PEPEA RADIO KE

PEPEA RADIO KE Pepea Radio is your favourite radio station for real taste of rhumba,zilizopendwa,gospel,reggae,bongo etc and also news stesheni inayokuwa kwa kasi hapa kenya

05/09/2026

ODM Secretary General Catherine Omanyo has criticised some journalists over what she described as the publication and spread of false information, days after a Standard newspaper editor was briefly abducted by unknown people and later released.

crisis
04/09/2026

crisis

A SUDDEN reduction in international health funding has forced counties with large populations of people living with HIV to develop new strategies to ensure essential services are not disrupted.

peter mukabi opinion
04/09/2026

peter mukabi opinion

THE GOVERNMENT must stop treating the ongoing healthcare workers’ strike as an ordinary labour dispute. It is no longer simply a disagreement over salaries, allowances or collective bargaining agreements. It is a national healthcare crisis—and every day of inaction puts more lives at risk.

Sugarken farmers protests
04/09/2026

Sugarken farmers protests

Check this
03/09/2026

Check this

Viongozi wa biashara nchini Kenya wanaendelea kuwa na matumaini kuhusu ukuaji wa biashara na uchumi katika kipindi cha m...
03/09/2026

Viongozi wa biashara nchini Kenya wanaendelea kuwa na matumaini kuhusu ukuaji wa biashara na uchumi katika kipindi cha miezi 12 ijayo, kulingana na utafiti wa hivi karibuni wa Wakurugenzi Wakuu (CEO Survey) uliofanywa na Benki Kuu ya Kenya (CBK).
Biashara nyingi ziliripoti kuwa katika robo ya pili ya mwaka kulikuwa na ongezeko la mahitaji ya bidhaa na huduma, uzalishaji pamoja na mauzo ikilinganishwa na robo ya kwanza. Pia, kampuni nyingi zinatarajia shughuli za biashara kuendelea kuimarika au kubaki tulivu katika robo ya tatu ya mwaka.
Utafiti huo pia unaonyesha hali ya upatikanaji wa mikopo imeanza kuboreka. Takribani asilimia 58 ya Wakurugenzi Wakuu walisema kupata mikopo ni rahisi kwa kiwango cha wastani, huku asilimia 15.7 wakisema ni rahisi kabisa. Aidha, asilimia 46 ya kampuni zilisema riba za mikopo ya benki zimepungua tangu Agosti 2024.
Kwa upande wa teknolojia, asilimia 71 ya kampuni zimeanza kutumia teknolojia, mifumo ya kiotomatiki (automation) na huduma za kidijitali ili kuongeza ufanisi, kuboresha huduma kwa wateja na kupunguza gharama za uendeshaji.
Hata hivyo, wafanyabiashara bado wanakabiliwa na changamoto kadhaa. Wakurugenzi Wakuu wanaiomba serikali kupunguza gharama za uendeshaji wa biashara, kufanya mikopo iwe nafuu zaidi, kuweka sera za kodi na kanuni zinazotabirika, pamoja na kulipa kwa wakati madeni ambayo serikali inadaiwa na wafanyabiashara.

Rais
02/09/2026

Rais

Serikali inafanya kazi
02/09/2026

Serikali inafanya kazi

ENGLISH PREMIER LEAGUE TONIGHT'S MONDAY 31ST AUGUST 2026 MATCH ⬇️⬇️ ✅Aston Villa Vs Arsenal The Gunners 10:00PM.VENUE - ...
31/08/2026

ENGLISH PREMIER LEAGUE TONIGHT'S MONDAY 31ST AUGUST 2026 MATCH ⬇️⬇️

✅Aston Villa Vs Arsenal The Gunners 10:00PM.

VENUE - Villa Park Stadium.

Wadau hapa unaenda na Arsenal au Aston Villa ?______


Address

4444
Bungoma
50505

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PEPEA RADIO KE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to PEPEA RADIO KE:

Shortcuts

Share