Mr Mkombochi

Mr Mkombochi content creator//artist//videographer//video editor//video director//student airads college.
(6)

14/12/2024

Kuna mzee👴 fulani alijua ako karibu kukufa⚰ na what he did aliamua kuandika his lazy sons will📝 ndio akikufa wasome... Hiyo will📝 alikua ameiandika hivi... " when i dye,,, mbomoe hii nyumba🏢 na huko nyini kwa mchanga mtapata sanduku📦 nlikua nmeficha huko chini ya nyumba na iko na pesa💵💰💸... Mtumie hizo pesa ku take care of the family.." After sometime huzo mzee aligonjeka sana na his sons walikua wanamuombea🙏 tu akufe juu amezeeka saana na ndio tena wachimbe hiyo nyumba watoe hizo pesa zilikuaga na sanduku😂... Finally a week later huyo mzee akakufa leaving his sons na nyumba yake na ghorofa🏢... The following day his sons wakabomoa nyumba na wakapata ile sanduku... Kufungua walipata hakuna pesa na bt kulikua na a peace of paper yenye ilikua imeandikwa hivi.... " if you are real men,, njengeni nyumba yenu na muache ujinga 😂🤣🤣

Continue following my page for more fun 😂 KunshosKunshos

12/12/2024

😂😂😂😂Me pahali nimefika waah😂💥
Me akuna kabila sijaoa 😂nilianza na mluhya ..huyu kwanza nilimpata na watoto 2 😂🙄vijana wote lunch walikua wanakula kuku 5 😂alafu ukiuliza mamake anakuambia..sasa kuku tano tuh! 😂😱nikamfukuza 😂🙄nikakuja kwa mjaka 😂😂hii nayo ikaanza story ati nimufungulie super market😂for real na hii uchumi ..me niliona sitaweza nikamfukuza 😂😂..nikakuja nikapata mkamba 😂mueni alikua kiveti chakwa ..good in bed but ilifika place nikimueka harmful style 😂ananyamba 😂😂🚮nikamtuma kwao ..nikaoa mmeru 😂😂😱waah kawira alikua mpole alafu msupu though meno ilikua imetoboka toboka juu ya jaba ..plus akijam anapumua K**a browdry..😂sinikatoka hapo nikapatana na mkale 😂mapenzi ilishika ...but juzi nimesikia akiniite papee😂😂ati nimpeleke akaone papoons 😂😂😱..tukaachana nikakuja nikapatana na Masaai ☺️alikua anajua mapenzi though akua anavaa panty 😂..for now Niko na mkikuyu ☺️mapenzi imeshika 😍bytha nampenda ..Adi namuachia wallet 😂but ikiwa empty 😂😂😂💕💕😂😂😂

Mtag alafu umwambie sio wewe wa kwanza you are one in a million elewa kizungu 😂🤣🤣🤣
KEVIN KUNSHOSlowing our page Kunshos🙏🙏❣️❣️❣️

10/12/2024

Mtanzania🇹🇿, Mnyarwanda🇷🇼, na Mkenya🇰🇪 walik**atwa na madawa ya kulevya China.
Wakaambiwa adhabu ni mbili kifo au adhabu nyingine ambayo wakiishindwa pia wanauawa. Wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.Wakapelekwa msituni wakaambiwawaingie msituni kila mmoja kwa njia yakehalafu kila mmoja arudi na matunda kumi yanayofanana. Wakaingia msituni kila mtu njia yake. Mnyarwanda akarudi wa kwanza. Karudi na Apples 🍎kumi.Akaambiwa adhabu ni kuyameza yote mazima mazima moja baada ya jingine bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa!🥵🙆🏿‍♂️ Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigwa risasi akafa.Wa pili Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogoo. Kumi. vinavyofanana. Vidogo k**a p**i. Akaambiwa masharti. Akaanza kula bila kufumbua macho wala kulia wala nini. Alipofika la tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! 🙆🏿‍♂️😂😂Akapigwa risasi pia akafa. Wakiwa kuzimu Mnyarwanda akamuuliza Mkenya.. "Vipi wewe mbona ulishindwa kuvumilia wakati ulibakisha tunda moja tu?" Mkenya akajibu: "Kaka, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mtanzania anakuja na matikiti maji(watermelon)!"🍉🙆🏿‍♂️😂😂😂😂💔 Follow KunshosKunshos

