Diaspora Catholic Network USA

Diaspora Catholic Network USA Catholic Pride 🇰🇪🇱🇷Stand Strong in Faith. Catholic for life
(1)

08/11/2025

MASOMO YA MISA, JUMATATU YA JUMA LA KUMI NA TISA, KIPINDI CHA KAWAIDA, MWAKA I, KUMBUKUMBU YA MT. KLARA, BIKIRA, AGOSTI 11, 2025
RANGI YA KILITURJIA: NYEUPE 🤍

SOMO LA KWANZA
KUMBUKUMBU LA TORATI 10:12—22

Itahirini mioyo yenu. Wapendeni wageni kwa kuwa nanyi mlikuwa wageni.

Somo katika kitabu cha Kumbukumbu la Torati

Musa alinena na watu, akisema, "Na sasa, ee Israeli, Bwana Mungu wako anatakaa nini kwako? Isipokuwa umheshimu Bwana, Mungu wako, ufuate njia zake zote, umpende, umtumikie Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote, ushike amri za Bwana, kanuni zake ninazokuamuru leo, upate kuwa naa heri. Bwana ndiye Mwenyezi, mbingu ni mali yake, Mungu wako, na mbingu za mbingu, na dunia na vitu vyote vilivyomo. Japo hivyo, Bwana alijiunganisha na baba zako kwa kuwa aliwapenda, akawachagua ninyi kati ya mataifa yote, ninyi mlio wazao wao baada yao mpaka leo. Zitahirini nyoyo zenu msiwe na shingo ngumu. Kwa kuwa Bwana Mungu wenu ndiye Mungu wa miungu na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu mshindaji na mwenye kutisha, asiyependelea nafsi ya mtu wala kukubali kitulizo; ndiye mwenye kuwafanyizia haki yatima na wajane, na kuwapenda wageni, akiwapa chakula na mavazi. Wapendeni wageni kwa kuwa katika nchi ya Misri mlikuwa wageni. Ndiye Bwana Mungu wako utakayemheshimu na kumtumikia na kuambatana naye na kuapa kwa jina lake. Ndiye unayepaswa kumsifu, ndiye aliye Mungu wako; ndiye aliyekutendea mambo makubwa haya ya kutisha, uliyoyaona kwa macho yako. Na ingawa baba zako walikuwa sabini tu waliposhukia Misri, Bwana Mungu wako amekuzidisha sasa k**a nyota za angani."

NENO LA BWANA... TUMSHUKURU MUNGU

ZABURI YA KUITIKIZANA
ZABURI 147:12—13, 14—15, 19—20 (K. 12a)

K. Ee Yerusalemu, umtukuze Bwana.

Umtukuze Bwana, ee Yerusalemu!
Umsifu Mungu wako, ee Sioni!
Kwani amekaza komeo za malango yako;
amewabariki wana wako ndani yako. K.

Ameweka amani mipakani mwako;
anakushibisha kwa unono wa ngano.
Hupeleka amri yake duniani,
neno lake lapiga mbio sana!

Humjulisha Yakobo neno lake;
Israeli amri na kanuni zake.
Hakulitendea taifa jingine lolote lile hayo;
wala hawakuzijua kanuni zake. K.

SHANGILIO LA INJILI
TAZAMA 2 WATHESALONIKE 2:14

K. Aleluya. W. Aleluya.
K. Bwana ametuita kwa njia ya Injili, tupate kuushiriki utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.
W. Aleluya.

INJILI
MATHAYO 17:22—27

Watamwua, na siku ya tatu atafufuliwa. Wana hawapaswi kulipa Kodi.

† Somo la Injili takatifu ilivyoandikwa na Mathayo

Wakati ule: Mitume walipokuwa wamekusanyika pamoja Galilaya, Yesu aliwaambia, "Mwana wa Mtu anakwenda kutiwa mikononi mwa watu. Nao watamwua, na siku ya tatu atafufuliwa." Wakasikitika sana. Walipofika Kapernaumu, watoza kodi ya hekalu walikwenda kwa Petro, wakasema, "Je, mwalimu wenu hatoi nusu shekeli?" Akasema, "Hutoa." Alipoingia nyumbani, mara Yesu akamwuliza, "Waonaje Simoni? Wafalme wa dunia hutoza ushuru au kodi kwa nani? Kwa wana wao au kwa wageni?" Alipojibu, "Kwa wageni," Yesu alimwambia, "Basi, hapo wana huachiliwa huru. Lakini tusije tukawakwaza, nenda ziwani, ukatupe ndoana. Ukamtwae samaki azukaye kwanza. Unapomfumbua mdomo, utaona humo shekeli nzima. Ichukue, ukawape kwa ajili yangu na kwa ajili yako."

INJILI YA BWANA... SIFA KWAKO EE KRISTO

08/11/2025

CATHOLIC MASS DAILY READINGS
MONDAY OF THE NINETEENTH WEEK IN ORDINARY. TIME, YEAR I, THE MEMORIAL OF SAINT CLARE, VIRGIN, AUGUST 11, 2025.

