HOME NET

HOME NET Anyone Can Join HTS by Clicking on Like Button or Follow this Page than you make someone's SKILL hangs around the World immediately

14/02/2025
Jinsi ya Kuishi na Mtu Ambaye Anakukatisha Tamaa Kila KituKila mkiongea, anatafuta namna ya kukufanya ujione k**a hufai,...
18/11/2024

Jinsi ya Kuishi na Mtu Ambaye Anakukatisha Tamaa Kila Kitu

Kila mkiongea, anatafuta namna ya kukufanya ujione k**a hufai, akitumia maneno k**a “huna akili,” “huwezi kufanikiwa,” “nilikuambia hiki kitu hakiwezekani,” au “acha mambo ya kijinga.” Anatafuta kasoro kwenye kila kitu unachofanya na hajawahi kuona mazuri yako; kila wakati ni mapungufu tu.

(1) Kwa Nini Anafanya Hivi? Je wewe ni Mjinga kweli?

Hili ni swali la kwanza na la muhimu kujiuliza. Mtu huyu anaweza kuwa hajiamini mwenyewe. Inawezekana alikulia kwenye familia iliyokuwa ikimkatisha tamaa au ametokea kwenye mazingira yenye changamoto, k**a umaskini au mapungufu ya kimaumbile yanayomtesa, na hivyo hawezi kujithamini. Alishawahi kudharauliwa na Mwanamke/Mwanaume wake wa zamani!

Anahisi umemzidi kila kitu, na kwa akili zake, anaamini ukifanikiwa zaidi kuliko yeye utamdharau au kumuacha. Kwa hiyo, anajaribu kukushusha ili ujione k**a hufai.

(2) Tambua Thamani Yako, Furahia Mafanikio Yako!

Unapaswa kujua kuwa thamani yako ni sawa na pesa kwa mfano elfu kumi, hata k**a watu wakisema ni chafu, inanuka, haina thamni, hainunui chochote bado haibadilishi thamani yake. Jitambue kuwa unaweza kufanya biashara, kazi yako ni bora, na unajitambua mwenyewe. Maoni yake hayawezi kubadilisha ukweli huo.

Fanya mambo kwa ajili yako, na si kwa kumfurahisha yeye, kwa sababu kadri unavyojaribu kumfurahisha, ndivyo anavyozidi kukudharau. Fanya mambo kwa ajili yako!

(3) Weka Mipaka ya Mambo Unayomuambia Usitangaze sana mafanikio yako kwake.

Anapokuona hutafanikiwa, muache aendelee kuwa na mawazo hayo. K**a unataka kupanua biashara yako, fanya kimyakimya na usimwambie malengo yako yote. Wakati mwingine, muache aone matokeo tu.

(4) Kuwa na Malengo Yako na Fanya Kazi na Wanaokuunga Mkono!

Weka malengo yako ya kibinafsi na fanya kazi kwa ajili ya hayo malengo. Tafuta watu wanaokuunga mkono, hata k**a ni marafiki zako, dada yako, au mtu mwingine ambaye unajua atakuelewa na atakutia moyo. Hii itakusaidia kutegemea maoni yeny

INNA LILLAH WA INNA ILLAH RAJIUN Maisha yana Siri Kubwa Sana,Mr. Abass katoka America karudi Burundi Nyumbani Kuoa ila a...
21/07/2024

INNA LILLAH WA INNA ILLAH RAJIUN

Maisha yana Siri Kubwa Sana,

Mr. Abass katoka America karudi Burundi Nyumbani Kuoa ila arejee USA na Mke wake

Kafunga Ndoa Salama Siku ya Ijumaa, Jana jumamosi wakiwa safarini na Mke wake wakielekea Bujumbura ili Leo Jumapili wafanye Walimah na Reception Party wanapata Ajari mbaya Ya Gari

