BUSIA Border RADIO

BUSIA Border RADIO The Best Radio station in Busia County with best mix of music and presenters. Embraced with well packaged and comprehensive News bulletins.
(1)

AFCON 2027 Host Stadiums 🏟️TANZANIA 🇹🇿Benjamin Mkapa StadiumSamia Suluhu Hassan StadiumDodoma StadiumAmaan StadiumKENYA ...
25/12/2025

AFCON 2027 Host Stadiums 🏟️

TANZANIA 🇹🇿

Benjamin Mkapa Stadium
Samia Suluhu Hassan Stadium
Dodoma Stadium
Amaan Stadium

KENYA 🇰🇪

Talanta Stadium
Kasarani Stadium
Nyayo Stadium
Bukhungu Stadium
Kipchoge Keino

UGANDA 🇺🇬

Hoima Stadium
Akii Bua Stadium
Mandela Stadium

Merry X-Mass from this side,, hii place X-Mas hunoga kuanzia saa sita adhuhuri , barabara hua buzy yaani watoto , vijana...
25/12/2025

Merry X-Mass from this side,, hii place X-Mas hunoga kuanzia saa sita adhuhuri , barabara hua buzy yaani watoto , vijana .. Soda ya madiaba huku ndio form ..

wewe unasherehekea X-Mass ukiwa wapi?? Taja pahali ulipo tufike.

Like || Comment || Follow

Merry X-Mass ?? tunaskia watu walikesha jikoni kutengeneza mapocho pocho. jameni , leo ukila usisahau wenzako ambao hawa...
25/12/2025

Merry X-Mass ?? tunaskia watu walikesha jikoni kutengeneza mapocho pocho. jameni , leo ukila usisahau wenzako ambao hawana.

Merry X-MASS from us , unasherehekea ukiwa wapi??.

Like || Comment || Follow

Christmas🎄 yenyewe ni leo imekupata wapi?BUSIA Border RADIO  🔥 🔥 🔥
24/12/2025

Christmas🎄 yenyewe ni leo imekupata wapi?
BUSIA Border RADIO 🔥 🔥 🔥

Enyewe Vera Sidika ni wife material😍
24/12/2025

Enyewe Vera Sidika ni wife material😍

Kumekucha, Mchaka mchaka za krismasi zimeshika hapa mjini busia ...inaitwa final touches , sokoni kuko buzy , shopping's...
24/12/2025

Kumekucha, Mchaka mchaka za krismasi zimeshika hapa mjini busia ...inaitwa final touches , sokoni kuko buzy , shopping's za mwisho mwisho.

Krismas moods .. Busia town

updates

Like || Comment || Follow

Alupe Fc ndio Mabingwa wa mwaka huu wa kombe la mheshimiwa James Ong'ole kufuatia ushindi mgumu wa goli moja komboa ufe ...
24/12/2025

Alupe Fc ndio Mabingwa wa mwaka huu wa kombe la mheshimiwa James Ong'ole kufuatia ushindi mgumu wa goli moja komboa ufe dhidi ya mashemeji wao Mogola Fc kutoka Ojamii [ 1-0 ] kwenye finali kali iliyorindimwa katika uwanja wa shule ya msingi ya Alupe - Wadi ya Ang'orom Teso kusini - kaunti ya Busia.

Alupe fc ilipata ushindi huo mwebaba kupitia kwa mchezaji Austine aliyetikisa nyavu kipindi cha kwanza na kuwaacha mashabiki wa Mogola fc hoi bin taabani wakikimezea mate kombe hilo

Walipokezwa kitita cha shilingi 80,000 na kujikatia tiketi ya moja kwa moja kuingia kwenye mashindano ya kombe la gavana wa kaunti ya Busia Dr.Paul Nyongesa Otuoma ambapo mshindi wa hapo atakoboa ushindi wa milioni moja.

Fainali hizo ziliwavutia Waziri mkuu wa jamii ya Iteso Papa Fredrick Adung'o, Waziri mkuu wa michezo busia Paul Olung'a , Solomon Abwaku Afisa mkuu wa utamaduni kaunti ya busia pamoja na mkurugenzi wa vijana na michezo Meshack Tumaini.

updates

Like || Comment || Follow

●●KRISMASI YA MAUTI MATAYOS BUSIA COUNTY.Watu kadhaa wameripotiwa kuaga dunia huku wengine wakijeruhiwa vibaya kufuatia ...
23/12/2025

●●KRISMASI YA MAUTI MATAYOS BUSIA COUNTY.

Watu kadhaa wameripotiwa kuaga dunia huku wengine wakijeruhiwa vibaya kufuatia mkanyagano uliozuka kwenye zoezi la kutoa msaada wa chakula na bidhaa zingine za Krismasi kwa wananchi katika boma la gavana wa kaunti ya Busia Dr.Paul Nyongesa Otuoma eneo la Matayos .

Boma la gavana Otuoma lilifurika kutokea asubuhi kabla ya mkanyagano huo kushuhudiwa likipelekea zoezi hilo kuhamishwa hadi katika uwanja wa afisi za naibu kamishina wa Matayos hatua chache kutoka kwa boma la gavana Otuoma.

Familia ya jamaa aliyefariki na walio sazwa na majeraha hospitalini wanaomba kufidiwa kwani hawajui pa kuanzia.

NOW: FINALS HON ONG'OLE SUPER CUP.ALUPE UNIVERSITY VS MOGOLA FC (ALUPE GROUNDS)NOW......
23/12/2025

NOW: FINALS HON ONG'OLE SUPER CUP.

ALUPE UNIVERSITY VS MOGOLA FC (ALUPE GROUNDS)

NOW......

Reggae ya kidosi 🔥 saba hadi kumi kamili ndani ya BUSIA Border RADIO naye Dj-bestkid Jay.Vibes za Border iko on 🔥
23/12/2025

Reggae ya kidosi 🔥 saba hadi kumi kamili ndani ya BUSIA Border RADIO naye Dj-bestkid Jay.
Vibes za Border iko on 🔥

Sports: Kule Ang'orom Ward, Teso Kusini Kaunti ya Busia , Mashindano ya Soka ya MCA James Ong'ole yanafika ukingoni hivi...
23/12/2025

Sports: Kule Ang'orom Ward, Teso Kusini Kaunti ya Busia , Mashindano ya Soka ya MCA James Ong'ole yanafika ukingoni hivi leo katika uwanja wa Shule ya msingi ya Alupe .

Mshindi wa kombe la mheshimiwa Ong'ole atajikatia tiketi ya kuingia kwenye mashindano ya kuwania kombe la Gavana wa kaunti ya Busia Dr.Paul Nyongesa Otuoma ambapo bingwa wa hapo atatuzwa kitita cha shilingi milioni moja.

Rekodi ya ubingwa wa kombe hilo la Gavana Otuoma, lingali linashikiliwa na kikosi cha Ajax Fc kutoka wadi ya Ang'orom ambao pia ndio mabingwa wa kombe la mheshimiwa James Ong'ole.

Good Morning 🌄 , Kumekucha kumepambazuka, From the hills of Odiado Busia County we are loud and clear on 89.9fm.Taja mta...
23/12/2025

Good Morning 🌄 , Kumekucha kumepambazuka, From the hills of Odiado Busia County we are loud and clear on 89.9fm.

Taja mtaa wako nasi tukutaje hewani, unasikiliza ukiwa wapi? form ya X-Mass iko vipi

updates

Like || Comment || Follow

Address

Busia

Telephone

+254791269092

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BUSIA Border RADIO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to BUSIA Border RADIO:

Share