NK Internet Radio Kiswahili

NK Internet Radio Kiswahili NK Internet Radio Kiswahili,
Ni redio ya mtandao inayolenga kuwafikia wasomi wote wa lugha ya kiswa

16/04/2021

Asalamu Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh, Nimatumani yetu kuwa umzima wa afya, Karibu katika kipindi chako pendwa cha RAMADHANI NA MAFUNDISHO YAKE kinacho kujia kila siku kupitia Ukursa wa Facebook wa KANDY ONLINE NEWS pia tunapatikana YOUTUBE na INSTAGRAM k**a KANDY ONLINE NEWS.

Mada ya Leo: Nguzo za Swaumu
Mtangazaji: Khamis Kandy
Mtoa Mada: Ustadh Abdallah Maftah Abdallah ( Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar University Cairo, Misri )

YOUTUBE CHANNEL
https://www.youtube.com/channel/UCu3aNG8UB5bZy-lXme-toPg

INSTAGRAM ACCOUNT
https://www.instagram.com/kandy_onlinenews/

KARIBUNI SANA!
KWA MAONI NA USHAURI
TUFATE KATIKA INBOX ZA MITANDAO YETU.
KON GROUP
Kandy Online News

16/12/2020

HABARI ZA DUNIA

Tunakukaribisha kusikiliza habari za dunia moja kwa moja (Live)

Muhtasari wa habari za leo ni:
Katika habri zetu za leo utakutana na Daktari asieoga kwa muda wa miaka mitano

🔵Na EU yachelewesha msaada wa bajeti kwa

🔵Ethiopia kuhusu mzozo wa Tigray

🔵Serikali ya Ethiopia yatangaza kurejesha mawasiliano tena Tigray

🔵UN yasema mahasimu Libya washindwa kukubaliana kuunda serikali

🔵Na Rais wa Iran asema Israel ndiyo iliyomuua mwanasayansi wake wa nyuklia

NA KATIKA MICHEZO:
🔵Na katika michezo leo hii Juventus watakutana na Atalanta na Liverpool na Tottenham.

Zimesomwa kwenu na Sandy Samir (Egypt) na Moharram Ally (Tanzania).

13/12/2020

HABARI ZA DUNIA

Tunakukaribisha kusikiliza habari za dunia moja kwa moja (Live)
Muhtasari wa habari za leo ni:
🔵 Marekani yaidhinisha chanjo ya BioNTech-Pfizer.
🔵 Uchaguzi wa Marekani 2020: Mahak**a kuu yakataa azma ya Trump ya kugeuza matokeo ya uchaguzi
🔵 Bayern Munichwinga wammezea mate winga wa Chelsea Callum Hudson-Odoi

NA KATIKA MICHEZO:
🔵 Na David Alaba aelekea kuhamia Real Madrid

Taarifa ya habari imesomwa na Khamis Kandy.

09/12/2020

HABARI ZA DUNIA

Tunakukaribisha kusikiliza habari za dunia moja kwa moja (Live)

Muhtasari wa habari za leo ni:
🔵 Mbunge apoteza Uwaziri Tanzania kwa kusitasita wakati akila kiapo.
🔵 Vikosi vya Ethiopia vyashambulia na kuwashika wafanyakazi wa UN
🔵 Matokeo ya kura zilizohesabiwa Ghana yaonesha Upinzani waongoza Ghana
🔵 Nchi maskini kukosa chanjo ya CORONA

NA KATIKA MICHEZO:
🔵 Mesut Ozil anyemelewa na Klabu ya ligi kuu Marekani
🔵 Barcelona wamtaka beki wa kati wa Chelsea, Antonio Rudiger huku Juventus na AC Milan wakimmezea mate.

Taarifa ya habari imesomwa na Moharram Ally.