Bwana harusi anafariki hapohapo na mke yupo Mahututi hospital

Kaishi Muda Mrefu Marekani ila kifo chake kiliandikwa Burundi

Chakula walichoandaa kwa ajiri ya Harusi Sasa kitatumika Msibani 😭😭

Maisha ni fumbo kubwa Sana Tuishi Duniani k**a wapita njia

IBIBI 54 VY'   :Ndabasabako mugusoma mwoba mufise   Niho muza kunyurwa1)Imigani 23:31=   Ntitubuza   gusa ahubwo itubuza...
08/07/2024

IBIBI 54 VY'

:Ndabasabako mugusoma mwoba mufise Niho muza kunyurwa

1)Imigani 23:31= Ntitubuza gusa ahubwo itubuza

2)Itanguriro 19:30-38=
Yanyoye bimutera gusambana n' biwe yivyariye.

3)Abarewi 10:9-11=
izana ubupfu nokutamenya gutandukanya ibihumanye nibidahumanye

4)Imigani :20:1=
ntibagira ubwenge

5)Guharura 6:3=
Imana ibuza abaherezi kunywa vino

6)Gusubira muvyagezwe 29:5-6=
Abisirayeri babujijwe kugira batahure ubushobozi bw'

7)Gusubira muvyagezwe 32:33=
ni nk' bwica bw'Inzoka y'

8)Abacamanza 13:4,7,14=
irahumanye

9)Gusubira muvyagezwe 21:20=
Inzoga itera Abana kuba **aba

10)1Samuel 25:32-38=
Imborerwa ni nk'

11)Imigani 23:31=
Inzoga itera , ,

12)1Samuel 1:14-15=
Eli amaze kuborerwa yinjije Ana mugihe kidakwiriye

13)2Samuel 11:13=
Dawidi Uriya kugira anyegeze icaha

14)Imigani 23:29-30=
uburuhukiro n'

15)2Samuel 13:28-29=
Amunoni yishwe amaze

16)Imigani 23:33=
ni

17)1Abami 20:12-21=
Beni-hadadi nabo barikumwe murugamba baratsinzwe kubera

18)Esiteri 1:5-12=
Umwami yemereye Umwamikazi kwinjira ahari mugihe kidakwiriye kubera .

19)Zaburi75:8- =
ingana n' bw' kubanyavyaha

20)Imigani 4:17=
ni vino y'

21)Imigani 20:29-20
Ntawipfuriza umwana wiwe nokwifanya

22)IImigani 23:32=
Inzoga iryana nk' y'

23)Imigani 23:34=
Inzoga itera uwuyinwa kutagira igihagararo wumva umenga isi yose wayuzuye

24)Yesaya28:7=
y'Imborerwa yuzuye n'

25)Yoweli 1:5=
ikangura ngo izicire

26)Hoseya 4:11=
Inzoga ukura

27)Yesaya 19:14=
idandavagirana muvyo

28)Imigani 23:35=
Inzoga yica z'

MARRIAGE DOES NOT NEED LOVE, MARRIAGE NEEDS KNOWLEDGEA successful marriage has little to do with love. Love is not the q...
09/05/2024

MARRIAGE DOES NOT NEED LOVE, MARRIAGE NEEDS KNOWLEDGE

A successful marriage has little to do with love.
Love is not the qualification for marriage.
Love is a dangerous thing.
Love can make you think you can make it. Every divorce person was first in love with the person they divorce. So, don't tell me love keeps you together.

Love does not guarantee success in marriage.
Love brings happiness but doesn't bring what it takes to make marriage work. The only thing that makes marriage work, is knowledge.

You feel like you love someone, but you better get knowledge on how to live with them. And we are such a feeling culture that our insanity takes us to the alter, making commitments we know we can't keep. Marriage is not protected by love, Marriage is protected by knowledge.

Myles Munroe

Ni Mwaka Wa Ku Fosi 😂
06/05/2024

Ni Mwaka Wa Ku Fosi 😂

ACHA ZINAA HAKUNA ALIEWAHI KUTOSHEKA NA UCHI.Sifa za vijana wa ovyo ni zinaa kiasi ambacho mtu anaona ufahari kwa mwezi ...
30/04/2024

ACHA ZINAA HAKUNA ALIEWAHI KUTOSHEKA NA UCHI.

