simulizi za dr john

simulizi za dr john BURUDIKA NA ELIMIKA KWA STORY TAMU

ASMAA( MTOTO WA KIPEMBA😛)Sehemu ya 23Wassap; 0789824178Mwandishi; 0789824178Badi akaenda kuoga na nguo zake uko uko. Man...
09/12/2025

ASMAA( MTOTO WA KIPEMBA😛)
Sehemu ya 23
Wassap; 0789824178
Mwandishi; 0789824178

Badi akaenda kuoga na nguo zake uko uko. Mana chumba chake kilikuwa master .nikapata mda wa kuchuguza chumba chake sasa.nikisafi mno. Yani katandika vizur . Kapanga nguo zake viziru.ana kabati la kupangia viatu vile. Yani ni msafi nikaona ana mkeka wake wa pembeni nikajua ni kwa ajili ya swala . Nikaona kwa pembeni kuna k**a kishiko cha mbao kisha juu kaweka kitabu kitakatifu cha mwenyezi mungu yani QUR AN. Nikaona uyu kaka ni shekhe bwan. Alivyotoka akaja kukaa kitandani na mimi nikainuka nikaomba taulo. Akanitolea safi akanipa na traki yake kubwa na t shirt et nivae. Nikachukua .nikaingia bafuni. Uyu kaka msafi nyie . Yani bafu s**t linanukia .nikajiumiza uyu mjinga k**a hanyi🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻

Nikapiga maji haraka nikavaa zile nguo .nikatoka namkuta anaswali et. Nyie saa 8 anaswali swala gani watu wengine bwana. Nikajitupa kitandani .nikavuta shuka . Sikuchelewa kupata usingizi nikalala. Nikaja kustuka hivi saa 9 naenda kukojoa namuoana kalala chini kwenye msala wake wakuswalia sikuangaika nae.nikaenda kukojo nilivyoludi nikajitandanza kitandani nikalala zangu. Nikaja kustuka ananiamsha saa 11 . Nikasema vp akanmbia vp huswali swala ya asubuh.nikamwmabia jamnai. Asa sijabeba ata nguo alafu nipo katika siku zangu sina udhu. Ndo nishamdanganya apo🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻. Akanmbia ahaa sawa . Basi pumzika.nikaona ametoka nje sijuh alienda kutawaza wala sikuangaika nae. Nikalala zangu .nikaja kuamka asubuh saa 2 hivi. Tena yeye ndo akawa ananiamsha . Akanmbia binti wa kisslamu hutakiwa kulala sana . Nikasema waislamu hawachoki ama. Ebu toka apa. Akacheka akasema nikuletee chai uku. Au tunaenda kunywa wote mezani. Nikasema twende mezani. Kweli tukaenda mpaka mezani .tukamkuta mdogo wake aMeshaanza kunywa chai akatukalibisha na sisi tukajiunga apo. Nimevaa trakk na juu nna t shirt la bwana .kichwani wala sijafunikia nywele.

Nikasema sasa mbona hunitambulishi kwa mdogo ako. Kuwa mm ndo shemeji yake. Nikaona karimu anakohoa. Nikasema karimu mimi ndo shemeji yako .kaka yako ndo anataka kunioa. Nashid akasema binti wa kislamu anakuwa na aibu. Na sio unajitambukisha mwenyewe. Nikasema toka apa.mbona kwenye shuhuri ulikuwa unanitambukisha .ila kwa mdogo wako wa damu hunitambulishi .kwaiyo kule ulikuwa unanichora. Akasema kule ulivaa stara .apa naona aibu ata kukutambulisha .niksema kwani nipo uchi ama. Nikaona nashidi kanyamaza kimya. Nikasema karimu achana na kaka yako nisililize mimi. Karimu akawa anacheka. Nikasema ama mimi ni mbaya. Akasema hapna we ni mzuri.nikasema ama kaka ana mke teali uyu .anaidanganya mm. Akasema hapna shemeji wala hana .nikasema basi mimi ndo shemeji yako. Karimu akasema sawa. Apo nashid hupo kimya anakula.na namjua akiwa anakula huwa hapendi kuongea.mie ndo nilikuwa wa kwanza kushiba .nikaru. di zangu chumbani. Nikamuacha mtu na nduguye waNendelea kupata chai .

Baada ya mda . Nashid akaja.akanmbia jiandae . Uende kwao ukapumzike zaidi .na mimi nataka kuingia kazini sasa. Nikasema we nenda tu kazini mimi niache nipumzike apa jioni sana ntaludi kwangu. Akaningalia kisha akasema sawa. Nakuacha .nikasema.powa . Mim nikavuta shuka nikajipumzikia zangu. Yeye akondoka zake. Na mida ya mchana sasa.nikasikia mlango wa chumbani unagongwa nikSema nani .akanmbia shemeji nilikuwa nakwambia chakura teali.nikasema sawa nakuja. Yani shemji nimekuja baada ya kupika.ila nimelala nangija kupikiwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻

⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️FAHYMsehemu ya 6Wassap; Basi sasa . Mimi na mwanangu shino. Tukaanza kuwafata nyuma nyuma. Yani wao walion...
09/12/2025

⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️
FAHYM
sehemu ya 6
Wassap;

