Tifu Tv Zanzibar

Tifu Tv Zanzibar Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tifu Tv Zanzibar, Media/News Company, VIKOKOTONI, Zanzibar.

14/06/2026

MWINYI AJUMUIKA KATIKA MAZISHI YA MUIGIZAJI MKONGWE MZEE ONYANGO

14/06/2026

MOTO CHADEMA ZANZIBAR! WAYAKANA MAANDAMANO YA JULAI 7

14/06/2026

MWINYI AKAGUA UJENZI WA UWANJA WA AFCON FUMBA

12/06/2026

RAIS MWINYI AONESHA UPENDO AMTEMBLEA SPIKA MSTAAFU HOSPITALINI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemtembelea na kumjulia hali Spika...
12/06/2026

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemtembelea na kumjulia hali Spika Mstaafu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Pandu Ameir Kificho, aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mjini Magharibi, Lumumba leo, tarehe 12 Juni 2026. See less

11/06/2026

MSANII WA MAIGIZO ONYANGO AFARIKI DUNIA

11/06/2026
11/06/2026

MWINYI AWAKARIBISHA WAWEKEZAJI WA SINGAPORE KUTUMIA FURSA ZANZIBAR

RAIS DKT. MWINYI AWAKARIBISHA WAWEKEZAJI WA SINGAPORE KUTUMIA FURSA ZA ZANZIBARRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza ...
11/06/2026

RAIS DKT. MWINYI AWAKARIBISHA WAWEKEZAJI WA SINGAPORE KUTUMIA FURSA ZA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuimarisha mazingira bora ya uwekezaji, uwazi na sera rafiki ili kuifanya Zanzibar kuwa kitovu cha uwekezaji kinachotambulika katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo tarehe 10 Juni 2026, aliposhiriki dhifa maalum ya Singapore–Zanzibar Business Networking Dinner iliyofanyika Fumba, Mkoa wa Mjini Magharibi ambapo amewakaribisha wawekezaji na wafanyabiashara wa Singapore kutumia fursa zilizopo Zanzibar katika sekta za utalii, uchumi wa buluu, biashara, teknolojia, huduma na miundombinu.
Amesema ziara ya Rais wa Singapore, Mhe. Tharman Shanmugaratnam, pamoja na Jukwaa la Wafanyabiashara na Wawekezaji wa Zanzibar na Singapore, zimefungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa kiuchumi na uwekezaji kati ya pande hizo mbili.
Katika hafla hiyo, Rais Dkt. Mwinyi ametunukiwa Tuzo Maalum ya Uongozi katika Uwekezaji na Shirikisho la Wawekezaji la Singapore kwa kutambua mchango wake mkubwa katika kuboresha mazingira ya uwekezaji na kuvutia mitaji Zanzibar.
Dhifa hiyo ya chakula cha usiku imewajumuisha viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, wawekezaji na wafanyabiashara kutoka Singapore na Zanzibar, pamoja na wadau wa sekta ya uwekezaji kutoka sekta binafsi. See less

Address

VIKOKOTONI
Zanzibar

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tifu Tv Zanzibar posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share