Diaspora Catholic Network USA

Diaspora Catholic Network USA Catholic Pride 🇰🇪🇱🇷Stand Strong in Faith. Catholic for life
(1)

11/11/2025

MASOMO YA MISA, JUMANNE YA JUMA LA THELATHINI NA MBILI, KIPINDI CHA KAWAIDA, MWAKA I, KUMBUKUMBU YA MT. MARTINO WA TUR, ASKOFU, 2025
RANGI YA KILITURJIA: NYEUPE 🤍

SOMO LA KWANZA
HEKIMA YA SULEMANI 2:23—3:9

Machoni pa wapumbavu, walionekana k**a wamekufa.

Somo katika kitabu cha Hekima ya Sulemani

Mungu alimwumba mtu apate kutokuongoka; naye alimfanya mfano wake mwenyewe. Lakini kwa wivu wa Mwovu, kifo kiliuingia ulimwengu, na wale walioungana naye kushiriki mauti hayo. Lakini roho za wenye haki zi mkononi mwa Mungu, wala mateso yoyote hayatawagusa. Machoni pa wapumbavu walionekana k**a wamekufa; na kutoka kwao kulihesabiwa kuwa msiba; na kuondoka kwao toka kwetu kuwa uharibifu. Lakini wao wako katika amani. Na hata k**a kwa mtazamo wa watu, wanaonekana kuadhibiwa, tumaini lao limejaa kutokufa. Kwa kuadhibiwa kidogo, watafanyiwa mema makubwa, kwani Mungu aliwajaribu akawakuta kwamba wanamstahili yeye. Aliwatathmini k**a dhahabu katika tanuri, na k**a sadaka ya kuteketezwa aliwapokea. Na wakati wa kujiliwa kwao watang'aa, na wataruka huku na huko k**a cheche kwenye nyasi. Watawahukumu mataifa na kuwatawala watu, naye Bwana atakuwa mfalme wao hata milele. Wenye kumtumaini Mungu watafahamu ukweli, nao waaminio katika upendo watakaa naye, kwani neema na rehema ni kwa watakatifu wake, na ulinzi kwa wateule wake.

NENO LA BWANA... TUMSHUKURU MUNGU

ZABURI YA KUITIKIZANA
ZABURI 34:2—3, 16—17, 18—19 (K. 2a)

K. Nitamtukuza Bwana kila wakati.

Nitamtukuza Bwana kila wakati,
sifa zake zi kinywani mwangu daima.
Nafsi yangu itajisifu katika Bwana;
wanyonge wasikie na kufurahi. K.

Macho ya Bwana yawaangalia wenye haki,
na masikio yake hukisikia kilio chao.
Uso wa Bwana ni juu ya watendao mabaya
ili afute Kumbukumbu yao duniani. K.

Wanyofu waliita, Bwana akasikia,
akawaponya katika shida zao zote.
Bwana yu karibu nao waliopondeka moyo,
huwaokoa wenye kuvunjika roho. K.

SHANGILIO LA INJILI
YOHANE 14:23

K. Aleluya. W. Aleluya.
K. Mtu akinipenda, atalishika neno langu, asema Bwana, na Baba yangu atampenda, nasi tutakuja kwake na kufanya makao kwake.
W. Aleluya.

SOMO LA INJILI
LUKA 17:7—10

Sisi watumishi wasio n faida; tumefanya tu tuliyopaswa kufanya.

† Somo la Injili takatifu ilivyoandikwa na Luka

Wakati ule: Yesu alisema, "Ni nani kati yenu, mwenye mtumishi wa kulima au kuchunga, atamwambia anaporudi kutoka shambani, 'Njoo mara, starehe?' Je, hatamwambia, 'Niandalie chakula, jifunge kanzu, nitumikie mpaka nitakapomaliza kula na kunywa, ndipo utakula na kunywa wewe?' Je, atamshukuru mtumishi kwa sababu amefanya aliyoamriwa? Nanyi pia, mkishafanya yote mliyoamriwa, semeni, 'Sisi ni watumishi wasio na faida; tumefanya tu tuliyopaswa kufanya.'"

INJILI YA BWANA... SIFA KWAKO EE KRISTO

11/10/2025

MATHOMO MA MITHA, WAMBERE NOV 10 2025.
WAMBERE KIUMIA KIA 32 MWAKA II.

KIRIRIKANO KIA BABA MUTHERU LEO MUNENE.

GITHOMO KIA MBERE.
UUGI 1:1-7.

