05/01/2025
💫😂Leo nikiwa naroll chapo za lunch kitu saa sita😎, message ikaingia kwa simu😯😯.Kucheki ilikuwa ya crush wangu mwenye nimekuwa nikimmezea mate for long.
Message ilikuwa inasema💢 ''woiye Gbøy nitumie 5k ni urgent please '' Wah! nkajua sasa labda dem ameona vile mie hudunga smart😊, may be ataenda hivi hivi aniambie ananipenda. Ilibidi nimereply hivi, ''sawa sweeee❤️, nitatuma saii😎, alafu na wewe ukuje ma late night uniwahi hata k**a ni kiss aki🤗''
After 5 minutes akareply ati🤓 'sawa tuma saii aki🥰.' Weh🙆 hiyo emoji! Jehovah wanyonyi, boychild nipeane 5k yangu ...ambayo nimehangaika kuisave for about 5 years 😫. Kitu ikaniambia ah! k**a mbaya na basi ikuwe mbaya, mimi Huyo Mpesa, Send money... Pap 5k ikaenda👌.
After kutuma nilirelax na kuanza kuroll balls za kutengeneza chapati🙂. 5 minutes, 10 minutes...aiii dem hakureply eti 'Asante ama aseme amepata😫' Nkaamua kuconfirm number k**a nilidial the right one...kucheki iko sawa. 20 minutes...wapi? Nikamtext "umepata"...lakini wapi? Alinyamaza hivo😫😫💔.
Mimi naye ni nani? Si mnanijua mie Gbøy sijazaliwa jana wala juzi?🤔 ....mimi huyo nikareverse 5k yangu ma,,, ikarudi mara that that. Kisha dem akanitext 'usiwe hivyo Gbøy please🤓'....na mimi nikareply ''Hii kenya mtu akikojoa petrol😎, wewe nyamba borm alipuke🖕...Salaam aleikum?😂😂saii nko hapa hapa Nakuru natafuta hoteli legit yenye wanauza ugali niteremshie zile chapati za lunch💪🤣🤣''📌🔔🌐..mie k**a kijana yenu Gbøy 😂 chenye kitatokea nitawaambia😂🙆💫
Follow
Gbøy ♥️