
01/08/2025
Agosti 2025
Utangulizi unazungumzia wazo hatari la kumtegemea mchungaji mmoja kufanya kila kitu. Kanisa halipaswi kusubiri mtu mmoja kutekeleza kile ambacho Mungu amekiagiza kifanywe na mwili wote wa waumini kwa pamoja.
Kuhusu kurudi kwa Kristo mara ya pili, mada hii imeelezewa katika makala za “Roho ya Unabii” pamoja na makala kuu ya “Ufufuo wa Kiroho”.
Makala ya “Sauti Yenye Uhakika” inaeleza kwamba tunapaswa kupiga tarumbeta ya onyo kuwa Yesu anakuja upesi, lakini tarumbeta hiyo lazima iwe na sauti iliyo wazi na yenye maana! Sauti ya tumaini na maandalizi – si ya hofu na uzushi.
Tunazungumzia pia umuhimu wa kutoisahau huduma ya kuwakaribisha wageni katika makala ya “Ukarimu wa Nyakati za Mwisho” (Eschatological Hospitality).
Bofya hapa kusoma toleo la Agosti 2025
https://send-it.me/go/ARAgosti2025
Fikia maktaba ya kidijitali yenye majarida yote ya Adventist Review kwa kubofya kiungo kilicho hapa chini.
https://bit.ly/ARSwahiliLibrary