Inyuĩ atongoria a gũũkũ thĩ endaai waragania. Wihokeku niũtongoragie meciiria maanyu hari Mwathani. Gücaria mūmũcaragie na winyiihia wa ngoro. Nĩ gūkorwo oonagwo nĩ arĩa matamũgeragia. We-rī, nĩeyonithagia aria matatigaga kūmwīrĩgĩrīra. Meciiria magonyoku nīgũtigithũrana matigithūranaga andũ na Ngai. Na riīrǐ,Mwene Hinya.Wothe angīgerio-rī, nīgūturuuria aturuuragia arĩa irimũ. No rīrī, ũūgīndarī hingo angīikara thīinī wa muoyo wī na ürambu ningī-rī, ndangîikara thīinī wa mwīrī ūrĩa wīnenganīriīte kürī meehia. Mündü mütheru, nîgüthengera athengagīra ungumania; aikaraga haraihu na meciiria ma ũrimū, na akainaina oona üūru ūgīkwo. Nĩ gũkorwo ũũgī nī muoyo ūrĩa wendeete andũ, ndoohagīra mündü ürīa ūrumaga Ngai. Nĩ gūkorwo Ngai nīonaga mũndũ o thīinī biū, akabaaraga wega ngoro yake na agathikagīrīria mĩario yake. O na gūkorwo muoyo wa Ngai, nīküiyüra ūiyũire gũũkũ thĩ guothe, roho ũrĩa ügwatanagia indo ciothe-rī, nīūmenyaga maündū moothe marĩa maaragio.

Ciugo Cia Mwathani....

THABURI YA GUCHOOKERUO.
Thaburi 139:1-3,4-6,7-8,9-10.(Icookia 24b).

(R)Mwathani ükindongorie na njira īrīaya gūtũŭra nginya tene na tene.

Wee Mwathani-rĩ,nĩũũthuthuurĩtie
na ũkaamenya.Nĩũĩ rĩrĩa njikarĩte thĩ na rĩrĩa njũkĩrĩte
ũkamenya meciiria makwa ũrĩ o kũraya.Nĩũũĩ ngiumagara o na ngĩkoma;Wee nĩũũĩ mĩthiĩre yakwa yothe.(I).

Wee Mwathani-rĩ, itanagweta kiugo na rũrĩmĩ rwakwa,
Wee nĩũkoragwo ũkĩũĩ biũ.
Nĩũnjirigĩire mbere na thuutha;
nĩũnjigĩrĩire guoko gwaku.
Ũmenyo ta ũcio nĩ wa magegania mũno harĩ niĩ,
ũrĩ igũrũ mũno ndingĩũkinyĩra.(I).

Nĩ kũ ingĩthiĩ njeherere Roho waku?
Ingĩũrĩra kũ nyume ũthiũ-inĩ waku?
Ingĩambata thiĩ igũrũ, Wee ũrĩ kuo;
ingĩara ũrĩrĩ wakwa kũrĩa kũriku mũno, Wee ũrĩ o kuo.(I).

Ingĩũmbũka na mathagu ma gũgĩkĩa,
ingĩthiĩ gũtũũra mũrĩmo ũrĩa ũngĩ wa iria, kũndũ kũraya mũno,o na kũu guoko gwakwa nokuo kũngĩndongoria,
guoko gwaku kwa ũrĩo gũkĩĩnyiite kũnũmĩtie.(I).

INJIRI:
Luka 17:1-6

Naake Jesū akīīra arutwo aake atīrī, “Maũndū ma kũhīnga andü no mühaka mooneke; no rīīrī, kaĩ ũrĩa ũtũmagamooneke arĩ thīna inĩ-î! Mũndũ ũcio nĩ kaba oohererwo ihiga rĩa gīthĩi ngingo aikio iria inĩ, handũ ha gũtũma kamwe ga twana tũũtũ keehie. Nĩ ũndũ ũcio kiimenyagirīreei ciīko inĩ cianyu. "Mũrũ kana mwarĩ wa thooguo angīǐhia,mūkaanie, na angĩhera, muohere. Angikwihīria müthenya ūmwe maita mũgwanja, na o akūhītīria agooka agakwīra atirī,'Nīndahera, no mũhaka ũmuohere."Nao atũmwo makiira Mwathani atīrī, "Tuongerere witikio!” Naake Mwathani akīmacookeria atīrī, "Korwo mwĩ na wītīkio ũigana kabegüga karatarī, no mwīre mũtī ũyũ wa mũkũyũ atīrī, 'Küürũka haaha ükeehande iria inī!' naguo no ũmwathikire.

INJIRI THEERU YA MWATHANI....

11/10/2025

Catholic Mass Daily Readings,Monday November 10, 2025.

ST LEO THE GREAT, Pp. D. (MEMORIAL)

Vestment: White
Today’s Rosary: The Joyful Mystery

ENTRANCE ANTIPHON Cf. Sir 45: 30
The Lord established for him a covenant of peace, and made him the prince, that he might have the dignity of the priesthood for ever.

COLLECT
O God, who never allow the gates of hell to prevail against your Church, firmly founded on the apostolic rock, grant her, we pray, that through the intercession of Pope Saint Leo, she may stand firm in your truth and know the protection of lasting peace. Through our Lord....

