Dr. almunadhaf

Dr. almunadhaf Official Page of Dr. almunadhaf
CEO of almunadhaf Tv
YouTube 👇 Click the link
https://youtube.com/?si=TTnueVrNxfxsZ9Iw

ADHABU 10 ZA MWENYE KUACHA SALA.1. Hupatwa na Huzuni, Msongo na Taabu Maishani.2. Hali ya Kukosa Baraka na Mafanikio.3. ...
18/08/2025

ADHABU 10 ZA MWENYE KUACHA SALA.

1. Hupatwa na Huzuni, Msongo na Taabu Maishani.

2. Hali ya Kukosa Baraka na Mafanikio.

3. Huondokewa na Nuru ya Imani.

4. Anaandikiwa kuwa ni Mkafiri (kwa baadhi ya wanavyuoni).

5. Dua Zake Hazikubaliwi.

6. Hupewa Azabu Kabla ya Kufa.

7. Atateseka Kaburini.

8. Huhisabiwa Siku ya Kiyama kwa Ukali.

9. Ataingizwa Motoni kwa Majina Maalum.

10. Hukaa Motoni kwa Muda Mrefu.

USIA WANGU :

Kuacha Sala ni jambo la hatari sana. Haijalishi mtu ni tajiri, msomi, au maarufu kiasi gani – bila Sala, hauna uhusiano na Allah. Sala ni nguzo ya dini, na ni kitu cha kwanza kuhesabiwa Siku ya Kiyama.

UKUMBUSHO WANGU :

Toba bado ipo : Anayeacha Sala na akarudi kwa Allah kwa kutubu, kujuta na kuanza kuswali tena – Allah ni Mwingi wa Rehema.

FOLLOW PAGE YANGU KUJIFUNZA MENGI KUHUSU UISLAM | DR. AL MUNADHAF

MAMBO 8 YA KUYAFANYA KATIKA SIKU YA IJUMAA1. Kusafisha na kujipamba kwa ajili ya Sala ya IjumaaKuoga janaba (Ghusl) siku...
08/08/2025

MAMBO 8 YA KUYAFANYA KATIKA SIKU YA IJUMAA

1. Kusafisha na kujipamba kwa ajili ya Sala ya Ijumaa

Kuoga janaba (Ghusl) siku ya Ijumaa ni Sunnah iliyo dothibitishwa.

> Mtume ﷺ alisema: "Kuoga siku ya Ijumaa ni wajibu kwa kila mtu baleghe" (Bukhari, Muslim).

Kutumia manukato na kuvaa mavazi mazuri (kwa wanaume).

2. Kusoma Surah Al-Kahf

Inapendekezwa kuisoma kati ya Alfajiri na Magharibi siku ya Ijumaa.

> Mtume ﷺ alisema: "Anayeisoma Surah Al-Kahf siku ya Ijumaa, atawekewa nuru kati ya Ijumaa mbili" (Hakim, Bayhaqi – Sahih).

3. Kumtaja na kumswalia Mtume ﷺ kwa wingi

Siku ya Ijumaa ni siku bora ya kumtumia Mtume ﷺ sala na salamu (Swalah).

> Mtume ﷺ alisema: "Fanyeni salawat juu yangu kwa wingi siku ya Ijumaa..." (Abu Dawud).

4. Kuharakisha kwenda Msikitini kwa Khutba na Sala ya Ijumaa

Kuenda mapema na kukaa karibu na Imam ni Sunnah.

> Mtume ﷺ alisema: "Mtu atakayekwenda Ijumaa mapema ni k**a ametolea sadaka ngamia..." (Bukhari, Muslim).

5. Kusikiliza Khutba kwa utulivu

Usiongee, usicheze na kitu chochote wakati wa khutba.

> Mtume ﷺ alisema: "Ukisema mwenzako ‘nyamaza’ siku ya Ijumaa na Imam anahutubu, umepoteza fadhila" (Bukhari, Muslim).

6. Kuswali Sunna na Nafila

Baada ya Sala ya Ijumaa, swali rakaa 2 au 4 nyumbani au msikitini kulingana na hadithi mbalimbali (Muslim, Abu Dawud).

7. Kufanya Dua hasa katika saa ya ijibiwa

Kuna saa maalumu siku ya Ijumaa ambapo dua haikataliwi. Wengi wa wanavyuoni wamesema ni mwishoni mwa siku kabla ya Magharibi.

> Mtume ﷺ alisema: "Kuna saa siku ya Ijumaa, muislamu atakapoomba dua humo, Allah atamjibu..." (Bukhari, Muslim).

8. Kukumbuka wema na ibada nyingine k**a :

(a) Kutoa sadaka

(b) Kusoma Qur’an kwa wingi

(c) Kutembelea wagonjwa na kufanya amali njema.