Sifa za vijana wa ovyo ni zinaa kiasi ambacho mtu anaona ufahari kwa mwezi kuzini wanawake zaidi ya kumi eti ndio ushababi. Acha leo nikufundishe kitu kinachofanya usifanikiwe maishani.

Jasho na ute wa mwanamke na mwanaume ume unapokutana kwenye tendo huwa unabeba zaidi ya vitu vitano mie nitakwambia viwili tu kwa leo. Kila binadamu ana nguvu ya ndani ukiacha mwili wake.

Hii nguvu ya ndani ndio inayozingatiwa kuliko hata mwili ndio maana mtu anaweza kukatwa viungo bado akawa hai ila akitolewa nguvu ya ndani ambayo imebebwa na roho anakuwa maiti. Kwahiyo nguvu ya ndani ndio mtu kamili.

Sasa basi unapofanya mapenzi kuna nguvu ya ndani ya mwanamke unaemzini inaingia ndani yako. K**a ndani ya nguvu hiyo kuna tabia za ovyo basi nawe unazibeba kidogo kidogo na kuingia kwenye mfumo wa nguvu yako.

Unaweza kuathirika nayo tabia hiyo kwenye maisha yako lakini kubwa zaidi kizazi chako kitathirika zaidi na tabia hiyo. Ukimuingilia mwanamke nyuma jiandae watoto wako nao wataingiliwa au wataingilia watu nyuma.

Kwasababu ile nguvu ulioinyonya kwa mtu uliefanya nae mapenzi ipo kwenye nishati yako. Pili pia k**a mwanamke ana nuksi ukifanya nae mapenzi ile nuksi nawe unaichukua narudia unaichukua. Ndio maana kuna wanawake ukiwa nao tu mambo yanavurugika.

Ndio utaona kila unachofanya hakiwi unalalamika kumbe tabia yako ya uzinzi ndio chanzo cha shida unabeba nuksi za watu mbali mbali kwa njia ya kuwaingilia. Acha zinaa kabisa k**a unataka mafanikio maishani mwako brother.

Ubaya wa zinaa hata ukioga vizuri kwa sabuni ya kunukia baada ya kuzini roho itaendelea kunuka mbele ya Mungu. Acha zinaa hakuna aliewahi kutosheka na uchi.

HOMENET

🎯Ubwoko bune(4) bw'abagore badashobora kwubaka urugo ngo rugume--------------------------------------------------1: abag...
25/04/2024

🎯Ubwoko bune(4) bw'abagore badashobora kwubaka urugo ngo rugume
--------------------------------------------------
1: abagore bibaza ko ari beza cane

( Bibiliya ivuga ngo:
Akazuru gusa karahendana, n'ubgiza bgo ku rukoba nta co bumaze,
Arik' umugore yubaha Uhoraho ni we ashimwa.

Imigani 31:30 )

-Bama bariko bibwira ngo bararenze
-abakobwa benshi beza bari single kuko biragoye komugumana murukundo baragara cane

-ubwiza baca babugira ugwitwazo mugushaka kurya uduhera twumuhungu atarukundo bamufitiye😭😭😭

2:. Abakobwa bize amashure menshi✍️✍️
( Bibiliya ivuga ngo:
Bama b**a, ariko nta ho bashobora gush*tsa ku kumenya ukuri.