FIRST READING
“Wisdom is a kindly spirit, the Spirit of the Lord has filled the world.”
The beginning of the Book of Wisdom (Wisdom 1:1-7)

Love righteousness, you rulers of the earth, think of the Lord with uprightness, and seek him with sincerity of heart; because he is found by those who do not put him to the test, and manifests himself to those who do not distrust him. For perverse thoughts separate men from God, and when his power is tested, it convicts the foolish; because wisdom will not enter a deceitful soul, nor dwell in a body enslaved to sin. For a holy and disciplined spirit will flee from deceit, and will rise and depart from foolish thoughts, and will be ashamed at the approach of unrighteousness. For wisdom is a kindly spirit and will not free a blasphemer from the guilt of his words; because God is witness of his inmost feelings, and a true observer of his heart, and a hearer of his tongue. Because the Spirit of the Lord has filled the world, and that which holds all things together knows what is said.

The word of the Lord.

RESPONSORIAL PSALM
Psalm 139:1 -3.4-6.7-8.9-10 (R. 24b).

R/. Lead me, Lord, in the way everlasting.

O Lord, you search me and you know me.
You yourself know my resting and my rising;
you discern my thoughts from afar.
You mark when I walk or lie down;
you know all my ways through and through. R/.

Before ever a word is on my tongue,
you know it, O Lord, through and through.
Behind and before, you besiege me,
your hand ever laid upon me.
Too wonderful for me, this knowledge;
too high, beyond my reach. R/.

O where can I go from your spirit,
or where can I flee from your face?
If I climb the heavens, you are there.
If I lie in the grave, you are there. R/.

If I take the wings of the dawn
or dwell at the sea’s furthest end,
even there your hand would lead me;
your right hand would hold me fast. R/.

Alleluia.
Alleluia. You will shine as lights in the world, holding fast the word of life. Alleluia.

Gospel
If your brother turns to you seven times, and says, “I repent, “you must forgive him.
A reading from the holy Gospel according to Luke (Luke 17:1-6)

At that time: Jesus said to his disciples. “Temptations to sin are sure to come; but woe to him by whom they come! It would be better for him if a millstone were hung round his neck and he were cast into the sea, then that he should cause one of these little ones to sin. Take heed to yourself; if your brother sins, rebuke him, and if he repents, forgive him; and if he sins against you seven times in the day, and turns to you seven in the day, and turns to you seven times, and says, ‘I repent, ‘you must forgive him, “The apostles said to the Lord, “increase our faith! “And the Lord said, “if you had faith as a grain of mustard seed, you could say to this sycamore tree, “Be rooted up, and be planted in the sea, ‘and it would obey you.”

The Gospel of the Lord.

11/10/2025

MASOMO YA MISA, JUMATATU YA JUMA LA THELATHINI NA MBILI, KIPINDI CHA KAWAIDA, MWAKA I, KUMBUKUMBU YA MT. LEO MKUU, PAPA, NOVEMBA 10, 2025
RANGI YA KILITURJIA: NYEUPE 🤍

SOMO LA KWANZA
HEKIMA YA SULEMANI 1:1—7

Hekima ni roho njema ya watu, Roho wa Bwana ameujaza ulimwengu.

Mwanzo wa kitabu cha Hekima ya Sulemani

Pendeni haki enyi mnaotawala katika dunia; myawaze mambo ya Bwana kwa wema, na mtafuteni kwa moyo mnyofu. Kwa sababu hupatikana nao wasiomjaribu, na huonekana nao wasiokosa kumwamini. Maana mawazo yaliyopotoka yawatenganisha watu na Mungu, na nguvu, ikijaribiwa, inawashutumu wapumbavu. Kwani katika roho ipangayo mabaya haitaingia hekima, wala haitakaa katika mwili uliotawaliwa na dhambi. Maana roho takatifu yenye maadili itaitoroka hila, na itaondokana na mawazo yasiyo na ufahamu; udhalimu ukikaribia, yenyewe itafukuzwa. Maana hekima ni roho rafiki ya watu, wala hatamwachilia anayekufuru hatia ya midomo yake; kwa sababu Mungu ni shahidi wa viuno vyake pia ni mwangalizi wa kweli wa moyo wake na anasikia maneno ya ulimi wake. Maana roho wa Bwana ameujaza ulimwengu; nayo inavifungamanisha vitu vyote ina ujuzi wa kila sauti.

NENO LA BWANA... TUMSHUKURU MUNGU

ZABURI YA KUITIKIZANA
ZABURI 139:1—3, 4—6, 7—8, 9—10 (K. 24b)

K. Uniongoze, ee Bwana, katika njia ya uzima.

Ee Bwana, umenichunguza na kunijua.
Wewe wajua kukaa na kusimama kwangu;
wayafahamu mawazo yangu tokea mbali.
Wapima kwenda na kupumzika kwangu;
waangalia njia zangu zote. K.

