JANCE TV online

JANCE TV online ________π—›π—’π— π—˜ 𝗒𝗙 π—™π—¨π—‘π—œπ—˜π—¦________
πŸ”΄ π‘ͺπ’π’Žπ’Žπ’†π’…π’š | 𝑺𝒑𝒐𝒓𝒕𝒔 | π‘΅π’†π’˜π’” | 𝑭𝒖𝒏 𝒇𝒂𝒄𝒕𝒔 | π‘·π’“π’π’‡π’Šπ’π’†π’” | π‘΅π’†π’˜ 𝒖𝒑𝒅𝒂𝒕𝒆𝒔 | π‘΄π’–π’”π’Šπ’„ π’π’šπ’“π’Šπ’„π’” | π‘΄π’π’—π’Šπ’† π’•π’Šπ’•π’π’†π’” πŸ”΄

Ripoti zinaeleza kuwa Winga na Nyota wa Simba SC, Kibu Denis ameanza majaribio ya wiki mbili kwenye moja ya klabu kubwa ...
08/07/2025

Ripoti zinaeleza kuwa Winga na Nyota wa Simba SC, Kibu Denis ameanza majaribio ya wiki mbili kwenye moja ya klabu kubwa inayoshiriki Ligi Kuu nchini Marekani (MLS).
Klabu hiyo inataka kumtazama kwa ukaribu nyota hiyo kabla ya kutuma ofa ya kwanza Simba.

Inaelezwa kuwa raia huyo wa Tanzania anataka kucheza Ligi ya Marekani ili aweze kuwa karibu na familia yake, pia winga huyo ana ofa zingine kutoka kwa Mabingwa wa Morocco na Kombe la Shirikisho Afrika RS Berkane, MC Alger ya Algeria na Al Ahli Tripoli ya Libya.

Ikumbukwe Kibu amebakiza mkataba wa mwaka mmoja na Simba,hivyo hatoondoka bure Msimbazi.

*Simba mpo tayari kujenga timu tena msimu ujao Yanga wakibeba Makombe yao?πŸ˜…*

Mbunifu wa Kimataifa, Sheria Ngowi ametangaza rasmi kuwa hatokuwa mbunifu wa jezi za Klabu ya Yanga kuelekea msimu 2025/...
07/07/2025

Mbunifu wa Kimataifa, Sheria Ngowi ametangaza rasmi kuwa hatokuwa mbunifu wa jezi za Klabu ya Yanga kuelekea msimu 2025/26. Ngowi amekuwa mbunifu wa jezi za Klabu hiyo kuanzia Msimu wa 2020/21.

Unatamani kuona kitu gani kwa mbunifu wa jezi atakayekuja?

Klabu ya Liverpool imepata pigo la Mchezaji wake, Diogo Jota kufariki dunia katika ajali ya barabarani iliyotokea kwenye...
03/07/2025

Klabu ya Liverpool imepata pigo la Mchezaji wake, Diogo Jota kufariki dunia katika ajali ya barabarani iliyotokea kwenye Jimbo la Zamora nchini Hispania.

Taarifa zinasema ajali hiyo imetokea baada ya gari walilokuwa wakisafiria Jota na kaka yake AndrΓ© (26) ambaye naye ni mchezaji wa soka wa kulipwa kuacha njia na kuwaka moto.

Ajali hiyo imeleta majonzi kwa familia, Klabu ya Liverpool na mashabiki wa soka duniani kote.

Diogo Jota aliyezaliwa mwaka 1996 ana watoto watatu, na alifunga ndoa wiki mbili zilizopita.

Ni miongoni mwa wachezaji wa Liverpool waliotwaa taji la EPL msimu huu wa 2024/2025, na amechukua kombe la UEFA Nations League akiwa na timu yake ya Taifa ya Ureno msimu h

Kocha Miguel Angel Gamondi πŸ‡¦πŸ‡· amefikia makubaliano ya Kukifundisha Kikosi cha Singida Black Stars πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Kwa Mkataba wa Mwak...
03/07/2025

Kocha Miguel Angel Gamondi πŸ‡¦πŸ‡· amefikia makubaliano ya Kukifundisha Kikosi cha Singida Black Stars πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Kwa Mkataba wa Mwaka Mmoja huku kukiwa na Kipengele cha kuongeza mwaka mwingine tena.

Gamondi aliwahi Kuwa Kocha wa Yanga SC, Sasa anarejea tena Tanzania kuja kuifundisha Singida Black Stars.

 : Idadi ya vifo vya waliofariki katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Saba Saba barabara kuu ya Moshi-Tanga wilayani ...
02/07/2025

: Idadi ya vifo vya waliofariki katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Saba Saba barabara kuu ya Moshi-Tanga wilayani Same mkoani Kilimanjaro kwa kugongana uso kwa uso na kuungua moto imeongezeka na kufikia vifo 42 huku Serikali ikitarajia kesho kukabidhi miili ya wa marehemu hao katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini KCMC kwa ndugu zao mara baada ya kupokea majibu ya vina saba ya kutambulika kwa miili hiyo kutoka Mkemia Mkuu wa Serikali.

02/07/2025

Jance Trends

HOME OF FUNNIES πŸ˜πŸ˜†Jance Trends Jance Sports Jance Media JANCE TV online
02/07/2025

HOME OF FUNNIES πŸ˜πŸ˜†
Jance Trends
Jance Sports
Jance Media
JANCE TV online

05/03/2025

Home of funnies

Klabu ya Kagera Sugar imetangaza  kufikia makubaliano na aliyekuwa golikipa wa zamani, Simba na Yanga pia timu ya taifa ...
05/03/2025

Klabu ya Kagera Sugar imetangaza kufikia makubaliano na aliyekuwa golikipa wa zamani, Simba na Yanga pia timu ya taifa ya Tanzania Juma kaseja kuwa kocha mkuu wa timu kikosi hicho.

Juma Kaseja anachukua mikoba ya Melis Medo ambaye alijiunga na Singida Black Stars k**a kocha msaidizi na mshauri wa Benchi la Ufundi la timu hiyo.

Unadhani hii itawasaidia?

01/02/2025

Home of Funnies πŸ˜„πŸ˜„

28/01/2025

ILA POLISI WA KY WANA πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

DirecciΓ³n

Tarifa

TelΓ©fono

+255678226711

PΓ‘gina web

Notificaciones

SΓ© el primero en enterarse y dΓ©janos enviarle un correo electrΓ³nico cuando JANCE TV online publique noticias y promociones. Su direcciΓ³n de correo electrΓ³nico no se utilizarΓ‘ para ningΓΊn otro fin, y puede darse de baja en cualquier momento.

Contacto La Empresa

Enviar un mensaje a JANCE TV online:

Compartir