Horace News

Horace News Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Horace News, Media/News Company, .

Kulingana na takwimu zilizotolewa jana na shirika linaloshughulika na maswala ya wakimbizi duniani  , nchi ya Poland ime...
03/03/2022

Kulingana na takwimu zilizotolewa jana na shirika linaloshughulika na maswala ya wakimbizi duniani , nchi ya Poland imeongoza kwa kupokea wakimbizi wengi zaidi kuliko nchi zingine amabazo zipo jirani na Ukraine.

Takwimu hizo zinaonyesha kwamba wakimbizi zaidi ya laki tano wamekimbilia nchi ya Poland, idadi ambayo ni kubwa zaidi ukilinganisha na nchi zingine.

Nchini ya Hungary imepokea wakimbizi zaidi ya laki moja, ikifuatiwa na Jamuhuri ya watu wa Moldova ambayo imepokea wakimbizi zaidi ya elfu 90.

Mataifa mengine ya Ulaya, yamepoke idadi ya wakimbizi 88,147 kwa ujumla wake, huku nchi zingine k**a vile Slovakia, Romania, Nchi za umoja wa Urusi, na Belarus zimepokea idadi ya wakimbizi isiyozidi 72,200.

Aidha, UNHCR imesema kuna uwezekano mkubwa kuongezeka kwa idadi ya wakimbizi katika nchi hizo kadiri muda unavyozidi kwenda.

27/02/2022

  1-1
27/02/2022

1-1

Shirika linaloshughulika na maswala ya wakimbizi Duniani   kupitia ukurasa wake wa twitter, limesema idadi ya watu wanao...
27/02/2022

Shirika linaloshughulika na maswala ya wakimbizi Duniani kupitia ukurasa wake wa twitter, limesema idadi ya watu wanaokimbia nchi ya Ukraine imefika 368,000.

Takwimu zinaonyesha kuwa kwa hivi leo, idadi ya wakimbizi imeongezeka kutoka 200,000, mpaka kufikia 368,000 kwa takribani ndani ya masaa mawili mpaka matatu.

Kulingana na shirika hilo, watu wengi wamekimbilia nchi za , , , na kufuatia hali ya vita inayoendelea nchini , huku idadi ya wakimbizi ikitarajiwa kuongezeka kadri muda unavyozidi kwenda.

Serikali kupitia wizara ya mambo ya njena na ushirikiano wa Afrika mashariki, imesema kuwa mpaka sasa hakuna mtanzania y...
27/02/2022

Serikali kupitia wizara ya mambo ya njena na ushirikiano wa Afrika mashariki, imesema kuwa mpaka sasa hakuna mtanzania yeyote aliepata madhara, kufuatia hali ya vita inayoendelea nchini Ukraine.

Taarifa zinasema watanzania takriban 300 walioko ndani ya nchi ya Ukraine wanatarajia kuondolewa nchini humo kwenda nchi za Poland na Romania, ambapo hatua hiyo itawawezasha watanzania kurudi nyumbani salama.

Aidha, serikali imewasihi wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wa wanafunzi waliopo nchini Ukraine kuwa watulivu katika kipindi hiki ambapo serikali inaendelea kuchukuta hatua mbalimbali za kiusalama kwa watanzania hao.

Chanzo: ITV Tanzania

26/02/2022
Aliyekuwa mchezaji wa Ruvu Shooting, Ally Mtoni "Sonso" (29), amefariki dunia katika hospitali ya Muhimbili jijini Dar-e...
11/02/2022

Aliyekuwa mchezaji wa Ruvu Shooting, Ally Mtoni "Sonso" (29), amefariki dunia katika hospitali ya Muhimbili jijini Dar-es-alaam ambako alikuwa akipewa matibabu.
----------------
Taarifa za awali zinasema Sonso alikua akiugua maradhi ya muda mrefu
----------------
Katika maisha yake ya soka, amewahi kuichezea timu za Yanga Sc, Lipuli, Kagera sugar, na Polisi Tanzania

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Horace News posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Address
  • Alerts
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share