Maana kabla neno halijatoka kwenye ulimi wangu,
kumbe, ee Bwana, umekwisha kulijua lote.
Nyuma na mbele umenizunguka,
umeweka mkono wako juu yangu.
Maarifa hayo ni ya ajabu mno kwangu;
yananipita, nashindwa kuyafahamu. K.

Niende wapi mbali na roho yako,
nikimbilie wapi na uso wako?
Nikipanda juu mbinguni, wewe upo.
Nikijilaza chini kuzimuni, wewe upo! K.

Ningetwaa mbawa za mapambazuko
na kutua mbali ng'ambo ya bahari,
hata huko mkono wako utaniongoza;
na mkono wako wa kuume utanishika. K.

SHANGILIO LA INJILI
WAFILIPI 2:15d, 16a

K. Aleluya. W. Aleluya.
K. Mtang'aa k**a nuru katika ulimwengu, mkilishikilia lile neno la uzima.
W. Aleluya.

SOMO LA INJILI
LUKA 17:1—6

K**a ndugu yako akikukosea mara saba siku moja, akarudi kwako mara saba akisema, 'Nimekosa,' basi, msamehe.

† Somo la Injili takatifu ilivyoandikwa na Luka

Wakati ule: Yesu aliwaambia wanafunzi wake, "Kutokea makwazo hakuepukiki, lakini ole wake yeye ayaletaye. Yamfaa zaidi kufungiwa jiwe la kusagia shingoni mwake na kutoswa baharini kuliko kumkwaza mmojawapo wa wadogo hawa. Jihadharini! K**a ndugu yako akikosa, umwonye; akitubu, msamehe. Na k**a akikukosea mara saba siku moja, akarudi kwako mara saba akisema, 'Nimekosa,' basi, umsamehe." Mitume wakamwambia Bwana, "Tuongezee imani." Bwana akasema, "Mngekuwa na imani kiasi cha punje ya haradali, mngeuambia mkuyu huu, 'Ng'oka, kapandikizwe baharini,' nao ungewatii."

INJILI YA BWANA... SIFA KWAKO EE KRISTO

The Four Major Papal Basilicas of RomeThe Four Major Papal Basilicas of RomeMajor basilica is a name given to the four m...
11/09/2025

The Four Major Papal Basilicas of Rome

The Four Major Papal Basilicas of Rome
Major basilica is a name given to the four most highly ranked Roman Catholic churches. Although they are all located within the diocese of Rome, St Peter’s Basilica is the only one actually located in Vatican City, within the jurisdiction of the Holy See, while the other 3 are in Italian territory (receiving extraterritorial status under the Lateran Treaty). These grand churches, some of the most extraordinary in the world, each house a set of Holy Doors that are opened for each Jubilee Year. The art and architecture within them is enough to inspire pilgrims and tourists from every corner of the world – whether they are religious or not. What’s more, each basilica is free to enter and explore, making them un-missable highlights for your next Roman holiday!

1.Archbasilica of St. John Lateran (Arcibasilica di San Giovanni in Laterano)
Piazza di San Giovanni in Laterano 4

This 4th century basilica, built by Rome’s first Christian Emperor Constantine I, is the oldest and most highly ranked basilica in Rome. It’s importance shows in its full name: “The Sacrosanct Papal Cathedral Greater Roman Archbasilica of the Most Holy Savior and of Saints John the Baptist and the Evangelist in the Lateran, the Mother and Head of all the Churches of the City and the World”. The Altar of the Holy Sacrament contains the table that is said to have been used by Jesus and his Apostles for the Last Supper.

2.St Peter’s Basilica (Basilica di San Pietro)
Piazza San Pietro

The magnificent basilica which towers over St Peter’s Square today was built between 1506-1626, that’s right – it took 120 years to build! It is widely accepted as the largest church in the world, covering over 15,000 square meters. A whopping 85% of its facade was made from stone which was sourced from the Colosseum. Michelangelo Buonarroti designed the dazzling cupola, or dome, which tops the church, housing his iconic sculpture of “La Pieta” inside. At the high altar, located directly above St Peter’s tomb, Gian Lorenzo Bernini’s bronze baldachin canopy can be found. Bernini is also responsible for the design of the colonnades in St Peter’s Square, which surround the Egyptian obelisk at its centre. Explore every facet of St Peter’s Basilica and other treasures on our Vatican tours.

3.St Paul Outside the Walls (San Paolo Fuori le Mure)
Piazzale San Paolo 1

This 4th century neoclassical church, founded by Emperor Constantine I over the burial place of St Paul, is the 10th largest in the world, covering over 8,500 square meters. It is truly grand with glimmering mosaics on its façade and enormous colonnades lining the inside. The beautiful monastery cloister was erected in 1220 and 1241. The church was almost completely destroyed by fire in 1823, but was reconstructed identical to its previous form and reopened in 1840 as a result of Pope Leo XII’s outreach for donations. In 1891, a gunpowder explosion destroyed the church’s stained glass windows, which have since been replaced with more durable copies of translucent alabaster.

