
08/06/2025
Ameandika msanii “Huyu mchizi bwana nimoja ya wale wenzetu waliokumbwa na misukosuko Congo.. nakufanikiwa kukimbilia nchini kwetu Tanzania nakujikita kwenye kambi ya wakimbizi Kigoma Nyarugusu.. jamaa anakipaji anafanya mziki wake kwenye mazingira magumu sana.. lakini anajua kujipush mpaka watu tunamsikia nakumtazama… ombi langu kwa Media za Tz mtazameni huyu jamaa kwa jicho la tatu…. msapotini k**a mnavowasapoti kina na wanamuziki wote wa hapa nyumbani.. sijawahi kukutana nae wala kuongea nae ila namfatilia vituko vyake humo kambini…. anza na wewe kumfatilia naamini utampenda..
anaitwa huu ni wimbo wake mpya unaitwa it’s my time !!! Kwakua shughuli zake za mziki anazifanyia kwenye Ardhi ya Tanzania naomba .tanzania mumkumbuke kwenye Tuzo za Tanzania pia….wanahitaji faraja watu wa aina hii.. nasisi watanzania tunasifika kwahili…. pigeni ngoma zake”.
Una Maoni Gani Hapa !?
✍️: ()