Vincent OPIYO

Vincent OPIYO I hatch life, mentor minds, and live stories worth telling.
πŸ’§ From fry tanks to frontline lessons β€” my grind is real, my purpose louder. Vincent OPIYO
(2)

I don’t just watch All American β€” I live the hustle. Edge-living, heart-leading, and built for more.

π€π˜π€ππ€ πŸ‘πŸπ’π“ πŽπ‚π“ π’πŽπŸπ„ππŸπŸ“ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Mtoke Tanzania kwanza weka LIKE ukiendelea kusoma.Sorry its Late𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Asubuhi na...
31/10/2025

π€π˜π€ππ€ πŸ‘πŸπ’π“ πŽπ‚π“ π’πŽπŸπ„ππŸπŸ“ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Mtoke Tanzania kwanza weka LIKE ukiendelea kusoma.
Sorry its Late
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Asubuhi na mapema.Asha aliamkia kwa room ya Selina,akamwambia Mathew amekuja anakungoja huko chini. Selina hakutaka kuonana na Mathew,akaambia Asha unaonaje uende umkeep busy umwambia sifeel poa aki sitaki kumuona. Asha akamwambia haina noma acha nijaribu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sasa Asha na yeye she was just kuambia Mathew Selina hafeel poa,but na yeye akaamua kumpikia kachai an wakaka hapo wakipiga story moja mbili wakicheka k**a Yesu πŸ˜‚πŸ˜‚

They had a lot kuongea wakajadili na hata Asha akamwambia venye chali yake alimcheza hadi wakabadilishiana number. Kumbe Selina aliona.

Robert ashakutana na Sabina,akaambia Sabina walai mtoto wenu hana heshima hata kidogo,anaeza date rika ya babake? Sabina pia ako disapointed sana but akauliza Robert,what of Chris,mbona pia yee hangeona huyu ni mtoto? Robert akamwambia basi nitaongea na Tyron kuhusu hii swala unless uongeleshe Selina. Sabina akamwambia no usiambie Tyran,ukimwambia things will be worse.

Sikiza! Jemimah na Robert ni sister na bro. Sasa Sabina akiambia Robert aongeleshe Selina,Robert anamwambia noo,wewe ni umuongeleshe mtoto wako or else Tyran atajua lakini Sabina akamwambia nyamaza! Ngurue wewe...nimuongeleshe k**a mamake what of you k**a babake? Robert akamuuliza unamaanisha nini? Sabina akamwmabia Celestine ni mtoto wako,she is your biological daughter not Tyrans...wah! Makosa....

Robert hakuamini..akauliza Sabina why now,after 20yrs? Sabina akamwambia because you were broke,the only way Selina angeishi maisha poa ni kukaa k**a mtoto wa Tyran.

Robert aliona never,akaambia Sabina this madness ends tonight,naambia Tyran kila kitu lakini Sabina akamwmabia enda! Enda alah..enda uambie rafiki yako,how you slept with his wife and made hr pregnant πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚wah!

Selina alikuja akauliza Asha,so ukachukua babangu and sai unataka kuchukua chali yangu? Asha akamwambia tusikoseane heshima Selina,mind your mouth.

Jemima alisikia rafiki yake akaamua kurudi kwake. Chris ako soo emotional and apologetic akamwambia babe, ni shetani aki,shetani alinituma lakini Jemimah akamuuliza,imagine mtoto wako Ivy akiharibu ndoa ya wenyewe ama kuenda out na mubaba rika yako? Chris akamwambia aki I promise I will block her na sitawai mtafuta tena. Jemimah akamwambia sijarudi juu yako,iam here ju ya my daughter....

Watu wa Lulu mumenotice Chris huwa anapewa same same wrong kila kipindi πŸ˜‚πŸ˜‚sina loya.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Tyran alikuja akapata Robert akiwa stressed sana akamuuliza champez uko sawa? Robert akadanganya akamwambia ni homa homa tu...Tyran akamwambia I can drop you bna but Robert akamwambia usijali,kuna mgonjwa nangoja nikimaliza nitaenda. Tyran akamwambia ni sawa ukifika nyumbani,make sure unakunywa supu,now that ulikataa kuoa na miaka hizoo zinaenda ki Israel Burare πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Punde si punde,huku nyumbani kwa Tyran,ndio tu Sabina anarudi after kuonana na Robert na kuambiwa kila kitu. Kwanza alipata Asha amekaa kwa room ya Selina,akaambia Asha ebu toka nje....Selina akauliza mamake,mbona this is my room na Asha anaeza kaa huku lakini Sabina akaambia Asha toka.

Selina anaambia madhe wewe pia acha zako lakini Sabina akauliza Selina, ni nini hii nasikia kuhusu wewe na Chris 😳😳😳😳😲😲😲(Hivyo ndio Selina alishtuka) hakuamini mamake ashajua anadate na Chris mind you,Sabina anamjua vizuri Chris,kwa nini? Kwa sababu Chris is a family member,aaaa! Makosa.