4.Papal Basilica of St Mary Major (Basilica di Santa Maria Maggiore)
Piazza di Santa Maria Maggiore 42

The largest Catholic Marian Church of Rome is located on the summit of the Esquiline Hill. The classical structure was built under Pope Sixtus III between 432 and 440, following the 431 proclamation that Mary was indeed Mother of God. The “Crypt of the Nativity”, or “Bethlehem Crypt”, located beneath the high altar, boasts a crystal reliquary which is said to contain wood from the Holy Crib of Jesus Christ. Athenian marble columns support the nave where a triumphal arch can be found, as well as mosaics, which are considered to be the oldest representations of the Virgin Mary in Late Christian Antiquity. The 14th century bell tower, reaching 246 feet in height, is the tallest in Rome.

Follow Christ Our Joy

11/09/2025

DCN

11/08/2025

MATHOMO MA MITHA, JUMAMUOTHI NOV 8 2025.
JUMAMUOTHI KIUMIA KIA 31 MWAKA II.

KIRIRIKANO KIA MUTHERU GODFREI WA AMIENS MUTHIKABU .

GITHOMO KIA MBERE.
Aroma 145:2-3.4-5.10-11.

Geithia Priscilla na akula,aria murutaga wira wa Kristo Jesu hamwe na nii aria meendire küüragwo nǐ ūndū wakwa. To niī nyiiki ngümacookeria ngaatho; o na makanitha ma Nduūrīrī nimekümacookeria ngaatho. Geithiai kanitha ūria úcemanagiakwao mücii.Geithiai mūraata wakwa Epaeneto, ürĩa wari wa mbere gwitikia Kristü būrūriinī wa Asia, na mūgeithie Mariamu, ũrĩa ürutiite wira gatagatiini kaanyu na kiyo kinene .Geithia Anderonike na Juniasii ,a muhiriga wakwa,o aría tuoheetwo nao;mari igweta mūno hari atūmwo, na ni o maambire gütuika Akristo mbere yakwa,Geithia Amupiliato,muraata wakwa thĩinĩ wa Mwathani,na mügeithie Urubano,ūria türutithanagia wira wa Kristū, na mūgeithie müraata wakwa Sitakusi. Geithaniai mūndũ na ūrīa üngī na ngeithi theru cia kümumunyana. Nīmwageithio nī makanitha moothe ma Kristū. O na nii, Teritio,mwandīki wa marũa maya nīndamūgeithia thīinĩ wa Mwathani. O naake Gaio, ũrīanjikarīīte gwake, na nokuo kanitha ūcemanagia, nĩamügeithia na nīmwageithio nī Erasito, müigi kīgīīna kia itũũra, o na Kwarito, mũrũ wa Ithe witü. [Wega waMwathani witü Jesü Kristũ ũrogĩa na inyuĩ inyuothe. Ameni.] Na rīu nītūgooceei Ngai! Nĩ we ũngĩmūhotithia kūrūūgama wega thīinĩ wa wītīkio wanyu, kũringanana Ũhoro Mwega wa Jesũ Kristũ ũrĩa niĩ hunjagia o na kũringana na kũguũrīrio kwa hitho ya ūhoro wa ma ũrĩa watũire wǐ mũhithe matukū maingĩ ma tene. Riu maandīko ma anabii nīmareeheete ũhoro ũcio wa ma ũtheriinī, ūkamenyithio andū oothe ta üria Ngai aathanīte, nĩguo andū a ndüũrirī ciothe meetikie namaathīkagīre Ngai. Ngai o we wiki mũũgī, arotũũra agoocagwo na ūndū wa JesūKristü tene na tene Ameni.

Ciugo Cia Mwathani...

THABURI YA GUCOKERUO.
Thaburi 145:2-3.4-5.10-11.

Icookia(Ningugutuugiria wee Mwathani Ngai wakwa.

O mũthenya ndĩrĩkũgoocaga
na ngumagie rĩĩtwa rĩaku tene na tene.
Mwathani nĩwe mũnene, na nowe wagĩrĩire kũgoocwo mũno;
ũnene wake gũtirĩ mũndũ ũngĩhota kũũtuĩria.(I).

Rũciaro rũmwe nĩrũkarahĩra rũrĩa rũngĩ maũndũ marĩa waneka;
nĩrũkamenyithanagia ũhoro wa ciĩko ciaku cia hinya.
Nĩmakaaria ũhoro wa ũkaru wa ũnene waku ũrĩa ũrĩ riiri,
na niĩ ndaranagie ũhoro wa ciĩko ciaku cia magegania.(I).

