
14/12/2024
Kuna mzee👴 fulani alijua ako karibu kukufa⚰ na what he did aliamua kuandika his lazy sons will📝 ndio akikufa wasome... Hiyo will📝 alikua ameiandika hivi... " when i dye,,, mbomoe hii nyumba🏢 na huko nyini kwa mchanga mtapata sanduku📦 nlikua nmeficha huko chini ya nyumba na iko na pesa💵💰💸... Mtumie hizo pesa ku take care of the family.." After sometime huzo mzee aligonjeka sana na his sons walikua wanamuombea🙏 tu akufe juu amezeeka saana na ndio tena wachimbe hiyo nyumba watoe hizo pesa zilikuaga na sanduku😂... Finally a week later huyo mzee akakufa leaving his sons na nyumba yake na ghorofa🏢... The following day his sons wakabomoa nyumba na wakapata ile sanduku... Kufungua walipata hakuna pesa na bt kulikua na a peace of paper yenye ilikua imeandikwa hivi.... " if you are real men,, njengeni nyumba yenu na muache ujinga 😂🤣🤣
Continue following my page for more fun 😂 KunshosKunshos