LITURGICAL COLOUR: WHITE 🤍

FIRST READING

A reading from the Book of Deuteronomy (Deuteronomy 10:12—22)

Circumcise your heart. Love the sojourner, for you were sojourners

Moses spoke to the people, saying, And now, Israel, what does the Lord your God require of you, but to fear the Lord your God, to walk in all his ways, to love him, to serve the Lord your God with all your heart and with all your soul, and to keep the commandments and statutes of the Lord, which I command you this day for your good? Behold, to the Lord your God belong heaven and the heaven of heavens, the earth with all that is in it; yet the Lord set his heart in love upon your fathers and chose their descendants after them, you above all peoples, as at this day. Circumcise therefore the fo****in of your heart, and be no longer stubborn. For the Lord your God is God of gods and Lord of lords, the great, the mighty, and the terrible God, who is not partial and takes no bribe. He executes justice for the fatherless and the widow, and loves the sojourner, giving him food and clothing. Love the sojoumer therefore; for you were sojourners in the land of Egypt. You shall fear the Lord your God; you shall serve him and cling to him, and by his name you shall swear. He is your praise; he is your God, who has done for you these great and terrible things which your eyes have seen. Your fathers went down to Egypt seventy persons; and now the Lord your God has made you as the stars of heaven for multitude.

THE WORD OF THE LORD... THANKS BE TO GOD

RESPONSORIAL PSALM
PSALM 147:12—13, 14—15, 19—20 (R. 12a)

R. O Jerusalem, glorify the Lord.
Or: Alleluia.

O Jerusalem, glorify the Lord!
O Sion, praise your God!
He has strengthened the bars of your gates;
he has blessed your children within you. R.

He established peace on your borders;
he gives you your fill of finest wheat.
He sends out his word to the earth,
and swiftly runs his command. R.

He reveals his word to Jacob;
To Israel, his decrees and judgements.
He has not dealt thus with other nations;
He has not taught them his judgements. R.

GOSPEL ACCLAMATION
See 2 THESSALONIANS 2:14

Alleluia. God has called us through the Gospel, to obtain the glory of our Lord Jesus Christ. Alleluia.

GOSPEL READING

† A reading from the holy Gospel according to Matthew (Matthew 17:22—27)

They will kill him, and he will be raised. The sons are free from tribute.

At that time: As the disciples were gathering in Galilee, Jesus said to them, “The Son of man is to be delivered into the hands of men, and they will kill him, and he will be raised on the third day.” And they were greatly distressed. When they came to Capernaiun, the collectors of the half-shekel tax went up to Peter and said, “Does not your teacher pay the tax?” He said, “Yes.” And when he came home, Jesus spoke to him first, saying, “What do you think, Simon? From whom do kings of the earth take toll or tribute? From their sons or from others?” And when he said, “From others,” Jesus said to him, “Then the sons are free. However, not to give offence to them, go to the sea and cast a hook, and take the first fish that comes up, and when you open its mouth you will find a shekel; take that and give it to them for me and for yourself.”

THE GOSPEL OF THE LORD... THANKS BE TO GOD

08/11/2025

MATHOMO MA MITHA,WAMBERE AUGUST 11 2025.
WAMBERE KIUMIA KIA 19 MWAKA II.

KIRIRIKANO KIA MUTHERU CLARE THINGI.

GITHOMO KIA MBERE.
Gũcookerithia 10:12-22

Na rĩrĩ, wee Isiraeli, nĩ ũndũ ũrĩkũ Jehova Ngai waku endaga wĩke, tiga o wĩtigagĩre Jehova Ngai waku, na ũthiiage na njĩra ciake ciothe, na ũmwendage, na ũtungatagĩre Jehova Ngai waku na ngoro yaku yothe o na muoyo waku wothe, na ũmenyagĩrĩre maathani ma Jehova, na kĩrĩra kĩa watho wake wa kũrũmĩrĩrwo ũrĩa ngũkũhe ũmũthĩ nĩguo maũndũ maku magĩrĩre?
Jehova Ngai waku nĩwe mwene igũrũ, o na igũrũ rĩrĩa rĩrĩ kũraya kũu matu-inĩ, o na thĩ no yake na indo ciothe iria irĩ kuo. No rĩrĩ, o na kũrĩ ũguo, Jehova nĩakenirio nĩ maithe manyu ma tene na akĩmeenda, na akĩmũthuura inyuĩ njiaro ciao harĩ ndũrĩrĩ iria ingĩ ciothe, o ta ũrĩa gũtariĩ ũmũthĩ. Nĩ ũndũ ũcio, ruithiai ngoro cianyu na mũtigacooke kũũmia ngingo cianyu rĩngĩ. Nĩgũkorwo Jehova Ngai wanyu nĩwe Ngai wa ngai iria ingĩ, na Mwathani wa aathani, o we Mũrungu ũrĩa mũnene, ũrĩa ũrĩ hinya mũno na wa kũmakania, ũrĩa ũtathutũkanagia, na ndoyaga mahaki. Nĩarũagĩrĩra ciira wa ciana cia ngoriai na wa atumia a ndigwa, na nĩendaga mũndũ wa kũngĩ, akamũheaga irio na nguo. O na inyuĩ no nginya mwendage andũ a kũngĩ, nĩgũkorwo o na inyuĩ mwatũũire mũrĩ andũ a kũngĩ bũrũri-inĩ wa Misiri. Wĩtigagĩre Jehova Ngai waku na ũmũtungatagĩre. Wĩnyiitanagie nake, na ũkĩĩhĩta ũgwetage rĩĩtwa rĩake. Ũcio nowe ũrĩgoocaga; na nĩwe Ngai waku, ũrĩa wagwĩkĩire maũndũ macio manene na ma kũmakania marĩa weyoneire na maitho maku. Maithe manyu ma tene arĩa maikũrũkire magĩthiĩ bũrũri wa Misiri maarĩ andũ mĩrongo mũgwanja, na rĩu Jehova Ngai waku nĩakũingĩhĩtie o ta njata cia matu-inĩ.

