Big Daddy Trending

Big Daddy Trending NEWS

Mbwembwe zote zile za kumsajili kumbe mlikuwa mnamkopa masharaha wakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kumuimba kote kule kumbe mlikuwa mnamu...
18/07/2025

Mbwembwe zote zile za kumsajili kumbe mlikuwa mnamkopa masharaha wakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kumuimba kote kule kumbe mlikuwa mnamuimba kwa mkopoπŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Arafu mnakuja mnasema changia tofari la Kombe la ubingwaπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚kwan hilo Kombe mlipewa likiwa limetoboka mnataka kulijengea au ndoo janjanja za bakuri la kumlipa dubeπŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Ni kwa mara ya kwanza kwenye maisha yake ya soka Clatous Chama ameshindwa kuingia hatua ya robo fainali akiwa k**a mchez...
17/07/2025

Ni kwa mara ya kwanza kwenye maisha yake ya soka Clatous Chama ameshindwa kuingia hatua ya robo fainali akiwa k**a mchezaji wa Young Africans Sports Club .

Takwimu zinaonyesha kwamba Chama Clatous amefanikiwa kucheza hatua hiyo pindi timu inapofika hatua ya makundi.

2016-2017 Zescoβœ…οΈ (nusu fainali)

2018-2019 Simba βœ…οΈ (robo fainali)

2020-2021 Simbsβœ…οΈ (robo fainali)

2022-2023 Simbaβœ…οΈ (robo fainali)

2023-2024 Simba βœ…οΈ (robo fainali)

2024-2025. Yanga SC ❌️ (Makundi )

Msimu wa 2011 alijiunga kutoka polisi morogoro  akiwa na miaka 19 tu na alicheza SIMBA kwa misimu miwili tu na kutokana ...
17/07/2025

Msimu wa 2011 alijiunga kutoka polisi morogoro akiwa na miaka 19 tu na alicheza SIMBA kwa misimu miwili tu na kutokana na juhudi zake na kipaji chake SIMBA waliamua kumfungulia Dunia ambapo walimuuza kwenye klabu ya Cannes ya ufaransa ila huko mambo hayakumuendea sawa ndipo azam wakaenda kumnunua ambako alichezea azam kwa misimu mitatu 2014-2017

Shomari alikuwa na kiwango bora akiwa azam na SIMBA waliendelea kumtolea macho na msimu wa 2017 rasmi walifanikiwa kumchomoa na akarudishwa nyumbani ambako alicheza kwa juhudi, kujitolea na kwa kiwango cha juu sana

Toka 2017-2025 tayari shomari keshaitumikia SIMBA kwa miaka 8 na ameendelea kuwa ni kipenzi cha wanasimba wote na ameendelea kuipambania SIMBA kwa Jasho na damu

Kwa Sasa ana miaka yake 33 ila kutokana na kiwango chake na nidhamu yake bora SIMBA wanaendelea kumpa heshima kwa kumuandalia mkataba mwingine wa kuendelea kuitumikia SIMBA

na cha kufurahisha zaidi kwenye misimu yote shomari ajawai kuweka ugumu wala kuisumbua simba wakati wa kusaini mkataba mpya mara zote anaipa kipaumbele simba na amekuwa mtiifu sana kwa SIMBA

True legend 🫑🫑🫑🫑🫑

ILA KAKA GWAJIπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚ nlishangaa Wanahabari wasiwe na swali.... πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚
17/07/2025

ILA KAKA GWAJI
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚ nlishangaa Wanahabari wasiwe na swali.... πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

🚨 Wachezaji wenye nafasi ya kushinda tuzo ya Ballon D'or 2025 kwa mujibu wa Bleacher Report Football  πŸ™ŒTop 5πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡1. Ousman...
15/07/2025

🚨 Wachezaji wenye nafasi ya kushinda tuzo ya Ballon D'or 2025 kwa mujibu wa Bleacher Report Football πŸ™Œ

Top 5πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

1. Ousmane Dembele πŸ‡«πŸ‡·
2. Raphinha Dias Beloli πŸ‡§πŸ‡·
3. Lamine Yamal πŸ‡ͺπŸ‡Έ
4. Achraf Hakimi πŸ‡²πŸ‡¦
5. Mo Salah πŸ‡ͺπŸ‡¬

πŸ’ˆKidogo hawa jamaa k**a wanashawishi πŸ™Œ

πŸ™ Follow Me

  🚨🚨 || Nahodha wa Klabu ya Simba Mohammed Hussein "Tshabalala " amefuta utambulisho wake unaomuonyesha kuwa yeye ni mch...
15/07/2025

🚨🚨 || Nahodha wa Klabu ya Simba Mohammed Hussein "Tshabalala " amefuta utambulisho wake unaomuonyesha kuwa yeye ni mchezaji wa Klabu ya Simba.

Zimbwe ni mchezaji huru na bado hajasaini mkataba.

ILA YANGA 🀣🀣🀣

Hapa Harmonize alikuwa anamwona Diamond k**a baba
15/07/2025

Hapa Harmonize alikuwa anamwona Diamond k**a baba

15/07/2025

Ushawahi kurudi Nyumbani ukakuta mzee anafanya kazi Aliyokuachia...!😁

MICHEZO: Mchezaji wa zamani wa timu ya Simba Andrea Somba Onana amejiunga na timu ya CS Sfaxien ya nchini tunisia.Onana ...
12/07/2025

MICHEZO: Mchezaji wa zamani wa timu ya Simba Andrea Somba Onana amejiunga na timu ya CS Sfaxien ya nchini tunisia.

Onana amejiunga na timu hiyo kwa kandarasi ya miaka 2.

Kabla ya kutua Sfaxien alikuwa nakipiga kunako kikosi cha Al hilal.

NB: ANA MIAKA 24 TUπŸ”₯

Tunajenga, Tunabomoa, Tunajenga tena 🦁Nani anafwata?ila kwa   πŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯Ή WHY SIMBA WHY ,
12/07/2025

Tunajenga, Tunabomoa, Tunajenga tena 🦁

Nani anafwata?
ila kwa πŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯Ή WHY SIMBA WHY ,

Ila Mwili wa Harmonize Umepitia mengi sanaaa πŸ˜€
12/07/2025

Ila Mwili wa Harmonize Umepitia mengi sanaaa πŸ˜€

Address

Mbeya

Telephone

+255747506166

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Big Daddy Trending posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Big Daddy Trending:

Share