SBS Swahili

SBS Swahili SBS is the national multilingual, multicultural, and Indigenous media organisation for all Australians.

Use of this account is subject to SBS Terms and Conditions sbs.com.au/terms

Feedback or complaints sbs.com.au/complaints From its beginnings in 1975, SBS has evolved into a contemporary, multiplatform and multilingual media organisation with six distinctive free-to-air TV channels in SBS, National Indigenous Television (NITV), SBS VICELAND, SBS Food, SBS World Movies, and SBS WorldWatch; an exten

sive radio, audio, and language content network providing more than 60 culturally and linguistically diverse communities with services in their preferred language; and an innovative digital offering, including streaming destination SBS On Demand, available to audiences anytime, anywhere. Follow us on Twitter: twitter.com/SBS
Follow us on Instagram: instagram.com/sbs_australia

HOUSE RULES
This page is a way to get updates, the latest information, promotions and more for SBS and our shows. We'd love for you to leave comments, share photos and videos here. However, please always be respectful of others otherwise or we might need to take down your comments. We also reserve the right to remove spam, reposts, repetitive comments, and those that attempt to interrupt or derail a conversation between other members of the community. Whilst we welcome contributions to our page, we do not endorse the content of those contributions. Contributions should comply with SBS' Network Terms and Conditions and Privacy Policy which are linked clearly below. Network Terms and Conditions
sbs.com.au/terms
Privacy Policy
sbs.com.au/privacy

Tangu kuanzishwa kwake mwaka 1975, SBS ilibadirika na kuwa shirika la kisasa, lenye majukwa na lugha nyingi likijumuisha chaneli tofauti za bure za TV za SBS, chaneli za lugha za kitaifa za asili (NITV), SBS VICELAND, SBS Chakula, SBS sinema za dunia, na SBS Saa ya Dunia, mtandao mpana wa radio, sauti na maudhui ya lugha unaotoa huduma kwa jamii zenye tamaduni na lugha zaidi ya 60 na huduma kwa lugha wanayoipendelea; na kifurushi bunifu cha kidigitali, kikijumuisha mkondo wa moja kwa moja wa SBS kwa mahitaji unaopatikana kwa wasikilizaji wakati wote, mahali popote. Tufuatilie kupitia twita: twitter.com/SBS
Tufuatilie Instagram: instagram.com/sbs_australia

HOUSE RULES
Ukurasa huu wa facebook ni njia ya kapata sasisho, taarifa mpya, hamasa na kadhalika za SBS na maonyesho yetu
Tutapenda k**a utatuachia maoni, sambaza picha na filamu hapa
Hata hivyo, kila mara kuwa na heshima kwa wengine la sivyo tutahitaji kuondoa maoni yako
Inabakia kuwa haki yetu pia kuondoa taarifa tata, maoni yanayojirudia na taarifa zote zinazojaribu kutukatiza au kutuhamisha mazungumzo miongoni mwa washirika wa jamii
Wakati tunakaribisha michango kwenye ukurasa wetu wa facebook, hatuthibitishi maudhui ya michango hiyo
Michango lazima iendane na sheria na masharti ya mtandao wa ABS na sera ya faragha ambavyo vimeunganishwa hapa chini. Sheria na mashari ya mtandao
sbs.com.au/terms
Sera ya faragha
sbs.com.au/privacy

Utabiri wa hivi karibuni wa majaliwa ya moto wa nyika unatabiri hatari kubwa ya moto katika sehemu mbalimbali za Austral...
05/12/2025

Utabiri wa hivi karibuni wa majaliwa ya moto wa nyika unatabiri hatari kubwa ya moto katika sehemu mbalimbali za Australia msimu huu wa kiangazi. Licha ya mvua za hivi karibuni katika kusini mashariki mwa nchi, mamlaka zinasema haitachukua muda mrefu kwa moto kushika moto.

05/12/2025

Jaon Nyakundi anatujuza kinachoendelea Africa.

