Kingben KE

Kingben KE σ°Ÿ―π’Œπ’Šπ’π’ˆπ’ƒπ’†π’ π’π’‡π’‡π’Šπ’„π’Šπ’‚π’
σ°‚†π’Œπ’Šπ’π’ˆπ’ƒπ’†π’ π’π’‡π’‡π’Šπ’„π’Šπ’‚π’

21/10/2024
Djb Shujaaz
02/06/2024

Djb Shujaaz

Coming soon on citizen TV πŸ“Ί KKing Ben KE
02/06/2024

Coming soon on citizen TV πŸ“Ί KKing Ben KE

24/04/2024

𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒: ππ„π‚πŠπ˜ πŸπŸ’π“π‡ π€ππ‘πˆπ‹
Follow King Ben KE
weka like ukiendelea kusoma
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 TRISHA IS BACK
Becky ndio anafika mtaa akapata Junior alifika kitaaambo hadi amelala kwa kiti hapo. Kuna mapapers hapo za kazi Junior anajituma mbaya hadi Becky akamwambia unajua nini babe,Hakimu alitaka kunipa kazi nikue assistant wako. Junior akafurahi but akaambiwa relax,nilikataa. Junior akamuuliza why,you have always wanted this mbona ukakataa? Becky akamwambia manze ni venye sina experience plus sikutaka udaku kwa ofisi. Junior akamwambia its ok babe,nakuelewa.
Kisha Becky akamwambia alafu kuna kitu ingine nataka kukuambia but promise usijamπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Junior akamwambia yeah niambie sitajam. Becky alimwambia birthday ya Hakimu imekaribia na nilikua nimemwambia nataka kumthrowia kaparty hivi. Junior aliwaza but after kuelezewa akaelewa akamwambia its ok, I understand you.
Moh na yeye akiendelea kukula,mbele yake alimuona Sanchez amesimama akisweat akamuuliza Sanchez shida ni nini? Sanchez akamwambia Moh sikiza,nilikua nataka kukuambia..kuku...ku..ku hata Sanchez hakumaliza kuongea maskini wa Mungu,Sanchez akaanguka chini,akafaint na Moh kujaribu kumuamsha iligonga mwamba,Sanchola,kwisha maneno,Haya! How? Why and How just like that....Moh alipiga nduru hadi ikamuamsha,ju hii imekua ndoto haijakua kitu real, alikua anaota tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Following day mkutano kwa kampuni umeitishwa but ajabu yule dem aliandikwa kazi jana hajafika bado na walisema mkutano unaanza 8am na sai kila mtu ashafika hadi Junior but new employee hajafika bado,ndio kale kako tiktok liveπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Moh aliamka kupelekea Sanchez chai na Becky akamuuliza mbona unakaa wa mawazo sana? Moh akamwambia ni hii issue ya Sanchez kunifungulia ati ananipenda. Becky akamuuliza,kulingana na wewe Sanchez si ni msee mfiti? Kabla Moh ajibu,Becky akapigiwa simu na Hakimu ikabidi Becky ajitoe na akaambia Moh,fikiria sana na hilo swali.
Junior kazini ashaanza kupewa sifa sana na board imeona ni msee msmart sana lakini wakiwa wamekaa hapo,yule new employee ndio kuingia ameingia na new employee ni nani? Hahaaaaaa,our new employee is none other than, Martha Katana's killer. Moses Jabulani's killer,Junior's ex wife ama Trisha ukipendaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚wah! Junior didnt see that coming. So Junior ndio manager,Trisha ndio assistant manager na sasa the two have to act hawajuaniπŸ˜‚πŸ˜‚
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Moh kuleta chai akapata kumbe Sanchez alikua anaenda choo akaanguka,kufika Moh akamuuliza haya Sanchez hiyo ni hewa umehewaπŸ˜‚πŸ˜‚Sanchez alimwambia acha ujinga,huoni hiyo hapo ni choo inanukaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Becky akienda kazini alikutana na Pupa hapo,its been a while waonane. Pupa akamwambia alafu Becky ukiwa an wedding uniambie nikutafutie manguo alafu mimi ni MC. Becky akamwambia wee na wewe huwa unachapa shughuli zote? Pupa akamwambia mimi bora shughuli isiwe ya kuhusisha DCI najua sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Waliongea hapo kiasi na hata Becky akamshukuru Pupa kwa kutomjudge wakati alisikia Becky na boss wake walilewa. Pupa akamwambia usijali,naelewa mimi kisha Becky akamwambia alafu usijam venye niliambia Moh asimove in na wewe? Pupa hata hakua anajua hii ndio anasikia kutoka kwa Becky ju yeye aliona maybe Moh alienda tu.
Hawa na wao,mkutano uliisha wakaambiwa waende kupanga kazi,thats Junior na Trisha na kuna kajamaa kamekufia Trisha mbaya. Junior alikuja akauliza Trisha,unafanya nini hapa? Trisha akamwambia sikiza mzee,niko hapa kufanya kazi na mimi si bibi yako na k**a unaona mimi sifai hapa enda ambia boss basi. Hakimu akawakuta wakibishana akauliza kuna nini? Junior akajitetea akasema ni venye anajaribu kusema wewe ni msee mpoa sanaπŸ˜‚πŸ˜‚lakini kumbe Hakimu alisikia akaambia Junior,remember she is your assistant so sitaki maneno na BeckyπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hakimu hana habari Junior na Trisha walikua bibi na bwana.
Moh anashughulikia Sanchez na Sanchez kazi ni kumuangalia tu hadi Moh akamuuliza rada? Sanchez akamwambia manze ni venye nafurahi sana dem kunishughulikia. Moh alimwambia bro,k**a nizi ndio punchlines hizi ni za highschoolπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Pupa alikuja kumuona Sanchez waongee kiasi kuhusu issue ya yeye kumove in kwa mansion na alipata Moh akimshughulikia Sanchez hadi Pupa akamwambia naona malavidavi yanashika mbaya. Sanchez akamwambia wee sema tu...Pupa aliuliza Sanchez k**a ni idea fiti kuenda kwa mansion na Sanchez akamwambia haina shida,iko sawa.
Trisha alikuja akacall mwenye alimconnect kazi akamuuliza mbona hukuniambia my ex hubby anafanya kazi huku? Trisha akaambiwa wee relax uchape kazi. Trisha akamwambia na akinipeleka jela si unajua nilifanyia mamake mbaya? Jamaa akamwambia wee relax tu na uchape kazi na ukumbuke kuniona kandoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kumbe Moh anamtaka Pupa hadi alikuja akamwambia Pupa,k**a unanitaka na unajifanya pia nisawa tu but Pupa akamwambia Sanchez anakuhitaji sai kwa sana, than me.

