Sports Mizuka

  • Home
  • Sports Mizuka

Sports Mizuka Sports entertainment

Wahenga wanakwambia ukiona manyoya ujue kaliwa ...Haya wanalunyasi endeleeni kuwa wapole tuu watawaweka na vidole kabisa...
19/07/2025

Wahenga wanakwambia ukiona manyoya ujue kaliwa ...Haya wanalunyasi endeleeni kuwa wapole tuu watawaweka na vidole kabisa hao vipngozi wenu 🚮

Msimu ujao ni humu tuu Maeeh
13/07/2025

Msimu ujao ni humu tuu Maeeh

Augustine Okejepha anasepa zake Simba kutafuta malisho sehemu ingine kwaajili ya msimu 2025-26..Matarajio yalikuwa makub...
11/07/2025

Augustine Okejepha anasepa zake Simba kutafuta malisho sehemu ingine kwaajili ya msimu 2025-26..

Matarajio yalikuwa makubwa sana kwa huyu jamaa lakini haijawa hivyo. Kila la kheri Oke huko uendako ✍️

Wanetu wa Arsenal mmelamba Dume hongereni sana
11/07/2025

Wanetu wa Arsenal mmelamba Dume hongereni sana

Air Manula amerejea nyumbani alipokulia.. Mwenda kwao si mtumwa✍️
08/07/2025

Air Manula amerejea nyumbani alipokulia.. Mwenda kwao si mtumwa✍️

Napendekeza   awe Rais wa kudumu TFF.. Atolewe na mambo mawili tuu either Kifo au Maradhi... Tutaenda kubaya baada ya Ka...
04/07/2025

Napendekeza awe Rais wa kudumu TFF.. Atolewe na mambo mawili tuu either Kifo au Maradhi... Tutaenda kubaya baada ya Karia ndugu zangu

Ndugu Wallace Karia ndiye mgombea pekee aliyekidhi vigezo kuelekea uchaguzi mkuu wa TFF..Wagombea wengine watano waliosa...
04/07/2025

Ndugu Wallace Karia ndiye mgombea pekee aliyekidhi vigezo kuelekea uchaguzi mkuu wa TFF..

Wagombea wengine watano waliosalia mmoja hakuhudhuria katika usaili na wanne hawajakidhi vigezo vinavyohitajika ili kuwania kiti cha urais wa TFF...

Ndugu yangu   huyu baba alishaomba msamaha k**a alivyoelekezwa na Ofisa? 😂😂
03/07/2025

Ndugu yangu huyu baba alishaomba msamaha k**a alivyoelekezwa na Ofisa? 😂😂

KABURI la Simba SC msimubhuu uliotamatika ni Moussa Camara.. Hakuna shaka tutaelewana katika hiloSimba Vs Costal Union 2...
25/06/2025

KABURI la Simba SC msimubhuu uliotamatika ni Moussa Camara.. Hakuna shaka tutaelewana katika hilo

Simba Vs Costal Union 2-2 kutoka 2-0 alifanya upuuzi mpaka ikawa 2-2 kuna mwenye kukataa hili wakulungwa?

Simba Vs Yanga 1-0 Ufala wa kuutamani mpira ambao hakukuwa na madhara kwenye Open play tena cz ulikuwa unaenda nje ikawa 0-1 Point tatu kapuni hapo ilhali kukikuwa na uwezekano wa kukusanya alama moja

Fountain Gate Vs Simba 1-1... wengi walimlaumu Chasambi ila oale lawama zangu zote kwa Camara kwakuwa aliiomba mali na kushindwa kuimudu pale hata mtoto wa darasa la saba hawezi zingua ✍️

Hapo ukidadavua unapata alama saba ambazo hazikuwa na sababu ya kuzipoteza k**a siyo upuuzi wa Camara

Kwa namna hiyo basi namalizia kwamba Camara ni Kaburi lanSimba 2024-2025 NBC PL 🙏🙏

Wanaume 22 wanaoanza katika Derby ya Kariakoo.. Hakuna tena kipengele mambo hadharani ✍️
25/06/2025

Wanaume 22 wanaoanza katika Derby ya Kariakoo.. Hakuna tena kipengele mambo hadharani ✍️

  Yavunja ukimya kuhusu Derby.. Tukutane Lupaso ✍️
25/06/2025

Yavunja ukimya kuhusu Derby.. Tukutane Lupaso ✍️

Tumefurahi 😂😂
21/05/2025

Tumefurahi 😂😂

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sports Mizuka posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Sports Mizuka:

Shortcuts

  • Address
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share