BUSIA Border RADIO

BUSIA Border RADIO The Best Radio station in Busia County with best mix of music and presenters. Embraced with well packaged and comprehensive News bulletins.
(1)

Leo ni moto ndani ya Busia Border Radio!Mimi Dj-bestkid Jay pamoja na Olga Juma tunakukaribisha kwenye   🎢πŸ”₯Kuanzia saa 1...
13/05/2026

Leo ni moto ndani ya Busia Border Radio!
Mimi Dj-bestkid Jay pamoja na Olga Juma tunakukaribisha kwenye 🎢πŸ”₯
Kuanzia saa 1PM mpaka 4PM tunaleta vibe safi, hits kali na energy ya border! πŸ“»πŸ’ƒπŸΎπŸ•ΊπŸΎ

Usikose kushow love, tune in na tuwape weekend feeling mapema 😎

Wanafunzi wa Shule ya upili ya St Jacobs Kaliwa iliyo katika eneo bunge la Teso Kusini wamepewa lift na gari la kubeba m...
13/05/2026

Wanafunzi wa Shule ya upili ya St Jacobs Kaliwa iliyo katika eneo bunge la Teso Kusini wamepewa lift na gari la kubeba miwa wakielekea katika afisi ya kuajiri walimu Amukura wakiandamana kulalamikia kuondolewa kwa mwalimu mkuu wa shule hiyo.
Hadi wakati tulipochapisha habari hii, wapo njiani wanashiriki kwenye maandamano hayo.

Usiku wa leo ni moto ndani ya Busia Border Radio!Dj-bestkid Jay anakusakata na playlist safi ya HipHop mpaka usiku uchek...
12/05/2026

Usiku wa leo ni moto ndani ya Busia Border Radio!
Dj-bestkid Jay anakusakata na playlist safi ya HipHop mpaka usiku ucheke 🀣😎🎢

πŸ“» Tune kuanzia 10pm na ufeel vibes za real HipHop ukiwa naye Dj-bestkid Jay πŸ”₯ πŸ”₯ πŸ”₯
Ni hits kali, energy ya juu na burudani nonstop!

Station yako pendwa ya BUSIA Border RADIO inakutakia usiku mwema.... Kumbuka Hili πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
12/05/2026

Station yako pendwa ya BUSIA Border RADIO inakutakia usiku mwema.... Kumbuka Hili πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Valentine Muya kwenye kipindi cha Border Drive hapa Busia Border Radio – mazungumzo yenye kina, ushauri wa kweli, na taa...
12/05/2026

Valentine Muya kwenye kipindi cha Border Drive hapa Busia Border Radio – mazungumzo yenye kina, ushauri wa kweli, na taarifa zinazowafikisha watu nyumbani.

Unasikiliza ukiwa wapi?

Reggae Tuesday ndani ya BUSIA Border RADIOπŸ“»πŸ“»πŸ“» Hosted by Dj-bestkid Jay πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
12/05/2026

Reggae Tuesday ndani ya BUSIA Border RADIOπŸ“»πŸ“»πŸ“»
Hosted by Dj-bestkid Jay πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Monday vibes naye Dj-bestkid Jay. Upo hapo?   show
11/05/2026

Monday vibes naye Dj-bestkid Jay. Upo hapo?

show

Wengi wanasema Arsenal wanabeba hii kitu🀣  Leo Arsenal wanakutana na westham. Ukweli wa maneno Arsenal wanapigwa k**a Bu...
10/05/2026

Wengi wanasema Arsenal wanabeba hii kitu🀣 Leo Arsenal wanakutana na westham. Ukweli wa maneno Arsenal wanapigwa k**a Burukenge leo🀣🀣🀣

Kwa sasa.......
Arsenal's Remaining Premier League Fixtures:

Vs West Ham (A)
Vs Burnley (H)
Vs Crystal Palace (A)

Manchester City's Remaining Premier League Fixtures:

Vs Crystal Palace (H)
Vs Bournemouth (A)
Vs Aston Villa (H)

🌺 Jumapili bila Taarab si Jumapili! 🌺Ungana na Diana Awuor kwenye kipindi cha Leta Raha kupitia Busia Border Radio 89.9F...
10/05/2026

🌺 Jumapili bila Taarab si Jumapili! 🌺
Ungana na Diana Awuor kwenye kipindi cha Leta Raha kupitia Busia Border Radio 89.9FM kila Jumapili kuanzia 10:30am hadi 2pm πŸŽΆπŸ“»
Miziki ya mahaba, ujumbe na raha tupu zinakungoja! πŸ’ƒβ€οΈ

πŸ”₯ 89.9FM – Pale burudani halisi huanzia

Heri ya Siku ya Mama kwa kina mama wote popote mlipo. Mwenyezi Mungu awape afya njema na maisha marefu. 🌷Diana Awuor Tup...
10/05/2026

Heri ya Siku ya Mama kwa kina mama wote popote mlipo. Mwenyezi Mungu awape afya njema na maisha marefu. 🌷
Diana Awuor Tupo site 10.00am-2.00pm
❀️ @followersDj-bestkid JayElias ItebaEmmanuel JumaahRichard Omuse

Waziri wa vyama vya ushirika na biashara ndogondogo MSME Wyckliffe Oparanya amewataka vijana kukumbatia biashara na kili...
09/05/2026

Waziri wa vyama vya ushirika na biashara ndogondogo MSME Wyckliffe Oparanya amewataka vijana kukumbatia biashara na kilimo ili kunufaika na mipango ya serikali ya kuinua viwango vyao vya maisha.

Akizungumza kwenye hafla ya kuhamasisha wakulima wa kahawa Butula mapema leo, Oparanya vilevile amewasuta viongozi wa chama cha ODM kwa kuwaondoa baadhi yao mamlakani akisema, hatua hiyo imewapa wakati mgumu, haswa katika eneo la magharibi ambayo ni ngome ya chama hicho, wanapotangamana na wananchi mashinani na hata kuelezea sera za serikali ikizingatiwa kuwa wamo ndani ya makubaliano ya broad based goverment pamoja na chama tawala cha UDA.

Amewataka viongozi wa ODM kushirikiana na kuondoa mgawanyiko ndani ya chama hicho ili kafanikisha uchaguzi mkuu ujao na kisha kutatua changamoto zinaikumba baada ya uchaguzi.

updates

Like || Comment || Follow

Address

Busia

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BUSIA Border RADIO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to BUSIA Border RADIO:

Share