Akatu Updates

Akatu Updates AYANA WRITTEN UPDATES ☑️☑️
(4)

𝐀𝐘𝐀𝐍𝐀 𝟏𝟏𝐓𝐇 𝐉𝐔𝐍𝐄 𝐖𝐑𝐈𝐓𝐓𝐄𝐍 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒𝐄𝐏𝐈𝐒𝐎𝐃𝐄 𝟏Tuliona Robert akiambiwa na Anna,atoke nje kiasi anataka kuongea na Kefa pale ch...
10/06/2026

𝐀𝐘𝐀𝐍𝐀 𝟏𝟏𝐓𝐇 𝐉𝐔𝐍𝐄 𝐖𝐑𝐈𝐓𝐓𝐄𝐍 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒

𝐄𝐏𝐈𝐒𝐎𝐃𝐄 𝟏
Tuliona Robert akiambiwa na Anna,atoke nje kiasi anataka kuongea na Kefa pale chumbani kwa Tyrone.
Robert alitoka na akapigiwa simu na DCI beshte yake akamuuliza,story ya missing son imefika wapi? Anna alipiga simu. Robert akamwambia unajua tu mambo ya akina mama ako worried tu but najua kijana atarudi. Lakini DCI akamwambia nimekupigia kukuambia kuna dead body ya kijana mdark hivi uko kwa forest...aah! Robert nguvu ziliisha,ameshtuka sana.

Huku kwa mansion kwa nyumba,Anna analeta Kefa juu anamwambia mbona ukuje kwa wedding yangu na sikualika,plus what we had jana iliisha jana. Kefa akamwambia ni sawa,wee endelea kujidanganya but najua unanipenda ju we have a true love. Punde si punde,Robert akafika. Kefa akaambia Robert,najua inauma ju nikiona unaoa the love of my life inaniuma but guess what Annaliza ni wako. Kefa akaamua wafanye handshake na Robert but badala ya Robert kumsalimia,akashika Anna mkono akamwambia kuja twende.

Sikiza,Robert hakuambia Annaliza kuhusu phone call amepigiwa,but alimwambia anataka watoke. Tyrone akakuja akauliza,mbona mapema hivi? Robert akasema ameitiwa kazi pahali anataka aende afanye so adrop Anna kwanza but Tyrone akamwambia usijali,wee enda I will drop your wife home safely. Bado Robert hajaambia Annaliza kuna phone call amepata kutoka DCI.

Wacha Tyrone akuje kwa room,asikie Kefa na Tinah wanaongea wakicheka kwa bedroom. Tyrone alijam,akakuja akauliza Kefa,nani alikuambia ukuje kwa room ya mtoto wangu? Kefa akasema ni sawa iam sorry but ni Tinah alinialika lakini Tyrone hataki kusikia huu ujinga aliambia Kefa ni utoke kutoka alah!

Tyrone aliambia Tinah,hata k**a alikusaidia hana ruhusa kukaa kwa room yako na wewe mkifanya? Tinah akamwambia I just wanted kumwambia thanks lakini Tyrone akamwambia this is my house and I have rules. Tinah k**a kawaida akajifanya victim akasema Kefa was the only man mwenye alimsaidia when everyone was busy planning weddings. Tyrone akafeel enyewe acha akae chini.

Robert alienda akaacha Annaliza na Tyrone ameenda kukaa na Tinah. Annaliza akamcall Kefa akamuuliza ushatoka ama bado? Kefa akamwambia no niko hapa bado,kuna shida? Annaliza akasema ni Kylian, sijui ako wapi,how I wish ungekua bado uko ju hakua anakufanyia mchezo ukiwa. Kefa akacheka akamwambia si uliamua kuwa na baba mwingine 🤣🤣🤣

𝐄𝐏𝐈𝐒𝐎𝐃𝐄 𝟐
Mngeshindwa sana hii time yoote Kefa akiwa na Tinah Mathew alikua wapi? Kumbe Mathew alikuja kwa room ya Nura🤣🤣Nura akamuuliza unataka nini lakini Mathew akamwambia acha kujifanya hunitaki na unanitaka. Nura akamuuliza kichwa chako kizuri kweli? Mathew akamwambia unaona venye uko mrembo,kwanza venye umevaa...Nura akamkatiza,akamwambia sina hisia na wewe kabisa, so usidhani nakutaka wewe, sahau! Punde si punde,wakasikia mtu anabisha ikabidi Mathew ajifiche. Nura kufungua mlango kumbe ni Asha 🤣🤣Asha akazuiliwa kuingia hadi akauliza kwani kuna nini nimesikia mnaongea na mtu? Nura akasema ni simu si mtu nimekua naongea na simu 🤣🤣🤣Nura akamuokolea Mathew.

Nura akarudi akaambia Mathew sikiza, focus na Tinah,mimi ukijiweka kwangu nitakuheartbreak,please focus na Tinah na sitarudia lakini Mathew akamwambia aje "Iam not giving up on you" 🤣🤣Nura alimwambia sikiza,mimi ni wa Mombasa bna,sisi hutaka wanaume si gume gume🤣🤣🤣woiye Mathew,kalifukuzwa.

