
02/05/2025
Mei 2025
Toleo hili linaangazia “Kanisa Linaposononesha” na sababu zinazomfanya Yesu kututaka tusalie kwenye kanisa Lake, hata inapokuwa vigumu.
Tunaangazia “Kusudi la Mungu kwa Kanisa Lake,” na Ted Wilson anazungumzia “mwaliko” anaotupa Mungu na jinsi tunavyopaswa kuwa “Tayari kwa Dhifa ya Harusi” ili “Kristo anapotupatia vazi Lake la haki, vazi zuri . . . tunatakiwa tu kulikubali na kulivaa.”
"Tukio la hadubini” linaonyesha wakati mwafaka wa Bwana kwa ajili ya kliniki ya Cochabamba, na katika kisa chetu cha Afya na Uzima, tunachunguza ikiwa kweli vikoleza sukari visivyo vya asili ni mbadala wenye afya.
Bofya hapa ili kusoma Toleo la Mei 2025
https://send-it.me/go/AWMei2025
Pata maktaba ya mtandaoni ambapo majarida yote yanahifadhiwa kwenye kiungo kilicho hapo chini.
https://bit.ly/AWSwahiliMagazineLibrary