20/11/2025
Msanii wa mziki wa bongo fleva kutokea nchini Tanzania Mbosso Khan usiku wa leo anatarajia kuachia remix ya wimbo wake wa Pawa.
Pawa ni miongoni mwa ngoma iliyofanya vizuri kupitia ep ya room number three.
Minongoni mwa wasanii walioshirikishwa kwenye remix hiyo ni Darassa ,Billnass pamoja na Gnako.
Una maoni gani?