Vanny_De_boy_tz

  • Home
  • Vanny_De_boy_tz

Vanny_De_boy_tz Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Vanny_De_boy_tz, News & Media Website, .

MISUNGWI: AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA KWA KUZAA NA BINTI YAKE‬‪> Jacob Shabani(30) alianza kufanya mapenzi na mwanaye baada ...
13/06/2019

MISUNGWI: AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA KWA KUZAA NA BINTI YAKE‬

‪> Jacob Shabani(30) alianza kufanya mapenzi na mwanaye baada ya kutengana na mama yake‬

‪> Alimpa ujauzito mara 3; mimba 1 iliharibika baada ya kumpiga sana na sasa ana mtoto wa mwaka 1‬

TRA YAANZISHA MSAKO WA KODI, WASIOTOA NA KUDAI RISITI KUPIGWA FAINI> Mamlaka ya Mapato Tanzania, Mkoa wa Kodi Kariakoo u...
06/06/2019

TRA YAANZISHA MSAKO WA KODI, WASIOTOA NA KUDAI RISITI KUPIGWA FAINI

> Mamlaka ya Mapato Tanzania, Mkoa wa Kodi Kariakoo umetoa tangazo la kukamata mizigo au bidhaa ambazo hazitakuwa na risiti halali ambapo kwa wasiotoa risiti watatozwa faini ya Tsh. milioni 3 hadi milioni 4.5 na wale wasiodai risiti watatozwa faini ya Tsh. milioni 1.5 kila mmoja

MWANAFUNZI MBARONI KWA KUMPA MIMBA MWANAFUNZI MWENZIE> Polisi Wilayani Nkasi Mkoa wa Rukwa inamshikilia mwanafunzi wa ki...
24/05/2019

MWANAFUNZI MBARONI KWA KUMPA MIMBA MWANAFUNZI MWENZIE

> Polisi Wilayani Nkasi Mkoa wa Rukwa inamshikilia mwanafunzi wa kidato cha pili, Venance Kasolo (17) kwa kosa la kumpa ujauzito mwanafunzi mwenzake anayesoma kidato cha kwanza

> Uongozi wa Shule wakiri kutokuwa na taarifa kuhusu tuhuma za mwanafunzi huyo kumpa ujauzito mwenzake, mpaka pale alipokamatwa na polisi

💔💔Jaji wa mahakama ya juu nchini Afrika Kusini    amefariki baada ya kuumwa na nyoka akiwa ziarani Zambia. Jaji Anton St...
21/05/2019

💔💔Jaji wa mahakama ya juu nchini Afrika Kusini amefariki baada ya kuumwa na nyoka akiwa ziarani Zambia.
Jaji Anton Steenkamp, 57, wa kitengo cha leba katika mahakama ya Afrika Kusini alikuwa likizoni na mkewe Catherine alipopatwa na mauti.
🖤🖤

MCHUNGAJI GWAJIMA AKANA PICHA ZILIZO SAMBAA MTANDAONI, ‘NIA YAO NIKUNICHUFUA’Mchungaji wa Kanisa la Ufunua na uzima, Jos...
08/05/2019

MCHUNGAJI GWAJIMA AKANA PICHA ZILIZO SAMBAA MTANDAONI, ‘NIA YAO NIKUNICHUFUA’

Mchungaji wa Kanisa la Ufunua na uzima, Josephat Gwajima amekanusha kuhusu kuhusika na picha za faragha zilizoenea mtandao.

Mch. Gwajima amesema picha hizo ni zakutengeneza kwa kuwa yeye hawezi kufanya kitendo hicho na kujirekodi na kisha kusambaza mtandaoni.

Akizungumuza na waandishi wa habari hivi punde Kanisani kweke Ubungo, Dar es Salaam Gwajima amesema picha hizo zimetengenezwa na kusambazwa mtandaoni kwa lengo la kumchafua.

