09/06/2026
BUKAVU TV
Détails de la journée du mardi 09 juin 2026.
1. BUKAVU
- nyumba ziliwaka moto ma 9h30 ya Léo mardi pâle côté ya kwa kibonge/camp régi nyuma ya station.m, selon bilan Ku benye balikuwa surplace inasemekana plus ya 50 maison njo zililungula, tunasema pole kwa jamaa zile.
- mutoto wa 11ans jina yake prince aliponyokea Ku pigiwa sec mu route ya ma pavé mu av. Kibombo, motard alikuwa na 2 client Ku moto mu vitesse ya trop mutoto naye iko na vuka barabara njo mutoto akash*tuka njo kuzimia, intervention ilifanyika ya mbio mbio na mpaka sasa anaendelea Salama.
- pâle nyawera mu entrée ya av. Du gouverneur Jana lundi busiku polimama wa sarambwe alikuwa na piga batu ma fimbo ukitembea mu barabara, fata histoire 🗣️jana a partir ya 19h00 kuko polimama Mwenye alikuwa na piga batu fumbo aseme ukitembea mu barabara selon yéyé mutu anapashwa tembea Ku fasi ya ba piéton mais apana mu barabara njo batu mingi benye balikuwa abajuwe gisi lisolo iko baliona yando, juu alikuwa tu na chomoka anakupiga grand fimbo mu migulu, mzee mumoya wa plus de 60ans naye alipata ecm mpaka batu bakaanza musikilia uruma.
- mwa iyi ma 19h pâle Carrefour
Ba polimama ya sarambwe Banatutula ma taku taku, njo activités zikakuwa paralysé mais ivi ni calme déjà.
BÉNI
- garçon mumoya jina yake Muhindo Fiston njo Mwenye bali daka na ngrika yake asha ishambika mu sac, balimudakia Eringeti leo mardi
GOMA
- maman mumoya njo Sarambwe ilipakiza mu jeep na kwenda nabo depuis juzi dimanche , ni mère moya na 5 lifanto (Batoto 5) muko amo bb wa 3 mois, lisolo ilipitika mugunga pale ku amour.
Selon bupelelezi yetu balimufunga ju masta yake ni escorte wa chief moya wa bazalendo, mais siku trop bwana auonekanake, bibi alikuwa asha bakia yepeke.
- Palais ziliwaka moto Léo nyuma ya bureau ya quartier Katoyi, yulu ya entré président, Secours ishaponda pile.
TERRITOIRE DE KABARE
- Ma bombe na ma taku taku zilitokota leo apartir ya 9h pâle Kamakombe, na côté ya Mbayu, wazalendo na sarambwe balikuwa na patiana ecm kule, mpaka sai calme ilikuya rudia .
NB: Tulifata maoni yenu juu ya kuanza pitisha Journal mu français, na tutaitendendea kazi.
RAPPEL: Habari zenye ziko na tembea kusema FARDC balik**ata mikenge mpaka sasa aziakuwa na uhakika juu mapambano ingali naendelea.
Njo habari tulipata zile kwa Léo, k**a na weye ulipata infos tuambie mu commentaire.
Pour l'équipe de Rédaction BUKAVU TV