Tifu Tv Zanzibar

Tifu Tv Zanzibar ASILI KWANZA

Wamekubaliana pia kuimarisha ushirikiano katika eneo la biashara na uwekezaji kupitia Switzerland - Tanzania Chamber of ...
18/02/2025

Wamekubaliana pia kuimarisha ushirikiano katika eneo la biashara na uwekezaji kupitia Switzerland - Tanzania Chamber of Commerce (STCC) iliyozinduliwa nchini mwezi Februari 2023.

Aidha katika mazungumzo hayo, viongozi hao wamekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekata ya Afya, maji, TEHAMA, mad...
18/02/2025

Aidha katika mazungumzo hayo, viongozi hao wamekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekata ya Afya, maji, TEHAMA, madini na ufadhili wa masomo.

Madhumuni ya mazungumzo hayo yalikuwa ni Mhe. Providoli kujitambulisha rasmi kwa Mhe. Waziri Kombo baada ya kuwasilisha ...
18/02/2025

Madhumuni ya mazungumzo hayo yalikuwa ni Mhe. Providoli kujitambulisha rasmi kwa Mhe. Waziri Kombo baada ya kuwasilisha Hati za Utambulisho kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jumhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 26 Novemba 2024.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud T. Kombo (Mb.) amekutana kwa mazungumzo n...
18/02/2025

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud T. Kombo (Mb.) amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Uswisi nchini, Mhe. Nicole Providoli yaliyofanyika katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam tarehe 18 Februari 2025

18/02/2025
WAZIRI KOMBO APOKEA NAKALA YA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA BALOZI MTEULE WA THAILAND NCHINIWaziri wa Mambo ya Nje na U...
18/02/2025

WAZIRI KOMBO APOKEA NAKALA YA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA BALOZI MTEULE WA THAILAND NCHINI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thatib Kombo (Mb.) amepokea Nakala ya Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Thailand nchini Tanzania mwenye makazi yake nchini Kenya, Mhe. H.E. Morakot Janemathukorn, Katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaaam tarehe

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara)Ndg. Stephen M. Wasira, akizungumza na Mhe.Eunju Ahn, Balozi wa Jamhuri wa Korea Nchini, ...
18/02/2025

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara)
Ndg. Stephen M. Wasira, akizungumza na Mhe.
Eunju Ahn, Balozi wa Jamhuri wa Korea Nchini, Ofisi ndogo ya makao makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limemk**ata mwanaume mmoja kwa tuhuma za kupatikana na nyara za serikali meno ya tembo.Ni...
18/02/2025

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limemk**ata mwanaume mmoja kwa tuhuma za kupatikana na nyara za serikali meno ya tembo.

Ni kwamba Februari 16, 2025 saa 04:30 usiku huko Kitongoji cha Msia, Kata ya Chitete, Tarafa ya Bulambya Wilaya ya Ileje, Mkoa wa Songwe, Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe kupitia taarifa za kiintelijensia pamoja na misako na doria za mara kwa mara zinazoendelea kufanyika ikiwa ni pamoja na kushirikiana na Idara mbalimbali ikwemo Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania - TAWA Wilaya ya Ileje limefanikiwa kumk**ata Chisamba Siame Kameme (60) Mkukima, raia wa Nchi ya Malawi akiwa na vipande 18 vya meno ya tembo yenye thamani ya 84.2Kg na baada ya kufanya tathimini na wataalam ilionesha kuwa thamani ya meno hayo ni kiasi cha Shilingi Milioni 153,540,000 (Milioni Miamoja Hamsini na Tatu Laki Tano na Arobaini Elfu) ikiwa ni sawa na Tembo wa 03 na kila tembo 01 akiwa na thamani ya 51,180,000 (Milioni Hamsini na Moja Laki Moja na Themanini Elfu) alivyokuwa ameviweka kwenye mfuko wa salfet kisha kufunga kwenye baiskeli rangi nyeusi kwa lengo la kuviuza.

Aidha, Shauri la kesi hii upelelezi bado unaendelea na mtuhumiwa atafikishwa mahak**ani kwa hatua zaidi za kisheria.

Jesh la Polisi Mkoa wa Songwe, linatoa wito kwa baadhi ya mtu au watu wenye tabia ya kufanya uhalifu wa kijangili kwa wanyama pori ambao ni kinyume na sheria kuacha mara moja kwani halitosita kuwachukulia hatua wale wote wenye tabia k**a hiyo ikiwa ni pamoja na kuwafikisha mahak**ani ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia k**a hizo. Imeelezwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga

18/02/2025

NYIMBO MPYA WA CCM RAIS MWINYI ZANZIBAR MSANII WA KIZAZIKIPYA MBOSSO 2025

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na viongozi mbalimbali wa Serikali katik...
17/02/2025

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na viongozi mbalimbali wa Serikali katika picha ya pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Innovo ya nchini Uingereza Bw. Paul Woodman pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya MECCO Bw. Nasser Sheikh mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 17 Februari 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiagana Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Inn...
17/02/2025

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiagana Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Innovo ya nchini Uingereza Bw. Paul Woodman pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya MECCO Bw. Nasser Sheikh, mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 17 Februari 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja Afisa Mtendaji Mk...
17/02/2025

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Innovo ya nchini Uingereza Bw. Paul Woodman mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 17 Februari 2025.

Address

VIKOKOTONI
Zanzibar

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tifu Tv Zanzibar posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Tifu Tv Zanzibar:

Share