Imani Philosophy

Imani Philosophy Habari na matukio mbalimbali katika jamaii Ulimwenguni kote. Follow ili uwe wa kwanza kufikiwa na habari zote.

Msanii wa mziki wa bongo fleva kutokea nchini Tanzania Mbosso Khan usiku wa leo anatarajia kuachia remix ya wimbo wake w...
20/11/2025

Msanii wa mziki wa bongo fleva kutokea nchini Tanzania Mbosso Khan usiku wa leo anatarajia kuachia remix ya wimbo wake wa Pawa.

Pawa ni miongoni mwa ngoma iliyofanya vizuri kupitia ep ya room number three.

Minongoni mwa wasanii walioshirikishwa kwenye remix hiyo ni Darassa ,Billnass pamoja na Gnako.

Una maoni gani?

"SIWEZI KUNUNUA RANGE NIKIWA KWENYE NYUMBA YA KUPANGA" ~MAUA SAMA.Msanii wa bongo fleva Maua Sama amefunguka kuwa, kwa s...
20/11/2025

"SIWEZI KUNUNUA RANGE NIKIWA KWENYE NYUMBA YA KUPANGA" ~MAUA SAMA.

Msanii wa bongo fleva Maua Sama amefunguka kuwa, kwa sasa anamalizia kujenga nyumba yake ya kisasa iliyopo Goba, Dar es salaam ndio anunue gari aina ya Range Rover kwani hawezi kununua gari la gharama ilihali bado yupo kwenye nyumba ya kulipia kodi.

Aidha, amesema aliwahi kuwa kwenye mahusiano ya mwaka mmoja na mzungu ila waliachana sababu mzungu alitaka aache muziki wakaishi wote nchini Italy kitu ambacho Maua Sama hakukiafiki kwani anataka mwanaume atakaye sapoti kazi zake za muziki na sio kumuambia aache muziki kisa mahusiano au ndoa.

Paulah  ni miongoni mwa wanawake ambao hawataki  wapenzi wao wale vyakula ambavyo sio vizuri kwa wanaume hasa katika kuo...
20/11/2025

Paulah ni miongoni mwa wanawake ambao hawataki wapenzi wao wale vyakula ambavyo sio vizuri kwa wanaume hasa katika kuongeza nguvu na ushupavu wa mwanaume.

''Mimi baby dady wangu sikuruhusu ule chips ni ugali kwenda mbele '' Amesema-Paulah Kajala

Baada ya Paula na mtoto wake kuachia picha wakiwa ufukweni mwa bahari shabiki mmoja alionesha kuto kupendezwa na Paula k...
20/11/2025

Baada ya Paula na mtoto wake kuachia picha wakiwa ufukweni mwa bahari shabiki mmoja alionesha kuto kupendezwa na Paula kumsuka Amarah.

Shabiki huyo ilibidi aandike comment iliyosema "Jamani msimsuke uyu mtoto bado mdogo sipendi mimi mtoto mdogo kusuka sukwa"

Marioo ambae ni baba wa Amarah alimjibu shabiki huyo kwa kuandika ujumbe: "Ulikuwepo!!?"🥶

Imani Philosophy

Muonekano mpya Kondeboy harmonize mpe neno Moja JESHI.
19/11/2025

Muonekano mpya Kondeboy harmonize mpe neno Moja JESHI.

Baadhi ya taarifa mitandaoni zinadai kuwa Jux kabla ya kuwa na mahusiano na Priscy alitaka kuanza mahusiano na rafiki ak...
19/11/2025

Baadhi ya taarifa mitandaoni zinadai kuwa Jux kabla ya kuwa na mahusiano na Priscy alitaka kuanza mahusiano na rafiki ake Priscy aitwae Chioma. Lakini Jux alipo zungumza na Chioma mwanadada huyo alimjibu Jux "I don't like small men!"

Jux akahamishia majeshi kwa Priscilla hadi sasa wamekuwa ni mke na mume. Taarifa hizo zisizo na uhakika zinadai kuwa siku za hivi karibuni Chioma ameonekana kuweka mahusiano ya karibu sana na Jux na kwa sasa Jux yupo Nigeria nyumbani kwakina Priscilla.

Chioma ameonekana kumjali sana Jux tofauti na hapo awali. K**a haumfahamu vizuri Chioma Tazama picha zake kwenye comments👇👇.