Basi sasa . Mimi na mwanangu shino. Tukaanza kuwafata nyuma nyuma. Yani wao waliongozana watatu sasa apo. Yule john. Mina cha mdomo. Na frida. Sie nyum k**a hatuwafati wao na mwanagu shino.mana na sisi tukawa tunajifanya tunapiga story zetu nyengine kabisa. Tuliwafatilia mpka mina ndo akaanza kufika kwao. Wakabaki wawili yani frida na john . Na niliona frida kamzoea sana john. Yani wanaongea mno as if wamekutana mwaka nyuma.kumbe demu ndo kwanza kaamia jana. Basi nikaona wamefika kwenye njia panda. John akamuaga frida akaeleke kwao na frida akabaki mwenyewe. Akawa ananyoosha kwao sasa. Ahaa sikutaka kufanya makosa mimi. Chapu nikamkimbilia frida . Nikaita frida frida. Frida akasimama kisha akanigeukia . Akasema hee wewe ulikuwa unanifatilia ama. Nikasema hapana frida wala sikuwa nakufatilia .ila nimekuona tu. Nilikuwa nakatiza mitaa hii. Frida akainiangalia kwa kunipandisha na kunishusha kisha akaniuliza. Kwani una shida gani .mana ata sikuelewi. Nikasema daah frida bwana wala sina shida ila nna maongezi ya kawaida tu kipenzi. Akanambia aya ongea ayo maongez yako ya kawaida nakusikiliza.nikasema frida . Unajua tangia nimekuona mwenzio nimekuwa ata sijielew elewi kabisa. Yani nikilala nakuwa nakuota kabisa frida. Nakupenda kinoma noma naomba tuwe wote. Khaaaa nikashangaa frida anacheka.

Daah mpaka nikajistukia .yani mimi natia swaga alafu demu ananicheka nyie. Uanaume mtihani na kutongoza demu sio suala dogo.nikamuuliza mbona unanicheka frida. Akanmbia loooh . Hivi we fahy. Unajielewa kweli. Hivi wewe unanitongoza mimi huoni ata aibu. Mtoto mdogo k**a wewe utanipa nini.unaacha kusoma kwa ajili ya maisha yako ya kesho . Unataka kuja kunidanganya mimi. Loooh muangalie kwanza na alivyo mchafu ata kuoga sijuh k**a unaoga ww. Na unavyonuka mijasho. Nimesikia sana story zako. Kuwa ww ni mtukutu wa shule. Ila sio kwangu. Au ulizani ukija kunieleza ayo maupumbavu yako.ndo ntakuogopa nikukubalie . Basi mie wala sikuogopi .na sikutaki mchafu kuoga ww. Apo ulipo unanuka mijasho lione kwanza. Na usichokijua baba yangu ni mwanajeshi sasa endelea. Daaah kwanza uyu demu alinikata kinoma ihii kunishushua hii. Yani ilinikata kinoma .nikaona mbona k**a analeta mazalau uyu demu yani kanichukuliaje. Nikamuangalia sana.kisha nikamwambia basi mwenyewe unajiona mzuri loooh

Asa ngoja nikuchane.mimi nilikuwa na kujalibu tu. Wala hinistui. Na wala sikutaki wala nn.Huna cha maana .we mbovu tu. Wala sio mzuri. Muone kwanza na manywele yake twende kilioni k**a unaenda kwenye msiba. Kwenda zako.yani apo nilikuwa nakanyaga tu kwakua nimekataliwa .ila uyu demu mzuri nyie. Demu mkari kinoma noma wanagu. Yani pisi imesimama nawambiaa. Nikaona kacheka. Akanmbia loooh unazani utanistua kwa maneno yako .ebu nenda uko unanipotezea mda wangu mimi. Nyie kukataliwa kunauma. Alafu unakataliwa uku unachambwa usisikie. Nikamuangalia sana uyu demu.nilitamani nimkate mabao nakwambieni. Ila nikakausha. Nikasema fresh ngoja nikaushe. Basi yule demu akanisonya bonge la msonyoooo. Akanmbia kajue kuoga kwanza . Daaaaah nilimind ila hii siku nikajituliza. Basi frida uyo akaanza kuondoka.nikaludi kwa shino nimechoka kinoma. Shino akanmbia vp mtoto hajasomeka nikasema mwanangu yule demu jau. Ilibaki kidogo nimdunde. Najuta kupoteza mda wangu kumfatilia. Shino akacheka sana.akanmbia amekukataa ama.nikasema bola angenikataa kisha akakaudha .ananambia mimi. Nanuka mchafu kuoga.et nikajifunze kuoga daah kumamake wallah.shino akacheka sana akanmbia daaah. Uyu demu kaleta mazarau kinoma.sema nn mkaushie k**a vp. mimi ntakutafutia pisi kali nyengine.nikasema fresh mwanangu.

Basi tukaanza kuludi nyumbani. Ila nilimind njia nzima nilikuwa natukana sikupenda kabisa yule demu alivyonijibu. Et nikajifunze kuoga. Msenge yule. Yani nilikuwa natukana kinoma.mpaka shino ndo alikuwa nanituliza kanmbia we tulia . Mbona una hasira hasira babu. We tulia nikasema fresh mwanagu hamna noma wala nini. Basi mi nikalidi zangu mpka home. Kuendelea na ratiba zangu za kawaida.

Kesho yake asubuh kwanza hii siku siikuwa na mood kabisa ya kwenda shile. Yani nilimaka nipo board .na kila nikikumbuka yule mtoto alivyonichamba ndo kabisa.nikavuta kisimu changu cha batani.nikampigia shino. Nimamuuliza mwanagu umeeenda shule. Akanmbia daa h mwanagu mimi tangia lini naingia shule asubuh .mpka saa 4 naingia kuzuga zuga.nikasema shino nakuja magetoni kwenu apo.nakuja kucheal kidogo iyo saa 4 tutaenda wote shule.mzee wangu akikuta sijaamka kwenda shule ataniwasha. Shino akasema fresh mwanagu hamna noma ata. Nikasema powa.

Basi nikainuka nikavaaa ngo zangu haraka haraka. Ata kuoga sikuoga. Sipendi kweli kuoga.inaweza kukata week mi sijaoga. Yani na weupe wangu ndo nazidi kuonekana mchafu mamae. Ila mnazani najali sasa. Basi mi nikashuka kwa kina chino .nikacheal sana mpaka saa 4 .ndo tukaingia shule. Ila sasa tulivyoingia class nikashangaaa kila mtu ananiangalia mimi. Sikujali wala nini. Nikamcheki mchumba pale mbele . Alikuwa kakaa na mina. Basi akainiangalia kisha akaninyali kinoma. Mimi sikusema kitu .nikaenda kucheal na mwanangu kule nyuma. Nimetulia k**a dakika 2 hivi naona wamekuja walimu watatu wa kiume class. Wakaniita fahym njoo ofisini. Na frida njooo ofisini. Oyaaa nikaona uku kumewaka nini. Nikainuka na taratibu nikawafata mpaka ofisini. Nilivyofika nikaona kuna mama mtu mzima kakaa pembeni.nilivyomuangalia uyu mama alikuwa kafanana sna na frida. Nikajua moja kwa moja ni mama yake. Daaaaah nikaona aa nishakunya.na mda uo uo frida akaingia bwana. Nikajua uyu demu jau itakuwa kaenda kusema kwao nimemtongoza.yani nimemaliza kesi juzi leo nna kesi nyengine kumamamake.

