
08/08/2025
TAARIFA KWA UMMA
Kuhusu Tukio la Wizi wa Vifaa vya Kampuni ya Alobo Vibes TV
Kampuni ya Alobo Vibes TV inapenda kuujulisha umma kuwa usiku wa tarehe 08 August 2025, tumepata hasara kubwa baada ya kuibiwa baadhi ya vifaa vyetu muhimu vya kazi.
Vifaa vilivyoibiwa ni pamoja na:
Kamera
Laptop
Microphone
Stand ya kamera
Tukio hili limeathiri kwa kiasi kikubwa shughuli zetu za utayarishaji wa vipindi na matangazo.
Tunaomba mtu yeyote mwenye taarifa zitakazosaidia kufanikisha upatikanaji wa vifaa hivi awasiliane nasi kupitia:
📞 +255762462735
📞+255754041772
Tunaamini kwa msaada wa umma haki itapatikana na shughuli zetu zitaendelea k**a kawaida.
Imetolewa na:
Uongozi wa Alobo Vibes TV
09,August,2025