Makosa ikawa,wakati tu Mathew anatoka kwa Nura hivi,mbele yake,Tyrone akamuona. Akamuuliza haya, leo unatoka kwa room ya maid,kuna nini? Mathew akadanganya akasema ni Nura imagine alipoteza beshte yake so nilikua namuongelesha at least ametulia tulia 🤣🤣🤣

Baadaye Tyrone alikuja akauliza Annaliza mbona hukutaka Kylian na Nura waendelee na mapenzi na venye wako good together? Annaliza akasema ni venye sikutaka chenye kilifanyika Mombasa kijirudie na sikutaka watukosanishe sisi. Tyrone akamwambia its ok,its getting late twende nikudrop home.

Punde si punde, Robert akafika kwenye kuna mwili na akapewa ruhusa kufungua aone k**a ni Kylina,cheki venye mwanaume anatetemeka,anaomba tu asiwe Kylian lakini maskini wa Mungu,kufungua tu hivi, Kylian is dead,makosa!

𝐀𝐘𝐀𝐍𝐀 9𝐓𝐇 𝐉𝐔𝐍𝐄 𝐖𝐑𝐈𝐓𝐓𝐄𝐍 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒Muniwekee like sasa, tukifika kulala tukiwa na 1k likes, nitawaandikia mapema ya kesho pia...
08/06/2026

𝐀𝐘𝐀𝐍𝐀 9𝐓𝐇 𝐉𝐔𝐍𝐄 𝐖𝐑𝐈𝐓𝐓𝐄𝐍 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Muniwekee like sasa, tukifika kulala tukiwa na 1k likes, nitawaandikia mapema ya kesho pia.
Part 1

Robert na Annalisa bado wanaongea, Annalisa hataki hii harusi kabisa but Robert anajaribu kushawishi. Robert alisema hii harusi tukicancel mtu ataumia sana ni Saida na sio sisi so tungemaliza hii harusi alafu tumtafute kylan after.

Annalisa alisikia kuumiza saidah na akakubali kuendelea na wedding. Huku kwa Tyrone Mathew anaenda job alikutana na Tyrone kwa starecase akamwambia dad, inafaa tumtafute Bryson haraka afungwe jela kwa sababu kila mtu anafaa kulipia makosa yake.

Tyrone alimuambia kijana talking of kulipia makosa, pia wewe sikusikia vizuri vile uliongelesha Saida. Mathew alijaribu kujitetea but akapewa msomo sawa sawa na akaachwa hapo Ivo😄,

Chumbani mwa saidah, nurah amemurembesha Saida kweli kweli. Asha aliingia akamuona haamini mamake ni mrembo hivi. Ukiona Ile dress amevaa ukiona kwa kifua hivi unapoteza akili for 5 minutes ndo uzinduke😄.

Huku kwa Robert, ni Robert ako stress amevaa already but hayuko sure k**a Annalisa ndo amekubali ama amekataa.
Alienda kumuona Annalisa kwa room yake akampata k**a hajafanya chochote. Akaamua once wao waachane na mambo ya harusi. Alichukua simu akamucall Tyrone, Tyrone kushika hivi Annalisa akasa akachukua simu na akaambia Tyrone imejicall yenye.

Annalisa na Robert walikubaliana after wedding immediately, wanaanza kusaka kylan, na hata Mimi akatu wa shiyiro nawasupport wafanye hivo kuliko kuhurt Saida.

Kuna vijana wawili Chali na Dem wake wako zoezi wanakimbia kwa mlima huko forest. Huyu Dem anakaaje ex wangu? Anyway, Dem aliangalia kwa kichaka akaona kitu, hatukuonyeshwa ni Nini but Dem aliscream kwa sauti, na wakati huyo huo Annalisa akashikwa na msh*tuko wa moyo, akaanguka chili, but thank God ako na daktari Robert. Robert alisema ni panic attack akamufanyia first aid na akawa sawa.

Part 2

Part 2 tunaanzia hapo kwa Tyrone, Mathew ameenda job na amerudi, azn ameomba ruhusa akarudi mapema. Kwa corridor alikitana na nurah, wueh wacha niwaambie, nurah ni kitu😘, kumbe zile nguo za kazi ndo huficha urembo wake. Anashinda Tina na Mali sana. Mathew alichanganyikiwa, na wakaanza kushikana hapo kwa mulango. Na puupu Tina akawapata red handed. Mathew alijifanya eti nurah alikuwa anaanguka akamushika.

Anyway Tina alielewa na Mathew ameletea Tinah zawadi, na ni zawadi ya portrait ya picha Yao wakiwa wawili. Tinah alifurahi sana mpaka akamupeleka kwa room , sijui wanapenda kufanya Nini na hakuna mtu ako kwa nyumba. Mimi najua chenye wanafanya lakini siwaambii.