Nchini Australia, karibu tani milioni 7.6 za chakula zinapotezwa kila mwaka. Mwanzilishi mmoja wa k**e ameunda suluhisho...
05/12/2025

Nchini Australia, karibu tani milioni 7.6 za chakula zinapotezwa kila mwaka. Mwanzilishi mmoja wa k**e ameunda suluhisho ndani ya sanduku.Linapokuja suala la usafi wa taka za chakula hatahivo, mwanzilishi wa kampuni ya kuanzisha Olympia Yarger [[Yar-gah]] ana fahari ya kuwa ametengeneza mfumo wa kiteknolojia unaoweza kubadilisha taka kuwa bidhaa zinazoweza kutumika – kwa kutumia wadudu.

Nchini Australia, karibu tani milioni 7.6 za chakula zinapotezwa kila mwaka. Mwanzilishi mmoja wa k**e ameunda suluhisho ndani ya sanduku.Linapokuja suala la usafi wa taka za chakula hatahivo, mwanzilishi wa kampuni ya kuanzisha Olympia Yarger [[Yar-gah]] ana fahari ya kuwa ametengeneza mfumo wa…

05/12/2025

Kwa taarifa zaidi tunakuelekeza katika tovuti ya sbs.com.au/swahili.

Viongozi wa dunia wamesifu mkutano wa kwanza wa G20 kufanyika Afrika k**a ushindi kwa ushirikiano wa kimataifa, hata wal...
28/11/2025

Viongozi wa dunia wamesifu mkutano wa kwanza wa G20 kufanyika Afrika k**a ushindi kwa ushirikiano wa kimataifa, hata walipokuwa wakizungumzia changamoto za mabadiliko ya tabianchi, ukosefu wa usawa na vita, dhidi ya muktadha wa ushindani unaobadilika wa kidiplomasia. Kutokuwepo kwa Rais Donald Trump kumewafanya watu kujiuliza maswali kuhusu nafasi ya Marekani katika mpangilio wa dunia unaobadilika.

Viongozi wa dunia wamesifu mkutano wa kwanza wa G20 kufanyika Afrika k**a ushindi kwa ushirikiano wa kimataifa, hata walipokuwa wakizungumzia changamoto za mabadiliko ya tabianchi, ukosefu wa usawa na vita, dhidi ya muktadha wa ushindani unaobadilika wa kidiplomasia. Kutokuwepo kwa Rais Donald…

Mmoja kati ya wanawake watano na mmoja kati ya wanaume kumi na sita wamekumbwa na ukatili wa kingono wakiwa watu wazima ...
28/11/2025

Mmoja kati ya wanawake watano na mmoja kati ya wanaume kumi na sita wamekumbwa na ukatili wa kingono wakiwa watu wazima huko Australia, kulingana na Ofisi ya Takwimu ya Australia ya 2023 - na bado asilimia tisini na mbili ya wanawake hawaripoti unyanyasaji wao wa hivi karibuni wa kingono. Ripoti mpya inataka kuelewa kwa kisheria miongoni mwa waathirika, huduma za mstari wa mbele, na wataalamu wa sheria, ili kusaidia waathirika kuifahamu mifumo changamano ya haki za jinai na kushughulikia viwango vya juu vya kuacha kesi za unyanyasaji wa kingono.

Mmoja kati ya wanawake watano na mmoja kati ya wanaume kumi na sita wamekumbwa na ukatili wa kingono wakiwa watu wazima huko Australia, kulingana na Ofisi ya Takwimu ya Australia ya 2023 - na bado asilimia tisini na mbili ya wanawake hawaripoti unyanyasaji wao wa hivi karibuni wa kingono. Ripoti…

28/11/2025

Jason Nyakundi ni mwanahabari kutoka Nairobi,Kenya na anatujuza yanayoendelea Afrika wiki hii.

28/11/2025

Fuata tovuti yetu sbs.com.au/swahili kwa habari na maelezo zaidi

Yanayoendelea Afrika...
26/11/2025

Yanayoendelea Afrika...

Jiunge na Jason Nyakundi anapotujuza yanayoendelea Afrika.