09/12/2024

Mechanics muachange ujinga bana🙆, mwingine analetewa gari ya polisi aunde😀 alafu ghasia inakam road test kwa base ya chang'aa😅 imebidi niingie kwa kibuyu 😂😂😂💔💔💔

08/12/2024
07/12/2024

Mimi yaani mimi nikipata tu Bibi💑 wa kunipikia food mapema🍜🍚, nakula mapema😝😜 before tulale, anapiga magoti kwanza tunaomba🙏 mungu, kisha tunalala alfu usiku ananiamsha ananiuliza "Beb😘 amka nkupe kamoja👙🍆 Najua umechoka juu ya kazi mingi ya mchana but amka tu nkupe😝💏"mimi uyo najifanya sitaki😴 ili acd kunibembeleza😳 😛alfu badae nichangamkie viproper🍆👙 kisha tulale😴😝
Asubuhi🌅🌄 napewa morning glory🍆👙 alfu ananiamsha nioge🚿🛁🛀, time nko naoga🛀🛁🚿 yeye ananipikia chai🍵🍞 after apo anipanguze nA towel k**a mtoi😛😜 anitolee my favourite suit👖👕👔👞👞👓 kisha anivalishe then nkunywe Chai after apo anipige kiss😘💋 ndio niende job!🚗
Ananipea😘 kiss kisha aniescort👬 kidogo adi apo mbele🚗 alfu aniache nA hug💏 nkifika job ananipigia simu📞☎📲 ananiuliza ka nlfika job salama! Ikifka lunch time ananipigia simu☎ 😘"Beb umekula lunch🍜🍚 ama nkuletee lunch kwa job? Walai🙏 nikipata bibi k**a uyo mwenye anaelewa kuwa simu yangu ni yangu na simu yke ni yetu, yaani Hakuna kitu ananifichanga... Mimi nkipata Bibi wa kunifanyia kila kitu ivo NTAMCHEZA TU!!!!! HALAFU NAMWACHA🤸🤣🤣😹??
😂😂😂😂😂😂
🏃🏃🏃
Continue following my page KunshosKunshos

06/12/2024

Mali sabi chitoo eiyaweeee😂😂😂 fiuuuuwi 😂😂

06/12/2024

Nilinunua line mpya nikajiita "ILLUMINATI" kwa truecaller🤣🤣🤣 alafu nikapigia mama yangu....saahi crusade iko kwetu tangu juzi. 🤣🤣 nakula tu muchele ya kanisa tsu🥳🤣🤣🤣

19/04/2024

Good morning legends 💪

18/04/2024

Nimestruggle so hard kupata nambake halafu nikamtext hello akajibu musuri sana😌

15/04/2024

Mnanikataa na vile huwa napiganiwa huko ushago

31/03/2024

namnajifanyanga wajuaji 😂😂....dereva wa train anaitwaje kwa kiswàhili😂😂

30/03/2024

High-school nishai piga term mzima bila kufua😆 socks siku nilizitoa zilisimama pekee yake k**a gumboots😂🤣🏃💔

28/03/2024

⚫Dem wako ameambiwa yeye ni illiterate genius😹😹🦅

24/03/2024

UKINYANDUA Dem Af 🍑ianze kulia TokyoTokyo 🥵toroka bro huyo ni Malaya 😂😂

24/03/2024

Nauza dawa ya kusimamisha matiti unatuma picha naona imeanguka kiasi gani ndo nikuekee kiwango yenye unataka 🤨🤨

Address

Luanda
Eldoret

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mr Mkombochi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share