10/05/2026
Seneta wa Bungoma David Wafula Wakoli, amezuru uwanja wa Masinde Muliro ulioko mjini Kanduyi ili kutizama hali na maendeleo ya ujenzi wa uwanja huo ila hatua zake zilifikia kinaya kwani ujenzi wa uwanja huo ulizidisha zamani huku vyumba vya uwanja huo vikifanywa afisi za watu fulani.
Aidha nyasi na magugu yamemea uwanjani humo huku wananchi wa kawaida wakishindwa kuingia uwanjani humo.