Neema citizen Tv

Neema citizen Tv Actor
(3)

If you don't have a heart then scroll if u have drop a red heart β™₯️
27/07/2025

If you don't have a heart then scroll if u have drop a red heart β™₯️

26/07/2025

Weka like kwa wingi

Melissa and Jayden
26/07/2025

Melissa and Jayden

😭😭😭
24/07/2025

😭😭😭

24/07/2025

Good morning

ππ„π„πŒπ€ πŸπŸ’π“π‡ π‰π”π‹π˜ π‘π„π–π‘πˆπ“π“π„π π•π„π‘π’πˆπŽπππ€π‘π“ 𝟏: Shinda yenu ni kusoma bila kulike Kuna party inaendeshwa na akina Jojo wameamua...
23/07/2025

ππ„π„πŒπ€ πŸπŸ’π“π‡ π‰π”π‹π˜ π‘π„π–π‘πˆπ“π“π„π π•π„π‘π’πˆπŽπ

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏:

Shinda yenu ni kusoma bila kulike Kuna party inaendeshwa na akina Jojo wameamua kuenda. Jojo hakubeba jacket na kabaridi inambamba mbaya. Alitegemea Amani amchukue na gari lakini nayo ilipata puncture, so alikuja mguu. Jojo akamwambia Amani, β€œThis cold itaniua bana,” Amani akamtolea jacket na kumwambia, β€œAs long as niko, hautawai shikwa na baridi.”
Jojo aka-smile k**a ameambiwa β€œI love you.” Kumbe Jayden alikuwa kwa kona akiwatazama akiwaka wivu 🀣

Val naye alicome kwa scene amebakisha tu LED kwa mwili vile anang’aa 🀣 Jojo akashindwa k**a anaenda fashion show ama ni party. Walianza kudhaniana mpaka Val akasema, β€œHii dress huwezi afford, baby girl!”

Meanwhile, Naomi aliingia hosi akiwa unconscious, akaamka huko confused, β€œNiko wapi?” Nurse akamwambia, β€œHii ni hosi, ulipigwa na gari yako imeenda garage. Neema ndiye alikuleta.” 🀣

Back kwa party, Val na Jojo bado wanabishana hadi Sharon akaingilia: β€œJojo shut up! Mtoto wangu Val lazima ashine leo.”
Amani akadefend Jojo, akasema Val ndo alianza.
Sharon akaangusha line mbaya, β€œSawa nyinyi mko na pesa, lakini mimi nilimlea binti yangu na tabia.” Jojo akaona hii ni nonsense tu, akaturn na kurudi home 🀣

Kwa hosi, Naomi baada ya kupata akili, aliita Neema. Aliona Mark na Neema wameingia, akaanza kujaribu kuinuka achape Neema. Nurse akamshow, β€œWewe hata nguvu ya kulamba mate hauna unataka kupiga nani?” 🀣
Naomi akamwambia Neema, β€œNitakumaliza tu!”

Val hakomi, alikwenda kumtrigger Jayden, β€œUnaambiwa hukuogelea kwa love, unagongewa. Mimi ningeenda confront huyo Mark.” Jayden alisukumwa kwa moto tena.

Wakati Amani na Jojo walifika home, Rachael alikuwa amechuchuma na hasira. β€œAmani unaingia saa hii? Baba yako yuko na Neema hosi,” akasema.
Jojo akamnyamazisha, β€œHow dare you? Mama, wewe ndiye ulituma watu waumize mamangu. K**a singefika time, sijui angefanywa nini!”
Amani akashangaa, akamuuliza mamake, β€œUlituma nani?”
Rachael akakaa kimya.
Amani akauliza, β€œSi ni Isaac?”
Rachael akasema β€œNdiyo.”
Jojo akamuuliza, β€œIsaac yule anaandika updates?” Amani akamwambia, β€œZii, ni stepdad wangu.”

Rachael akatetemeka. Amani akamwambia, β€œNimekuchukia kwa teaming up na magaidi k**a Isaac.”
Jojo naye akamwambia, β€œHata usisubiri Mark, hama tu uende kwa huyo Isaac.” 😀 please ukimaliza kusoma unifollow

---

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐: KA-ACCIDENT, KA-CONSPIRACY & KA-KIDNAP

Naomi akiwa hosi bado ana hasira ya Neema. Then boom! Richard alifika. Naomi akaanza kulia, β€œWewe unaona hii? Hii ndiyo marafiki unaweka?”
Richard hakujibu, alimwangalia tu.

Rachael alijitoa home kabla Mark afike. Alienda kukalia kwa baridi. Sharon alipita akamuona, akasema, β€œNini tena? Au Neema kakutoa kwa nyumba?”
Rachael analia tu. Sharon akamwambia, β€œPole, hata mimi nishafukuzwa usiku.” 🀣

Neema amerudi home akiwa mwepesi wa machozi. Jojo akamwambia, β€œUkililia rafiki yako hivo, amekufa?”
Mark akasema, β€œThat friend is Naomi.”
Jojo akasema, β€œAme-dead ama?” 🀣

Karen pia alifika hosi. Naomi alipomwona, akajaribu kumfukuza lakini Karen alikalia game. Richard akitoka tu kumtafuta daktari, Karen akamwambia Naomi, β€œI promised utasuffer, and this is just the beginning.”

Nashangaza ni hii: ile ajali haikuwa bahati mbaya. Ile gari ilimgonga Naomi ilikuwa driven na… Job, cousin wa Karen. Yaani Karen aliplan full revenge. Neema kuwa hapo ilikuwa coincidence tu. 🀯

Job alikuja kumuona Naomi, Naomi akadhani mapenzi imerudi. Akamuambia, β€œBabe, you are all I have.”
Job akamuambia, β€œPole, naenda kukupeleka direct hell. Wewe ni nani hadi uharibu life ya cousin yangu?!”

Neema alimweleza Jojo kila kitu. Jojo akachoka hadi na maisha, β€œKila mtu kwa life yangu ni mfisi. Mama yako anatuma goons, Naomi aliniharibia familia!”
Mark akamuuliza Jojo, β€œUlisema nini?”
Jojo akasema, β€œRachael alituma Isaac, yule stepdad wa Amani, ashugulikie mamangu!”
Neema akatry kumtuliza akampa slap ya heshima.

Jojo alijam, akatoka nje kwa hasira, usiku, bila direction.

Wakati Val alikuwa anapeana instructions kwa Jayden, β€œNimekupa kiss sasa, fanya kitu.” Jayden akapata hasira ya Simba.

Jojo akiwa kwa street, alimpigia Amani wakutane. Lakini kumbe ametraced. Subaru ya black ilim-pull up, mlango ikafunguliwa na kabla aseme β€œwhat’s going on?” alikuwa ashachukuliwa ndani.
Mtu wa kwanza aliona kwa gari – ni Isaac.

Jojo amekidnapiwa.
Catch us tomorrow for the next twist!

😍😍😍
23/07/2025

😍😍😍

Nani wanakaa poa wakiwa pamojaβ™₯️β™₯️
20/07/2025

Nani wanakaa poa wakiwa pamojaβ™₯️β™₯️

K**a ww ni fan uwezi pita bila kulike
18/07/2025

K**a ww ni fan uwezi pita bila kulike

18/07/2025
Huyu ni mnyama upi guys
18/07/2025

Huyu ni mnyama upi guys

16/07/2025

Address

Kajibora
Eldoret

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Neema citizen Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Neema citizen Tv:

Share