09/01/2026
πππππ ππππ πππ πππππππ πππππππ
πππππππ π
Tena leo hii,Asha akija kwa room yake akapata Flora kwa room yake,akamuuliza unafanya nini? Kumbe Sabina ameambia Flora atoe nguo za Asha kwa room yake,apeleke kwa room ya mamake. Asha akamuuliza alafu? Flora akamwambia amesema ni mimi nitakua nakaa hapa. Asha akamwambia sikiza,enda mwambie akuje anitoe huku yeye mwenyewe πππtokaa ama nikung'oe meno sai!
Saida amekuja kwa ofisi penye Robert ako kumbuka sai ati sasa yeye anakaa kwa ofisi ya Tyrone. Saida alikuja akaambia Robert,nimeishi kusikia money and power changes people but sijai kutana na the people until nimekuona. Robert akamuuliza so unajaribu kusema nini? Saida akamwambia sijai ona mwanaume anaenda kinyume kwa rafiki yake venye umefanyia Tyrone...lakini punde si punde, Sabina akafika,akiwa amewaka sana. Alitaka kupigana na Saida lakini Robert akamkataza akamwambia utampiga na afile assault ilete shida. Saida alitoka but akawaambia sikiza,sitaenda chini nikiwa peke yangu.
Saida alitoka akakuja kwa ward penye Tinah amelala na kumbuka sai Tinah anasikia kila kitu na anaongea. Kila kitu chenye Saida aliambia Tinah,alisikia kila kitu,akamwambia venye mamake na Robert wameamua kuenda kinyume na kuhakikisha wanahangaisha Tyrone na akamwambia hata maybe ukitoka hosi utapata mimi na Asha tushafurushwa.
Wakati tu Saida alitoka hivi....Tinah,akafungua macho. Amesikia kila kitu na akajua mamake na Robert hawafanyi poa. Tinah akajua baaaasi,she is the only hope kusaidia Tyrone.
Robert anajaribu kuambia Sabina,wee pia unaoverreact sana,hizi vitu peleka pole pole lakini Sabina akasema apana, huyu Saida k**a anataka kudeal na mimi akuje kudeal na mimi.Robert akamwambia hii mambo hayafai kuenda hivi,lakini Sabina akamuuliza, which side are you,mine or Saida's? Robert akamwambia of course your side...akaambiwa then nyamaza.
Huh! Sabina na Robert walikuja kwa ward,wakaambia Tinah soon unaenda home na sisi tutaenda kuhakikisha babako ametoka jela. Tinah alianza kucheka,akauliza mamake,wee unaniona matako yako sindio? Mnaniona mjinga sana..najua mnajaribu kuhakikisha my dad hatoki jela ju Saida ashaniambia kila kitu. Sabina na Robert wakajua basi kwisha wao.
Lakini Sabina akaambia Tinah, Robert is your dad,hiyo yafaa ujue and Tyrone will chose Asha anytime anyday. Tinah akasikiza wazazi wake akaona enyewe you guys might be right then. Sabina wakamwambia basi,you are our daughter sasa. Lakini Tinah si mjinga,alisema hivi kumaliza maneno na hawa but deep down she knows what to do.,
πππππππ π
Baadaye Sabina alimuita Robert akamuuliza do you think iam hard on Saida? Robert ju anajua akikataa italeta shida akasema tu enyewe she deserves it. Sabina akawambia sasa I will make her life a living hell.
Chris na yeye kimemramba,kumbe kuna loan alichukua na akaeka nyumba yake k**a guarantor na loan hajalipa so ashatumiwa eviction notice. Chris haamini venye maisha inaenda.
Sasa Saida na yeye alikuja tena kutafuta Ray...Ray akamuuliza mum Asha ni issue ya pesa ama? Saida akamwambia apana,this time round nataka usaidizi wako, as long as Sabina ako uhai hii kesi hatuezi shinda..Ray akamuuliza so unamaanisha? Saida akamwambia this time usaidizi nataka ni nataka umuue Sabina π³π³π³ewoo!
Chris maisha imekua ngumu hadi marafiki wake wenye anacall kuwaomba tu hata chwani hawashiki simu zake. Manze alikuja kwa room akaanza kulia tu π₯²π₯²Jemimah alikuja akamwambia babe please,usijali haya yatapita lakini Chris anasema apana,mimi nimeisha na maisha yangu imeisha.
Sasa sikiza hapa,nik**a drama nik**a video..Saida amemtaka Ray kumuua Sabina,lakini wakiwa wanaongea hapo,kuna beshte ya Ray alikuja akamwambia bro, nataka kukuona haraka..Ray akaambia Saida kiasi nakuja acha niongee na rafiki hapa...Kumbe rafiki mwingine wa Ray,aliambia Ray sikiza,nimepewa kazi na Sabina, ya kuangusha Asha. Hii ina maana,nimelipwa kumuua Asha. Ray akashtuka sana..akaambia beshte yake bana I hope hujachukua hiyo kazi huyo ni empress wangu bna. Beshte akamwambia sasa sikiza,ningekua wewe,ju najua Sabina hata k**a hatanikomboa mimi lazima atatafuta mwingine,so cheza kiwewe.
Ray akajua sasa adui ni Sabina but Ray alirudi alirudi akaambia Saida,story ya kumuua Sabina haiwezi,kuua mtu si kitu rahisi,ju naeza enda ndani tufungwe so hiyo mimi siezi na k**a unadhani kuua Sabina ndio kutafuta niwe na Asha then hata story za Asha pia nitachorea. Wah!
Saida anamtaka Ray amuue Sabina,na Sabina anataka beshte wa Ray amuue Asha πππHii sasa si ni mauano basi ππ