Anyway hatujui Tina na Mathew walikaa kwa room for how long ama labda director hataki tujue Mathew ni WA long distance ama short races 😄, but ishakuwa usiku kabisa na huku nje harusi imeshika moto.
Watu wachache tu wamealikwa na bibi na bwana harusi wawili wawili wako hapo nje ni mahaba tu wueh.

Ilikuwa zamu ya Saida kuongea kitu na akaona apeana ushauri. Aliwaambia Robert washafanya harusi sasa aende atingishe kitanda sawa sawa, na asipotingisha vizuri Kuna mtu atamusaidia kutingisha. Kwa Tyrone alimusifia mpaka Tyrone anablasha wueh, unaeza fikiria yeye ni gen z 😂😂.

Wasee ni k**a Mathew hachapewa chochote juu ndo wanatoka room na bado amenyonga tie na anachungulia nurah kwa wedding akismile tu. Tinah alinotice akamuuliza ana smile Nini? Na yeye akamudanganya alikuwa anafikiria vile wedding Yao itakuwa pia😄, men are liers.

Tinah ako busy kwa simu pia kuulizwa anasema anatext kylan,. Huku nje Tyrone na Saida wameliwa mapenzi tu, wanashukana mbaya sana , Robert na Annalisa wamejitoe wameanza kutafuta kylan.
Tyrone alinotice akakuja wakamuelezea vile kuko, and Tyrone akasema lazima Kuna kitu. Ndo walikuwa wanaongea na Asha akakuja kumtoa Tyrone sijui as a anamuambie Nini.

Keifa aliingia na kila mtu akashtuka kumuona. Robert akamuuliza hii harusi ni invite only nani huyo amekuninvite, hata kabla ajibu Tina alisema ni yeye amemu.invite. Tina anasema Kefa ni savior wake . Robert aliwaitaka kefa Tina na Annalisa waongee, wakaenda kwa nyumba. Robert anataka Kefa atoke hapo haraka sana. Tinah anasema Kefa haendi mahali na kwa sababu yeye ni hero wake atabaki hapo kwa nyumba kwa vvip. Kilichowashangaza ni Annalisa aliomba kuongea na Kefa wakiwa wawili pekee Yao.
Mpaka hapo sasa, good night and lovely sapa.

kefa should just get married to Annalisa, ama aje
08/06/2026

kefa should just get married to Annalisa, ama aje

Kefa kefa, hizo ni Nini unafanya sasa
08/06/2026

Kefa kefa, hizo ni Nini unafanya sasa

𝐀𝐘𝐀𝐍𝐀 𝟓𝐓𝐇 𝐉𝐔𝐍𝐄 𝐖𝐑𝐈𝐓𝐓𝐄𝐍 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒   Gonga like 𝐄𝐏𝐈𝐒𝐎𝐃𝐄 𝟏Robert ndio wanafika home lakini Annaliza alishtuka ati Kylian haja...
05/06/2026

𝐀𝐘𝐀𝐍𝐀 𝟓𝐓𝐇 𝐉𝐔𝐍𝐄 𝐖𝐑𝐈𝐓𝐓𝐄𝐍 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Gonga like
𝐄𝐏𝐈𝐒𝐎𝐃𝐄 𝟏
Robert ndio wanafika home lakini Annaliza alishtuka ati Kylian hajafika since atoke. Robert akamwambia usijali maybe he needed some time kiasi acha atulie atakuja. Annaliza anasema apana, Kylian hakuangi hivyo but k**a ni time anataka he will be back...huh! Joke on you.

Kumbe Kylian,tuliona ametekwa nyara ndio sasa acha niwaonyeshe mwenye alimkidnap, Kefa. Kylian wakati anapata ufahamu ndio alishtuka mwenye amemkidnap ni Kefa 🤣🤣Kefa alicheka akamwambia kijana,hakuna mwenye anakuja kukusafe. Kylian anashindwa kwani nimekosa nini lakini Kefa alichukua rungu akamwambia sikiza,nilikulea k**a mtoto wangu,I raised you Kylian alafu fala atokee tu huko ati sasa anakuchukua,I wont allow that. Wah! Revenge time.

Tyrone na Saida cant wait ju ni kesho tu wanafanya wedding,kwanza k**a kuna mtu ako soo happy ni Saida alafu sasa mwenye ako extremely happier ni Tyrone. They are counting hours wavalishane pete waanze kumumunyana rasmi 🤣🤣🤣hadi waliamua kukisiana,lakini kabla Saida hajatoa ulimi,Asha akafika 🤣🤣🤣

Tyrone aliambia Asha sweetheart,ukija hapa unanock kiasi unaona karibu utupate tuki,eeh! Ile kitu🤣🤣🤣

Haya! Tuliona Annaliza ameomba ruhusa aende kupimana nguo ya wedding lakini sikiza,Annaliza hakua anaenda kupima nguo,alikua anakuja kwa Kefa na already ashafika.