Selina alijitetea,akasema mum,huyo mzee alinidanganya aliniambia hata hajaoa lakini Sabina akamwambia ujinga,you knew him he has been calling you his daughter kuliendaje ukaanza kulala na yeye mkifanya tafia mzuri mbaya mbaya? Selina anasema ati yeye hakujua ati ooh Chris alimwambia he is widower πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Imagine Chris is 54yrs na Selina kako tu 22yrs.

Saida na yeye alisikia venye Selina anapigiwa kelele akaona heri aongee na Sabina at least waone venye wanamtreat Selina lakini Sabina akamwmabia sometime nafeel huyu mtoto ananichukia yeye si k**a Asha wako,she is soo perfect,lakini Saida akacheka,akasema nani? Huyu Asha huyu,amenisumbua sana πŸ˜‚πŸ˜‚napambana tu na yeye na hivyo ndio nataka upambane na Selina hivyo.

Selina alimcall Chris tena,akamuuliza wewe ni nini,mbona madhe amejua tulikua tunadate? Chris akamwambia lazima ni Jemimah,she is the one who always runs to Robert kusema issues zetu. Selina worry yake ni babake asijue but Chris alimwambia usijali,I will make few calls then nitakuambia,nothing will go wrong.

Baadaye.Saida,Asha na Selina walikuja mezani,Saida akauliza Selina na mamako hali ama? Selina akamwambia I dont care...sasa Saida akaanz akuongea ili kufurahisha Selina anamwambia sijui mbona mamako anakukazia hivi na pia yeye alikua msichana yafaa aache you explore the world na hata uwe na mubabaz...Selina akisikia hivi anaona wueh hawa ndio mabeshte zangu sasa.

Sabina anafeel amefika mwisho,alimcall Robert,anataka usaidizi aongeleshe Selina hadi anamwambia Robert,please nataka usaidizi sisi k**a wazazi tumejaribu sana but nik**a tumefika mwisho,kindly ongea na Selina. Robert akauliza Sabina,unataka niongee na Selina k**a nani, k**a uncle yake ama k**a babake? Sabina akakata simu...

31/10/2025

Good morning team!!

Big shout out to my newest top fans! Atieno Lizz, Charles Nkori, Nyanduko Ann, Scarlett Joy, Florey Floo, Roda Njanjo, M...
29/10/2025

Big shout out to my newest top fans! Atieno Lizz, Charles Nkori, Nyanduko Ann, Scarlett Joy, Florey Floo, Roda Njanjo, Memz Mum Kaku, Racky Keru, Brenda Otieno, Charles Kaduka, Joyce Mawia, Moureen Munyiva, Damaris Mwania, Zamarady Oyoyo, Queen Empress, James Wanyonyi, Farida Spears, Jacklyne Nabwile, Sharon Prettie, Eboya Vivian, Mercy Kavindu, Brenda Anyango, Wiva Odhiambo, Brydan Montero, Caren Caren, Markettplace Ib Meta, Prince Jayd, Anna Reamohetswe, Rita Vatanzi, Sharon Unguku, Nancy Asiya, Mercy Chepngeno, Eddah Nanjala, Alice Wambui Michuki, Becky Noni, Ruth Jackson, Andrew Kairu Nganga, Lizzie Jamie, Owen Max, Jennifer Jennifer, Michael Otieno, Margaret Gombe, Euny Kulesh, Neymar Mac, Ann John, Prizzy West, Adele Julie Mamake Dylan, Rahab Kuria, Ann Shaniz, Zipporah Kioko

π€π˜π€ππ€ πŸ‘πŸŽπ“π‡ πŽπ‚π“ π’π„πŸŽπŸπ„πŸπŸ“ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 weka LIKE ukiendelea kusoma usisahau k**a jana πŸ˜‚πŸ˜‚ππ€π‘π“ 𝟏 USHAWAI ACHWA NA BIBI YAK...
29/10/2025

π€π˜π€ππ€ πŸ‘πŸŽπ“π‡ πŽπ‚π“ π’π„πŸŽπŸπ„πŸπŸ“ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
weka LIKE ukiendelea kusoma usisahau k**a jana πŸ˜‚πŸ˜‚
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 USHAWAI ACHWA NA BIBI YAKO NA DEM YAKO ONCE...
Tyran alikuja kumuita Asha akamwambia mamaa,kaa chini tuongee kiasi. Asha akashindwa kuna nini,ama washajua amekunywa fombeπŸ˜‚πŸ˜‚but Tyran alimwambia usitense,we good na ningependa kukushukuru sana kunitafuta na wakati mamako kesho anaenda, nataka umuhakikishie chenye anaexpect from you while she will be away.

Asha akamwambia kwanza namshukuru mamangu kwa kunikubali nikutafute na tena nakushukuru sana kwa wewe kunikubali k**a mtoto wako and for mum,I promise and I swear I will not bring her down.

It was both happy and emotional Asha akujua kesho mamake anaondoka. Hadi kanatamani kulia.

Selina na yeye amejaribu sana kumcall Chris but simu hazishikwi,lakini punde si punde, this time round, wakati alicall,mkewe Chris akashindwa huyu ni nani anasumbua sumbua kwa simu ya mumewe,akashika! kushika akasikia aje "Hello babe,baaaabe" Jemimah akashindwa,nani huyu anacall bwanangu babe,akajua mara moja,anagongewa..mako! Makosa.