Ciugo cia Mwathani....

THABURI YA GUCHOOKERUO.
Thaburi 147:12-13,14-15,19-20(Icookia 12a).

(I).Wee Jerusalemu goocha Mwathani.

Wee Jerusalemu, kumia Mwathani;
gooca Ngai waku, wee Zayuni,
nĩgũkorwo nĩwe wĩkagĩra mĩgĩĩko ya ihingo ciaku hinya,
na akarathima andũ aku arĩa marĩ thĩinĩ waku.(I).

Nĩatũmĩte kũgĩe thayũ mĩhaka-inĩ yaku,
na agakũhũũnia na ngano ĩrĩa njega mũno.
Atũmaga wathani wake ũkinye gũkũ thĩ;
kiugo gĩake kĩhanyũkaga narua mũno.(I).

Nĩaguũrĩtie kiugo gĩake harĩ Jakubu,
akaguũrĩria Isiraeli mawatho make
na kĩrĩra kĩa watho wake wa kũrũmĩrĩrwo.
Ndarĩ ekĩra rũrĩrĩ rũngĩ ta ũguo,
mawatho macio make ndũrĩrĩ itirĩ ciamamenya.(I).

INJIRI.
Mathayo 17:22-27.

Hĩndĩ ĩrĩa macookanĩrĩire kũu Galili, akĩmeera atĩrĩ, “Mũrũ wa Mũndũ nĩegũkunyanĩrwo aneanwo moko-inĩ ma andũ. Nĩmakamũũraga, na mũthenya wa ĩtatũ nĩakariũkio.” Nao arutwo makĩiyũrwo nĩ kĩeha.
Na rĩrĩ, Jesũ na arutwo ake maarĩkia gũkinya Kaperinaumu, arĩa meetagia andũ daraki igĩrĩ cia igooti rĩa hekarũ magĩthiĩ kũrĩ Petero, makĩmũũria atĩrĩ, “Kaĩ mũrutani wanyu atarutaga igooti rĩa hekarũ?”
Nake akĩmacookeria atĩrĩ, “Ĩĩ, nĩarutaga.”
Rĩrĩa Petero aatoonyire nyũmba, Jesũ akĩmũhĩta kwaria akĩmũũria atĩrĩ, “Ũgwĩciiria atĩa, wee Simoni? Athamaki a thĩ-rĩ, metagia igooti kuuma kũrĩ a? Metagia ariũ ao, kana metagia andũ arĩa angĩ?”
Nake Petero akĩmũcookeria atĩrĩ, “Nĩ kuuma kũrĩ andũ arĩa angĩ.”
Nake Jesũ akĩmũcookeria atĩrĩ, “Nĩ ũndũ ũcio ariũ ao matirĩhaga. No nĩguo tũtik**arakarie-rĩ, thiĩ iria-inĩ ũikie ndwano kuo, na thamaki ĩrĩa ũkũnyiita mbere, ũmĩtumũre kanua kayo, na nĩũkuona mbeeca, daraki inya; cioe ũthiĩ ũrĩhe igooti rĩakwa na rĩaku.”

Injiri theru ya Mwathani....

08/11/2025

SHALOM

🕊️ DAY 6 – NOVENA TO THE ASSUMPTION OF OUR LADY

*THEME* 🕊️ASSUMED INTO HEAVEN, MARY WALKED THE PATH - WHERE SHE IS, WE HOPE TO BE.

*MONDAY - 11/08/2025*

*PRAYER INTENTIONS.....*

1) Today we pray, For all who are waiting on God — for healing, answers, or breakthroughs, that their faith may not fail.

2) For the grace to trust God’s word without wavering, even in seasons of silence or delay.

*MEDITATION*

*"Let us hold fast the confession of our hope without wavering, for He who promised is faithful." — (Hebrews 10:23)*

*🎈🌾 God is Faithful to His Promises*

Mary’s Assumption is proof that God keeps His word. Hold on to God's promises no matter what.

God is not a man that He should lie, nor a son of man that He should change His mind. If He has said it, He will do it. Mary lived this truth, from the angel’s word in Nazareth to her glorious Assumption her whole life was a testimony that God finishes what He starts.