Annaliza alikuja akapata Kefa akamwambia najua huwa unaiona nakuchukia lakini bado nakupenda,kwanza nimesikia ati ulisaidia Tinah,manze you are one in a million na nimekuja tu kuomba msamaha incase nilikukwanza. Annaliza hana habari,huyu huyu Kefa amemukidnap Kylian.

Sikiza, Annaliza amekuja kuomba msamaha Kefa na ju anajua kesho anafanya wedding guess alifanya nini,alimshika Kefa shirt na akampeleka kwa bedroom,ile kitu walifanya huko,eeh! Hata shetani alibaki akiwa amekaa hapo kando akishangaa tu na hivi ndio lodgings huwa wakuu,acha niwaambie story ya rafiki yangu,aliniuliza mbona kwa lodging kunakuanga na kiti hapo. Sababu ya kiti ni ya kukaliwa na shetani akiwaangalia venye mnatandika usherati 🤣🤣🤣🤣Imagine kesho ni wedding ya Annaliza as alleged,but ameamua kuangushia Kefa leo k**a ishara ya kumuomba msamaha.
𝐄𝐏𝐈𝐒𝐎𝐃𝐄 𝟐
Saida alienda akaongelesha Nura akamwambia aache mchezo na Mathew kisha baadaye akakuja kwa Tinah ju anajua Tinah anamchukua ju alibail Ray out. Tinah kamejam kanamwambia Saida iam sick of your drama lakini Saida alijaribu kumuongelesha but Tinah hataki kusiia anything. Saida alimwambia nakujali sana na nilikua na hofu,najua tumeishi kuchukiana lakini its time we cut the hatch ju nakujali sana. Mathew ako hapo akamwambia Saida wee pia nyamaza unasema unamjali an uliendelea na story zako na wedding hiyo ni kumjali gani? Saida alimwambia Mathew sikiza usipende kuwa sumu kwa maisha ya watu,na ukiendelea kukanyaga nyoka itakuuma. Mathew hafikirii hajui siri yake Saida ako nayo.

Kumbe Annaliza na yeye baada ya kukulana na Kefa,alishikwa na kale ka usingizi ka after mechi,sasa Robert ndio amemcall,hashiki ju Annaliza amelala kulala. Aliamka akapata 87 missed calls.

Annaliza mbio mbio akaoga akatengeza nywele ready kuenda. Ona sasa Kefa venye anaenjoy after kusweat 🤣🤣🤣

Turudi kwa Mathew na Saida,alimwambia Mathew,hufai hata kupiga mdomo hapa,yafaa unyamaze. Mathew akamwambia wee unajaribu kuwa guilty ju najua hupendi Tinah na sikuogopi na venye mlifanyia Tinah lazima utalipia. Saida akamuuliza unangoja nini,si ufanye chenye unaeza fanya ama uende polisi ama. Saida anashindwa haka katoto nikafanyie nini but akaambia Tinah sikiza k**a kuna mtu wa kulaumu ni huyu Mathew na mimi naomba tu msamaha wewe k**a wewe na sitawai rudia kukuudhi tena. Tinah akamuuliza mbona uombe msamaha? Saida akamwambia ni ju kesho mimi na babako tunafganya harusi. Tinah akashtuka akauliza Mathew,ni kweli,kuna wedding an hujai niambia? Mathew akamwambia yeah ni ukweli they are wedding. Tinah ndio alishtuka anasema how can my dad marry this useless woman here. Lakini Saida yeye anacheka tu ju hata pia anajua who is useless woman 🤣🤣

Tyrona alipigia mapolisi simu akawaambia sikzia, sijui mtafanya aje, lakini chenye nataka mtafuta Brayson mumueke ndani,come rain come sunshine.

Saida alikuja akaambia Tyrone kimeumana,ju huyo Mathew simuoni vizuri,mwanaume ni mdomo k**a kasuku. Punde si punde,Tinah akakuja akauliza babake,Tyrone,so ulikua ufanye wedding bila kuniambia? Tyrone akamwambia niliona uko na vitu mob za kufikiria sikutaka kukuchosha but usijali yeah kesho nafanya wedding unless uniambie chenye ulitaka nikuambie. Tinah akamuuliza ulifikiria aje siku ya wedding,k**a nilikua missing ama venye nilirudi? Tyrone akamwambia I think thats not important,what matters is uko hapa..Lakini Tinah akamuuliza,so k**a ningeendelea kupotea ungeendelea na wedding? Tyrone akamwambia noo,tulikua na mambo ya kufikiria sana kukuhusu,so relax na usinipigie kelele wewe msichana🤣🤣🤣

𝐀𝐘𝐀𝐍𝐀 2𝐍𝐃 𝐉𝐔𝐍𝐄 𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐖𝐑𝐈𝐓𝐓𝐄𝐍 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒TINAH IS BACK. part 1 Saidah amekaa na Mathew nje ya nyumba anajaribu kumuconsole juu...
02/06/2026

𝐀𝐘𝐀𝐍𝐀 2𝐍𝐃 𝐉𝐔𝐍𝐄 𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐖𝐑𝐈𝐓𝐓𝐄𝐍 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
TINAH IS BACK.
part 1

Saidah amekaa na Mathew nje ya nyumba anajaribu kumuconsole juu ya Tina, hajui akili ya Mathew Iko kwa nurah,😄. Asha alikuja, k**a Mathew anajitoa , Saida akamwambia anamuone Mathew huruma sana, Asha akamwambia vile kylan amepata Mathew na nurah k**a wameshikana wametoka kwa soko😅😅.