💙🤍 NK Internet Radio Kiswahili Cairo-Egypt
09/12/2020

💙🤍 NK Internet Radio Kiswahili Cairo-Egypt

08/12/2020

HABARI ZA DUNIA
Tunakukaribisha kusikiliza habari za dunia moja kwa moja (Live)
Muhtasari wa habari za leo ni:
🔵 Uingereza yaanza chanjo ya kukabiliana na janga la virusi vya corona
🔵 Makabiliano yaibuka ndani ya bunge la Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo
🔵 Uganda yatuma maombi ya chanjo ya corona
🔵 Umoja wa Mtaifa umesema hali ya kiutu imekuwa mbaya Tigray
🔵 Dondoo: Maalim Seif aapishwa kuwa makamu wa kwanza wa urais

🔵 Kifo cha daktari aliyefariki kwa corona Kenya chazua gumzo

Na katika mischezo
🔵 Kocha wa Chelsea hana shinikizo la kumuuza Kepa Arrizabalaga.

Taarifa ya habari imesomwa na Mtangazaji wetu Moharram Ally (Tanzania) na Sandy Samir (Egypt).

05/12/2020

Kipindi hewani ni Matukio na Uchambuzi.

Tukio la leo ni Mvutano mpya kati ya Somalia na Serikali ya Kenya.

05/12/2020

HABARI ZA DUNIA

Tunakukaribisha kusikiliza habari za dunia moja kwa moja (Live)
Muhtasari wa habari za leo ni:
🔵 Urusi yaanza kutoa chanjo ya Covid 19
🔵 Watu 18 wauwawa baada ya kuvuja kwa gesi ya kaboni mgodini China
🔵 Tigray bado Mapaigano yanaendelea
🔵 FBI :Nigeria ni kitovu cha utapeli mtandaoni

Na katika mischezo
🔵 Paris St-Germain wanatazama uwezekano wa kumsajili kiungo mchezeshaji wa Barcelona Lionel Messi
🔵 Manchester United wanamfikiria Harvey Barnes wa Leicester.

Taarifa ya habari imesomwa na na Moharram Ally.

02/12/2020

Wanamgambo wa kundi la Kiislamu la Boko Haram wametoa video mpya ambayo inasema wapiganaji wake wa Boko Haram ndio waliotekeleza mauaji ya wakulima 78 katika eneo la Zabarmari karibu na Maiduguri kaskazini mashariki mwa Nigeria.

Jumamosi, wanaume waliokuwa na silaha waliotumia pikipiki na kutekeleza shambulizi la kinyama dhidi ya wakulima wa mashamba ya mpunga.

Wakati huohuo, wabunge wa Nigeria wamefanya mazungumzo na rais Muhammadu Buhari juu ya mauaji hayo, Wabunge hao wakisema suala hilo ni la kupewa umuhimu mkubwa.

Katika video iliyoonekana na BBC, Abubakar Shekau, kiongozi wa kundi la Boko Haram – aliyefunika uso wake – alisema kundi hilo lilitekeleza shambulizi dhidi ya wakulima wa mashamba ya mpunga wikendi iliyopita.

Aidha, Umoja wa Mataifa umefuta idadi ya waliojeruhiwa ya watu 110 iliyokuwa imetoa awali, na kusema kuwa idadi kamili ya walioathirika bado haijulikani.

Chanzo: Star TV

TANZIA🔵⚪️
25/11/2020

TANZIA🔵⚪️

AHMAD AHMAD: RAIS WA SHIRIKISHO LA SOKA BARANI AFRIKA CAF APIGWA MARUFUKU YA MIAKA 5 Rais wa Shirikisho la soka barani A...
23/11/2020

AHMAD AHMAD: RAIS WA SHIRIKISHO LA SOKA BARANI AFRIKA CAF APIGWA MARUFUKU YA MIAKA 5

Rais wa Shirikisho la soka barani Afrika {Caf} Ahmad amepigwa marufuku ya miaka mitano na shirikisho la soka duniani Fifa kwa kukiuka sheria kadhaa za maadili.

: BBC

Address

Cairo

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when NK Internet Radio Kiswahili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to NK Internet Radio Kiswahili:

Share