We often stumble in the waiting. Silence feels like abandonment. Delays feel like denials. But the womb of waiting is where miracles mature. The God who kept His promise to Mary will keep His promise to you. The season may be long, the night may be cold, but the morning will come. Your part is to keep trusting. His part is to keep His word and He never fails.

*In the name of the Father, and of the Son, and of the Holy Spirit. Amen.*

*Act of Contrition*

My God, I am sorry for my sins with all my heart. In choosing to do wrong and failing to do good, I have sinned against you whom I should love above all things. I firmly intend, with your help, to do penance, to sin no more, and to avoid whatever leads me to sin. Our Savior Jesus Christ suffered and died for us. In his name, my God, have mercy.Amen

*Come Holy Spirit*

Come Holy Spirit, fill the hearts of your faithful and kindle in them the fire of your love. Send forth your Spirit and they shall be created. And You shall renew the face of the earth.

O, God, who by the light of the Holy Spirit, did instruct the hearts of the faithful, grant that by the same Holy Spirit we may be truly wise and ever enjoy His consolations, Through Christ Our Lord, Amen.

*The Lord's Prayer*

Our Father, Who art in heaven, Hallowed be Thy Name. Thy Kingdom come. Thy Will be done, on earth as it is in Heaven. Give us this day our daily bread. And forgive us our trespasses, as we forgive those who trespass against us. And lead us not into temptation, but deliver us from evil. Amen.

*Hail Mary*

Hail Mary, full of grace. The Lord is with thee. Blessed art thou amongst women, and blessed is the fruit of thy womb, Jesus. Holy Mary, Mother of God, pray for us sinners, now and at the hour of our death. Amen.

*Opening prayer*

O God, who glorified the Blessed Virgin Mary in her Assumption, grant that as we reflect on her journey to Heaven, we may be renewed in faith, strengthened in hope, and drawn closer to Christ your Son. Through our Lord Jesus Christ, your Son, who lives and reigns with you in the unity of the Holy Spirit, God, for ever and ever. Amen.

*🕊️ DAY 6 – NOVENA TO THE ASSUMPTION OF OUR LADY*

O God, who in Your unfailing mercy
assumed the Immaculate Virgin Mary, body and soul, into heavenly glory, as the first among the redeemed, and a sign of hope for Your pilgrim Church on earth,

We come before You in this novena, seeking to walk the path she walked, to long for the Heaven she entered, and to live for the Christ she bore and adored.

Teach us, through her Assumption, to believe in the victory over death, to honor the dignity of our bodies, to hope in the resurrection You promise, to strive for holiness in a fallen world, to endure the journey with faith, to trust that You are faithful to Your word, to welcome Mary as Queen and Mother, to desire Heaven more than earth, and to live Marian, Christ-centered lives.

At this moment, Lord, we pause and bring before You our personal intentions, known only to You and our Blessed Mother…

*_(Pause in silence and mention your personal intention)_*

Through her powerful intercession, may we receive grace to carry our crosses well, strength to reject the world’s lies, and hearts that burn for Your will alone.

May this novena not end in us unchanged, but awaken a desire for sanctity, and a longing for the crown of glory that never fades. Through the same Christ our Lord. Amen.

*🛐🕊️ Prayer — Keeper of Every Promise*

Faithful God,
You are the Keeper of every promise, the One whose word never returns void. Today we lift before You all who wait for healing, for provision, for direction, for a breakthrough. Calm the storms of their hearts, silence the voices of fear, and anchor them in the certainty of Your word.

Mary believed what You said, and You brought it to pass. Teach us to believe like her. When the silence stretches and hope feels thin, remind us that delay is not denial, and waiting is not wasting. Let our trust outlast the trial, our faith outshine the night.

You have promised, and You will do it. We choose to stand, to believe, to wait until Your word becomes flesh in our lives. Amen.

*🕊️ LITANY OF THE BLESSED VIRGIN MARY*

Lord, have mercy, Lord, have mercy.
Christ, have mercy, Christ, have mercy.
Lord, have mercy, Lord, have mercy.

Christ, hear us, Christ, graciously hear us.

God the Father of Heaven, have mercy on us.
God the Son, Redeemer of the world, have mercy on us.
God the Holy Spirit, have mercy on us.
Holy Trinity, One God, have mercy on us.

Holy Mary, pray for us.
Holy Mother of God, pray for us.
Holy Virgin of virgins, pray for us.

Mother of Christ, pray for us.
Mother of the Church, pray for us.
Mother of Mercy, pray for us.
Mother of Divine Grace, pray for us.
Mother of Hope, pray for us.
Mother Most Pure, pray for us.
Mother Most Chaste, pray for us.
Mother Inviolate, pray for us.

Mother Undefiled, pray for us.
Mother Most Amiable, pray for us.
Mother Most Admirable, pray for us.
Mother of Good Counsel, pray for us.
Mother of our Creator, pray for us.
Mother of our Savior, pray for us.

Virgin Most Prudent, pray for us.
Virgin Most Venerable, pray for us.
Virgin Most Renowned, pray for us.
Virgin Most Powerful, pray for us.
Virgin Most Merciful, pray for us.
Virgin Most Faithful, pray for us.