Sabina ako kwa Bryson wanaongea na akina stano, yeye stano aliamua kusema ukweli, juu alikuwa anafuata orders za Bryson. Bryson anataka kuwork na Sabina, Sabina yeye anataka zile 2 million na Bryson anasema haiwezi peana.

Tyrone anatoka police station na anawaelezea vile kumeenda huko. Police wanataka Bryson aende aandikishe statement but pia wao wanashuku Tina alijikidnap. Wueh it's boiling nicely.

Sabina na Bryson ni k**a wamemake deal. Sabina anataka aende na Tyrone akipeleka pesa, na stano amukidnap mbele ya Tyrone, wachukue pesa, warelease Tinah na wataachilia Sabina badaaye. And it's a deal.

Annalisa na Robert wanatoka kazi, wanapata kylan ako na stress mbya sana. Wanamuuliza Nini mbaya na mbona hajapika. Kylan aliwaambia yeye hasikii njaa na k**a wao wanasikia njaa waende wajipikie. Karibu Annalisa amuweke Kofi moja Kali sana but Robert akazuia.

Robert alienda kuongea na kylan pekee yake na akawa open kwake, shida ni nurah, Robert alimuambia k**a anamupenda nurah he should fight for her. Kylan si aniulize Mimi akatu wa shiyiro k**a mapenzi yanapiganiwa😅😅, yaaani the more you fight the more you get hurt. Mimi na kylan tumeamua kuwa single sio eti tuko comfortable but watu tunataka hawatutaki🥹🥹, na tusisumbuliwe.
Anyway kylan has to apologize kwa mama yake juu ya kuwaongelesha vibaya.

Part 2

Robert alielezea Annalisa what's is wrong with kylan na hata Annalisa haelewi, anasema ni mapenzi ya kitoto, na hata yeye akiheartbreakiwa itakuwa worse. Huyu Annalisa anajua uchungu wa heartbreak kweli?, anajua vile mapenzi inauma kweli.

Anyway kwa Tyrone Sabina amerudi na amepata habari police wamekuwa involved. Amekasirika sana, anaona k**a pesa itamutoka. Sasa Sabina anasema waki.invove police Tina atauliwa so wananaki wakigombana na Tyrone.

Stano snaongea na Bryson na Sabina akamupigia simu.sabina anasema makosa imefanyika, juu police washajua kila kitu. So Sabina anataka wapige video call ndo Tyrone aamini kweli Tina anaumia na atapeana hizo pesa.

Asha na Saida wanashangaa mbona Sabina hataki wainvolve police. Asha anaogopa kidnappers wanaeza muua Tyrone akienda pekee yake, na Saida anaogopa inaeza kuwa ni mpango wa Sabina Tyrone aende huko auliwe na wasifanye harusi na yeye😃😃.

Mathew alikuja kwa room ya nurah, anataka alale huku Tena. Nurah anasema ameanza kuwa na hisia kwa Mathew na anaogopa wakiendelea kuwa close atampenda na akuwe heartbrocken. Mathew naye alimuambia Hadi pia yeye ako na feeling zake na isitoshe yeye ni msichana mrembo sana, nurah akamuuliza na Tina je, Mathew akamushow kitu Ina matter ni mwenye ako around hiyo time na hata yeye na Tinah hawajawahi kuwa close vile ako yeye 😃, wanaume uongo tu
😂.

Nurah aliona hapa situation unaenda kuwa out of control, akajitoa eti kwenda kunywa maji, na ni usiku 😂, Mathew alimushika mkono akamwambia , wakaangalia karibu wakisss na Saida akaingia, makosa, makosa sana.

Huku kwa Bryson wamepata mulango Iko wazi, wakapata Tina hayuko. Bryson akamwambia stano achukue kila kitu na ahame hiyo mtaa.

Kesi ikaanza na hata Asha akaingia. Mathew anajitetea lakini hapa wamepatwa red handed. Mtu anabisha mlangoni na nurah akatumwa aende aangalie nani Yuko huko.

Sabina ameenda knock kwa Tyrone, sijui anataka waongee Nini usiku. Tyrone alisikia bell ya mulango akafungua mulango wake akampata Sabina hapo. Huko siting room nurah aliita watu kuwaaambia wakuje kumuona Tina amerudi.

