Kanyamala Media

Kanyamala Media HABARI | MATUKIO | LIFE STYLE | FASHION | GOAST GOSSIP | HAPA TANZANIA NA NJE YA TANZANIA

Mnenguaji anayekuja kwa kasi kubwa Queen fraison (Bonge la Dada) ameweka wazi kuwa usichana wake ulimtoka akiwa na umri ...
12/07/2025

Mnenguaji anayekuja kwa kasi kubwa Queen fraison (Bonge la Dada) ameweka wazi kuwa usichana wake ulimtoka akiwa na umri wa miaka kumi na nane tu (18), Pia hajawahi kutumia Kinga (Kondomu).

"Nilipoteza usichana wangu nikiwa na umri wa miaka 18, toka hapo nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi wa wanaume wa nne tu hadi sasa na wote hao sijawahi kutumia Kinga (Kondomu) huwa nawaamini sana."- Queen fraison, Mnenguaji wa Mbosso.

Toa maoni yako

Mfanyabiashara maarufu hapa Tanzania  Softena amesema  kuwa Diamond Platnumz  ni mtu mwenye bahati sana kwani alibahatik...
12/07/2025

Mfanyabiashara maarufu hapa Tanzania Softena amesema kuwa Diamond Platnumz ni mtu mwenye bahati sana kwani alibahatika kumkuta Zuchu akiwa Bado Bikraa.

Toa maoni yako

Baada ya kuona vijana hawana uthubutu wa kuchukua fomu ya kulitaka Jimbo la Isimani Mhe. William  Lukuvi ameamua kuchuku...
01/07/2025

Baada ya kuona vijana hawana uthubutu wa kuchukua fomu ya kulitaka Jimbo la Isimani Mhe. William Lukuvi ameamua kuchukua fomu hiyo licha ya kuhudumu nafasi hiyo kwa miaka 30.

Aliyewahi kuwa Mwemezi wa Jiji la Dar es Salaam  Haji Sunday Manara  ameamua kuchua fomu ya kuwania nafsi ya Udiwani kat...
01/07/2025

Aliyewahi kuwa Mwemezi wa Jiji la Dar es Salaam Haji Sunday Manara ameamua kuchua fomu ya kuwania nafsi ya Udiwani katika Kata ya Kariakoo.

Mambo bado mabishiiiiiii...Tutaona mengi.

Mchambuzi nguli  wa michezo na mchezaji wa zamani Jemedari Said Kazumari Jemedari Said  ametia nia ya kuutaka ubunge kwe...
30/06/2025

Mchambuzi nguli wa michezo na mchezaji wa zamani Jemedari Said Kazumari Jemedari Said ametia nia ya kuutaka ubunge kwenye jimbo la Mtama mkoani Lindi

Mwamba huyo ataenda kuchuana na Mbunge Nnape Moses Nnauye ambae amuhudumu jimboni hapo tangu mwaka 2015

Binafsi kwangu kaka mkubwa anatosha,pa kuanzia wajumbe mpitisheni hamtojutia.

Wanu Hafidh Ameir amechukua  fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja Visiwani Zanzibar.Zoezi l...
30/06/2025

Wanu Hafidh Ameir amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja Visiwani Zanzibar.

Zoezi la uchukuaji fomu katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) linaendelea nchi nzima ambapo watia nia tofauti wameendelea kujitokeza kwa ajili ya kuchukua fomu bado linaendelea.

Aliyewahi kuwa mke wa Recardo Momo, Bi-Dada  Malaika Cute  ameweka wazi gharama za cheni zake anazopenda kuzivalia kunak...
30/06/2025

Aliyewahi kuwa mke wa Recardo Momo, Bi-Dada Malaika Cute ameweka wazi gharama za cheni zake anazopenda kuzivalia kunako kiuno chake kuwa ni Milioni Ishirini na Saba (Tsh. 27,000,000/=)

"Huwa navaa cheni tatu kiunoni, Kila cheni inauzwa Milioni tisa (9 Miln)."- Amefunguka Malaika cute

Mapema leo ndg. Zena Mohemed (SHILOLE) amerudisha fomu ya kugombea ubunge wa viti maalumu mkoa wa Tabora katika ofisi za...
30/06/2025

Mapema leo ndg. Zena Mohemed (SHILOLE) amerudisha fomu ya kugombea ubunge wa viti maalumu mkoa wa Tabora katika ofisi za CCM Mkoa, na kupokelewa na Katibu wa UWT Bi. Rhoda Madaha.

Mbunge anayemaliza muda wake wa jimbo la Arusha mjini na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa huo Mrisho Gambo Mrisho Gambo amech...
29/06/2025

Mbunge anayemaliza muda wake wa jimbo la Arusha mjini na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa huo Mrisho Gambo Mrisho Gambo amechukua tena fomu ya kuwania nafasi ya kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi CCM kuwa Mgombea wa Ubunge wa Jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa Tanzania utakaofanyika baadae Mwaka huu.

Kitendo cha Gambo kuchukua Fomu hiyo kunafanya ushindani kuwa mkubwa baada ya Jana aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Paul Makonda kuchukua fomu na kutia nia ya kutaka kuwa Mgombea wa CCM katika jimbo hilo.

Maamuzi ya nani atapeperusha bendera ya Chama yatafanywa na Chama baadae na Kisha Mgombea atakayepitishwa atakuwa na kazi ya kuwashawishi Wananchi wampigie kura akawe mwakilishi wao kwenye Bunge lijalo la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Muigizaji wa filamu kutokea nchini Tanzania Clam Vevo ameshare furaha yake baada ya kupata mtoto wa kiume.''Allah Kareem...
29/06/2025

Muigizaji wa filamu kutokea nchini Tanzania Clam Vevo ameshare furaha yake baada ya kupata mtoto wa kiume.

''Allah Kareem ❤️ thank u Salhaclam_ aya walimwengu nichagulieni jina la huyu jamaa sasa .Ameandika Clam Vevo

NENO MOJA KWAKE CLAM VEVO ✍️

Mchekeshaji Stan Bakora amechukua Fomu ya kuwania Nafasi ya Udiwani Kata ya Kiwanja Cha Ndege.
29/06/2025

Mchekeshaji Stan Bakora amechukua Fomu ya kuwania Nafasi ya Udiwani Kata ya Kiwanja Cha Ndege.

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Burton Mwemba (Mwijaku) amechukua rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge wa Ji...
29/06/2025

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Burton Mwemba (Mwijaku) amechukua rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Mvomero mkoani Morogoro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Hatua hiyo imeashiria mwanzo rasmi wa safari yake ya kisiasa katika kuwania nafasi ya Ubunge wa Mvomero.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kanyamala Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kanyamala Media:

Share