Mirror of Justice, pray for us.
Seat of Wisdom, pray for us.
Cause of our Joy, pray for us.
Spiritual Vessel, pray for us.
Vessel of Honor, pray for us.
Singular Vessel of Devotion, pray for us.
Mystical Rose, pray for us.

Tower of David, pray for us.
Tower of Ivory, pray for us.
House of Gold, pray for us.
Ark of the Covenant, pray for us.
Gate of Heaven, pray for us.
Morning Star, pray for us.
Health of the Sick, pray for us.
Refuge of Sinners, pray for us.
Comforter of the Afflicted, pray for us.
Help of Christians, pray for us.

Queen of Angels, pray for us.
Queen of Patriarch, pray for us.
Queen of Prophets, pray for us.
Queen of Apostles, pray for us.
Queen of Martyrs, pray for us.
Queen of Confessors, pray for us.
Queen of Virgins, pray for us.
Queen of All Saints, pray for us.
Queen Conceived Without Original Sin, pray for us.
Queen Assumed into Heaven, pray for us.
Queen of the Holy Rosary, pray for us.
Queen of Families, pray for us.
Queen of Peace, pray for us.

---
You who walked the path of holiness, pray for us.
You who believed in the promise of resurrection, pray for us.
You who teach us the dignity of the human body, pray for us.
You who show us that Heaven is possible, pray for us.
You who inspire us to long for eternity, pray for us.
You who remind us that God is faithful to His promises, pray for us.
You who give hope to the suffering and weary, pray for us.
You who urge us to live Marian and Christ-centered lives, pray for us.
You who intercede for us in our daily battles, pray for us.
You who shine as a sign of what we shall become in Christ, pray for us.
----
Lamb of God, you take away the sins of the world, spare us, O Lord.
Lamb of God, you take away the sins of the world, graciously hear us, O Lord.
Lamb of God, you take away the sins of the world, have mercy on us.

Pray for us, O holy Mother of God,
that we may be made worthy of the promises of Christ.

*_🙏🏾 Let us pray._*

Grant, we beseech You, O Lord, that we who celebrate the memory of the glorious Assumption of the Blessed Virgin Mary, may, through her intercession, be brought to share in the glory of her risen Son, who lives and reigns with You in the unity of the Holy Spirit, God, for ever and ever. Amen.

*Glory be to the Father...*
Glory be to the Father, and to the Son, and to the Holy Spirit. As it was in the beginning, is now, and ever shall be, world without end. Amen.

*In the name of the Father, and of the Son, and of the Holy Spirit. Amen.*

08/10/2025

DCN

08/10/2025

SHALOM

🕊️ DAY 5 – NOVENA TO THE ASSUMPTION OF OUR LADY

*THEME:* 🕊️ASSUMED INTO HEAVEN, MARY WALKED THE PATH - WHERE SHE IS, W HOPE TO BE.

*SUNDAY - 10/08/2025*

*PRAYER INTENTIONS.....*

1) Today we pray For those struggling with pain, depression, or discouragement that they may find light in their darkness.

2) For the grace to remain faithful in trials, trusting that God is leading us to glory.

3) For hearts weighed down by life’s burdens to find comfort and courage in the presence of Mary, our Mother.

*MEDITATION*

*(Romans 8:18) — "I consider that our present sufferings are not worth comparing with the glory that will be revealed in us.”*

*🎈🌾 Hope in the Journey*
Life’s journey is not always smooth, some days feel like climbing a steep hill with heavy stones on our back. Mary knew this road well: the flight into Egypt, the loss of Jesus in the Temple, the sorrow of the Cross. Yet she never abandoned her “Yes” to God.

Her Assumption reminds us that the end of this journey is not darkness, but glory. The suffering of the present is not the final chapter. When we walk with Mary, she whispers hope into our weary hearts: “Do not give up, God is still writing your story.”

If Mary could endure the longest night and still see the dawn, so can you. Her faith did not remove her trials, but it gave her the strength to walk through them until they turned into victory. Let her take your hand today, she knows the road, and she knows the destination.

The road may be hard, but the end is glorious. Mary suffered much but remained faithful. Let her be your companion when life gets heavy.

*In the name of the Father, and of the Son, and of the Holy Spirit. Amen.*

*Act of Contrition*

My God, I am sorry for my sins with all my heart. In choosing to do wrong and failing to do good, I have sinned against you whom I should love above all things. I firmly intend, with your help, to do penance, to sin no more, and to avoid whatever leads me to sin. Our Savior Jesus Christ suffered and died for us. In his name, my God, have mercy.Amen

*Come Holy Spirit*

Come Holy Spirit, fill the hearts of your faithful and kindle in them the fire of your love. Send forth your Spirit and they shall be created. And You shall renew the face of the earth.

O, God, who by the light of the Holy Spirit, did instruct the hearts of the faithful, grant that by the same Holy Spirit we may be truly wise and ever enjoy His consolations, Through Christ Our Lord, Amen.

*The Lord's Prayer*

Our Father, Who art in heaven, Hallowed be Thy Name. Thy Kingdom come. Thy Will be done, on earth as it is in Heaven. Give us this day our daily bread. And forgive us our trespasses, as we forgive those who trespass against us. And lead us not into temptation, but deliver us from evil. Amen.