Nawatakia Jumma Mubarak 🌙❤️

FAIDA 10 ZA KUWAHESHIMU WAZAZI 2 1. Kupata Radhi za Mwenyezi Mungu.2. Kupata Baraka katika maisha na riziki.3. Dua ya mz...
06/08/2025

FAIDA 10 ZA KUWAHESHIMU WAZAZI 2

1. Kupata Radhi za Mwenyezi Mungu.

2. Kupata Baraka katika maisha na riziki.

3. Dua ya mzazi hukubaliwa haraka.

4. Kupata Kibali cha kuingia Peponi.

5. Kusamehewa madhambi.

6. Kuwa na jina zuri mbele ya Malaika

7. Huleta utulivu wa moyo na roho

8. Huendeleza kizazi chenye baraka.

9. Huondoa bala, mitihani, na laana.

10. Ni amri ya moja kwa moja kutoka kwa Allah.

DUA NJEMA KWAKO.

Ewe Mola wetu tujaalia tupate Mapenzi ya Wazazi wetu na atujaalie Mwisho Mwema sisi na Wazazi wetu. (Amin)

FOLLOW PAGE YANGU ILI KUJIFUNZA MENGI KUHUSU UISLAM.

FAIDA 10 ZINAZOPATIKANA PINDI UKIMSWALIA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) | DR. AL MUNADHAF 1. Kujibiwa Maombi (Dua).2. Kupata Reh...
05/08/2025

FAIDA 10 ZINAZOPATIKANA PINDI UKIMSWALIA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) | DR. AL MUNADHAF

1. Kujibiwa Maombi (Dua).

2. Kupata Rehema na Msamaha kutoka kwa Allah.

3. Kuongezeka kwa Daraja na Cheo cha Mtume (S.A.W).

4. Kupata Swala Kumi kutoka kwa Allah kwa kila Swala moja kwa Mtume.

5. Kufutwa Madhambi na Kuongezewa Daraja.

6. Kuwa Karibu na Mtume (S.A.W) Siku ya Kiyama.

7. Kuwa Alama ya Mapenzi ya Kweli kwa Mtume (S.A.W).

8. Kulinda Nafsi dhidi ya Ubakhili.

9. Kuondolewa Mafadhaiko na Kudhihirisha Shukrani.

10. Kuwa Sebabu ya Kukumbushwa na Malaika.

UKUMBUSHO :
Kumswalia Mtume Muhammad (S.A.W) si ibada ya kawaida tu, bali ni funguo ya neema, msamaha, mapenzi ya Allah, na ukaribu na Mtume (S.A.W) siku ya mwisho.

FOLLOW PAGE YANGU KUJIFUNZA MENGI KUHUSU UISLAM.
Swautu Jamil Islam Daawa Ismail Almunadhaf

KUMSHIRIKISHA MWENYEZI MUNGU MTUKUFUAmesema Mwenyezi Mungu Mtukufu (kwani anaemshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyez...
04/08/2025

KUMSHIRIKISHA MWENYEZI MUNGU MTUKUFU

Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu (kwani anaemshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu ameshamharamishia peро па pahala pake (patakuwa) ni motoni (Q5.72).

Na amesema Mtume (s.a.w) :

"Jel ni waambieni dhambi iliyokuwa kabisa? Kumshirikisha Mwenyezi Mungu ( Imepokewa na Bukhari na Muslim)

Na shirki ipo ya namna mbili shirki kubwa, nayo ni kumwabudu asiekuwa Mwenyezi Mungu, au kutoa chochote katika ibada kwa asiekuwa Mwenyezi Mungu.

Na shirki ndogo na miongoni mwake ni riyaa (kujionyesha).

Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu katika hadithi Al-Qudisiy "Mimi ninawatosheleza washirika katika shirki,atakaefanya amali na akanishirikisha pamoja nami na kitu chengine basi nitamwacha na mshirika wake. (Imepokelewa na Muslim)

FAIDA 10 ZA KUSIMAMISHA SALA1. Kumkurubisha Mja kwa Mola Wake2. Hufuta Madhambi3. Huleta Utulivu wa Moyo na Nafsi4. Ni K...
02/08/2025

FAIDA 10 ZA KUSIMAMISHA SALA

1. Kumkurubisha Mja kwa Mola Wake

2. Hufuta Madhambi

3. Huleta Utulivu wa Moyo na Nafsi

4. Ni Kigezo cha Mtu Kuwa Muislamu wa Kweli

5. Ni Nguzo ya Dini na Kipaumbele cha Kwanza Baada ya Shahada

6. Hulinda Maadili na Kuzuia Maovu.

7. Ni Silaha ya Waumini Dhidi ya Shida.

8. Huleta Baraka Katika Riziki.

9. Hutakasa Nafsi na Kuhamasisha Uchaji Mungu.

10. Hutoa Mwanga Siku ya Qiyama.

UKUMBUSHO :

Kusimamisha Sala ni zawadi ya kiroho, ni faradhi kutoka kwa Allah, na ni njia ya kujiokoa hapa duniani na kesho Akhera.

Muislamu wa kweli hawezi kuacha Sala kwa hali yoyote.

FOLLOW PAGE YANGU ILI KUJIFUNZA MENGI KUHUSU UISLAM.

Address

Zanzibar

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr. almunadhaf posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dr. almunadhaf:

Share