Itaendeleaaaa.........
7 MPAKA 9
⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️
FAHYM
sehemu ya 7
Wassap;

Aseeee na sir koja alokuwepo pale. Kavimba sio powa . Akanmbia asee we dogo mbona ana tabia za ajabu sana. Tulikwambia ukipata kesi nyengine tunakufanyaje. Nikasema mnanifukuza shule. Sir koja akasema kwaiyo dogo ushabalehe unataka kuwa na demu au sio. Kwa iyo umeona uyu mtoto ndo anakufaaa.yani mtoto wa watu mpole ndo kwanza ana siku 3 shuleni apa .tangu ahamie . Ila ww Ukamfatilia mpaka mitaa ya kwao ukaenda kumtongoza. Nikasema nimemtongoza nani na saa ngapi. Apo nimekaza sula k**a sio mimi. Yani mkavu kweli kweli.

Sir koja akasema unajifanya msela dogo au sio. Nikasema mimi sio msela sir ila tu nauliza .mana mimi sijamtongoza mtu. Na sina mwanamke mimi. Sir koja akasema frida uyu mpumbavu amekwambia nini. Akasema sir uyu jana alikuwa ananifatilia yeye na rafiki yake anaitwa shino. Uyu akanisimamisha . Nikasimama akanmbia et ananipenda. Aseee sir koja akanitaka kibao. Alivyo na kono nene sasa. Akanitoa mpama alama.nikashika shavu langu kwanza.nikasema we demu mimi nimekutongoza saa ngapi. Mama yake akasema we kijana shut up. Funga mdomo wako kabisa mpumbavu ww. Unazani mimi mtoto wangu ni muongo. Unazani uyu huwa anaongopa. Mtoto wangu sio muongo. Ameludi nyumbani analia. Umemwambia maupumbavu. Mpaka nimeogopa nataka kumuamisha mtoto wangu. Sir koja akasema mama tulia wala usiwe na shaka . Uyu dogo namjua sana ana tabia zote chafu. Mi nimekausha kimya .

Akasema mwalimu peter nenda kamleta mshenzi mwenzie anasoma nae darasa moja anaitwa shino. Mwali peter akasema sawa. Kisha akanyanyuka akatoka nje. Na baada ya mda akaludi na shino. Shino alivyoingia tu kwanza akaniangalia mimi nikamkonyeza.. sir koja akamuuliza shino .jana wewe na uyu fala mwenzio kwa nini mlimtongoza frida. Shino akasema sisi . Saa ngapi tulimtongoza uyu frida. Mbona sisi hatuna mambo ayo. Si tunajuana akiri ndo mana marafiki. Yani k**a tuliambizana🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

Sir koja akasema ahaa mnajitia wasela ngoja sasa. Akachukua bakora .akanzaa kumtandika shino za ovyo ovyo. Asa mwanangu shino yeye muoga muoga sana. Ila wala hakulia akakaza akasema sir unanipiga bule mimi jana na mshikaji hatujamtongoza frida. Basi shino akadundwa sana ila kakaza .apo fridah anakazia et wamenitongoza mwalimu . Mpaka analia daah uyu demu jau .nikamchukia kinoma noma. Basi mwalimu akanifata mimi sir. Akanipiga bakor moja nikainuka.nikamwambia sikia teacher nimechoka kuonewa na wewe. Nishakwambia uyu demu mimi sijamtongoza unataka kunipiga nini. Mimi hunigusi apa. Sir koja akasema nini wewe. Wewe ndo unanigomea mimi .ngoja sasa akanisukuma et anipige weee mbona kiliwaka. Nililuka na huyu mwalimu watu hawakuamini. Mimi bwana nguvu nnazo yani nna ubavu kinoma noma.

Kweli mwalimu alinizidia. Ila aliisoma. Yani na mimi nilimuwasha kinoma noma . Yani nilimpa ngumi ya mdomo. Akawa anamwaga mpaka damu mamaye. Nikasema tutauna umu. Kwanza asitongizwe ye nani si mwanamke yule. Nyie mule ndani kwanza hakuna aliyenigusa kudadeki. Apo sir koja. Kashika mdomo anatetemeka.mi chapu nikatoka ofsini. Nikapita nakimbia mpaka home .kwanza nikajua kabisa shule sina. Yani kwa zile ngumi shule sina.mi mwenyewe niliumia maeno ya mkononi.yani mkono uligoka kabisa k**a kanivunja yule msenge.

Nikapoa kwanza nyumbani .mida ya mchana shino ndo akaja sasa nyumbani. Akanmbia mwanagu umetoa heshima.ila kimeweka kinoma mwanagu. Yani tumejumuishwa wote sijuh k**a tuna shule. Niaksema bwana weee na tusiwe nayo shule yenyewe siitaki wala nini. Shino akasema yule demu nae jau. Kwani hajwahi kutongozwa. Asa kutongozwa siku moja tu anaenda kusema kwa bi mkubwa wake. Mshamba kweli yule. Nikasema shino yule demu mi sijamalizana nae. nitamuonesha k**a mimi kichwa changu kibovu ndo ataelewa sasa.