Wikendi iliyopita, jiji la Melbourne liliendelea kungara kwa rangi, muziki na Ladha za barani Afrika wakati wa tamasha l...
26/11/2025

Wikendi iliyopita, jiji la Melbourne liliendelea kungara kwa rangi, muziki na Ladha za barani Afrika wakati wa tamasha la utamaduni wa afrika lililowajumuisha watu kutoka mataifa mbali mbali. Tamasha hilo lililoandaliwa Federation square, liliwaleta Pamoja maelfu ya wakaazi wa Melbourne na wageni kutoka majimbo tofauti, wote wakikusanyika kusherehekea urithi na utambulisho wa Kiafrika.

Wikendi iliyopita, jiji la Melbourne liliendelea kungara kwa rangi, muziki na Ladha za barani Afrika wakati wa tamasha la utamaduni wa afrika lililowajumuisha watu kutoka mataifa mbali mbali. Tamasha hilo lililoandaliwa Federation square, liliwaleta Pamoja maelfu ya wakaazi wa Melbourne na wageni…

Mtandao wa Reddit na jukwaa la Kick zitaongezwa kwenye majukwaa yanayohitajika kuzuia watumiaji walio na umri chini ya m...
20/11/2025

Mtandao wa Reddit na jukwaa la Kick zitaongezwa kwenye majukwaa yanayohitajika kuzuia watumiaji walio na umri chini ya miaka 16, sheria mpya zitakapoanza kutekelezwa mwezi Desemba. Marufuku ya Australia ya mitandao ya kijamii kwa watoto chini ya miaka 16, ambayo inajumuisha majukwaa nane kuu, inategemea tathmini zinazoendelea za eSafety ambazo zinaweza kufafanua kati ya huduma za mitandao ya kijamii, ujumbe, na michezo, kuelezea ni kwanini majukwaa k**a Steam na Twitch hayakujumuishwa.

Mtandao wa Reddit na jukwaa la Kick zitaongezwa kwenye majukwaa yanayohitajika kuzuia watumiaji walio na umri chini ya miaka 16, sheria mpya zitakapoanza kutekelezwa mwezi Desemba. Marufuku ya Australia ya mitandao ya kijamii kwa watoto chini ya miaka 16, ambayo inajumuisha majukwaa nane kuu,…

Wahamiaji wengi wanakumbana na matatizo tofauti wanapojaribu kupata msaada wa afya ya akili. Umoja wa Mataifa unasema kw...
20/11/2025

Wahamiaji wengi wanakumbana na matatizo tofauti wanapojaribu kupata msaada wa afya ya akili. Umoja wa Mataifa unasema kwamba upatikanaji wa huduma za afya ya akili ni haki ya msingi kwa kila mtu , ikiwemo wahamiaji na wakimbizi. Umoja wa Mataifa unasisitiza kwamba wahamiaji mara nyingi wanakabiliwa na changamoto nyingi k**a vile msongo wa mawazo, huzuni, kiwewe na ata upweke kutokana na mazingira mapya. Mtaalamu wa Afya ya Akili Terry Kiguru anatueleza jinsi ya kupata msaada huo na kwanini.

Wahamiaji wengi wanakumbana na matatizo tofauti wanapojaribu kupata msaada wa afya ya akili. Umoja wa Mataifa unasema kwamba upatikanaji wa huduma za afya ya akili ni haki ya msingi kwa kila mtu , ikiwemo wahamiaji na wakimbizi. Umoja wa Mataifa unasisitiza kwamba wahamiaji mara nyingi wanakabiliwa....

Address

14 Herbert Street
Artarmon, NSW
2064

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SBS Swahili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SBS Swahili:

Share

Our Story

SBS, Special Broadcasting Service, was founded on the belief that all Australians, regardless of geography, age, cultural background or language skills should have access to high quality, independent, culturally-relevant Australian media. Whilst we welcome contributions to our page, we do not endorse the content of those contributions. Please keep comments on topic and remember that offensive posts will be deleted. Contributions should comply with SBS' Network Terms and Conditions and Privacy Policy. Network Terms and Conditions http://www.sbs.com.au/shows/aboutus/tab-listings/detail/i/2/article/5157/Terms-and-Conditions Privacy Policy http://www.sbs.com.au/shows/aboutus/tab-listings/detail/i/2/article/5142/SBS-Privacy-Statement.