Wee Mwathani, kĩrĩa gĩothe ũmbĩte nĩkĩrĩkũgoocaga;
andũ aku arĩa aamũre nĩmarĩgũkumagia.
Nĩmarĩheanaga ũhoro wa riiri wa ũthamaki waku,
na maaragie ũhoro wa hinya waku,(I).

INJIRI.
Luka 16:9-15.

Jesū agīthiī na mbere akiuga atīrī,"Hüthagīraai ütonga wagũũkū thǐ gũthondeka ũraata na andū, nǐ geetha rīrǐa
ūtonga ūcio ūgaathira mūkaamūkīrwo müciī wa tene na tene. Mũndũ o wothe ükoragwo e mwīhokeku na tūindo tūniini, nĩakoragwo e mwihokeku o na indo nyingī, nomũndũ ūrīa ūtakoragwo e mwīhokeku na tũindo tūniini ona indo nyingī ndakoragwo e mwihokeku nacio. Kwoguo angīkorwo ndūrī mwĩhokeku na ũtonga wa gũũkũ thi-rī,nūū ũngīkwĩhokera ũtonga ũrĩa wa ma? Ningĩ angikorwo gũtirī mũndũ ũngīkwĩhokera kīndũ gīake-rī, nũũ ũngīkũnengera kīrĩa gĩ gĩaku? “Gütirī ndungata ingihota gütungatira aathani eerī, nĩ ūndũ no yendire ûmwe naîmene ũcio ũngī, kana yathikīre ümwe na inyarare ūcio ũngī. Nī ūndũ ūcio, mũtingīhota gũtungatīra Ngai namütungatīre ũtonga. Na riīrī, rîrĩa Afarisai maiguire maūndũ macio moothe, makĩambīrīria kũnyiira Jesü,tondũ nīmeendeete mbeeca mũno. Naake Jesũ akīmeera atīrī,“Inyuĩ mwītuaga aagīrīru maithoinĩ ma andũ, no Ngai nīoĩ ngoro cianyu, nĩ gūkorwo ũndũ ūrĩa wonekaga ũrīwabata maithoinĩ ma andū ndũrībata maithoinĩ ma Ngai.

Injiri theeru ya Mwathani...

11/08/2025

Catholic Mass Daily Readings,Saturday November 8, 2025.
WEEKDAY (31) in Ordinary time.

BVM on Saturday

Vestment: Green/white
Today’s Rosary: The Joyful Mystery

ENTRANCE ANTIPHON Cf. Ps 37: 22-23.
Forsake me not, O Lord, my God; be not far from me! Make haste and come to my help, O Lord, my strong salvation!

COLLECT
Almighty and merciful God, by whose gift your faithful offer you right and praiseworthy service, grant, we pray, that we may hasten without stumbling to receive the things you have promised. Through our Lord…..

FIRST READING
Greet one another with a holy kiss.
A reading from the Letter of Saint Paul to the Romans (Romans 16:3-9.16.22-27)

Brethren: Greet Prisca and Aquila, my fellow workers in Christ Jesus, who risked their necks for my life, to whom not only I but also all the churches of the Gentiles give thanks; greet also the church in their house. Greet my beloved Epaenetus, who was the first convert in Asia for Christ. Greet Mary, who has worked hard among you. Greet Andronicus and Junias, my kinsmen and my fellow prisoners; they are men of note among the apostles, and they were in Christ before me. Greet Ampliatus, my beloved in the Lord. Greet Urbanus, our fellow worker in Christ, and my beloved Stachys. Greet one another with a holy kiss. All the churches of Christ greet you. I Tertius, the writer of this letter, greet you in the Lord. Gaius, who is host to me and to the whole Church, greets you. Erastus, the city treasurer, and our brother Quartos, greet you. Now to him who is able to strengthen you according to my gospel and the preaching of Jesus Christ, according to the revelation of the mystery which was kept secret for long ages but is now disclosed and through the prophetic writings is made known to all nations, according to the command of the eternal God, to bring about the obedience of faith - to the only wise God be glory for evermore through Jesus Christ! Amen.

The word of the Lord.

RESPONSORIAL PSALM
Ps 145:2-3.4-5.10-11 (R. 1).

R/. I will bless your name for ever, my king and my God.

I will bless you day after day,
and praise your name for ever and ever.
The Lord is great and highly to be praised;
his greatness cannot be measured. R/.

Age to age shall proclaim your works,
shall declare your mighty deeds.
They will tell of your great glory and splendour,
and recount your wonderful works. R/.

All your works shall thank you, O Lord,
and all your faithful ones bless you.
They shall speak of the glory of your reign,
and declare your mighty deeds. R/.

ALLELUIA
2 Corinthians 8:9.

Alleluia.
Though Jesus Christ was rich, yet for your sake he became poor, so that by his poverty you might become rich.
Alleluia.

