05/16/2026
💥comedian Whipa Tz maarufu K**a Handsome wa Dunia anatarajia kufunga Ndoa hapo mwezi wa sita huko mkoani kigoma, ila shughuli kubwa itakuja kumalizikia jijini Dar es Salaam.
Whipa amesema, sababu kuu inayo fanya aoe ni kutafuta utulivu wa nafsi Ili abakie akiwaza kuhusu kazi na Maendeleo tu.
_______
Huyu kijana aambiwe ukweli au mna msubiri kwanza mpaka aoe?😳