Watu wote walieenda Tina amekuja na kefa. Tinah alihug kila mtu na kufika kwa mama yake alimpiga Kofi ya stima. Watu wote wakashangaa Nini mbaya, Tinah akamwambia ni huyu mchawi mwenye alinikidnap, Sabina anafikiria, akauliza, wamekufanyia Nini mtoto wangu?. Akasema hii plan yote ni Saida amefanya, eti Sabina anasema saidah ndo alikudnap Tina 😂😂. Tinah alimuambia Saida has nothing to do with this akasema Hadi tuko na evidence ni wewe. Kefa akamuonyesha zile picha na watu wote wakashangaa sana. Na Hadi director anasema tutulie na hapo mpaka kesho Tena
Nice lunch watu wangu

𝐀𝐘𝐀𝐍𝐀 2𝐍𝐃 𝐉𝐔𝐍𝐄 𝐖𝐑𝐈𝐓𝐓𝐄𝐍 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒Tinah is back. Ilikuwa usiku Mathew alienda room ya nurah, akamwambia anamupenda sana, ni ...
02/06/2026

𝐀𝐘𝐀𝐍𝐀 2𝐍𝐃 𝐉𝐔𝐍𝐄 𝐖𝐑𝐈𝐓𝐓𝐄𝐍 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Tinah is back.
Ilikuwa usiku Mathew alienda room ya nurah, akamwambia anamupenda sana, ni k**a Mathew amefall in love na nurah, nurah pia akasema anamupenda but anaogopa kuchezwa. Nurah alikuwa anasepa mambo mengi na Mathew akamushika mkono, karibu atake tu kukiss nurah na Saida akawapata, k**a washaguzanisha lips 😅,Niko sure Mathew alikuwa ashasimamisha😄😄.

Saidah aliingia na wakaanza kesi na hata Asha akakuja pia, but Kuna mtu aliknock mulango. So nurah akatu wa aende aangalie ni nani ndo kesi iendelee. Kitu next tulisikia tu sauti ya nurah ikiitana, jameni kujeni ni Tina amerudi. Watu wote walikimbia kwenda kumuhug, kila mtu akapokea hug ingine mwacheche including msalit Mathew lakini Sabina alipata Kofi ingine ya stama😅😅.

Wacha niwaandikie full updates niweekee like at least Leo nifikishe 1k jameni, ama hampendi hii kazi nafanya guys?.

𝐀𝐘𝐀𝐍𝐀 2𝐍𝐃 𝐉𝐔𝐍𝐄 𝐖𝐑𝐈𝐓𝐓𝐄𝐍 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒inakuja just Incase watutumie video, we are waiting anxiously,  Santi kwa kutulia.
02/06/2026

𝐀𝐘𝐀𝐍𝐀 2𝐍𝐃 𝐉𝐔𝐍𝐄 𝐖𝐑𝐈𝐓𝐓𝐄𝐍 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
inakuja just Incase watutumie video, we are waiting anxiously, Santi kwa kutulia.

𝐀𝐘𝐀𝐍𝐀 𝟐𝟕𝐓𝐇 𝐌𝐀𝐘 𝐖𝐑𝐈𝐓𝐓𝐄𝐍 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Follow Peter Wa Mbatia 𝐄𝐏𝐈𝐒𝐎𝐃𝐄 𝟏Stano akidhani ni jokes, punde si punde,alipatwa na Sabin...
26/05/2026

𝐀𝐘𝐀𝐍𝐀 𝟐𝟕𝐓𝐇 𝐌𝐀𝐘 𝐖𝐑𝐈𝐓𝐓𝐄𝐍 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Follow Peter Wa Mbatia
𝐄𝐏𝐈𝐒𝐎𝐃𝐄 𝟏
Stano akidhani ni jokes, punde si punde,alipatwa na Sabina. Sabina amejam kwanza akachukua kisu akamuekea Stano kwa tumbo akamwambia kijana sikiza,pesa zangu ama nikukate matumbo nikumalize. Stano alimwambia I swear hakuna pesa niko nazo. Sikiza,sisi tunajua ni Stano alichukua pesa akampea Brayson but ikawa Sabina asiambiwe. Stano aliambia Sabina sikiza,lazima kuna mtu alijua Tyrone ako na pesa. Hapo na hapo, Sabina akamshuku nani? Robert🤣🤣🤣

Robert amekuja na Kylian kazini,huku Kylian anamuuliza,dad kwani Tinah sister yangu alikua anadate bwana ya sister yako? Robert akamwambia yeah but thats past for now achana nayo.

Sasa Sabina akaambia Stano sikiza, pigia Tyrone umwambia alete pesa zingina na sasa nataka uitishe mita tano usiseme 2 million. Stano akashtuka,akamuuliza elfu tano wajameni hauna huruma? Sabina akamwambia huruma ni estate nataka pesa zangu na uitishe haraka upesi. Sikiza,hii ni kitu Stano haezi jaribu ju yeye anajua aliongea na Tyrone na akaambia Tyrone mwenye amechukua pesa ni boys wake,ataanzia wapi sasa🤣🤣🤣🤣kumbe wakati anaekwa kisu kwa tumbo,alikatwa. Sabina ni mnyama wasee.