(2 Timoteyo 3:7 )

_umukobwa yize amashure menshi kwubaka rukaguma nubuntu bw,Imana kuko amashure bize acabatera ubwibone

-niwagendera muma company abagore uzobona bayobora abandi 90% uzosanga barahukanye🚶🚶🚶

3: Abagore baturuka mu miryango itunze
( Biliya iravuga kandi ngo:
Abo Imana yakunze kumenyesha itunga ry'ubgiza bg'iri banga, rivugwa mu banyamahanga, ni ryo Kristo ari muri mwebge, ivyizigiro vyo kuzoronka ubgiza. Natwe ni we twamamaza, duhanura umuntu wese, twigishisha umuntu wese ubgenge bgose, ngo dushikirize Imana umuntu wese ahinguriwe muri Kristo:

(Ab'i Kolosayi 1:27-28)

_abagore bakuriye mumuryango ukize birabagora bama bipfuza kubaho nkuko bakuze,nihahandi ucusanga ashaka gutegeka umugabo wiwe bikarangira bahukanye🙆🙆

4: Abagore bigira abasenzi bakomeye

( Kukw'abantu bazoba bikunda gusa, bakunda amahera, birarira, bibona, batukana, batumvira abavyeyi, intashima, abanegura ivy'Imana, badakunda n'ababo, banka kwuzura, barementanya, batigarura, inkazi, badakunda ivyiza,

(2 Timoteyo 3:2-3)-

Benshi muribo barahukanye kuko ntibumvira abagabo 🥱

-Ntamwanya bafata wokwitaho ibikogwa vyomurugo.barara muma ombi🙆

-Ntamwanya bafata wokwitaho abagabo babo.baba bisonzesheje🤣🤣

-abagabo babo ntibabahanura ngo bumve baca bavugati iyo nishetani yakugendeye😃😃😃😃

👉HOME NET

FAHAMU JINSI YA KUGUNDUA K**A ACCOUNT YAKO IPO HACKEDFacebook ni miongoni mwa mitandao ya kijamii inayo tumiwa na watu w...
16/04/2024

FAHAMU JINSI YA KUGUNDUA K**A ACCOUNT YAKO IPO HACKED

Facebook ni miongoni mwa mitandao ya kijamii inayo tumiwa na watu wengi sana!! Kutoka sehemu mbalimbali duniani kote...
Lakin je wajua kuwa kuna uwezekano wa account yako ya facebook kuwa inatumiwa na mtu mwingine bila ww kujua ??.
Je unafahamu njia rahisi ya kutambua k**a account yako iko salama ?? (kwa maana ya kuwa haija dukuliwa?? ).
Ni rahisi sana !! Fuata hatua zifuatazo ili uweze kujua k**a account yako unaitumia wewe peke yako au lah!!

√ andikaaa hichi kitu chote @[*4:0] hapo chin kweny comments

√ baada ya hapo ifute hii alama *

√ hakikisha hauachi nafasi afu comment

K**a litatokea jina la mwanzilishi na mmiliki wa facebook ambaye ni Mark Zuckerberg basi tambua kuwa account yako ya facebook iko salama. Ila k**a kitatokea kitu kingine tofauti na hilo jina ..itabidi uelewe kuwa hauitumii account yako peke yako.
Bila kupoteza muda ..hebu jaribu

THE INSPIRING STORY OF DHL In 1969, 3 young men decided to start their delivery business with the few resources they had...
07/04/2024

THE INSPIRING STORY OF DHL

In 1969, 3 young men decided to start their delivery business with the few resources they had.
*1. ADRIAN DALSEY*
*2. LARRY HILLBLOM*
*3. ROBERT LYNN* ....whose initials formed *DHL* will revolutionize this industry.

*55 years* later today DHL owns
♤250 planes.
♤ 32,000 vehicles.
♤ 550,000 employees and today DHL is present almost everywhere in the world.

Revenues are estimated at hundreds of billions of dollars.

*In life, surround yourself with people who talk about projects, business, success, dreams, goals.....not negative, fearful, lazy people.*

```If your friend refuses to join you in starting a business, it's not a friend.```

```If your brother refuses to support you to progress in your business... he's not a brother.```

If you got into business... hold on strong... it took 55 years for DHL to be DHL.

Success takes time, effort, intelligence and focus.

Be inspired to do more today🌹🌹🌹

Address

Bujumbura

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when HOME NET posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category