*Hail Mary*

Hail Mary, full of grace. The Lord is with thee. Blessed art thou amongst women, and blessed is the fruit of thy womb, Jesus. Holy Mary, Mother of God, pray for us sinners, now and at the hour of our death. Amen.

*Opening prayer*

O God, who glorified the Blessed Virgin Mary in her Assumption, grant that as we reflect on her journey to Heaven, we may be renewed in faith, strengthened in hope, and drawn closer to Christ your Son. Through our Lord Jesus Christ, your Son, who lives and reigns with you in the unity of the Holy Spirit, God, for ever and ever. Amen.

*🕊️ DAY 5 – NOVENA TO THE ASSUMPTION OF OUR LADY*

O God, who in Your unfailing mercy
assumed the Immaculate Virgin Mary, body and soul, into heavenly glory, as the first among the redeemed, and a sign of hope for Your pilgrim Church on earth,

We come before You in this novena, seeking to walk the path she walked, to long for the Heaven she entered, and to live for the Christ she bore and adored.

Teach us, through her Assumption, to believe in the victory over death, to honor the dignity of our bodies, to hope in the resurrection You promise, to strive for holiness in a fallen world, to endure the journey with faith, to trust that You are faithful to Your word, to welcome Mary as Queen and Mother, to desire Heaven more than earth, and to live Marian, Christ-centered lives.

At this moment, Lord, we pause and bring before You our personal intentions, known only to You and our Blessed Mother…

*_(Pause in silence and mention your personal intention)_*

Through her powerful intercession, may we receive grace to carry our crosses well, strength to reject the world’s lies, and hearts that burn for Your will alone.

May this novena not end in us unchanged, but awaken a desire for sanctity, and a longing for the crown of glory that never fades. Through the same Christ our Lord. Amen.

*🛐🕊️ Mary, Companion in My Valleys*

O Mary, Mother who has walked the steep road of pain, you who have carried grief in your heart yet never lost hope, be my companion in my journey.

When my days feel heavy, when the night seems endless, remind me that the cross is not the end. Pray for me to remain faithful when my strength runs low, to trust God when answers do not come, to keep moving when every step feels like a battle.

Mother, take my hand when I am discouraged, lend me your courage when I am weak, and let your gentle voice guide me to the day when sorrow turns into joy, and I see the glory that God has promised. Mary, Star of Hope, shine in my darkness and lead me safely home. Amen.

*🕊️ LITANY OF THE BLESSED VIRGIN MARY*

Lord, have mercy, Lord, have mercy.
Christ, have mercy, Christ, have mercy.
Lord, have mercy, Lord, have mercy.

Christ, hear us, Christ, graciously hear us.

God the Father of Heaven, have mercy on us.
God the Son, Redeemer of the world, have mercy on us.
God the Holy Spirit, have mercy on us.
Holy Trinity, One God, have mercy on us.

Holy Mary, pray for us.
Holy Mother of God, pray for us.
Holy Virgin of virgins, pray for us.

Mother of Christ, pray for us.
Mother of the Church, pray for us.
Mother of Mercy, pray for us.
Mother of Divine Grace, pray for us.
Mother of Hope, pray for us.
Mother Most Pure, pray for us.
Mother Most Chaste, pray for us.
Mother Inviolate, pray for us.

Mother Undefiled, pray for us.
Mother Most Amiable, pray for us.
Mother Most Admirable, pray for us.
Mother of Good Counsel, pray for us.
Mother of our Creator, pray for us.
Mother of our Savior, pray for us.

Virgin Most Prudent, pray for us.
Virgin Most Venerable, pray for us.
Virgin Most Renowned, pray for us.
Virgin Most Powerful, pray for us.
Virgin Most Merciful, pray for us.
Virgin Most Faithful, pray for us.

Mirror of Justice, pray for us.
Seat of Wisdom, pray for us.
Cause of our Joy, pray for us.
Spiritual Vessel, pray for us.
Vessel of Honor, pray for us.
Singular Vessel of Devotion, pray for us.
Mystical Rose, pray for us.

Tower of David, pray for us.
Tower of Ivory, pray for us.
House of Gold, pray for us.
Ark of the Covenant, pray for us.
Gate of Heaven, pray for us.
Morning Star, pray for us.
Health of the Sick, pray for us.
Refuge of Sinners, pray for us.
Comforter of the Afflicted, pray for us.
Help of Christians, pray for us.

Queen of Angels, pray for us.
Queen of Patriarch, pray for us.
Queen of Prophets, pray for us.
Queen of Apostles, pray for us.
Queen of Martyrs, pray for us.
Queen of Confessors, pray for us.
Queen of Virgins, pray for us.
Queen of All Saints, pray for us.
Queen Conceived Without Original Sin, pray for us.
Queen Assumed into Heaven, pray for us.
Queen of the Holy Rosary, pray for us.
Queen of Families, pray for us.
Queen of Peace, pray for us.