Basi nikaongea sana na shino.na mida ya jioni nikaenda kwao . Uko tukanunua bange zetu. Na taratibu tukawa tunavutu uku tunagonga story zetu. Asa nikiwa pale naona simu yangu inaita mzee ananipigia. Nikasema mh kazi ipo sijuh k**a hajapata taarifa zangu. Bais nikapokea mzee akaniuliza upo wapi.nikasema nipo road. Mana ananikataza sana urafiki na shino na anaonaga et shino ndo ananialibu mimi. Kumbe mwenyewe ndo kichwa changu tu. Ndo mana nilikataa kumwambia mzee nipo kwa kina shino. Baba akasema njoo nyumbani haraka.sana. nikasema kuna shida kwani baba. Akanmbia nimesema njoo nyumbani haraka sana.nikasema.sawa mzee nakuja. Nikakata simu yangu.nikamwmabia oyaa nahisi kishanuka uko. Mana ile siku ya kesi mzeee alibadilishana namba na wlimu. Nikajua washampa taarifa zangu .doooh

⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️
FAHYM
sehemu ya 8 na 9
Wassap;
Basi mi kwanza sikuenda mda huo huo.niliongea sana na mwanagu na mpaka kula nikala kwao man nilishajua nilikiludi nyumbani leo sili. Mana najua mzee atakuwa kashajazwa maneno kibao na sir koja. Kisha ilipofika saa 4 usiku .ndo taratibu mi nikaanza kuludi home. Basi nimeingia nakumkuta mzee seblen.nikamsalimia akanikata jicho kali. Akaniuliza umetoka kuvuta bangi si ndio.? Nikasema hapana mzee .mzee akaniuliza fahym hutaki shule. Nikasema ndio mzee shule mimi sitaki. Ikiwezekana nitafutie kitu chengine . Baba akaningalia sana . Akasema fahym acha usela wa kipumbavu mtoto wangu. Acha kufanya upumbavu na kuchezea walimu. Fahym unapigana na walimu mwanangu. Una shida gani we mtoto .una nn fahym.et hutaki shule na uo wembamba wako unataka ukafanye kazi gani. Unaweza kuinua gunia la viazi wewe. Alafu fahym unataka mapenzi ya nini kwa sas wewe. Mbona mtoto mdogo sana.nimasema baba wamenisingizia .mi wala sikumtongoza uyo mwanafunzi . Amenisingizia .kisha uyo sir koja ni k**a ana bifu na mimi.ananipiga tu wakati nilishamueleza kuwa sio mimi. Na ndo mana nimepigana mzee mana mwalimu alikuwa ananionea.

Mzee akaningalia sana akasema .wewe wala hujasingiziwa .mimi nakuja sana. Fahym hakuna wa kukusingizja wewe. Kila kitu umekifanya . Ila umenikwaza sana . Kwa nn umepigana na mwalimu .naona ata aibu kila siku kwenda kukuombea msaha shuleni . Yani misamaha kila siku siku naoan mpaka aibu. Hivi fahym nikuelezee na kitu gani unielewe mtoto wangu. Kuwa baba ako sipendi tabia zako. Ebu nieleze kwanza mwanangu. Eeeh . Shida ni nini. Kwanini una tabia za ajabu. Nikasema bwana mzee.mii sitaki shule . Achana na mambo ya shule siyataki kabisa. K**a vip niache tu. Baba akanmbia shule huwezi kuacha fahym .lazima usome . Unanielewa we fala. Nikabaki kimya . Mzee akanmbia kaoge . Chakura kile pale. Kisha ukapumzike . Asa masulaa ya kuoga yanakujaje jamni🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻

Nikasema mzee mimi nilishaoga mchana. Baba akanmbia msenge wewe. Nenda kaoge haraka sna.tena usinivuruge kabisa. Nikanyanyuka nikaenda kuoga sasa. Basi nilipomaliza . Nikaingia zangu ndani .nikavaa nikatoka kupiga msosi. Nikaona baba ananiangalia sana . Uku anasikitika . Nikaoana eeeh. Basi nikala haraka haraka. Nikaingia chumbani kwangu kupumzika. Asubuh sana. Mzee akanmbia vaa fomu tunaenda shule. Nikasema mzee masuala ya shule ya nn. Si nilishakwambia kwamba mimi shule sitaki. Mzee akanmbia nimesema jiandae twende shule. Na nnachokitaka ukifika shule akakiri makosa yako .na uyakubali na uombe msamaha. Nikasema mzee bwana. Akanmbia full stop .nimemaliza kuongea. Na nimeshasema k**a. Baba.

Basi nikasema.sawa .nikaingia ndani nikavaa nguo zangu. Kisha tukaanza kuelekea shule. Ila nilikuwa nimemmind sana yani mzee ananilazimisha sana kusoma.mimi.sitaki jamani dooh. Basi bwana tukafika mpaka shule.na hii siku moja kwa moja mimi na baba.tukaingizwa moja kwa moja kwenye kikao cha bodi .aseee kulikuwa na mwalimu mkuu. Wazazi waliopo kwenye bodi. Mpakaa afisa elimu.na sir koja alikuwrpo mdomo uliumuka jweli kweli. Nilitamani kucheka basi tu. Aseee kikao kiloiungula sana.na sir koja akawa anasema nifukuzwe shule. Nikasema yes .uyu sir koja Ana akiri uyu bola akaze hivi hvi. Mi shule yenyewe ata kuitaka siitaki basi tu. Basi mzee wangu ndo alikuwa anaiombea sana msamaha. Na baazi ya wazai walio katika bodi wakaniombea sana msamaha. Nikapewa nafasi ya kujitetea. Asee mzeee alinikata mijicho iyo .nikaona weee apa nimisema sitaki shule mzee ataniua na kitanuka bule. Nikapiga magoti na nikakori kuwa nimekosea na nnaomba sana msamaha. Na nikamuomba msamaha sir koja kwa kumvunjia adabu. Aseeee nikawa mtoto mwema apo. Basi adhabu ambayo ilitakiwa kupewa ni kwamba nitasimamishwa shule kwa miezi 3. Yani suspension ili kujifunza adabu. Na nitachapwa bakora 7.mbele ya wanafunzi wenzangu.

