07/12/2025
NAKUPENDA SASA.
Sehemu ya 1 na 2
Watsapp; 0789824178
Hello guys, ninaamini mko poa. Naomba niwape kisa changu kizuri na chenye mafunzo mengi sana. Nafikiri mtajifunza na kufurahia mambo mengi.
Kwa majina naitwa Shakira Jamal. Mimi ni mtoto wa pekee kwenye familia yetu. Yaani nimezaliwa mimi tu. Na wala sikuwa na ndugu mwingine wa kuzaliwa. So nilikuwa napendwa kweli kweli na wazazi, maana ndio mtoto wao wa pekee. Familia yangu ina uchumi wa kati. Siwezi kusema tuna pesa sana, ama ni masikini sana, noooo. Na mzee wangu ni mfanyabiashara wa kawaida tu. Alikuwa anafanya biashara ya kuuza nguo Kariakoo. Kwa hiyo mzee alikuwa na uwezo japo sio sana, ila shida za kawaida mzee anatatua haraka.
Yaani mimi ndio mtoto wa pekee tu. Wazazi walinipata wakiwa na umri mkubwa sana, k**a vile bibi na babu. Ikawa inanipa nafasi ya kuwatania na kucheka nao sana. Na kuhusu kunipenda ndio usiseme jamani! Nilikuwa napendwa mno, nadekezwa sana, nalelewa k**a yai. Tena hasa mama. Kidogo mzee alikuwa mkali nikizingua. Ila mama wala hana shida kabisa na ananipenda sana. Yaani mama hata nikikosea kunisema ni shida. Ananitetea mpaka upumbavu. Ila mzee akisikia ndio atanisema sana. Ndivyo nilivyolelewa.
Mimi wala sio mzuri sana, ni wa kawaida tu. Na shepu yangu ya kawaida tu. Ila nilikuwa najikubali mno, yaani najiona mzuri jamani sijui hata niwaelezeje. Na nilichobarikiwa ni usafi, yaani mimi ni msafi kweli kweli. Nikiwa tu, nilishaanza uhusiano. Nilikuwa na bwana wangu mkubwa tu anakaa mtaani kwetu. Anaitwa Adrian. Huyu kaka ndio bwana wangu na ndio nilianza naye mahusiano ya karibu. Ana kazi yake kidogo, kwa hiyo vipesa anavyo. Na mambo yote ya uhusiano ndio kanifundisha. Amejenga karibia na mitaa ya nyumbani na wala sio mbali.
Mimi kwetu ni Dar, maeneo ya Ubungo River Side. Hapo ndio wazazi walikuwa na nyumba yao. Na nimesoma chuo Ubungo . Basi bwana, siku hiyo nipo class. Hapo ni . Nipo na shoga yangu anaitwa Tatu. Nikamwambia Tatu, "Mwenzio hapa hata sielewi." Akanmbia, "Kwa nini sasa?" Nikasema, "Shoga, nahisi nahitaji sana kuwa na mpenzi wangu. Yaani nahisi nia ya kutaka kuwa naye sio poa, natamani nimuone Adrian." Tatu alicheka kweli kweli. Akanmbia, "Aya dada, Adrian si yupo kwa ajili yako bwana. Ukitoka hapa uende ukamuone." Nikasema, "Ndio, naondoka muda sio mrefu nataka kutoroka. Najua now atakuwa kazini ila akirudi atanikuta, maana funguo ninayo." Shoga akanmbia, "Sawa, amna shida." Basi shoga yenu sikungoja kuruhusiwa. Nikabeba begi langu. Mdogo mdogo, nikasepa mpaka kwa Adrian.
Huyu kaka kwanza alijipata jamani. Hapo kwake ni nyumba yake kajenga. Na ana kigari chake cha mchongo. Na huwa ananiambia kuwa anafanya kazi benki. Na pesa ananipa, sina shida ndogo ndogo. Na mzee wangu anavyonipa pesa sasa, nikajikuta nakuwa boss lady. Maana mtu mzima wa ila tayari nilikuwa namiliki simu ya milioni 1.5 ndani, naificha tu wazazi wasione. Na hiyo ndio ilikuwa zawadi yangu ambayo alinipa Adrian baada ya kuanza naye maisha ya kimapenzi.
