Dh4y tv

Dh4y tv ๐Ÿšจ Habari zote duniani
โœ… Entertainment na Michezo
๐Ÿ“ข Tangaza biashara yako na sisi All news and updates we will bring to you immediately

05/11/2025

Kiongozi siyo kutumia nguvu za mitutu bali unapaswa kutumia akili kubwa sana ili wale wachini waingie kwenye mfumo kirahisi tu. Huyu mwamba alitumia akili kubwa sana

05/11/2025

Kaka yake na Polepole. Ameongea haya siku ya 04 october 2025.

Arsenal imecheza mechi 8 mfululizo bila kuruhusu bao (8 clean sheets) na kufikia rekodi ya iliyodumu kwa miaka 122 kufua...
05/11/2025

Arsenal imecheza mechi 8 mfululizo bila kuruhusu bao (8 clean sheets) na kufikia rekodi ya iliyodumu kwa miaka 122 kufuatia ushindi wa 3-0 dhidi ya vigogo wa Jamhuri ya Czech kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.

FT: Slavia Prague ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฟ 0-3 ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Arsenal
โšฝ 32' Saka
โšฝ 46' Merino
โšฝ 68' Merino

'Clean sheets' 8 kwenye mechi 8 mfululizo tangu mwaka 1903.
โœ… 2-0 vs Olympiacos
โœ… 2-0 vs West Ham
โœ… 1-0 vs Fulham
โœ… 4-0 vs Atletico Madrid
โœ… 1-0 vs Crystal Palace
โœ… 2-0 vs Brighton
โœ… 2-0 vs Burnley
โœ… 3-0 vs Slavia Prague

FT: Napoli ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น 0-0 ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Frankfurt

04/11/2025

Arsenal vs Slavia Prague (3-0) | Saka & Merino Brace | Champions League 25/26 Highlights

04/11/2025

Chadema watangaza siku 7 za maombolezo kwa Watanzania wote. Ikiwemo kuwatembelea na kuwafariji wote waliopatwa na msiba baada ya maandamano ya 29. Familia karibu zote zinaomboleza. Msemaji wa chama Brenda Lupia

04/11/2025

Waandamanaji wa Tanzania baada ya kutetea nchi yao zidi ya kile wanachokodai mwishowe wakaamua kurudi na mitungi ya gesi ya kampuni ya Lake Oil kwa matumizi ya nyumbani.
Maandamano yenye Faida ndo haya sasa

04/11/2025

Tume ya uchaguzi Tanzania yavunja record ya dunia kwa kuhesabu kura zaid ya milioni 31.2 ndani ya siku mbili bila kutumia kifaa cha electronics.

27/10/2025

Kujifunza hakuna mwisho

27/10/2025

Gwajima Asisitiza kuwa yupo na wananchi wa Tanzania bega kwa bega. Tupe maoni yako

โ€œMimi nasimama na Wananchi na nitaendelea kusimama na Wananchi mpaka mwishoโ€- maneno ya jasusi wa mbinguni -> Bishop Gwa...
26/10/2025

โ€œMimi nasimama na Wananchi na nitaendelea kusimama na Wananchi mpaka mwishoโ€- maneno ya jasusi wa mbinguni -> Bishop Gwajima

25/10/2025

Mh. Rais wa Tz hawa wapambe wachumia tumbo wanakufanya huonekane kuwa huna maana kwenye jamii. K**ata weka ndani. Wanakuharibia sana ona k**a huyu

25/10/2025

Kwenye michezo mikubwa k**a hii tunakuwa binadamu wa tofauti kabisa. K**a kawaida kesho Kwa Mkapa hatoki mtu

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dh4y tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dh4y tv:

Share