Annaliza na Robert bado wanajiuliza,itakuaje Tinah ati ako Naivasha. Robert akamwambia wee hujui Tinah ama hata anafanya hivi just to purnish Brayson kwa chenye alifanyia Mathew. Lakini Annaliza akamuuliza if thats the case that means Mathew pia ako involved na yafaa mjue what he gains by being present kwa mansion hadi Annaliza anauliza Robert,ukiangalia Mathew anakaa ama hakai mtu anaeza pull such game? Robert akamwambia so far Mathew hajawai nipea negative energey,anakaanga tu kafala kahumble humble hivi hivi.Hii yote wanajaribu kuona if Mathew was involved.

Punde si punde, Robert na Annaliza wakiwa hapo ndani,nani alifika? Sabina,na hata hakubisha. Annaliza akamuulza excuse you,tabia zako ziko wapi? Sabina akamwambia excuse you,excuse us nataka kuongea na bwanako....Sabina alienda straight to the point,akauliza Robert where is the two million? Robert akamuuliza million ngapi? Sabina akamwambia zenye uliibia Tyrone jana. Robert akamwambia huwa nasikia unakuanga wazimu kweli wewe ni wazimu. Sabina akamwambia sikiza Mr Conman,najua ni wewe uliplan kuchukua zile pesa. Robert akamwambia naona wivu imefika kwa kichwa,na ikienda hivi utaruka kichwa,k**a hii ni njia ya kusubbotage wedding yetu,sahau na ukidhani nasema uong enda sikiza wimbo wa Bien, Finale,ju utatii🤣🤣🤣

𝐄𝐏𝐈𝐒𝐎𝐃𝐄 𝟐
Baadaye majioni jioni,Brayson alikuja kwa Stano kuchukua zile pesa,na akapea Stano kiasi akamwambia basi tushakafunga lakini Stano akamwambia imagine Sabina tena anataka tutumie mtoto wake tuitishe pesa zingine. Brayson akamuuliza ngapi? Stano akamwambia mita tano. Braysone akamwambia k**a kawaida usinilet down. Kwani Brayson anapanga nini? Tutakuja kujua 🤣🤣

Kumbe Robert ashaambia Tyrone venye Sabina amemuambia ati ni yeye aliwacon hapa. Sabina kufika nyumbani,Tyrone amemngoja hapo akamuuliza, wee mwanamke kichwa chako kina akili kweli? Sabina akamuuliza kwani nimekosa nini? Tyrone akamuuliza mbona uliambia Robert yeye ndio aliiba pesa. Sabina akamwambia ju alijaribu kutuibia. Punde si punde, Stano akamcall akamwambia sikzia mzee, ulijaribu kujifanya mjanja jana,sasa sai nataka 5 million si 2 million tena. Stano akapea Tinah simu akaongea an babake akamwambia dad,huyu gaidi atanimaliza,please nisaidie. Tyrone sasa akawai confused, Brayson alisema Tinah alo Naivasha hata akaonyeshana video, sai Tinah ako kwa kidnappers,kwani kunaendaje? Tyrone is now confused.

Wakati Stano anaongea na Tyrone, Brayson alikua hapo na sasa wacha niwaambia kwa nini Brayson anachukua pesa kutumia Stano,ni kwa sababu ile siku Stano alimgonga Brayson vibaya sana sasa Stano badala ashughulikiwe na Brayson videadly ameamua kumfanyia kazi ya kumletea pesa 🤣🤣🤣🤣na tena ile mita tano Brayson anataka cut yake clean 🤣🤣

Yule beshte wa Stano alikuja kwa bar akaanza kujisifu kwa yule beshte mwingine akamwambia guess what,Stano aliwai dem wa bazu fulani akaitisha ramson. Kumbe wakiongea hivyo, Kefa alikua hapo pia anakunywa 🤣🤣🤣akaona the only way anaeza pata hii habari aakuje akae nao hapo akawambia maboys hii pombe yote nalipa mimi,twendelee a story. Maboys mafala wakaropoka kila kitu bia wao kujua Kefa ako rada yao..mako! Makosa 🤣🤣🤣🤣

𝐀𝐘𝐀𝐍𝐀 𝟐𝟔𝐓𝐇 𝐌𝐀𝐘 𝐖𝐑𝐈𝐓𝐓𝐄𝐍 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Part 1Weka like kabla usome. Sabina alipigia stano simu, akamuuliza hiyo ni mchezo gani a...
25/05/2026

𝐀𝐘𝐀𝐍𝐀 𝟐𝟔𝐓𝐇 𝐌𝐀𝐘 𝐖𝐑𝐈𝐓𝐓𝐄𝐍 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒

Part 1
Weka like kabla usome.
Sabina alipigia stano simu, akamuuliza hiyo ni mchezo gani anamuchezea. Stano akamwambia ni Tyrone mwenye aliharibu, alimwambia akuje pekee yake na yeye akakuja na Robert sa akaachana na hiyo mission.