Adrian ni kijana mmoja mzuri sana jamani. Mimi hata sielewi huyu kaka kanipendea nini. Maana dooh ni handsome tu kwa kweli, mweupe mwenyewe. Ila ni mfupi, ila sio ule ufupi wa kuboa bwana. Nampenda huyu kaka sana sana. Hata akinambia leo acha shule nikuoe, mie naacha hapo hapo. Weee, mkaka nampenda sana. Na yeye ananiambia ananipenda sana kuliko chochote kile. Basi tuendeleeni bwana.
Basi shoga yenu, nikafika mpaka kwa Adrian. Ana nyumba nzuri na ina kafensi. Basi mie tena si ndio mama mwenye nyumba. Nikafungua milango nikaingia ndani. Na moja kwa moja mpaka chumbani nikaenda kujilaza kumsubiri baby, maana huwa analudi saa 10. Basi shoga yenu usingizi ukanipitia kabisa. Nikaja kushtuka mtu ananibusu kwenye paji la uso. Wala hakuwa mwingine bali alikuwa baby wangu Adrian. Basi nikasema, "Jamani baby umeludi kumbe." Akasema, "Yes, nimeludi. Mbona umekuja saa hizi na Shakira? Si huwa nakukataza jamani kuja na ." Nikasema, "Nilikukumbuka bwana nikaona naboeka tu ndio maana." (Na akili za darasani kwanza hata sina 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻). Basi Adrian akasema, "Sawa, ila usirudie kuja na . Maana kwako wewe unaona ni sawa, ila kwangu ni hatari. Sawa mama?" Nikasema, "Sawa kipenzi." Basi nikamsogelea nikaanza kumfungua shati lake. Nyie, yeye ndio alinifundisha ila nilishakuwa mwalimu. Kwanza kiunoni mwangu muda wote huwezi kukosa shanga.
Baada ya kumfungua shati, nikamsogelea nikaanza kumkiss. Kisha nikamsogelea sikioni mwake nikasema, "Nakupenda Adrian." Adrian k**a nampata vile, kumbe kanipita miaka 5. Maana hapo nina 20, yeye ana miaka 25. Na ninavyompelekesha muda mwingine utasema mie ni kijitu kizima, kumbe nimeyaanza mapema tu. Basi bwana, nikaanza kukiss na mchumba. Basi kaka akanivuta akanipakata. Akaanza kunifungua shati la shule. Hapo nishajilegeza kweli kweli. Nangoja kuwa naye karibu tu, nisikie raha yake. Chezea mimi.
Basi alipomaliza kunivua shati la shule, akaanza kunionesha mapenzi. Woooow, nilizidi kujiachia jamani. Yaani nilibaki kumsikilizia tu. Akaanilaza kitandani ak**alizia kunivua nguo za chini. Akaanza kunishughulikia kwa mapenzi. Nyie, huyu kaka akiwa anapenda huwa hajali kabisa kuwa mimi ni mdogo, sijui naumia wala nini. Yeye anapiga kazi kweli kweli ya kunipenda. Na ndio ninavyopenda, na asiponifanyia siku 2 nahisi mpaka naumwa. Yaani michezo yetu nilishaizoea mno. Halafu wazazi wala hawaelewi kitu. Yaani nilikuwa msiri kweli. Maana nilikuwa na simu na nishaitumia k**a miezi 3. Na hakuna mtu alijua, sio mama wala baba aliyekuwa anajuwa kuwa namiliki simu tena ya bei. Nyie, kaka alinipenda kweli kweli. Mpaka nimechoka hoi. Hapo sasa ndio nikaona hata akili imekaa sawa. Nyie, hamu ya mapenzi mbaya.