Basi ndo ikawa hivyo .wanafunzi wote waliitwa asembo.nikapigwa bakora saba na mwalimu mkuu. Na waliambiwa kabisa kuwa kosa langu ni nimempiga mwalimu na nimemkosea adabu hivyo nimepewa suspension ya kukaa nyumbani kwa miezi 3. Nikajifunze.nilifurahia iyo miezi 3. Nilitamani ata ingekuwa miezi 5 kudadeki. Basi na baba akaongea pale akawasihi watoto wote wawe na tabia njema na sio k**a zangu. Na mwisho mimi na mzee tukaludi home.hii siku mzee alinisema sana . Alinambia nazani umeshaona matokeo ya uhuni. Sasa endelea. Anagejua nnavyofurahia iyo kupumzika nyumbani angeniacha tu🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

Mida ya jioni nikachart sana na shino. Akanmbia daah mwanagu pole sana .ila labda tu nikupange mimi bila ya wewe.shule siendi. Yani na mimi nishajipa suspe nsion ya miezi 3 kumamake .nikasema hamna noma mwanangu sana acha tucheze na mtaaa. Akanmbia fresh. Basi ikawa sasa mimi niko nyumbani. Ila mzeee akiondoka tu nakuwa nazulula na mwanangu shino sana. Fuill kuvuta bange na uhuni kwa sana. Yani nilikuwa nainjoy kuwa mtaani yani. Ikapita k**a week hivi wahuni tunasebenza kitaaa yani . Yani ata sikuwah kujutia kuwepo nyumbani ndo kwanza nilikuwa na amani tu.

Siku iyo nipo maskani na mwanagu shino. Nikamwambia oyaa nna hasira kinoma na yule demu. Shino akanmbia demu yupi tena.nikasema si yule frida. Yani yule nataka kumkomesha si anajifanya ana mdomo mrefu .akanmbia unapajua kwao tuende.nikasema hapana sipajuh. Akanambia wewe twende pale alipokuchamba siku zile tunaulizia mpaka tunafika. Nikasema fresh. Nakumbuka ilikuwa ni mida ya jioni kabisa.na giza linaanza kuingia .basi mdogo mdogo mpaka ile mitaa mala ya mwisho aliponishushua .tukaanza kuuliza. Wala hatukuuliza sna . Si tukamuona frida anatoka dukani kavaa suluali na kibrauzi chake. Kapendeza kinoma.nikasema yes asee. Nikamwambia oyaa yule msenge yule pale. Shino akanmbia tumfate. Basi tukawa tunamfata nyuma nyuma . Sindo akakunja kwenye k**a kona. Tukambambanya apo apo. Nikamvuta mkono .akastuka mpaka akaangusha mfuko aloushika aliponiona.akasema we vp niache.nikasema nikuche mimi nna wewe mjinga wewe. Unajifanya mbea si ndio nakuuliza unajifanya mbea . Akasema ntamwambia mama niache.nikasema ngoja nikuoneshe sasa. Niakambana mikono yake kwa mkono wangu mmoja .alafu mwengine.nikaingiza ndani kwenye tshirt lake. Nikaanza kuchezea vichuchu vyake. Aseee mtoto anamaziwa mazuri ya mchongoko uku. Akawa hataki. Apo shino kakaa kwa mbali kidogo analinda watu. Asee nikamchezea nilivyotaka nikayavuta vuta maziwa yake.mpaka akawa analia.nikaona atanijazia nzi nikamuachia.nikamwambia sasa kamwambia mama yako fahym kanichezea maziwa.alafu ndo ntakuonesha sasa kuwa mimi ni nani mshamba wewe. Nikamuacha pale kinalia .mie na mwanangu shino tukasepa zetu.

NAKUPENDA SASA.Sehemu ya 1 na 2Watsapp; 0789824178Hello guys, ninaamini mko poa. Naomba niwape kisa changu kizuri na che...
07/12/2025

NAKUPENDA SASA.
Sehemu ya 1 na 2
Watsapp; 0789824178

Hello guys, ninaamini mko poa. Naomba niwape kisa changu kizuri na chenye mafunzo mengi sana. Nafikiri mtajifunza na kufurahia mambo mengi.

Kwa majina naitwa Shakira Jamal. Mimi ni mtoto wa pekee kwenye familia yetu. Yaani nimezaliwa mimi tu. Na wala sikuwa na ndugu mwingine wa kuzaliwa. So nilikuwa napendwa kweli kweli na wazazi, maana ndio mtoto wao wa pekee. Familia yangu ina uchumi wa kati. Siwezi kusema tuna pesa sana, ama ni masikini sana, noooo. Na mzee wangu ni mfanyabiashara wa kawaida tu. Alikuwa anafanya biashara ya kuuza nguo Kariakoo. Kwa hiyo mzee alikuwa na uwezo japo sio sana, ila shida za kawaida mzee anatatua haraka.

Yaani mimi ndio mtoto wa pekee tu. Wazazi walinipata wakiwa na umri mkubwa sana, k**a vile bibi na babu. Ikawa inanipa nafasi ya kuwatania na kucheka nao sana. Na kuhusu kunipenda ndio usiseme jamani! Nilikuwa napendwa mno, nadekezwa sana, nalelewa k**a yai. Tena hasa mama. Kidogo mzee alikuwa mkali nikizingua. Ila mama wala hana shida kabisa na ananipenda sana. Yaani mama hata nikikosea kunisema ni shida. Ananitetea mpaka upumbavu. Ila mzee akisikia ndio atanisema sana. Ndivyo nilivyolelewa.

Mimi wala sio mzuri sana, ni wa kawaida tu. Na shepu yangu ya kawaida tu. Ila nilikuwa najikubali mno, yaani najiona mzuri jamani sijui hata niwaelezeje. Na nilichobarikiwa ni usafi, yaani mimi ni msafi kweli kweli. Nikiwa tu, nilishaanza uhusiano. Nilikuwa na bwana wangu mkubwa tu anakaa mtaani kwetu. Anaitwa Adrian. Huyu kaka ndio bwana wangu na ndio nilianza naye mahusiano ya karibu. Ana kazi yake kidogo, kwa hiyo vipesa anavyo. Na mambo yote ya uhusiano ndio kanifundisha. Amejenga karibia na mitaa ya nyumbani na wala sio mbali.

