tajiriwamoyo

tajiriwamoyo JESUS FIRST ���

kuishi na watu vizuri ndo ngao yangu mimi napenda tuishi kwa amani furaha na upendo uwasama sio jambo nzuri kujikweza kwakuwa umefanikiwa aipendezi machoni mwa Mungu nawapenda sana rafiki zangu, call me TAJIRIWAMOYO.

kwa nini Simba ameondolewa?, jibu ni kwamba kwenye kundi lao kuna timu tatu kwa hiyo mechi ni mbili tu.Mlandege mechi ya...
01/03/2023

kwa nini Simba ameondolewa?,
jibu ni kwamba kwenye kundi lao kuna timu tatu kwa hiyo mechi ni mbili tu.

Mlandege mechi ya kwanza walitoka sare na KVZ na leo wameshinda hivyo wana point nne na KVZ wana point moja.

Simba anacheza mechi ya mwisho na KVZ hata akishinda mabao 100 hawezi kuzifikia point 4 ambazo anazo Mlandege.

Na kwenye kundi inapita timu moja tu,
Tumehelewana mpaka apo?.

01/03/2023

Utani wa ngumi huu sasa 😀😀 .

01/03/2023

kocha wa simba angaha bahada ya kuhutuliza mpira kifuani.

01/03/2023

wamtambulisha kocha mpya.

YANGA SC IMEPATA MTU NA NUSUKlabu ya Yanga imemtambulisha kiungo wa KIZANZIBAR Mudathir Yahya Abbasi aliyeshindwana na A...
01/03/2023

YANGA SC IMEPATA MTU NA NUSU

Klabu ya Yanga imemtambulisha kiungo wa KIZANZIBAR Mudathir Yahya Abbasi aliyeshindwana na Azam FC mwanzoni mwa msimu.

Kwa usajili huu Yanga SC imepata MTU haswa, kiungo mwenye MOYO MGUMU ambaye atawaongezea kitu kikubwa katikati ya kiwanja. Nawapongeza kwa usajili wa Mudathir 👏👏👏
simb

01/02/2023

bado sijaelewa nini kimetokea apa mpaka mwenye piki piki apite namna hiyo 🥺🥺🥺.

  ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa  🇨🇩 2022.            .
01/02/2023

ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa 🇨🇩 2022.
.

🚨FOOT AFRICAFiston kalala Mayele ameibuka mshindi kwenye Tuzo za "BEST EVOLVING PLAYER IN  zinazoandaliwa na Foot Africa...
01/02/2023

🚨FOOT AFRICA

Fiston kalala Mayele ameibuka mshindi kwenye Tuzo za "BEST EVOLVING PLAYER IN zinazoandaliwa na Foot Africa baada ya kupata kura 85,437.

😀😀😀😀.
01/01/2023

😀😀😀😀.

Kutoka wa mzee wa kaliuwa 😀😀😀
01/01/2023

Kutoka wa mzee wa kaliuwa 😀😀😀

01/01/2023
Kutoka kwa mzee wa kaliuwa 😃😃😃.
12/31/2022

Kutoka kwa mzee wa kaliuwa 😃😃😃.

NGOJA NIPIGE SPANA KIDOGO WA DADA NINA UJUMBE WENU LEO 😃.Wapo Baadhi ya Wanawake hawana SHUKRANI kwa waume zao,Wapo wana...
12/30/2022

NGOJA NIPIGE SPANA KIDOGO WA DADA NINA UJUMBE WENU LEO 😃.

Wapo Baadhi ya Wanawake hawana SHUKRANI kwa waume zao,Wapo wanawake wamebahatika kupata wanaume/wapenzi wawajibikaji na wanaojua majukumu yao katika Familia au mahusiano yao,
Lakini wanachukulia poa kuona ni haki yao huyo mwanaume kufanya anachokifanya,
Sio kazi rahisi wana mengi wanapitia muonyeshe Kujali,muonyeshe una shukuru,mtie moyo,msherehekee na mpe amani na utulivu wa akili.Usimchukulie poa poa bado mlalamishi huridhiki.

Je wewe ni mwenye shukrani au mlalamishi?.

12/30/2022

Neno moja kwa kitengo cha digital cha wananchi,
Mbona kutishana uku sasa 😒.

Kutoka insta story ya   ameshare picha hiyo akiwa nauzi wa   uku Nyoka mkubwa akiwa anamzunguka hii wana Cuba inahashiri...
12/28/2022

Kutoka insta story ya ameshare picha hiyo akiwa nauzi wa uku Nyoka mkubwa akiwa anamzunguka hii wana Cuba inahashiria Nini ?.

Usimtamkie mwanaume muachane wakati bado unampenda au bado unamuitaji,maneno hayo huwa hayaondoki kichwani kwake akiamin...
12/28/2022

Usimtamkie mwanaume muachane wakati bado unampenda au bado unamuitaji,maneno hayo huwa hayaondoki kichwani kwake akiamini ndio mawazo yako na siku yeyote utaondoka, kitakachofuata bahada ya hapo ni mapenzi kupungua taratibu kisha umtafute mchawi, Tafakari chukuwa atuwa.

12/28/2022

Kwa uchoyo huu atufiki mbinguni 😀😀.

Address

Nashville, TN

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when tajiriwamoyo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to tajiriwamoyo:

Share