13/06/2019
MISUNGWI: AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA KWA KUZAA NA BINTI YAKE
> Jacob Shabani(30) alianza kufanya mapenzi na mwanaye baada ya kutengana na mama yake
> Alimpa ujauzito mara 3; mimba 1 iliharibika baada ya kumpiga sana na sasa ana mtoto wa mwaka 1