Nilipomaliza sasa, tukaenda kuoga. Tulipotoka ndio shoga yenu nikaanza kuvaa nguo zangu. Huku Adrian akiwa kajilaza kitandani kachoka kweli kweli. Nilipomaliza kuvaa, nikamuaga. Akanambia, "Hata sikusindikizi mchumba maana umeshanichosha, nimechoka sana." Nikasema, "Usiweze kipenzi." Basi akavuta elfu 20 akainipa. Nikambusu kisha huyo taratibu nikarejea home.
Basi nikamkuta mama sebuleni. Akanmbia, "Wewe leo mbona umechelewa sana? Ulipita wapi mwenzangu?" Nikasema, "Mama, nilipitia kwa kina Tatu kumuona mama yake anaumwa." Mama akasema, "Ahaa, anaendeleaje lakini?" Nikasema, "Yupo sawa tu." Mama akaniambia, "Sawa hakuna shida." Nikaingia chumbani kwangu nikabadili nguo. Nikafunga mlango wangu wa chumbani. Nikatoa simu yangu nikawa machati na washikaji. Hivyo yaani. Muda wa usiku sana, ndio mama akawa ananigongea. Akanmbia, "Wewe, nimeshapika unakula saa hizi? Au unamngoja baba yako tuje kula wote?" Niksema, "Mama, namngoja baba." Akanmbia, "Sawa, njoo sebuleni basi usikae ndani peke yako." Loooh, angejua nachatika huku 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻.
Nikaona isiwe kesi. Nikaweka simu pembeni. Nikatoka sebuleni nikawa nimekaa na mama. Tunaangalia tamthilia. Mara tukasikia mlango unagongwa. Nikajua ni baba tu. Basi haraka nikaenda kufungua mlango nikiwa na furaha kweli. Na nilipofungua kweli alikuwa baba. Nikamkumbatia kwa furaha. Ila kwa pembeni kulikuwa na mgeni. Nilipomuangalia vizuri, mh, si namuona Baraka. Binamu yangu huyu. Yaani ni mtoto wa shangazi yangu. Ila huyo shangazi yangu alishafariki zamani sana. Hawa wanae sijui hata walikuwa wanaishije. Ila sasa nikashangaa kumuona kwetu, tena ana lile fuko la shangazi kaja kubwa. Loooh, nikajua huyu ni mgeni jamani na hana dalili ya kuondoka kwetu leo wala kesho. Na nilivyosipendi kukaa na watu wanaotoka kijijini looooh 😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡.
Itaendeleaaaa...............
Sehemu ya 3 na 4
Watsapp;
Basi nikaona baba anamkaribisha Baraka ndani. Akanmbia, "Msaidie kaka yako kumbeba mfuko wake." Looh, ndio kashaamia huyu. Ila kwa kuwa mzee ndio alisema, sikupinga. Nikambebea tu mshangazi kaja wake mpaka ndani. Mama akasema, "Heee, mbona mizigo jamani? Imekuwaje?" Nikanyamaza kimya maana tayari baba alishaingia ndani na Baraka. Basi Baraka akamsogelea mama, kisha akamsalimia. Looh, mama alimuitikia huku kauvuta mdomo. Bila shaka hata yeye hakupenda ujio wa Baraka nyumbani k**a mimi tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻.
Basi baada ya Baraka kumsalimia mama, akarudi kukaa katika sofaa. Aseee, mama alishabadilika sura, kavimba kweli kweli. Mama akasema, "Aya we baba Shakira, vipi mbona unaniletea ugeni usiokuwa na taarifa?" Baba akasema, "Ahaa mke wangu, hayo mambo tutaongea chumbani kwetu. Kwa sasa ngoja tumuoneshe Baraka chumba akapumzike kwanza, na apewe chakula maana ndio ametoka kirwa huu muda." Mama akasema, "We mzee, usinichanganye! Nani kakwambia mimi nyumbani kwangu nataka wageni? Mimi sitaki wageni." Baba akasema, "Sikia mama Shakira. Baraka amefaulu chuo Amefaulia hapo Azania. Na amekosa nafasi za kukaa bweni. Ameniomba awe anaishi hapa ili awe anapata afueni ya kuzingatia masomo yake." Mama akasema, "Kwani ndugu Dar uko peke yako? So aende kwa wengine." Muda wote huo Baraka alikuwa amenyamaza kimya na kainamia chini tu.
