
16/07/2025
𝗠𝗔𝗛𝗠𝗢𝗨𝗗 𝗠𝗔𝗬𝗘𝗟𝗘
(FISTON MAYELE)
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga {Raia wa DRC Congo} ambae kwa sasa anakipiga Kwenye klabu ya Pyramids FC ya Misri, Fiston Mayele amebadilisha dini kutoka kuwa Mkristo na sasa ni Muislamu
Ripoti zinaeleza kuwa Mayele amebadilisha dini miezi sita iliyopita na hata kipindi cha Mwezi mtukufu wa Ramadhan alikuwa akijumuika na wenzake waliofunga
Uamuzi wa Mayele kubadili dini ulisababishwa na wachezaji wenzake wa Pyramids FC, haswa Ramadan Sobhi na Karim Hafez, na inaripotiwa kuwa maamuzi hayo aliyafikia kipindi cha mwezi wa Ramadhani.
Baada ya kubadilisha dini kwa sasa Mayele hatambuliki k**a Fiston Mayele bali amechagua jina la Mahmoud na hivyo anaitwa Mahmoud Mayele.
Anasema Allaah (ﷻ) Mtukufu:
{ إِذَا جَآءَ نَصۡرُ ٱللَّهِ وَٱلۡفَتۡحُ }
"Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,"
{ وَرَأَيۡتَ ٱلنَّاسَ يَدۡخُلُونَ فِي دِينِ ٱللَّهِ أَفۡوَاجٗا }
"Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,"
{ فَسَبِّحۡ بِحَمۡدِ رَبِّكَ وَٱسۡتَغۡفِرۡهُۚ إِنَّهُۥ كَانَ تَوَّابَۢا }
"Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba".
[Surat An-Nasr: 1-3]
Ungana nasi kwa habari sahihi
na zenye uhakika
Follow Us
Fahamu yalio mema