Jifunze TIBA Asilia

Jifunze TIBA Asilia Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Jifunze TIBA Asilia, Digital creator, America, Phoenix, AZ.

Kuelimisha watu kuhusu Tiba asili, mimea yenye faida kiafya, lishe bora, detox, na kinga ya mwili kwa kutumia vyakula vya kawaida na dawa za mitishamba🌿

Ushauri kuhusu Ndoa na Maisha 🔥

02/24/2026

What agenda do those Kasongo people have with Simba?

02/23/2026

Usiogope kuanza tena, mara nyingi hapo ndipo ushindi huanzia...📌

.

02/22/2026
02/22/2026

Friendships...📌
(Stop it)

02/22/2026

Mipaka...📌

DAWA YA U.T.I SUGUNeno U.T.I ni kufupisho cha maneno Urinary Tract Infections ikiwa na maana maambukizi kwenye njia ya m...
02/22/2026

DAWA YA U.T.I SUGU

Neno U.T.I ni kufupisho cha maneno Urinary Tract Infections ikiwa na maana maambukizi kwenye njia ya mkojo na mfumo wake.

U.T.I husababishwa na wadudu wadogo sana ambao ni bacteria waitwao Escherichia coli (E. Coli) ambao huingia mwilini na kwenda kuathiri mfumo wa mkojo.

Wanawake ndio wako kwenye hatari kubwa ya kupata maambukizi ya ugonjwa huu kuliko wanaume kutokana na sababu za kimaumbile.

Ikiwa umepimwa na kuambiwa kuwa una tatizo hili basi tumia dawa hii;

Mahitaji:

(i.) Vitunguu maji vikubwa vinne(4)

(ii.) Baking soda (Bicarbonate)

(iii.)Maji lita moja na nusu

🚨Matayarisho na matumizi yake

👉Katakata vitunguu vyako na uvichemshe kwenye maji lita moja na nusu kwa dakika kumi (10), epua na acha yapoe ukiwa umefunika
sufuria yako.

👉Baada ya kupoa yachuje na uyahifadhi kwenye chombo safi chenye mfuniko.

👉Chukua kikombe cha maji ya vitunguu kisha weka nusu kijiko cha chai cha baking soda na ukoroge vizuri.

👉Mgonjwa anywe kikombe kimoja asubuhi na kingine jioni kwa siku 3 mfululizo kwa uwezo wa Allah atakuwa amepona kabisa.

⚠️Pia unaweza kuepukana na tatizo hili kwa kunywa maji mengi, kuacha kutumia dawa za uzazi wa mpango, kula vyakula vya asili, kukojoa mara baada ya kushiriki tendo la ndoa, kujitahidi kuwa msafi nyakati zote...

02/22/2026

Respect 🙏🫡

TABIA ZINAZOHARIBU AFYA YA TENDO KWA WANAUME...📌Wanaume wenzangu,Kuna tabia nyingi tunazoziona za kawaida lakini kimyaki...
02/22/2026

TABIA ZINAZOHARIBU AFYA YA TENDO KWA WANAUME...📌

Wanaume wenzangu,
Kuna tabia nyingi tunazoziona za kawaida lakini kimyakimya zinadhoofisha nguvu zetu za kiume, hamu ya tendo la ndoa, na hata uwezo wa kupata watoto.

Hapa chini ni baadhi ya makosa yanayofanywa mara kwa mara na wanaume Wengi

1️⃣ Kutokufanya
-Mazoezi
-Unene kupita kiasi hupunguza mzunguko mzuri wa damu
-Mafuta mengi mwilini hupunguza homoni ya testosterone.
-Damu isipotembea vizuri, uume hushindwa kusimama vizuri.

✔️ Fanya mazoezi angalau dakika 30 kwa siku.

2️⃣ Kula Vyakula Vibaya Mara kwa Mara
Vyakula vya mafuta mengi na sukari huharibu mishipa ya damu.
Mishipa inapoziba, nguvu za kiume hupungua.
Lishe duni huathiri ubora wa mbegu za kiume.

✔️ Ongeza mboga za majani, matunda, karanga, samaki na maji mengi.

3️⃣ Kuvuta Sigara na Kunywa Pombe Kupita Kiasi
Sigara huharibu mishipa midogo ya damu kwenye uume.
Pombe nyingi hupunguza testosterone.
Hatari ya kushindwa kusimamisha huongezeka.

✔️ Punguza au acha kabisa.

4️⃣ Msongo wa Mawazo (Stress) na Kukosa Usingizi
Stress huongeza homoni ya cortisol inayoshusha hamu ya tendo la ndoa
Usingizi chini ya saa 6 hupunguza testosterone.
Mwili unachoka, nguvu za kiume hupungua.

✔️ Lala masaa 7–8 kila usiku, jifunze kupumzika.

5️⃣ Kutazama Ponografia Kupita Kiasi
Hupunguza hamu ya tendo la ndoa kwa mwenzi halisi.
Huathiri akili na matarajio yasiyo halisi.
Inaweza kusababisha kushindwa kusimamisha bila msisimko wa ponografia.

✔️ Dhibiti matumizi ya simu na jenga uhusiano halisi.

HITIMISHO
Afya ya tendo si bahati, ni matokeo ya mtindo wa maisha.
Ukiona 👇
Nguvu zimepungua
Hamu imepungua
Uume hausimami vizuri
Mbegu ni dhaifu
Usione aibu. Badilisha tabia kwanza.

Mdharau Asili
Hufa kikatili

02/22/2026

Usihukumu...📌

02/22/2026

Maumivu...📌

Address

America
Phoenix, AZ
122

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jifunze TIBA Asilia posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share