08/06/2026
Mnamo tarehe 26 Mei 2026,
The Spearhead ilizindua rasmi filamu yake ya kwanza ya uchunguzi yenye jina *“What Happened On October 29?”* mjini Accra, Ghana.
Filamu hii inaibua mtazamo wa Kiafrika kuhusu matukio ya maandamano ya vurugu yaliyoitikisa Tanzania mwezi Oktoba 2025, huku ikipinga simulizi za vyombo vya Magharibi na kufichua nguvu za nje zilizokuwa zikichochea machafuko hayo dhidi ya serikali.
Baada ya uzinduzi huo Afrika Magharibi, filamu hii iliendelea kuonyeshwa Afrika Mashariki kupitia maonyesho maalum yaliyofanyika Dar es Salaam tarehe 3 Juni na Nairobi tarehe 6 Juni 2026.
Sasa documentary hii inapatikana rasmi kupitia YouTube, Akaunti ya: SPEAR_HEAD /
DarEsSalaam Accra Nairobi
'
@‘ariastsehai... /
, , , , , tz1, , , , ,
‘
‘
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: || || || tzs_media
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || tzs_media ||
‘
TanzaniaYaSamia
DIRAyaSamia
SamiaSuluhuHassan IkuluTanzania