Hujambo Mkatoliki

  • Home
  • Hujambo Mkatoliki

Hujambo Mkatoliki Pata habari tendeti na mafundisho kuhusu imani ya kanisa katoliki ndani na nje ya Kenya.

PUMZIKENI KWA AMANI😭💔Jimbo kuu katoliki la Nairobi linaomboleza kufuatia kifo cha Katekista James Njoroge Kabari, mkewe ...
07/01/2026

PUMZIKENI KWA AMANI😭💔

Jimbo kuu katoliki la Nairobi linaomboleza kufuatia kifo cha Katekista James Njoroge Kabari, mkewe Teresia na wanao wawili; Michael Kabari mwenye umri wa miaka 6 na John Mark Kabui mwenye mwaka 1 kwenye ajali ya barabarani iliyotokea katika eneo la Karai, Naivasha, gatuzi la Nakuru.
Mwanao Clare Wairimu anaendelea kupokea matibabu katika hospitali ya Nairobi Women kufuatia majeraha aliyopata kutokana na ajali hiyo.
Raha ya milele uwape Ee Bwana, na mwanga wa milele uwaangazie, wapumzike kwa amani, Amina.

04/01/2026

Jumapili ya kwanza ya mwaka wa 2026❤️
Hujambo?

31/12/2025

2026🎊🙏

31/12/2025

365/365
Tarehe ya mwisho ya mwaka wa 2025. ASANTE MUNGU🙏

🎄KRISMASI🎄Ni msimu wa Krismasi na tunakutakia furaha na baraka tele.
24/12/2025

🎄KRISMASI🎄

Ni msimu wa Krismasi na tunakutakia furaha na baraka tele.

PAPA LEO XIV AMTEUA PADRE VINCENT ODUNDO KUWA ASKOFU MSAIDIZI WA JIMBO KUU KATOLIKI  LA KISUMU NCHINI KENYA.Padre Vincen...
14/12/2025

PAPA LEO XIV AMTEUA PADRE VINCENT ODUNDO KUWA ASKOFU MSAIDIZI WA JIMBO KUU KATOLIKI LA KISUMU NCHINI KENYA.

Padre Vincent Ouma Odundo ameteuliwa na baba mtakatifu Leo XIV kuwa askofu msaidizi wa jimbo kuu katoliki la Kisumu.
Hadi kuteuliwa kwake, padre Odundo alikuwa akihudumu k**a Vika wa jimbo kuu la Kisumu na kufanya kazi katika parokia ya Mt. Yakobo Mtume Magadi.

Padre Odundo alizaliwa mwaka wa 1978 jijini Kisumu.
Alisomea falsafa katika seminari kuu ya kitaifa ya Mabanga kabla ya kujiunga na seminari kuu ya Mt. Thomas Aquinas jijini Nairobi kusomea theolojia.
Alipokea daraja takatifu ya upadre tarehe 20 Februari 2008 katika jimbo kuu katoliki la Kisumu.
Hongera askofu mteule padre Vincent Odundo. Mwenyezi Mungu akuongoze.

MIAKA 40 K**A PADRE! HONGERA👏👏👏👏Askofu wa jimbo la Kapsabet Mhashamu John Kiplimo Arap Lelei hii leo amesheherekea miaka...
11/12/2025

MIAKA 40 K**A PADRE! HONGERA👏👏👏👏

Askofu wa jimbo la Kapsabet Mhashamu John Kiplimo Arap Lelei hii leo amesheherekea miaka 40 ya upadre.
Hongera baba askofu. Ndiwe kuhani hata milele, kwa mfano wake Melkizedeki.

📸 Kwa hisani ya Cynthia Muge

30/11/2025

Usiku mwema Mkatoliki 💜

DOMINIKA YA KWANZA YA MAJILIOMsimu wa majilio ya mwaka huu wa 2025 umeanza leo tarehe 30.Tunajiandaa kukaribisha ujio wa...
30/11/2025

DOMINIKA YA KWANZA YA MAJILIO

Msimu wa majilio ya mwaka huu wa 2025 umeanza leo tarehe 30.
Tunajiandaa kukaribisha ujio wa Kristo wakati wa Krismasi.

Askofu Dominic Kimengich awatembelea baadhi ya waathiriwa wa janga la maporomoko ya ardhi yaliyotokea katika eneo la Che...
06/11/2025

Askofu Dominic Kimengich awatembelea baadhi ya waathiriwa wa janga la maporomoko ya ardhi yaliyotokea katika eneo la Chesongoch na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 20.

06/10/2025
04/10/2025

KCCB limetangaza kubadilishwa kwa Divai inayotumiwa na kanisa katoliki wakati wa misa

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hujambo Mkatoliki posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share