya masaa matatu tu tangu zitangazwe. โœ๏ธ

๐Ÿ”ฐ Uwanja wa HOCINE Aรฏt AHMED utajaa kabisa siku ya mchezo!

Hii ndiyo shauku tunayopenda sisi wananchi wa Yanga SC! ๐Ÿ’ช๐Ÿ’š๐Ÿ’›

YANGA SC POPOTE HAPA NI LAZIMA KUSHINDA! ๐Ÿ’š๐Ÿ’›Yanga SC wamesafiri mapema Algeria kuikabili JS Kabylie! ๐Ÿ”ฐFigisu za waarabu? ...
26/11/2025

YANGA SC POPOTE HAPA NI LAZIMA KUSHINDA! ๐Ÿ’š๐Ÿ’›

Yanga SC wamesafiri mapema Algeria kuikabili JS Kabylie! ๐Ÿ”ฐ

Figisu za waarabu?

Wacha zijumuishe, kwa sababu Yanga SC hawana hofu โ€“ ushindi ni desturi yao, na vita ya dakika 90 uwanjani ni chakula chao! โšฝ๐Ÿ’ช

Kila kitu kimejipangwa:

Viongozi wa timu wamesafiri mapema

Benchi la ufundi wakiangalia kila kitu kwa makini

Wachezaji wakiwa tayari kwa umakini mkubwa

Hali ya hewa? Hakuna shida โ€“ Yanga SC wamezaliwa kushinda!

Points tatu ni lazima, na ushindi unashikilia! ๐Ÿ™Œ๐Ÿ”ฅ

HAWA JS KABYLIII  wapo seriously kweli? Imagine na sisi Young Africans Sports Club  tunatumia rangi hii hii ya kijani na...
25/11/2025

HAWA JS KABYLIII wapo seriously kweli?

Imagine na sisi Young Africans Sports Club tunatumia rangi hii hii ya kijani na njano ๐Ÿ˜…

Aisee nawaonea huruma siku ya Ijumaaa maana PACร–ME akiona shangwe k**a hili anapangawa ๐Ÿ”ฅ.

K**a mtakuwa na Kumbukumbu mzuri ile mechi ya MADIBA pale South African dhidi ya Mamelodi Sundown Klabu Bingwa.

All the best WANANCHIIII ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ


   ๐ŸŽ™"K**a kocha sijashangaa sana na haya matokeo kwasababu,Tumeshindwa kutumia nafasi.Tuna mechi ijayo tupo ugenini ni m...
23/11/2025



๐ŸŽ™

"K**a kocha sijashangaa sana na haya matokeo kwasababu,Tumeshindwa kutumia nafasi.

Tuna mechi ijayo tupo ugenini ni muda wa kuonesha makubwa tukiwa ugenini ila kwa timu hii sidhani k**a naweza kupewa lawama kwa sasa bado natafuta muunganiko wa timu "
Patev

Meneja ๐ŸคŒ๐Ÿฝ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…


    Nasikia sababu ya Simba kufungwa ni kwamba wachezaji walikataa kuvuta sigaraa. ๐Ÿคฃ๐ŸคŒ๐ŸฝAmeyaeleza hayo meneja wa SIMBA Pa...
23/11/2025

Nasikia sababu ya Simba kufungwa ni kwamba wachezaji walikataa kuvuta sigaraa. ๐Ÿคฃ๐ŸคŒ๐Ÿฝ

Ameyaeleza hayo meneja wa SIMBA Pantev ambaye ni mdogo wa Dogo PATEN ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

#

   Hakuna kocha humu huyu ni mpishi wa Melini ana wapikia Mabaharia vyakula๐Ÿคฃ๐ŸคŒ๐Ÿฝ๐ŸคŒ๐Ÿฝ
23/11/2025

Hakuna kocha humu huyu ni mpishi wa Melini ana wapikia Mabaharia vyakula๐Ÿคฃ๐ŸคŒ๐Ÿฝ๐ŸคŒ๐Ÿฝ


Mwamediรฌi๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
23/11/2025

Mwamediรฌi๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚


Mgeni mpeni mia saba yake kwanza ๐Ÿคฃ๐ŸคŒ๐ŸฝMAPOVU YA NINI SASA? ๐ŸคŒ๐Ÿฝ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜
23/11/2025

Mgeni mpeni mia saba yake kwanza ๐Ÿคฃ๐ŸคŒ๐Ÿฝ

MAPOVU YA NINI SASA? ๐ŸคŒ๐Ÿฝ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜


   Kiufupi mgeni hataki tena soda anataka miasaba yake ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…MPENI NA CHANGE YAKO aondoke ๐ŸคŒ๐Ÿฝ๐Ÿคฃ
23/11/2025

Kiufupi mgeni hataki tena soda anataka miasaba yake ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

MPENI NA CHANGE YAKO aondoke ๐ŸคŒ๐Ÿฝ๐Ÿคฃ


    Halafu linatokajitu limevuta bangi na konyagi zake eti MPANZU ni bora kuliko PACร–ME ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚KIKO WAAAAPI ? ๐ŸคŒ๐Ÿฝ๐Ÿคฃ
23/11/2025

Halafu linatokajitu limevuta bangi na konyagi zake eti MPANZU ni bora kuliko PACร–ME ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

KIKO WAAAAPI ? ๐ŸคŒ๐Ÿฝ๐Ÿคฃ


Address

Zanzibar City

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Yanga Pulse's posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Yanga Pulse's:

Share