08/05/2025
:
Rais William Ruto amemteua Erastus Edung’ Ethekon kuwa mwenyekiti mpya wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), baada ya mchakato wa usaili uliofanywa na jopo maalum lililoongozwa na Nelson Makanda kati ya Machi 24 hadi 26, 2025.
Ethekon ameteuliwa kutokana na tajriba yake ya kisheria na maono ya kuimarisha uadilifu wa uchaguzi. Uteuzi wake na Makamshina wengine sita sasa unasubiri kuidhinishwa na Bunge la Kitaifa. Kabla YA kuchukua Usukani Rashmi.
www.kitetvkenya.com