
14/07/2025
"Katika utulivu wa ibada, moyo wake umefunguka kwa Mungu—akimwabudu kwa roho na kweli."
🫳"Lakini saa yaja, nayo saa imekwisha kuja, ambayo waabudu halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli; kwa maana Baba awatafuta watu k**a hao wamwabudu."
— Yohana 4:23