Mimi kwetu ni Dar, maeneo ya Ubungo River Side. Hapo ndio wazazi walikuwa na nyumba yao. Na nimesoma chuo Ubungo . Basi bwana, siku hiyo nipo class. Hapo ni . Nipo na shoga yangu anaitwa Tatu. Nikamwambia Tatu, "Mwenzio hapa hata sielewi." Akanmbia, "Kwa nini sasa?" Nikasema, "Shoga, nahisi nahitaji sana kuwa na mpenzi wangu. Yaani nahisi nia ya kutaka kuwa naye sio poa, natamani nimuone Adrian." Tatu alicheka kweli kweli. Akanmbia, "Aya dada, Adrian si yupo kwa ajili yako bwana. Ukitoka hapa uende ukamuone." Nikasema, "Ndio, naondoka muda sio mrefu nataka kutoroka. Najua now atakuwa kazini ila akirudi atanikuta, maana funguo ninayo." Shoga akanmbia, "Sawa, amna shida." Basi shoga yenu sikungoja kuruhusiwa. Nikabeba begi langu. Mdogo mdogo, nikasepa mpaka kwa Adrian.

Huyu kaka kwanza alijipata jamani. Hapo kwake ni nyumba yake kajenga. Na ana kigari chake cha mchongo. Na huwa ananiambia kuwa anafanya kazi benki. Na pesa ananipa, sina shida ndogo ndogo. Na mzee wangu anavyonipa pesa sasa, nikajikuta nakuwa boss lady. Maana mtu mzima wa ila tayari nilikuwa namiliki simu ya milioni 1.5 ndani, naificha tu wazazi wasione. Na hiyo ndio ilikuwa zawadi yangu ambayo alinipa Adrian baada ya kuanza naye maisha ya kimapenzi.

Adrian ni kijana mmoja mzuri sana jamani. Mimi hata sielewi huyu kaka kanipendea nini. Maana dooh ni handsome tu kwa kweli, mweupe mwenyewe. Ila ni mfupi, ila sio ule ufupi wa kuboa bwana. Nampenda huyu kaka sana sana. Hata akinambia leo acha shule nikuoe, mie naacha hapo hapo. Weee, mkaka nampenda sana. Na yeye ananiambia ananipenda sana kuliko chochote kile. Basi tuendeleeni bwana.

Basi shoga yenu, nikafika mpaka kwa Adrian. Ana nyumba nzuri na ina kafensi. Basi mie tena si ndio mama mwenye nyumba. Nikafungua milango nikaingia ndani. Na moja kwa moja mpaka chumbani nikaenda kujilaza kumsubiri baby, maana huwa analudi saa 10. Basi shoga yenu usingizi ukanipitia kabisa. Nikaja kushtuka mtu ananibusu kwenye paji la uso. Wala hakuwa mwingine bali alikuwa baby wangu Adrian. Basi nikasema, "Jamani baby umeludi kumbe." Akasema, "Yes, nimeludi. Mbona umekuja saa hizi na Shakira? Si huwa nakukataza jamani kuja na ." Nikasema, "Nilikukumbuka bwana nikaona naboeka tu ndio maana." (Na akili za darasani kwanza hata sina 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻). Basi Adrian akasema, "Sawa, ila usirudie kuja na . Maana kwako wewe unaona ni sawa, ila kwangu ni hatari. Sawa mama?" Nikasema, "Sawa kipenzi." Basi nikamsogelea nikaanza kumfungua shati lake. Nyie, yeye ndio alinifundisha ila nilishakuwa mwalimu. Kwanza kiunoni mwangu muda wote huwezi kukosa shanga.

Baada ya kumfungua shati, nikamsogelea nikaanza kumkiss. Kisha nikamsogelea sikioni mwake nikasema, "Nakupenda Adrian." Adrian k**a nampata vile, kumbe kanipita miaka 5. Maana hapo nina 20, yeye ana miaka 25. Na ninavyompelekesha muda mwingine utasema mie ni kijitu kizima, kumbe nimeyaanza mapema tu. Basi bwana, nikaanza kukiss na mchumba. Basi kaka akanivuta akanipakata. Akaanza kunifungua shati la shule. Hapo nishajilegeza kweli kweli. Nangoja kuwa naye karibu tu, nisikie raha yake. Chezea mimi.

Basi alipomaliza kunivua shati la shule, akaanza kunionesha mapenzi. Woooow, nilizidi kujiachia jamani. Yaani nilibaki kumsikilizia tu. Akaanilaza kitandani ak**alizia kunivua nguo za chini. Akaanza kunishughulikia kwa mapenzi. Nyie, huyu kaka akiwa anapenda huwa hajali kabisa kuwa mimi ni mdogo, sijui naumia wala nini. Yeye anapiga kazi kweli kweli ya kunipenda. Na ndio ninavyopenda, na asiponifanyia siku 2 nahisi mpaka naumwa. Yaani michezo yetu nilishaizoea mno. Halafu wazazi wala hawaelewi kitu. Yaani nilikuwa msiri kweli. Maana nilikuwa na simu na nishaitumia k**a miezi 3. Na hakuna mtu alijua, sio mama wala baba aliyekuwa anajuwa kuwa namiliki simu tena ya bei. Nyie, kaka alinipenda kweli kweli. Mpaka nimechoka hoi. Hapo sasa ndio nikaona hata akili imekaa sawa. Nyie, hamu ya mapenzi mbaya.

Nilipomaliza sasa, tukaenda kuoga. Tulipotoka ndio shoga yenu nikaanza kuvaa nguo zangu. Huku Adrian akiwa kajilaza kitandani kachoka kweli kweli. Nilipomaliza kuvaa, nikamuaga. Akanambia, "Hata sikusindikizi mchumba maana umeshanichosha, nimechoka sana." Nikasema, "Usiweze kipenzi." Basi akavuta elfu 20 akainipa. Nikambusu kisha huyo taratibu nikarejea home.