Baba akasema, "Ni kweli ndugu tuko wengi. Ila Baraka ana ndugu zake wawili. Na hao ndugu zake, yeye ndio alikuwa anawalea tangu marehemu dada kafariki. Leo mtoto amefaulu mpaka alikuwa anakataa kusoma ili alee ndugu zake. Ila tuliona sio sawa ni lazima asome, aje kuwalea vizuri ndugu zake. Hivyo tumechukuana, na ndugu zake wote tumegawana. Na Baraka kaomba aje kukaa kwangu. Kuna shida gani?" Mama akasema, "Sihitaji watu wasiokuwa wa Dar ndani kwangu, full stop. Hawa watoto wa vijijini hawaelewekagi. Wengine wanakuaga wachawi hawa." Mh, mama alijua kukomalia kuwa hamtaki Baraka kabisa ndani kwake. Hapo sasa ndio nilisikia sauti ya Baraka. Akasema, "Shangazi, naomba nikae nisome. Nitakuwa nakusaidia kazi zote za nyumbani. Na nikimaliza , naondoka shangazi." Mama akamjibu, "Shida sitaki maisha ya kijijini ndani kwangu." Hapo sasa mzee akafoka akasema, "Mama Shakira, mbona una roho kubwa wewe? Huyu Baraka unamkataa kwa sababu zipi? Wakati sehemu ya kulala ipo. Chakula mimi ndio natafuta. Na huyu hapa kaja kusoma, hajaja kukaa tuu. Acha roho kubwa mwanamke wewe." Hapo mama akanyamaza huku mdomo kaufunga. Doooh, na mimi nilijinuna wala sikuwa nataka wageni kwetu. Basi huyu mzee kashaongea. Baba akasema, "Aya Shakira, mbebe mzigo kaka yako mpelekee chumbani kule." Nikanyanyuka nimevuta mdomo. Nikambebea mpaka chumba cha wageni. Nikamtupia lishangazi kaja lake.
Na yeye akaingia ndani. Nikamuangalia kwa dharau kweli kweli, kwa kumpandisha na kumshusha. Nikasema, "Aya, una furaha sasa? Wazazi wangu wanagombana kwa ajili yako, mshamba wa kijijini wewe." Baraka aliniangalia tu wala hakunijibu. Nikasema, "Sikia, hatukutaki kwetu, ondoka. Nenda kwenu, ama katafute sehemu nyingine ya kuishi. Au unataka kwetu sababu umeona baba yangu ana nyumba nzuri na utakula vizuri, si ndio? Muangalie kwanza alivyo kuwa baya na haueleweki. Chefuuuu." Aseeee, Baraka alibaki kimya ananiangalia tu. Nikasema, "Sasa sikia, utakuwa mfanyakazi humu. Si umetaka kuja kukaa? Nitakukomesha. Liangalia kwanza na miguu yake ilivyoonekana imechafuka. Na ndio maana siwapendi watu wa kijijini looh." Nikamsonya kisha huyo nikatoka mle chumbani. Nikaenda dining. Nikakuta mama ndio anaanda chakula. Mzee akaniuliza, "Umemuacha anaoga ama? Inabidi aje kupata chakula kwanza." Nikasema, "Ndio baba, nimemuacha ndio anatala kuoga." Mzee akasema, "Sawa." Basi baada ya muda mzee akanituma nikamuite aje kula.
