29/12/2024
👉👉👉😂😂sasa jana nilikuwa na ksh 100 nikaamua kuenda supermarket kubuy ile soda ya 70bob nikachane nayo jaba🌿 kuingia supermarket hivi mbele yangu nikapatana na ex girlfriend wangu💔akiwa na bwanake❤️
Mm nikatupa jicho kwanza kwa shopping yao nikaona ilikuwa shopping ya ksh1000 hivi💪mm kutaka kumwonyesha huyo dem time alienda akaniwacha Mungu alinibariki na mali💰 mm nilienda moja kwa moja nikachukua flat screen TV 📺 54inch ya 90K nikazunguka nayo kwa supermarket nikahakikisha huyo ex girlfriend ameniona nayo💪💪💪
Mm nikangoja wakahudumiwa wakatoka wakaenda👬
Mm nami nilirudisha hiyo TV nilikoitoa nikabuy hiyo soda ya 70bob nikatoka nikaenda zangu😂
To cut this story short leo nimeamka asubui nikapata 17missed calls za huyo ex girlfriend wangu
Ndio nadai kumpigia nimuulize alichokuwa anadai kutoka kwangu