---
You who walked the path of holiness, pray for us.
You who believed in the promise of resurrection, pray for us.
You who teach us the dignity of the human body, pray for us.
You who show us that Heaven is possible, pray for us.
You who inspire us to long for eternity, pray for us.
You who remind us that God is faithful to His promises, pray for us.
You who give hope to the suffering and weary, pray for us.
You who urge us to live Marian and Christ-centered lives, pray for us.
You who intercede for us in our daily battles, pray for us.
You who shine as a sign of what we shall become in Christ, pray for us.
----
Lamb of God, you take away the sins of the world, spare us, O Lord.
Lamb of God, you take away the sins of the world, graciously hear us, O Lord.
Lamb of God, you take away the sins of the world, have mercy on us.

Pray for us, O holy Mother of God,
that we may be made worthy of the promises of Christ.

*_🙏🏾 Let us pray._*

Grant, we beseech You, O Lord, that we who celebrate the memory of the glorious Assumption of the Blessed Virgin Mary, may, through her intercession, be brought to share in the glory of her risen Son, who lives and reigns with You in the unity of the Holy Spirit, God, for ever and ever. Amen.

*Glory be to the Father...*
Glory be to the Father, and to the Son, and to the Holy Spirit. As it was in the beginning, is now, and ever shall be, world without end. Amen.

*In the name of the Father, and of the Son, and of the Holy Spirit. Amen.*

08/10/2025

MASOMO YA MISA YA JUMAPILI, AGOSTI 10 2025.

DOMINIKA YA KUMI NA TISA KATIKA KIPINDI CHA KAWAIDA MWAKA C.

RANGI YA KILITURJIA: KIJANI KIBICHI💚

*MATENDO YA ROZARI: UTUKUFU.*


*MADA YA DOMINIKA:*

```MUNGU AMBAYE NI MWAMINIFU KWA AHADI ZAKE.```

*_Bwana ametuhakikishia wokovu wake, na kwamba neno lake litatimizwa. Katika somo la kwanza watu wa Israeli wanaangalia nyuma kwenye historia yao na wanagundua kuwa Mungu amekuwa mwaminifu kila wakati. Hii inawapa ujasiri na tumaini kwa siku zijazo. Injili inatualika kuwa macho kila wakati, kuwa tayari kila wakati Bwana atakapoleta ukombozi. Anaweza kuja wakati hatutazamii kabisa. Somo la pili linazungumzia juu ya Abrahamu na Sara, mifano ya imani katika Mungu. Waliitii sauti ya Mungu na wakaitikia. Waliamini wokovu wake hata wakati hali ya muonekano ilipendekeza kinyume. Siku zote walikuwa macho._*

*ANTIFONA YA KUINGIA:*
Zaburi 74: 20, 19, 22, 23

_Ee Bwana, uangalie agano, usiyasahau milele maisha ya watu wako walioonewa. Simama, ee Mungu, ukajitetee, usisahau kelele za washindani wako._

*KOLEKTA*
```Ee Mungu mwenyezi wa milele, kwa kufundishwa na Roho Mtakatifu tunathubutu kukuita Baba; uikamilishe mioyoni mwetu roho ya kuwa wana, ili tustahili kuingia katika urithi ulioahidiwa. Kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo Mwanao...```

*SOMO LA KWANZA*
Kwa njia ile uliyowaadhibu maadui, ulitutukuza kwa kutuita kwako.

*Somo katika kitabu cha Hekima ya Sulemani (HEKIMA YA SULEMANI 18: 6 - 9)*

Usiku ule [wa uhuru] ulijulishwa kabla kwa baba zetu, ili kwa
kuzielewa yakini ahadi walizoziamini, wapate kujituliza moyo. Watu wako walitazamia wokovu wa wenye haki, pia uharibifu wa maadui. Kwani, kwa njia ile uliyowaadhibu maadui, ulitutukuza kwa kutuita kwako. Kwani, watoto watakatifu walitoa dhabihu za mema sirini, wakajiwekea kwa nia moja sheria ya Kimungu kwamba watashiriki kwa pamoja mema yale yale na hatari zile zile kwa kuimba mara nyimbo takatifu za baba zetu.

*Neno la Bwana.......*
*Tumshukuru Mungu.*

*ZABURI YAKUITIKIZANA*
Zaburi 33: 1 na 12, 18 - 19, 20 na 22 (K.) 12b

*K. Heri taifa ambalo Bwana amelichagua kuwa urithi wake.*

Mshangilieni Bwana, enyi wenye haki:
kusifu kunawafaa watu wanyofu.
Heri taifa ambalo Bwana ni Mungu wake.
kabila alilochagua kuwa urithi wake.
*K.*

Macho ya Bwana yawaelekea wale wamchao,
wale wanaotumainia wema wake,
Ili aziopoe roho zao katika kifo,
na wakati wa njaa awalishe.
*K.*

Nafsi zetu zinamngoja Bwana,
veye ndiye msaada wetu na ngao yetu.
Fadhili zako zikae nasi, ee Bwana:
k**a vile tunavvokutumainia wewe.
*K.*

*SOMO LA PILI*
Aliutazamia mji ambao Mungu aliuazimia na kuujenga.