GOSPEL
If then you have not been faithful in the unrighteous mammon, who will entrust to you the true riches?
A reading from the holy Gospel according to Luke (Luke 16:9-15)

At that time: Jesus said to his disciples, “Make friends for yourselves by means of unrighteous mammon, so that when it fails they may receive you into the eternal habitations. “He who is faithful in a very little is faithful also in much; and he who is dishonest in a very little is dishonest also in much. If then you have not been faithful in the unrighteous mammon, who will entrust to you the true riches? And if you have not been faithful in that which is another’s, who will give you that which is your own? No servant can serve two masters; for either he will hate the one and love the other, or he will be devoted to the one and despise the other. You cannot serve God and mammon.” The Pharisees, who were lovers of money, heard all this, and they scoffed at him. But he said to them, “You are those who justify yourselves before men, but God knows your hearts; for what is exalted among men is an abomination in the sight of God.”

The Gospel of the Lord.

11/08/2025

MASOMO YA MISA, JUMAMOSI YA JUMA LA THELATHINI NA MOJA, KIPINDI CHA KAWAIDA, MWAKA I, NOVEMBA 8, 2025
RANGI YA KILITURJIA: KIJANI KIBICHI 💚

SOMO LA KWANZA
WARUMI 16:3—9, 16, 22—27

Msalimiane kwa busu takatifu.

Somo katika barua ya Mtakatifu Paulo kwa Warumi

Ndugu: Salamu zangu kwa Prisila na Akwila, watumishi wenzangu katika Kristo Yesu. Hao walihatarisha maisha yao kwa ajili yangu. Si mimi peke yangu ninayewashukuru, ni Makanisa yote ya watu wa mataifa pia yanayowashukuru. Salamu zangu kwa waamini wenye kukutana nyumbani mwao, kadhalika Epaeineto, mwenzangu mpendwa aliye limbuko la Asia kwa Kristo. Salamu zangu kwa Maria aliyesumbuka sana kwa ajili yenu. Salamu zangu kwa Androniko na Yunia, jamaa zangu waliofungwa gerezani pamoja nami. Hao wanajulikana sana miongoni mwa mitume, tena walikuwa Wakristo kabla yangu mimi. Salamu zangu kwa Ampliato, mwenzi wangu mpendwa katika Kristo. Salamu zangu kwa Urbano, mfanyakazi mwenzetu katika Kristo, n kwa Stakisi, mpendwa wangu. Msalimiane kwa busu takatifu. Makanisa yote ya Kristo yanawasalimu. Na mimi Tertio mwandishi wa barua hii, ninawasalimu katika Bwana. Anawasalimu Gayo, mwenye kunikaribisha mimi na Kanisa lote. Wasalimu Erasto, mweka hazina wa mji huu, tena ndugu Kwarto. Neema ya Kristo, Bwana wetu iwe nanyi nyote. Amina. Asifiwe mwenye enzi ya kuwaimarisha ninyi kadiri ya Injili yangu na tangazo la Yesu Kristo, pia kadiri ya ufunuo wa fumbo lile lililofichika tangu karne ya milele. Sasa lakini limefunuliwa kwa njia ya Maandiko ya manabii k**a Mungu wa milele alivyotaka ili kuwaongoza mataifa yote wapate kuitii imani. Mungu mmoja mwenye hekima aheshimiwe na kusifiwa kwa njia ya Yesu Kristo, milele na milele. Amina.

NENO LA BWANA... TUMSHUKURU MUNGU

ZABURI YA KUITIKIZANA
ZABURI 145:2—3, 4—5, 10—11 (K. tazama 1)

K. Nitalisifu jina lako daima, ee Mungu na Mfalme wangu.

Kila siku nitakusifu,
na kutukuza jina lako daima na milele.
Bwana ni mkuu, na wa kusifiwa sana,
wala ukuu wake hautambulikani. K.

Kizazi kwa kizazi kitayatukuza matendo yako,
na kutangaza matendo yako makuu.
Nitatafakari fahari ya utukufu wa adhama yako,
na matendo yako ya ajabu. K.

Kazi zako zote zinakutukuza, ee Bwana,
wachaji wako wanakusifu.
Wanautaja utukufu wa ufalme wako,
wanauhadithia uwezo wako. K.

SHANGILIO LA INJILI
2 WAKORINTHO 8:9

K. Aleluya. W. Aleluya.
K. Ingawa Bwana wetu Yesu Kristo alikuwa tajiri, alijifanya maskini kwa ajili yenu, ili ninyi mpate kutajirika kwa umakini wake.
W. Aleluya.

SOMO LA INJILI
LUKA 16:9—15

Basi, k**a ninyi si waaminifu kwa mali isiyo haki, nani atawakabidhi mali ya kweli?

