14/08/2025
BUKAVU TV
Détails de la journée du jeudi 14 août
1. COMMUNE D'IBANDA
- panzi saï ya 19h40 ngrika zinatokota pale mu Av. Kantitima, k**agema na pembeni ya hôpital, mpaka sasa atuyajuwa k**a ni ba Nani.
- après ma panique zilionekana muchana na Busiku ya mardi, Journée ilianza na boga ya mingi, Mwili yenye haipumuwe ilikuya onekana pale Ku essence pembeni ya pancarte ya mukwege, Tuliona alipata fixe yamu casque (KICHWA), alienda kwa baba Manu.
- bajaj iligonga gari moya pale Ku prison centrale Ku entré ya kupandia Pageco, akuna Mwenye alilumia lakini Mwenye gari ali obligé bajajiste amutengezeye gari yake, njo bajajiste Alianza angalia sa mwenye anakufisha.
- ba taximan na ba chauffeur ya Bus, banalalamika sana Kusema parking yabo ya place de l'indépendance Kuenda Nguba banaitosha Ku place inaenda mu route avant ufike feu rouge, banalalamika Kusema Bakubwa babarudishe pale Ku place mais kule ni mbali
2. COMMUNE DE KADUTU
- activités zilianza bien Léo, ngambo ya Bondeko Tuliona bote za ku toka idjwi Ziko na pakula ma damaze (ndizi) na Bengine Biko na pakula michanga.
- barabara ya industriel yote inayala buchafu, ma sachet zinayala mu barabara après nvula yenye ilinyesha lundi, iliacha migezi mu barabara, manake Siku ya Salongo tuanze juwa k**a tutatumika sana.
3. COMMUNE DE BAGIRA
- journée ya Léo atukupata habari za Bagira, mutu ambie journée ilipita je kule
GOMA
- batu trop baliffunga byashara yabo Léo, bamoya banasema bikosa benye biko natumikia bengine. Taxe zinapita sana Enyi wakombozi muregeze kamba.
BENI
- kanisa ya ba anglican , paroisse ya tamende Ilipiga chute ma tongole. selom ma news akuna mwenye Alienda kwa baba Manu,
Après kanisa yabo ku anguka
Gari yabo nayo ioi fanya accident ma muchana, njo mpaka habi comprendriki ata, k**a ni vita ya kiroho atujuwe.
- 3 pela njo kafiri za ADF zili Beba kwa baba Manu Pale mayi moya, ilikuwa ma 19h05 ya Jana mercredi 13 août,bote ni banaume benye balikuta mu quartier kitsanga, balitchoma na ma boutiques après kuiba Bitu ndani, baka Beba na ma mbuzi, depuis sasa 3 jours adf ziko naonekana mwa ile eneo, boga ishak**ata bakaaji .
NB: - Tunashukuru kwa ile 4pela yenye ilitu bariki na méga mungu aendeleye kubariki kwenye mulitosha, ile inaonesha k**a kuko batu benye banajuwa maana ya utafiti ya habari, vraiment tunashukuru sana tena sana, k**a na weye ungali na contribution Yako ju ya Méga itakuwa ya maaana kutuma numéro izi 0970835827, 0849741609, ukituma unaandika kwa ile numéro ya airtel njo whatsapp, na kila mwenye alituaidia Kusema atatuma Tunaendelea kusubiri.
BREF: usipite bila kuji abonné apa Ku page yetu Ingine Serge Man officiel
Njo habari tulipata Zile kwa leo, k**a ulipata infos tuambie mu commentaire.
Pour l'équipe 243 Bukavu TV
Lien whatsapp 👇
https://whatsapp.com/channel/0029Vb3w4Mx8qIzs9IL3jR2a