Basi nikamkuta mama sebuleni. Akanmbia, "Wewe leo mbona umechelewa sana? Ulipita wapi mwenzangu?" Nikasema, "Mama, nilipitia kwa kina Tatu kumuona mama yake anaumwa." Mama akasema, "Ahaa, anaendeleaje lakini?" Nikasema, "Yupo sawa tu." Mama akaniambia, "Sawa hakuna shida." Nikaingia chumbani kwangu nikabadili nguo. Nikafunga mlango wangu wa chumbani. Nikatoa simu yangu nikawa machati na washikaji. Hivyo yaani. Muda wa usiku sana, ndio mama akawa ananigongea. Akanmbia, "Wewe, nimeshapika unakula saa hizi? Au unamngoja baba yako tuje kula wote?" Niksema, "Mama, namngoja baba." Akanmbia, "Sawa, njoo sebuleni basi usikae ndani peke yako." Loooh, angejua nachatika huku 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻.

Nikaona isiwe kesi. Nikaweka simu pembeni. Nikatoka sebuleni nikawa nimekaa na mama. Tunaangalia tamthilia. Mara tukasikia mlango unagongwa. Nikajua ni baba tu. Basi haraka nikaenda kufungua mlango nikiwa na furaha kweli. Na nilipofungua kweli alikuwa baba. Nikamkumbatia kwa furaha. Ila kwa pembeni kulikuwa na mgeni. Nilipomuangalia vizuri, mh, si namuona Baraka. Binamu yangu huyu. Yaani ni mtoto wa shangazi yangu. Ila huyo shangazi yangu alishafariki zamani sana. Hawa wanae sijui hata walikuwa wanaishije. Ila sasa nikashangaa kumuona kwetu, tena ana lile fuko la shangazi kaja kubwa. Loooh, nikajua huyu ni mgeni jamani na hana dalili ya kuondoka kwetu leo wala kesho. Na nilivyosipendi kukaa na watu wanaotoka kijijini looooh 😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡.

Itaendeleaaaa...............

Sehemu ya 3 na 4
Watsapp;

Basi nikaona baba anamkaribisha Baraka ndani. Akanmbia, "Msaidie kaka yako kumbeba mfuko wake." Looh, ndio kashaamia huyu. Ila kwa kuwa mzee ndio alisema, sikupinga. Nikambebea tu mshangazi kaja wake mpaka ndani. Mama akasema, "Heee, mbona mizigo jamani? Imekuwaje?" Nikanyamaza kimya maana tayari baba alishaingia ndani na Baraka. Basi Baraka akamsogelea mama, kisha akamsalimia. Looh, mama alimuitikia huku kauvuta mdomo. Bila shaka hata yeye hakupenda ujio wa Baraka nyumbani k**a mimi tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻.

Basi baada ya Baraka kumsalimia mama, akarudi kukaa katika sofaa. Aseee, mama alishabadilika sura, kavimba kweli kweli. Mama akasema, "Aya we baba Shakira, vipi mbona unaniletea ugeni usiokuwa na taarifa?" Baba akasema, "Ahaa mke wangu, hayo mambo tutaongea chumbani kwetu. Kwa sasa ngoja tumuoneshe Baraka chumba akapumzike kwanza, na apewe chakula maana ndio ametoka kirwa huu muda." Mama akasema, "We mzee, usinichanganye! Nani kakwambia mimi nyumbani kwangu nataka wageni? Mimi sitaki wageni." Baba akasema, "Sikia mama Shakira. Baraka amefaulu chuo Amefaulia hapo Azania. Na amekosa nafasi za kukaa bweni. Ameniomba awe anaishi hapa ili awe anapata afueni ya kuzingatia masomo yake." Mama akasema, "Kwani ndugu Dar uko peke yako? So aende kwa wengine." Muda wote huo Baraka alikuwa amenyamaza kimya na kainamia chini tu.

Baba akasema, "Ni kweli ndugu tuko wengi. Ila Baraka ana ndugu zake wawili. Na hao ndugu zake, yeye ndio alikuwa anawalea tangu marehemu dada kafariki. Leo mtoto amefaulu mpaka alikuwa anakataa kusoma ili alee ndugu zake. Ila tuliona sio sawa ni lazima asome, aje kuwalea vizuri ndugu zake. Hivyo tumechukuana, na ndugu zake wote tumegawana. Na Baraka kaomba aje kukaa kwangu. Kuna shida gani?" Mama akasema, "Sihitaji watu wasiokuwa wa Dar ndani kwangu, full stop. Hawa watoto wa vijijini hawaelewekagi. Wengine wanakuaga wachawi hawa." Mh, mama alijua kukomalia kuwa hamtaki Baraka kabisa ndani kwake. Hapo sasa ndio nilisikia sauti ya Baraka. Akasema, "Shangazi, naomba nikae nisome. Nitakuwa nakusaidia kazi zote za nyumbani. Na nikimaliza , naondoka shangazi." Mama akamjibu, "Shida sitaki maisha ya kijijini ndani kwangu." Hapo sasa mzee akafoka akasema, "Mama Shakira, mbona una roho kubwa wewe? Huyu Baraka unamkataa kwa sababu zipi? Wakati sehemu ya kulala ipo. Chakula mimi ndio natafuta. Na huyu hapa kaja kusoma, hajaja kukaa tuu. Acha roho kubwa mwanamke wewe." Hapo mama akanyamaza huku mdomo kaufunga. Doooh, na mimi nilijinuna wala sikuwa nataka wageni kwetu. Basi huyu mzee kashaongea. Baba akasema, "Aya Shakira, mbebe mzigo kaka yako mpelekee chumbani kule." Nikanyanyuka nimevuta mdomo. Nikambebea mpaka chumba cha wageni. Nikamtupia lishangazi kaja lake.

