Who and Where Next?

Who and Where Next? News platform 󱢏
Writer 󱢏
Digital Content Creator󱢏
(2)

Diamond Platnumz amefuta picha na video zote kwenye akaunti yake ya Instagram zilizokuwa zikionyesha kumuunga mkono Rais...
30/10/2025

Diamond Platnumz amefuta picha na video zote kwenye akaunti yake ya Instagram zilizokuwa zikionyesha kumuunga mkono Rais Samia, kufuatia vitisho kutoka kwa waandamanaji nchini Tanzania vya kuchoma nyumba yake na studio za Wasafi Records. Waandamanaji wanamshutumu kwa kuwasaliti wananchi kwa kumuunga mkono Rais Samia Suluhu wakati wa kipindi cha uchaguzi wenye utata. Ghadhabu hii inakuja baada ya waandamanaji wenye hasira jijini Dar es Salaam kudaiwa kuchoma duka la Juma Jux, duka la vifaa vya kielektroniki la Billnass, na mgahawa wa Shilole. Kwa mujibu wa ripoti, waandamanaji wanadai kuwa Diamond alipokea kiasi kikubwa cha pesa kutoka kwa Rais Suluhu ili kumuunga mkono hadharani, jambo ambalo wanaamini ni usaliti kwa wananchi.

This is a vote of no confidence to Idi Amin Mama. Let her coronate herself, the struggle has just started.
29/10/2025

This is a vote of no confidence to Idi Amin Mama. Let her coronate herself, the struggle has just started.

💔
29/10/2025

💔

Happy 63rd  birthday to President Uhuru Kenya 🎂🍻
26/10/2025

Happy 63rd birthday to President Uhuru Kenya 🎂🍻

Neno moja kwake....0722383047
21/10/2025

Neno moja kwake....0722383047

Dictator Samia Suluhu amepiga marufuku mtandao wa X (twitter) Tanzania. Ni viongozi wa kiserikali pekee wanaruhusiwa kut...
21/10/2025

Dictator Samia Suluhu amepiga marufuku mtandao wa X (twitter) Tanzania. Ni viongozi wa kiserikali pekee wanaruhusiwa kutumia mtandao huo. Maajabu🤔

Rambirambi za viongozi tofauti kwa Hayati Raila Odinga
21/10/2025

Rambirambi za viongozi tofauti kwa Hayati Raila Odinga

Samia Suluhu afoka amekasirishwa baada ya Wakenya kumsaidia kwa nguvu John Heche kuhudhuria mazishi ya Raila, "John Hech...
20/10/2025

Samia Suluhu afoka amekasirishwa baada ya Wakenya kumsaidia kwa nguvu John Heche kuhudhuria mazishi ya Raila, "John Heche ameungana na Wakenya watukutu, kuvunja sheria za nchi ya Tanzania. Akirudi lazima ataadhibiwa, au abaki huko huko Bondo. Itakuwaje Wakenya kwenye mpaka wa Isebania, watiririke kuja upande wa nchi ya Tanzania, wamchukue Heche na wamvukishe mpaka eti anaenda kuhudhuria matanga ya Raila, wakati Idara/Almashauri ya Uhamiaji ya Tanzania, imesema wazi kuwa stakabadhi zake hazijakamilika." Suluhu alisema.

Picha: Kwa hisani ya Chauma Tv.

Kwa mara ya mwisho 💔🍂😢Rest in peace Raila Odinga
19/10/2025

Kwa mara ya mwisho 💔🍂😢
Rest in peace Raila Odinga

Ruth Odinga, eiiii!
19/10/2025

Ruth Odinga, eiiii!

End of an Era 💔🥲Rest in Peace Jakom
19/10/2025

End of an Era 💔🥲
Rest in Peace Jakom

Collins Omondi Okello kazi safi.Thanks for giving Kenyans this🍂🍂
18/10/2025

Collins Omondi Okello kazi safi.
Thanks for giving Kenyans this🍂🍂

Address

Gandhinagar

Opening Hours

Monday 7:30pm - 8pm
Tuesday 7:30pm - 8pm
Wednesday 7:30pm - 8pm
Thursday 7:30pm - 8pm
Friday 7:30pm - 8pm
Saturday 4pm - 7pm

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Who and Where Next? posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share