21/11/2025
KUHUSU BADGES: Utaratibu wa CAF ni kwamba wao ndio watakuwa wanasambaza hizi Badges kwa vilabu, then vilabu vitabandika badge kwenye jezi zao watakazozitumia kwa msimu husika, nimejaribu kupiga simu kwa vilabu vyote vya Tanzania kuuliza je wamepewa badge mpya na CAF? Majibu ni HAPANA, CAF bado hawajaleta badge mpya za msimu huu kwahiyo nawaelewa Yanga kuzindua jezi ikiwa na badge ya zamani kwa sababu CAF bado hawajaleta badge mpya. Badge za CAF zinazingatia vipimo sio sticker tu ukaichonge Kariakoo then ubandike begani, HAPANA!
SINGIDA HAWAJAPEWA BADGE MPYA, AZAM HAWAJAPEWA BADGE MPYA, YANGA HAWAJAPEWA BADGE MPYA, K**A KUNA KLABU IMEWEKA BADGE MPYA KWENYE JEZI WAMEZITOA WAPI?
trends