Huku kwa stano Bado Tina amefungwa, ameamuka akajipata amevaa nguo za stano, Tina akafikiria amekulwa k**a amelala 😅, stano alimwambia yeye hata si type yake😂.
Tina anaomba aachiliwe but stano anasema alaumu baba yake alishondwa kufollow instructions.

Tyrone na Robert ndo wanarudi wanaeleza vile kulienda, sabina aanauliza maswali na wasiwasi sana.. Sabina anauliza mbona hawakupewa Tina na walichukua pesa, ama juu mlienda wawili 😅.

BRYSON anaingia na saidah anasema anajua mbona tinah hakakuja. Kila mtu anashtuka buy Saida anaambia Bryson amuonyeshe picha ako nazo. BRYSON anasema cele hakuwa kidnapped, eti ako naivasha anapiga sherehe. Annalisa pia anapiga simu kuuliza k**a cele amepatikana.

Mathew na asha na kylan wako hapo nje, Mathew ako na wasiwasi sana.anauliza Asha unaamini kile Bryson amesema, Asha ananyamaza tu

Huku kwa tyrone, sabina amejam sana juu kitu yenye Bryson anasema, anamuambia Bryson basi amupeleke penye Tina ako, Tyrone anamutetea Bryson but sabina anasema hawezi kaa tu hapo Bryson akiongea uongo na anajua penye Tina....😅, karibu sabina ateleze but akajishikia na hapo😂😂.
Robert anauliza k**a Tina ako na Chris, but BRYSON akasema yule mwenye ameona kwa picha sio Chris.

Sabina anasema ama, Saida ndo ameambi Bryson ndo akuje aseme hivo. Tyrone yeye ameamini BRYSON na anasema, hawezi kuwa surprised juu Tina ni ukweli anaeza fanya kitu k**a hiyo.

Sabina anajam na anasema anaenda kumutaguts mtoto wake.
Huku nje Asha anamuamini BRYSON this time. Kylan anasuggest labda kefa ndo alikidnap tina. Mathew naye anasema ama Kefa alikuja akaseduce tina mara ya pili na sasa wakaenda na yeye.

Kefa naye ako kwa club, na analetewa restraining orders, asiwahi karibia nyuiya Robert ama kuharibia familia yake failure to that atashikwa tena.

Part 2
Bryson anataka kwenda na kila mtu anamushukuru kuleta hiyo information. Saidah anamufuata kuongea na yeye.

Stano analipa ule mtu wake mwenye alichukua pesa za tyrone. Sabina naye anapigia stano simu kumuuliza pesa stano anasema hakuchukua pesa, alikuwa anafikiria Robert ni karau akachorea, sabina akamushow anakuja sai.

Tyrone na Robert wanaagana na tyron anampea bustola yake, but Tyrone anamuuliza mbona uko nayo, Robert kumbe anaogopa kefa ndo maana ako nayo.

Saidah anaongea na Bryson na anamuuliza kuihusu hiyo information ako nayo. Bryson anasema ni ya ukweli kabisa, Saida anasema alifikiria ni sabina akidnap Tina but Bryson anasema huwezi rule out yeye, pia yeye snaeza kuwa snajua hiyo story.

Asha alikuja kuongea na Bryson, anashangaa mbona ameenda tu bila kumuaga, Asha anataka warudiane na Bryson ikuwe k**a zamani. Asha anakuja kuomba Tyrone ruhusa ya kwenda na Bryson.

Sabina naye ametoka anasema anaenda kumutafuta Tina, sisi tunajua penye anaenda. Tyrone na saidah ndo wamebaki kwa nyumba, wanaanza mapenzi moja kwa moja. Saidah anataka sabina atoke kwa hiyo nyumba, tyrone anamwambia ataenda soon. Saidah na tyrone wanashikana pale kwa kitu k**a watoto wa 19 years 😅😅. Bryson wanaenda na Asha.

Mathew na Nurah wanaongea, Mathew amejam mbaya, na Nurah anajaribu KUMPEA encouragement. Nurah hataki Mathew atoke huko kwenu, Nurah anaanza kutumia hiyo chance kumukatia Mathew, na ni k**a Mathew ameingia box.

Saidah na tyrone have a lengthy talk, tyron anasema ameachana ma mambo ya celestine kabisa na wanaeza anza kupanga wedding. Kumbe Tyrone hadi ameshapanga wanaenda date na saidah na akina Robert on weekend.

Stano wako na Tina, Tina amekataa kukula, anataka tu aachiliwe, anajaribu kubeg stano but stano anasema Tyrone amefanya mistake kukuja Robert huku. Sabina anapiga simu na Tinah anaomba stano at least aongee na boss wake, anataka nini. But stano anaenda kuongea na sabina nje.

Address

Shiyiro
Butere
99-50101

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Akatu Updates posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share