Nikajinyanyua nikafungua mlango wake hata hodi sijapiga. Nikamkuta kakaa kitandani kashika picha ya marehemu mama yake, anainagalia sana. Aliponiona mimi akaficha ile picha. Nikamwambia, "Wewe yatima njoo ule bwana." Akasema, "Asante dada Shakira, ila nimeshiba." Nikasema, "Powa, umesusa looh, ndio tunavyoomba ususage hivyo hivyo, lione kwanza lilivyo baya." Nilimchukia huyu kaka ghafla kudadeki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻. Nikarudi mezani. Nikasema, "Baba, kaka Baraka amesema ameshiba." Baba akasema, "Mh, kala saa ngapi? Utanipa chakula chake nitampelekea." Mama akasema, "Si amesema ameshiba ama?" Mie nikadakia, "Si eti jamani kwanza kashalala." Baba akanikata jicho, hilo nikajinyamazia kimya. Basi tukala wenyewe. Na tulipomaliza tu, mzee akanyanyuka na chakula akaelekea chumbani kwa Baraka. Mama yangu alichukia sana, niliona kavuta mdomo sio masihara. Akanmbia, "Nenda kapumzike mtoto wangu." Nikasema, "Sawa mama asanteee." Nikanyanyuka nikaingia chumbani kwangu. Nikatoa simu yangu nikawa nachati na baby wangu. Mpaka usingizi ulinipitia.
Asubuhi ya hii siku, ilikuwa ni weekend so nilichelewa kuamka kweli. Nilipoamka nikaoga mtoto wa k**e. Nikavaa vizuri nikanawaka kweli kweli. Ndio nikatoka sasa. Nikamkuta mama anaangalia TV. Nikasema, "Mama jamani, za asubuhi na shikamo." Mama akaniitikia vizuri mno. Kisha akanambia, "Huyo wa kijijini kaamkia kazi shoga yangu. Yaani naamka nakuta kashafanya kila kitu, anashindwa kukaa hapa." Nikacheka. Nikasema, "Mama, unasema kweli? Kafanya kila kitu hapa?" Mama akasema, "Sasa jee, unadhani masihara? Kafanya kila kitu, unaona ndani kunavyowaka. Ni yeye kaamka na dobi. Hivyo, mjomba wake alivyoondoka kamchukua kaondoka nae. Kasema anaenda kumchukulia vifaa vya shule, mama J'tatu hii anaanza shule." Nikasema, "Kumbe, aya bwana. Cha muhimu kafanya kazi." Mama akasema, "At least kanituliza hasira zangu. Maana loooh, jitu lije likae tu, liwe linakula tu hata kazi lisifanye. Bola huyu na kazi anafanya." Nikabaki nacheka tu.
Na jioni sana kweli alirudi na baba, akiwa kabeba mifuko mingi. Na mingine alimshikia baba. Na moja kwa moja wakaenda chumbani kwa Baraka kwanza, kisha ndio wakatoka kusalimia sasa. Aliposalimia Baraka, mama yangu alikaa kimya. Bola hata mimi niliitikia ile ya kuzuga. Ila Baraka akanyamaza kimya. Mzee akaniuliza, "Mmepika?" Nikasema, "Ndio baba." Akamchukua Baraka wakaenda mezani kula. Na baada ya muda Baraka akaja akamwambia mama, "Shangazi, asante kwa chakula." Mama yangu akabaki kimya, k**a hajasikia vile. Basi Baraka akaenda chumbani kwake. Alipoingia tu na mimi nikaingia tena k**a kawaida yangu bila ya hodi.
Nilimkuta Baraka amekaa kitandani anapanga vitu vyake. Ila aliponiona akasema, "Shakira, naomba ukiingia chumbani kwangu uwe unagonga hodi. Mimi ni kaka yako naomba uniheshimu." Nikajikuta nimecheka kwa nguvu. Nikasema, "Looh, lione kwanza, hata aibu halioni. Eti chumbani kwangu! Eti kwangu? Una kwako hapa? Mjinga wewe! Hapa ni kwetu, usinipangie masharti mimi, mjinga wewe! Usinipangie cha kufanya kwetu." Nikaenda kwenye mifuko yake nikaanza kupekua alichonunuliwa na baba yangu k**a nimetumwa vile. Akabaki kimya ananingalia tu. Nikaamwaga mwaga vitu vyake. Niliona baba kamnunulia begi, viatu, sare za shule, madaftari, nguo za kushindia, viatu, mpaka boksa. Kamnunulia. Nikaumia, yaani baba katumia pesa zote hizi kumnunulia vitu huyu mpumbavu, doooh 😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡.