Swahibatv

Swahibatv jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni

welcome to stevecheuc my passion is to travel around the world to show you each and everything please subscribe my YouTube channel www.youtube.com/swahibatv

MWANAUME RAIA WA MALAWI APIGWA MAWE HADI KUFA PIETERMARITZBURGMwanaume mwenye umri wa miaka 29, raia wa Malawi, aliuawa ...
22/06/2026

MWANAUME RAIA WA MALAWI APIGWA MAWE HADI KUFA PIETERMARITZBURG

Mwanaume mwenye umri wa miaka 29, raia wa Malawi, aliuawa kwa kupigwa mawe siku ya Ijumaa (19 Juni 2026) katika makazi yasiyo rasmi ya Jika Joe, mjini Pietermaritzburg, mkoani KwaZulu-Natal.

Tukio hilo lilitokea baada ya maandamano dhidi ya wahamiaji haramu yaliyoandaliwa na kundi linalojulikana k**a "March and March".

Marehemu alikuwa akiishi katika makazi hayo pamoja na familia yake. Inadaiwa kuwa kundi la watu waliojitenga na maandamano hayo, wakiwa na silaha za vijiti, liliwashambulia raia wa kigeni, jambo lililosababisha kifo chake na kujeruhi watu wengine wawili.

Polisi wanaendelea na uchunguzi wa kesi ya mauaji. Hadi sasa, hakuna taarifa zilizoenea zikithibitisha kuk**atwa kwa watuhumiwa.

17/06/2026

Kipindi Cha kwanza kimemalizika congo wakipata gori dakika ya 45 na kufanya mechi kuwa sare Mpaka kipindi Cha kwanza kuisha

MAANDAMANO DHIDI YA WAGENI YA DOROLA CAPETOWN Maandamano makubwa yaliyopangwa kufanyika mjini Capetown Leo hii yamedorol...
16/06/2026

MAANDAMANO DHIDI YA WAGENI YA DOROLA CAPETOWN

Maandamano makubwa yaliyopangwa kufanyika mjini Capetown Leo hii yamedorola kwa kiasi kikubwa baada ya kuonekana watu wachache wakiunga mkono tofauti na ilivyo tarajiwa

Ambapo katika majimbo ya kwazulu natal na Gauteng yakiwa yameshika kasi kwa eneo kubwa tofauti ni Jiji la Capetown hususano western cape


TRUMP AWAGEUKA WAISRAELRais wa Marekani Donald Trump amesema mashambulizi ya Israel dhidi ya Beirut mapema Jumapili “hay...
14/06/2026

TRUMP AWAGEUKA WAISRAEL
Rais wa Marekani Donald Trump amesema mashambulizi ya Israel dhidi ya Beirut mapema Jumapili “hayakupaswa kutokea.”

Kupitia mtandao wake wa Truth Social, Trump amekashifu makabiliano hayo yaliyotokea katika kipindi nyeti ambapo Marekani iko karibu kufikia makubaliano ya amani na Iran.

Trump hata hivyo amesema Israel ina “haki ya kujilinda,” lakini akaongeza kuwa shambulizi lililokuwa limefanywa dhidi yao lilikuwa “dogo sana na lisilo na athari kubwa.”

Aidha amesema Marekani na Iran ziko karibu sana kufikia makubaliano yatakayosaidia kuleta amani ya kudumu katika eneo hilo, ikiwemo nchini Lebanon, na kusisitiza kuwa pande zote zinapaswa kusitisha mashambulizi.

Trump pia amesema hakupaswi kuwa na mashambulizi zaidi kutoka Israel au upande mwingine wowote, akionya kuwa hali hiyo inaweza kuwa mwanzo wa “amani ya kudumu na nzuri” ikiwa haitaharibiwa.

Kipindi Cha kwanza kimemalizika Moroco 1-1Brazil
13/06/2026

Kipindi Cha kwanza kimemalizika Moroco 1-1Brazil

13/06/2026

Brazil inabidi waje kumwazima chama awasaidie kupiga hii mipira

Hawa Brazil wanaweza hata kufungwa na taifa star's
13/06/2026

Hawa Brazil wanaweza hata kufungwa na taifa star's

13/06/2026

Dakika ya 33 brazili wanasawazisha

13/06/2026

DAKIKA YA 23 MOROCO 1 BRAZIL 0

Address

Delft
Songea

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Swahibatv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share