Na yeye akaingia ndani. Nikamuangalia kwa dharau kweli kweli, kwa kumpandisha na kumshusha. Nikasema, "Aya, una furaha sasa? Wazazi wangu wanagombana kwa ajili yako, mshamba wa kijijini wewe." Baraka aliniangalia tu wala hakunijibu. Nikasema, "Sikia, hatukutaki kwetu, ondoka. Nenda kwenu, ama katafute sehemu nyingine ya kuishi. Au unataka kwetu sababu umeona baba yangu ana nyumba nzuri na utakula vizuri, si ndio? Muangalie kwanza alivyo kuwa baya na haueleweki. Chefuuuu." Aseeee, Baraka alibaki kimya ananiangalia tu. Nikasema, "Sasa sikia, utakuwa mfanyakazi humu. Si umetaka kuja kukaa? Nitakukomesha. Liangalia kwanza na miguu yake ilivyoonekana imechafuka. Na ndio maana siwapendi watu wa kijijini looh." Nikamsonya kisha huyo nikatoka mle chumbani. Nikaenda dining. Nikakuta mama ndio anaanda chakula. Mzee akaniuliza, "Umemuacha anaoga ama? Inabidi aje kupata chakula kwanza." Nikasema, "Ndio baba, nimemuacha ndio anatala kuoga." Mzee akasema, "Sawa." Basi baada ya muda mzee akanituma nikamuite aje kula.

Nikajinyanyua nikafungua mlango wake hata hodi sijapiga. Nikamkuta kakaa kitandani kashika picha ya marehemu mama yake, anainagalia sana. Aliponiona mimi akaficha ile picha. Nikamwambia, "Wewe yatima njoo ule bwana." Akasema, "Asante dada Shakira, ila nimeshiba." Nikasema, "Powa, umesusa looh, ndio tunavyoomba ususage hivyo hivyo, lione kwanza lilivyo baya." Nilimchukia huyu kaka ghafla kudadeki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻. Nikarudi mezani. Nikasema, "Baba, kaka Baraka amesema ameshiba." Baba akasema, "Mh, kala saa ngapi? Utanipa chakula chake nitampelekea." Mama akasema, "Si amesema ameshiba ama?" Mie nikadakia, "Si eti jamani kwanza kashalala." Baba akanikata jicho, hilo nikajinyamazia kimya. Basi tukala wenyewe. Na tulipomaliza tu, mzee akanyanyuka na chakula akaelekea chumbani kwa Baraka. Mama yangu alichukia sana, niliona kavuta mdomo sio masihara. Akanmbia, "Nenda kapumzike mtoto wangu." Nikasema, "Sawa mama asanteee." Nikanyanyuka nikaingia chumbani kwangu. Nikatoa simu yangu nikawa nachati na baby wangu. Mpaka usingizi ulinipitia.

Asubuhi ya hii siku, ilikuwa ni weekend so nilichelewa kuamka kweli. Nilipoamka nikaoga mtoto wa k**e. Nikavaa vizuri nikanawaka kweli kweli. Ndio nikatoka sasa. Nikamkuta mama anaangalia TV. Nikasema, "Mama jamani, za asubuhi na shikamo." Mama akaniitikia vizuri mno. Kisha akanambia, "Huyo wa kijijini kaamkia kazi shoga yangu. Yaani naamka nakuta kashafanya kila kitu, anashindwa kukaa hapa." Nikacheka. Nikasema, "Mama, unasema kweli? Kafanya kila kitu hapa?" Mama akasema, "Sasa jee, unadhani masihara? Kafanya kila kitu, unaona ndani kunavyowaka. Ni yeye kaamka na dobi. Hivyo, mjomba wake alivyoondoka kamchukua kaondoka nae. Kasema anaenda kumchukulia vifaa vya shule, mama J'tatu hii anaanza shule." Nikasema, "Kumbe, aya bwana. Cha muhimu kafanya kazi." Mama akasema, "At least kanituliza hasira zangu. Maana loooh, jitu lije likae tu, liwe linakula tu hata kazi lisifanye. Bola huyu na kazi anafanya." Nikabaki nacheka tu.

Na jioni sana kweli alirudi na baba, akiwa kabeba mifuko mingi. Na mingine alimshikia baba. Na moja kwa moja wakaenda chumbani kwa Baraka kwanza, kisha ndio wakatoka kusalimia sasa. Aliposalimia Baraka, mama yangu alikaa kimya. Bola hata mimi niliitikia ile ya kuzuga. Ila Baraka akanyamaza kimya. Mzee akaniuliza, "Mmepika?" Nikasema, "Ndio baba." Akamchukua Baraka wakaenda mezani kula. Na baada ya muda Baraka akaja akamwambia mama, "Shangazi, asante kwa chakula." Mama yangu akabaki kimya, k**a hajasikia vile. Basi Baraka akaenda chumbani kwake. Alipoingia tu na mimi nikaingia tena k**a kawaida yangu bila ya hodi.

Nilimkuta Baraka amekaa kitandani anapanga vitu vyake. Ila aliponiona akasema, "Shakira, naomba ukiingia chumbani kwangu uwe unagonga hodi. Mimi ni kaka yako naomba uniheshimu." Nikajikuta nimecheka kwa nguvu. Nikasema, "Looh, lione kwanza, hata aibu halioni. Eti chumbani kwangu! Eti kwangu? Una kwako hapa? Mjinga wewe! Hapa ni kwetu, usinipangie masharti mimi, mjinga wewe! Usinipangie cha kufanya kwetu." Nikaenda kwenye mifuko yake nikaanza kupekua alichonunuliwa na baba yangu k**a nimetumwa vile. Akabaki kimya ananingalia tu. Nikaamwaga mwaga vitu vyake. Niliona baba kamnunulia begi, viatu, sare za shule, madaftari, nguo za kushindia, viatu, mpaka boksa. Kamnunulia. Nikaumia, yaani baba katumia pesa zote hizi kumnunulia vitu huyu mpumbavu, doooh 😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡.

Address

Dubai

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when simulizi za dr john posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share