‘’nataka kila mmoja atumie akili zake ni mwanaume nani anayeweza kujamiana anarekodi yeye mweyewe alafu rekodi yenyewe ukimuona mkono wake ni mkubwa wa baunsa sio mkono wa kwangu, hakuna mtu mjinga wa namna hiyo duniani, hakuna mtu wa kurekodi mwenye akatuma mwenyewe’’ amesema Gwajima

Aidha, Gwajima amesema amechukua “RB” kwa lengo la kuitaka mamlaka ya ,awasiliano (TCRA) ili iweze kumtafuta mtu aliyehusika kusambaza picha hizo.

RCO WA ILALA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI - Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kipolisi Ilala, SSP Anael Mbise amefariki dunia...
07/05/2019

RCO WA ILALA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI

- Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kipolisi Ilala, SSP Anael Mbise amefariki dunia Wilayani Mwanga Mkoani Kilimanjaro

- Inaelezwa kuwa RCO Mbise alikuwa anaelekea nyumbani kwao kwa mapumziko

LIVE: TUKIO LA KUUAGA MWILI WA DKT REGINALD MENGI KARIMJEE JIJINI DSM MUDA HUUFamilia ya Marehemu, Dkt. Reginald Mengi w...
07/05/2019

LIVE: TUKIO LA KUUAGA MWILI WA DKT REGINALD MENGI KARIMJEE JIJINI DSM MUDA HUU

Familia ya Marehemu, Dkt. Reginald Mengi wakiwemo watoto na mjane wa Marehemu Jacqueline N Mengi walivyowasili katika ukumbi wa Karimjee.

Zoezi la kuuaga mwili wa marehemu linafanyika katika ukumbi wa Karimjee jijini Dsm muda huu

Hizi ni baadhi ya picha za kutoka eneo la tukio

WATATU WASHIKILIWA KWA KUKUTWA NA KOBE 508‬‪> Ni raia 1 wa China na Wazanzibar 2 waliokutwa na kobe hao mkoani Mjini Mag...
06/05/2019

WATATU WASHIKILIWA KWA KUKUTWA NA KOBE 508‬

‪> Ni raia 1 wa China na Wazanzibar 2 waliokutwa na kobe hao mkoani Mjini Magharibi, Zanzibar kinyume cha sheria‬

‪> Wadaiwa kuwaingiza kutoka Madagascar na kuwahifadhi kabla ya kwenda kuwauza
Follow page & like

‪Ndege aina ya Boeing 737 iliyokuwa ikiwasafirisha Watu 143 kutoka Guantanamo Bay Cuba iliacha njia ya kurukia Ndege jan...
04/05/2019

‪Ndege aina ya Boeing 737 iliyokuwa ikiwasafirisha Watu 143 kutoka Guantanamo Bay Cuba iliacha njia ya kurukia Ndege jana May 3 wakati ikitua katika Airport ya kijeshi huko Florida Marekani na kudumbukia Mtoni, hata hivyo Ndege hiyo haikuzama yote na Abiria wote walitolewa salama.‬
Follow page

New York limekuwa Jiji kubwa la kwanza Marekani kuifanya huduma ya simu magerezani kuwa bure kwa Wafungwa, zamani walich...
03/05/2019

New York limekuwa Jiji kubwa la kwanza Marekani kuifanya huduma ya simu magerezani kuwa bure kwa Wafungwa, zamani walichajiwa USD sawa na Tsh. Elfu 1 na 152 kwa dakika ya kwanza lakini sasa Wafungwa watapiga simu bure popote Marekani kwa jumla ya dakika 21 kwa kila baada ya saa 3, unatoa BIG YES au BIG NO kwa kitendo cha Wafungwa kuruhusiwa kupigia ndugu zao simu?

😭😭👉🏿🙏
02/05/2019

😭😭👉🏿🙏

follow na like page kwa taarifa zaidi
01/05/2019

follow na like page kwa taarifa zaidi

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Vanny_De_boy_tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Vanny_De_boy_tz:

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share