⚠😳"MACHOZI YA MKE WANGU WA KWANZA YAMENIACHIA LAANA NASHINDWA KUENDELEA KIMAISHA" ~LUKAMBA."Kuna namna nahisi machozi ya...
19/11/2025

⚠😳"MACHOZI YA MKE WANGU WA KWANZA YAMENIACHIA LAANA NASHINDWA KUENDELEA KIMAISHA" ~LUKAMBA.

"Kuna namna nahisi machozi ya mke wangu wa kwanza (Shuu Mimi) hayakwenda bure kuna laana yameniachia kutokana na nilichomtendea, sio kwamba mimi ndio nilikuwa na makosa kiasi hichooo, hapana, hata yeye alikuwa anakosea, ila yeye ndiye mwanamke ambaye wakati naanza nae mahusiano sikuwa na kitu lakini alinivumilia, alikuwa ananisaidia nikikwama na zaidi alikubali kunizalia lakini nilikuja kumuacha kwa njia ambayo hakustahili kuachwa vile"

"Nimekuwa siendelei na hata mahusiano yangu hayadumu, nahisi kabisa kuna namna laana inanitafuna Kwa maumivu niliyompatia ambayo yalimfanya amwage machozi" ~Lukamba.

⚠😳 "KUNA WATU WANAONA K**A DIAMOND KAPOTEZA PESA ZAKE KUNISAINI MIMI WCB." ~D VOICE.
19/11/2025

⚠😳 "KUNA WATU WANAONA K**A DIAMOND KAPOTEZA PESA ZAKE KUNISAINI MIMI WCB." ~D VOICE.

🌹 Rammy Galis azungumzia siri ya kumficha mke wake🌹Muigizaji Rammy Galis amefunguka kwanini anaficha maisha yake ya kima...
18/11/2025

🌹 Rammy Galis azungumzia siri ya kumficha mke wake🌹
Muigizaji Rammy Galis amefunguka kwanini anaficha maisha yake ya kimapenzi, tangu aingie kwenye ndoa na mwanamke huyo pichani.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, ameandika:

📝 “Si kila kitu kinachong’aa hutakiwa kuonekana. Baadhi ya hazina hufichwa ili zidumu thamani yake. Ndio maana maisha yangu ya ndoa yanabaki kuwa utulivu wangu wa siri. Ninapomlinda, si kwa sababu naogopa dunia – bali kwa sababu ninajua thamani ya kile nilichopewa na Mungu.”

"OANA NA MTU MWENYE HOFU YA MUNGU" ~BATULI.Msanii wa filamu Bongo, Batuli amewashauri vijana kuoana na wenza ambao wana ...
17/11/2025

"OANA NA MTU MWENYE HOFU YA MUNGU" ~BATULI.

Msanii wa filamu Bongo, Batuli amewashauri vijana kuoana na wenza ambao wana hofu ya Mungu.

"Hakikisha unaoa au kuolewa na mwenza mwenye hofu ya Mungu na anaezingatia miezi mitukufu au masiku matukufu haijalishi ni wa dini gani ila mwenye kubadilika na kufuata utaratibu wa kitabu chake cha dini bila kuangalia uwezo wake, penye hofu ya Mungu pana amani na upendo" ~ Batuli.

INASIKITISHA SANA 😭Baada ya taarifa za Kufariki kwa MC Pilipili nilimpigia Mkewe (ikiwa ni masaa yamepita toka kusambaa ...
17/11/2025

INASIKITISHA SANA 😭
Baada ya taarifa za Kufariki kwa MC Pilipili nilimpigia Mkewe (ikiwa ni masaa yamepita toka kusambaa taarifa za msiba) ambapo kwa sauti ya masikitiko na majonzi alidai kuwa hana uhakika ila atanirudia.. MAZUNGUMZO YALIKUWA HIVI.. 👇🏾👇🏾

Vido ‘Hallo Habari’

Mke wa Pili Pili ‘Salama’

Vido ‘Mimi Naitwa Vido Pole, Pole sana’

Mke wa Pili ‘Asante’

Vido ‘ Tumesikia taarifa juu Juu tulitaka kufahamu zaidi’

Mke wa Pilipili ‘Sina uhakika Naomba Nitakupigia’

Akakata simu akilia kwa uchungu…

Baada ya hapo niliendelea kupiga simu sehemu Mbali Mbali ambazo zilithibitisha taarifa hizo na kusema kuwa ‘Mke wake # alikuwa hajui toka saa 9 alasiri’ Moja ya mdau alimueleza VIDO.

Address

London

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Imani Philosophy posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share