† Somo la Injili takatifu ilivyoandikwa na Luka

Wakati ule: Yesu aliwaambia wanafunzi wake; "Jifanyieni urafiki kwa mali inayoharibika, ili mnapoishiwa wawapokee katika makao ya milele. Aliye mwaminifu kwa mambo madogo ni mwaminifu pia kwa mambo makubwa; kadhalika asiye mwaminifu kwa mambo madogo, si mwaminifu kwa mambo makubwa. Basi, k**a ninyi si waaminifu kwa mali isiyo haki, nani atawakabidhi mali ya kweli? Na k**a hamwi waaminifu kwa mali ya mwingine, nani atawapa yenu wenyewe? Hakuna mtumishi awezaye kutumikia mabwana wawili, ama atamchukia wa kwanza na kumpenda wa pili au atamjali wa kwanza na kumdharau mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu na fedha." Mafarisayo, wenye uroho wa fedha, waliyasikia hayo yote, wakamfyonya. Yesu akawaambia, "Ninyi mnajionyesha k**a waadilifu mbele ya watu, lakini Mungu ajua mioyo yenu; yaliyo makubwa kwa watu ni chukizo mbele ya Mungu."

INJILI YA BWANA... SIFA KWAKO EE KRISTO

11/07/2025

Catholic Mass Daily Readings,Friday November 7, 2025.
WEEKDAY (31) In Ordinary time.

Vestment: Green
Today’s Rosary: The Sorrowful Mystery

ENTRANCE ANTIPHON Cf. Ps 37: 22-23.

Forsake me not, O Lord, my God; be not far from me! Make haste and come to my help, O Lord, my strong salvation!

COLLECT
Almighty and merciful God, by whose gift your faithful offer you right and praiseworthy service, grant, we pray, that we may hasten without stumbling to receive the things you have promised. Through our Lord…..

FIRST READING
“A minister of Christ Jesus to the Gentiles, so that the offering of the Gentiles may be acceptable.”
A reading from the Letter of Saint Paul to the Romans (Romans 15: 14-21)

I myself am satisfied about you, my brethren, that you yourselves are full of goodness, filled with all knowledge, and able to instruct one another. But on some points I have written to you very boldly by way of reminder, because of the grace given me by God to be a minister of Christ Jesus to the Gentiles in the priestly service of the gospel of God, so that the offering of the Gentiles may be acceptable, sanctified by the Holy Spirit. In Christ Jesus, then, I have reason to be proud of my work for God. For I will not venture to speak of anything except what Christ has wrought through me to win obedience from the Gentiles, by word and deed, by the power of signs and wonders, by the power of the Holy Spirit, so that from Jerusalem and as far round as Illyricum I have fully preached the gospel of Christ, thus making it my ambition to preach the gospel, not where Christ has already been named, lest I build on another man’s foundation, but as it is written, “They shall see who have never been told of him, and they shall understand who have never heard of him.”

The word of the Lord.

RESPONSORIAL PSALM
Psalm 98: I .2-3ab.3cd-4 (R. 2b).

R/. The Lord has shown his deliverance to the nations.

O sing a new song to the Lord,
for he has worked wonders.
His right hand and his holy arm
have brought salvation. R/.

The Lord has made known his salvation,
has shown his deliverance to the nations.
He has remembered his merciful love
and his truth for the house of Israel. R/.

All the ends of the earth have seen
the salvation of our God.
Shout to the Lord, all the earth;
break forth into joyous song,
and sing out your praise. R/.

ALLELUIA
1 John 2:5.

Alleluia.
Whoever keeps Christ’s word, in him truly love for God is perfected.
Alleluia.

GOSPEL
“Sons of this world are wiser in their own generation than the sons of light.”
A reading from the holy Gospel according to Luke (Luke 16:1-8)

At that time: Jesus said to the disciples, “There was a rich man who had a steward, and charges were brought to him that this man was wasting his goods. And he called him and said to him, ‘What is this that I hear about you? Turn in the account of your stewardship, for you can no longer be steward.’ “And the steward said to himself, ‘What shall I do, since my master is taking the stewardship away from me? I am not strong enough to dig, and I am ashamed to beg. I have decided what to do, so that people may receive me into their houses when I am put out of the stewardship. ’ So, summoning his master’s debtors one by one, he said to the first, ‘How much do you owe my master?’ “He said, ‘A hundred measures of oil.’ “And he said to him, ‘Take your bill, and sit down quickly and write fifty. ’“Then he said to another, ‘And how much do you owe? ’ “He said, ‘A hundred measures of wheat. ’“He said to him, ‘Take your bill, and write eighty. ’ “The master commended the dishonest steward for his prudence; for the sons of this world are wiser in their own generation than the sons of light.”

The Gospel of the Lord.

Address

22003 50th Avenue Ct E
Spanaway, WA
98387

Telephone

+12533412138

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Diaspora Catholic Network USA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Diaspora Catholic Network USA:

Share