23/04/2024

welcome to kenya where everyone in Facebook went to university πŸ˜†

23/04/2024

Welcome to kenya where remotes are being slapped so that it worksπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

23/04/2024

𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒: ππ„π‚πŠπ˜ πŸπŸ•π“π‡ π€ππ‘πˆπ‹
Follow King Ben KE
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Hakimu alimkaribisha Junior ndani alafu cheki venye Becky ameshtuka kwanza amepatwa k**a amekaa. Becky ako na wasiwasi akaambia Juniot please I hope hujakuja kucause drama,lakini Junior alimwambia relax,you did your part acha nifanye yangu. Junior akaambia Hakimu,in as muc as Becky alidanganya kwako,mbona unataka nifanye kazi kwako? Hakimu akamwambia Iam not the person you think plus kila mtu hufanya kazi kivyake. Junior anashangaa kiasi hadi anakosa kuamini ati Hakimu ashamsamehe na Hakimu akaambia Junior,kitu moja yafaa ujue ni hamjalazimishwa kufanya kazi kwangu. Junior akaona kazi muhimu akaomba msamaha na wakafanya handshake.
Kwa mansion Moh haamini Pupa anasupport Sanchez hadi akamwambia manze Iam soo disapointed sana,wewe hujui Sanchez mimi namjua lakini Pupa alimwambia msikize tu sai ako reali kwako sana lakini Moh akamwambia I thought mimi na wewe ni kitu kimoja? Pupa akamwambia aii,mimi ni kazi tu siste,ni kukupea push tu hakuna cha pamoja tu. Moh anaamini Sanchez wameongea na Becky kumvurugaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Moh alienda akaacha hapo Pupa na Sanchez an ukiangalia Sanchez amesimama,alipigwa kofi Moh but haikulala bado amebaki amesimama...sijui k**a mnanigetπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Junior na Becky,we live together,we stay together,we love each oter hadi Junior akaambia Becky,close your eyes. Becky kufunga macho,Junior akapiga magoti kumbe hadi ashabuy ring,akauliza Becky,will you marry me? Becky akiwa an furaha,hangeacha hii chance ipite,I will marry you love,I will marry you anytime I will marry anyay,wewe ni wangu,mimi ni wako and together,we fight poverty not each other. Junior akapropose kwa Becky LIVE LIVE kwa nyumba ya HakimuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Lexy na yeye amewaka mbaya,but mamake alimwambia please sikua naongea na Becky,alikua Junior. Lexy alimwambia wee endelea kupreach maji ukikunywa pombe na uache kumake empty promised. Heartbroken boy na yeye ndio huyu ndio anafika,Amelia akamuuliza Sanchez uko sawa,naona unakaa hauko sawa? Hadi Lexy pia akauliza Sanchez radaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hawana habari,huku ni maheartbreak tuπŸ˜‚πŸ˜‚
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
At least furaha ya Becky na Junior imerudi sasa hadi Becky akamsindi akamwamboa babe,sikutarajia hii itahappen. Junior akamwambia manze nilika nikafikiria nikaona bibi si nguo nitaenda soko kubuy,ikabidi niwe mwanaume.