*Somo katika barua kwa Waebrania (WAEBRANIA 11: 1 - 2, 8 - 19)*

Ndugu zangu: Imani ni kuwa na uthabiti katika vitu tunavyotumainia, na hakika ya mambo yasiyoonekana. Kwa sababu ya imani hiyo wazee walishuhudia. Kwa njia ya imani Abrahamu alitii alipoitwa ahamie nchi ambayo angepewa kuwa mali yake. Alihama bila kujua anakokwenda. Kwa njia ya imani alikaa katika nchi ya ahadi k**a katika nchi ya kigeni akikaa hemani pamoja na Isaka na Yakobo, warithi wenzake wa ahadi ile ile. Kwa maana aliutazamia mji wenye misingi imara, ambao Mungu aliuazimia na kuujenga. Kwa njia ya imani alipewa nguvu ya kuzaa, licha ya kuwa alishazidi umri - na Sara mwenyewe alikuwa tasa- kwani alijua kwamba yeye aliyefanya ahadi alikuwa mwaminifu. Hivyo mtu mmoja katika hali kufifia akawa baba wa wengi, idadi yao k**a nyota za uwinguni, na k**a chembe za mchanga wa pwani zisizohesabika. Hao
wote walikufa katika imani. Hawakupata waliyoahidiwa, ila waliona tokea mbali wakashangilia na kukiri kwamba wao wenyewe ni wageni na wasafiri duniani, kwa maneno k**a hayo wanaonyesha kwamba wanatafuta nchi yao wenyewe. K**a wangalifikiria nchi waliyohama, wangalikuwa na nafasi ya kurudi huko. Lakini sasa wanatamani makazi yaliyo bora zaidi, yaani ya mbinguni. Kwa hiyo Mungu haoni haya kuitwa Mungu wao, maana amewatengenezea mji. Kwa njia ya imani. Abrahamu alipojaribiwa alimtoa Isaka sadaka, alikuwa tayari kumtoa mwanawe wa pekee, ingawa alikuwa amezipokea ahadi na kuambiwa, "Katika Isaka utapata wazao." Alijua Mungu ana uwezo Wa kumfufua hata kutoka wafu. Kwa hiyo alimpata tena Isaka k**a kiashirio.

*Neno Ia Bwana......*
*Tumshukuru Mungu.*

*SHANGILIO LA INJILI*
Mathayo 24: 42a, 44

*K. Aleluya. W. Aleluya...*
Kesheni, muwe tayari, kwa kuwa Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoidhania.
*Aleluya*

*INJILI*
Nanyi muwe tayari

*Somo la Injili takatifu ilivyoandikwa na Luka (LUKA 12: 33 - 48)*

Wakati ule: Yesu aliwaambia wafuasi wake, "Msiogope, enyi kundi dogo, kwa maana Baba yenu amependa kuwapa ufalme. Uzeni mali yenu, mkawape wenye shida msaada. Jifanyieni mifuko isiyochakaa, hazina isiyotindika mbinguni, asikokaribia mwizi,
wala nondo kuharibu. Kwa maana penye hazina yenu, ndipo palipo na mioyo yenu. Viuno vyenu viwe na ukanda, na taa zenu ziwake. Muwe k**a watu wanaomngoja bwana wao hata arudipo harusini, ili wamfungulie mara anapokuja na kubisha mlango. Heri watumishi, ambao bwana anawakuta wanakesha wakati wa kufika kwake. Amin, nawaambieni, atajiweka tayari kuwaandalia, atawakalisha mezani, atawajia na kuwatumikia. Hata akija zamu ya pili au zamu ya tatu na kuwakuta hivi, heri watumishi hao. Lakini fahamuni haya, k**a mwenye nyumba angeijua saa ya kuja mwizi, hangekubali nyumba yake ivunjwe. Nanyi muwe tayari, kwa kuwa Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoidhania."
Petro akasema, "Bwana, mfano huo umetuambia sisi tu, au watu wote pia Bwana akajibu, "Mtumishi gani wa nyumba basi ni mwaminifu tena mwenye busara, hata bwana amweke juu ya watumishi wake wote awape posho wakati wake? Mwenye mtumishi, ambaye bwana wake anapokuja anamkuta katika kazi hiyo. Amin nawaambieni, atamweka juu ya mali yake yote. Lakini k**a mtumishi yule akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia kuja, akaanza kuwapiga watumishi na wajakazi, akila na kunywa na kulewa, bwana wa mtumishi huyo atakuja siku asipomtazamia na saa asiyoijua, atamkata vipande viwili na kumpa fungu lake pamoja na watu wasio waaminifu. Tena mtumishi ambaye anajua matakwa ya bwana wake lakini
hayashughulikii wala hayatimii, atapigwa sana, Lakini afanyaye yastahiliyo adhabu bila kuelewa, atapigwa kidogo, Na kila aliyepewa vingi, atadaiwa vingi, na aliyepewa vingi zaidi, atadaiwa vingi zaidi."

*Injili ya Bwana.......*
*Sifa Kwako Ee Kristo.*

Address

22003 50th Avenue Ct E
Spanaway, WA
98387

Telephone

+17819608254

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Diaspora Catholic Network USA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Diaspora Catholic Network USA:

Share