04/11/2025
πππππ πππ πππ ππππππππ πππππππ πππππππ
Utasahau tena kuweka LIKE kweli?
ππππ π
Jemimah alimuwarn Selina akamwambia sikiza msichana,achana na bwanangu na hii ni mara ya kwanza na ya mwisho kukuwarn ole wako nikupate na yeye,lakini Selina akaambia Jemimah sikiza, be worried of your husband and find out why she is cheating on you. Jemima akataka tena kukachapa lakini punde si punde, Sabina akafika.
Sabina akaambia Jemimah,mbona tusisolve hii yote k**a tumeketi lakini Jemimah anaambia Sabina wee pia nyamaza, mama mgani unaacha mtoto wako anatembea na bwana ya wenyewe? Kumbe Robert pia ndio anafika,akaambia Jemimah please, lets go home,as for Sabina she will talk to Celestine. Selina nako mdomo hakanyamazi kanasema unaongelea bwana as if hata uko na bwana π€£π€£π€£Haka katoto haka..na wako na bahati sana Tyran hajajua whats going on...kungeumana.
Sabina baadaye alikuja akauliza Selina whats wrong with you,just because ulipata Y kwa exam haimaanishi ufikisie k**a short waya lakini Selina anaambia mamake,hakuna kitu mbaya nikidate married man,kwanza iam not dating married man iam dating Chris and Iam getting love na tunapendana na yeye sana. 'pigwa kofi' πππSelina alikapiga kofi.
Sabina akauliza Selina,unadate na Chris yes,what of Mathew? Huoni ni too much kutembea na wanaume chungu nzima? Tyran alisikia conversation akakuja kuuliza whats up? Wote wawili wakajifanya wametulia na hakuna kitu ju wanajua,hii simba ikijua whats going on,huku hakutakalika πππ
Robert alijaribu kuconvince Jemimah wakarudi nyumbani akamuongeleshe na huyoo Robert akatoka. Kufika nje,wakakutana na Chris. Chris akamuuliza haya,beshte yangu mwenye niliachia deni,naona unatoka kwangu hope umeongea na sister yako? Robert kwanza akatoa miwani,akaambia Chris sikiza, you may think wewe ndio kusema sahii but time will come and you will pay for everything..hujui what you are doing. Chris yeye hajali,ana pesa ana mke na ako na Selina ajali nini sasa πππhajui analala na mtoto wa Robert,ambaye ni Selina.
Woiye Jemimah,ako kwa room analia amelia na anaendelea tu kulia. Chris alikuja akampata analia lakini anajali? Hajali yeye. Punde si punde, akapigiwa simu na nani? Celle Mtumba πππ
ππππ π
Kuna koti la Mathew Asha ako nalo. Selina alimuona nayo,akamuuliza,mbona hii inakaa familiar? Asha akamwambia ni ya Mathew..Selina akamwambia woow,so huchelewi wewe,already ushaanza kukaa na koti yake? Asha akamwambia si venye unafikiria but Selina akamwambia yoh,just because I wasnt around doesnt means you take over my man lakini Asha akamwambia aje? "he is not my type" πππ
Huh! Tyran wakati aliamka,akaamsha Sabina akamuuliza, jana usiku nikija huku ,ulikuwa wapi na mbona hukuniambia? Kumbuka Sabina alikua na Robert kwa room wakisamasault...Sabina na yeye akaamua kudanganya akasema I was with my friend. Tyran akamuuliza which friend? Sabina akamwambia come on,huwezi wajuwa wote...lakini Tyran akamwambia I know all your friends..nimeuliza which friend? Sabina akamention marafiki majina funny funny akidhani maybe itamnyamazisha Tyran πππndio ilimuamsha.
Tyran akamuuliza,what of Celestine,ni nini unanificha? Sabina akajua mara moja kimeanza kunukaππalijiexplain,akajiexplain but Tyran akamwambia sijakuzoea wewe kunificha siri,lakini sikuhizi now you doππ
Kumbe sasa,enyewe wanawake ni manyoks..yule yule beshte wa Jemimah,guess alikuja akameet nani? Chris..mbon wakameet,ni ju Chris alimuongelesha aongee na Jemimah arudi nyumbani. Leo hii Chris akamwambia sasa,nataka you make Jemimah sasa asahau na Selina and ukifanya hivyo, hizi ni elfu sitini,ukicheza kiwewe nakuongeza zingine πππ
Mitchelle yeye ndio aliset Chris kwa Jemimah na sai yeye ndio anatumika kuhakikisha Jemimah anasahau na Selina and she is being paid for that πππdoes Jemimah know that? NO
Sabina still anafall up kuhakikisha Tyran asijue anything na Robert alimwambia usijali,iam her father and I will make sure I secure my daughter;s future..she is my daughter,and she is my responsibility... punde si punde,kumbe Tyran alisikia..lakini kwa bahati ya Mungu alisikia tu Rober akisema "she is my daughter" hakusikia ni daughter mgani Robert anasema. Tyran akauliza haya beshte yangu,kwani you have a daughter mwenye sijui na venye wewe ni rafiki yanguπππ
Mitchelle ashalipwa,alikuja kuambia Jemimah aachane tu na Celestine afocus kwa bwanake. Jemimah sasa anaona enyewe Mitchelle k**a beshte anaongea point tupu hana habari ni kuingizwa box anaingizwa π₯²π₯²π₯²
Shindwe!