Junior akiwa tu hapo,Becky akidhani kila kitu kiko sawa,alisikia kwa gate kunabishwa na nguvu sana,kumbe ni Moh,amekuja,amewaka na hataki ujingaπŸ˜‚πŸ˜‚Becky alimuuliza shida ni nini Moh? Moh akamwambia nimekuja kumaliza chenye ulianzisha. Becky anashinda shida ni nini hadi Moh ameanza kuta Hakimu. Hakimu akakuja akauliza shida ni nini? Moh akamwambia najua wewe na Becky mnacheza game na hamtatubeba mimi na Junior ufala. Hakimu akauliza Becky huyu na yeye ni who? Becky akamwambia ni sister yangu.
Sanchez amefunguka,akasema amekufia Moh mbaya but Lexy akadhani maybe ni script Sancnez na Pupa wamekuja nayo ili kuprotect Moh na akaambia Sanchez nikiamua kuroundia Moh neither wewe nor Pupa will prevent but Pupa alipigiwa simu akasema ukweli venye Sanchez anasema hadi Lexy anacheka tuπŸ˜‚πŸ˜‚
Moh na yeye amewaka sana hadi anaambia Becky najua ni wewe ulituma Sancnez akuje kuniambia ananipenda. Junior na Hakimu ndio wanashangaa tu hadi Hakimu akawaambia oya,sikizeni,mkimaliza kindly mnifungie gate,hii drama yenu is more than enoughπŸ˜‚πŸ˜‚
Lexy alisema enyewe mwenye unapenda hakupendi anapenda mwingine,yani nikapenda Pupa hanpendi,sai Sanchez anapenda Moh hampendi,Junior na yeye anapenda Becky Becky ako na HakimuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Becky aliambia Moh uende utaniharibia kazi bure tu lakini Moh akamwambia zii,kwanza wewe hudiserve chali k**a Junior sindio Junior? Junior akamwambia ooh,you are wrong Moh,mimi na Becky hata tushavalishana pete,so naona hapa uko kisoloπŸ˜‚πŸ˜‚Moh akakaushwa,hadi akauliza Junior,wakati nilikua naside na wewe sai unasema msharudiana? Moh akaona akuje kuuliza Hakimu mwenyewe sasa.
Moh alikuja akauliza Hakimu, unatka nini na Becky an Junior,kwanza ukalewesha Becky? Hakimu akamwambia sikiza wewe msichana,,Iam just trying to be a good boss lakini Moh akamwambia zii,kwanza uniambie mbona wee ni mdogo na uko na hii mali yote,lazia kuna kitu fishy hapa Hakimu akamwambia thats why kuna polisi station,enda report. Moh akamwambia nawajua sasa nyinyi ndio mbribe polisi mtokeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Yani Moh,hata hajielewi.
Sanchez na yeye ameamua achukue break kiasi aende kupumzika. Lexy akamwambia haina shida but nikigundua uliua unanichocha,hivyo ndio job yako itakua imeisha. Sanchez,plus mzigo wake akaishia na Lexy akaambia mamake tena, acha tuone k**a utasimama na mimi,na Becky ama na Sanchez.
Hakimu alikaa akaona enyewe huyu msichana anadhani mimi ni rika lake,akaamua kuita security but Junior akamwambia haina haja,Moh is just leaving. Hakimu alikua ameamua but ikabidi amecheza chini.
Hadi kesho majali

23/04/2024

Cha muhimu Ni kushiba tu. Mambo ya kungojea "goodnight." Nimewaachia🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

23/04/2024

Nkiendelea kungojea hii goodnight ntakesha Hadi mornin, wacha nilale vile nimezoeaπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€·β€β™‚οΈ

Address

Eldoret

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kingben KE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share