Jemimah hata hakungoja explanation,aliondika akaanza kupack vitu zale na kuenda, Chris akakuja akamuuliza,shida ni nini hunnie unaenda out ama? Jemimah akamwambia sikiza, nakupea time ukae na huyo Cele Mtumba wako. Chris akamwambia aah,unasema huyo dem huwa anatuuzia mitumba kwa ofisi? Jemimah akamwambia usinibebe wana,she called,nikashika akakuita babe πŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯ΉChris akajua kimenuka. Alafu ni fala,ati sasa anajam,anaambia Jemima hakuna penye unaenda wewe,he even started being brutal kwa mkewe na imagine mtoto wao ako tu hapo,anajionea kila kitu.

Chris aliambia Jemimah k**a ni kuenda unaenda,then huendi na mtoto wangu. Chris alikatalia mtoto πŸ₯²πŸ₯²mtoto analia anataka mamake but Chris alikataa,Jemimah woiye,utaenda bila mtoto?

On other side, kabla Saida hajaondoka kuenda Mombasa,,something changed. Sabina na venye alikua anataka sana Saida aende,amini msiamini,she changed her mind akaambia Tyran, haina haja Saida aende,acha tu abaki hapa akae na sisi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Saida akashindwa what changed again...lakini niwaambia ukweli wa mambo,Sabina ni mjanja,she knows the law of keeping your enemy closer ju anajua Saida ashajua kuna kitu kati yao na Rober πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris alikuja akatafuta Selina,akamuuliza wewe,mara ngapi nakuambia usiwai nipigie simu usiku? Selina akamwambia yoh! Watch your tone kababaa, kuna shida? Chris alimwambia my wife ashajua kila kitu kutuhusu na sasa ushaharibi maneno. Selina akamwambia thats your problem them,sort it out and make sure unadelete my number na usiwai nitafuta,fix your marriage na usiwai nitafuta. Wueh! Chris,akaachwa na bibi na tena akaachwa na dem yake πŸ₯²πŸ₯²πŸ₯²πŸ₯²

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Asha aliita Sabina ati "mum Sabina" mamake akamwambia wee,mimi ndio mamako huyo ni mamake Selina πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Saida anaambia Asha,mbona siamini huyu mwanamke,mara hanitaki tena mara anataka nikae huku..Asha akamwambia we mama na weee,umezoea shida hadi unashuku kila kitu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Jemimah! Amekuja kwa beshte yake.Mitchelle, mwenye alimwambia kuhusu Chris akilia tu,akamwambia nishajua ukweli wa mambo,na hata Chris simtakio kabisa acha akae na huyo Celestine wake...beshte akamwambia yoh, mbona utoke kwako..umesahau wee ndio umesaidia Chris kufika penye ako? Jemimah akamuuliza sasa nifanye nini? Beshte yake akamwambia sikiza, boma ni yako,huwezi achia msichana mwingine,baki kwako for Ivy your kid.

Ivy mwenyewe amejam sana,hana furaha. Babake alikuja na gifts akamuuliza, niko na zawadi mbili unataka gani princess? Katoto kakamwambia nataka mamangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kumbe Jemimah hata wanajuana na Robert..alikuja akamshtaki Chris kwa Robert na hata akamuonyesha zile chats. Robrrt akashtuka akamuuliza sasa nitafanya nini? Jemimah akamwambia sikiza ambia Tyran akataze mtoto wake kwa ndoa yangu. Robert akashtuka akamuuliza unamaanisha? Jemimah akamwambia yeah, akataze Celestine before I do ju nikifanya,kuna mtu ataenda mortury. Sikiza, Jemimah,Robert,Tyran wanajuana vizuri sana.

Robert alimcall Sabina akamwambia we need to meet now now,its about Celestine. Wueh! Kumeanza kuchemka.

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ—π“π‡ πŽπ‚π“ π’π„πŸŽπŸπ„πŸπŸ’ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Haya! Ndio hii tena usome na usiweke LIKE k**a jana na nimekukumbusha πŸ˜‚πŸ˜‚Follow 𝐏𝐀...
28/10/2025

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ—π“π‡ πŽπ‚π“ π’π„πŸŽπŸπ„πŸπŸ’ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Haya! Ndio hii tena usome na usiweke LIKE k**a jana na nimekukumbusha πŸ˜‚πŸ˜‚

Follow
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Ehee! Chris ameenda out na Selina,wamekunywa,wamendance mbaya mbovu..kumbe makosa ikawa, beshte yao,beshte ya Chris na mkewe pia walikua huku,wakaona Chris.akashangaa sana Chris anadanya nini na haka katoto πŸ˜‚πŸ˜‚but chali yake akamwambia yoh! MYOB

Tyran na yeye usingizi ilimbeba but kuamka saa nane ya usiku,mkewe hajarudi kwa bed. Yuko kwa kiti amekaa hapo na alilala hapo. Tyran akaona ok,ni mke wangu after all,akachukua dufe akamfunika. Tyrna anashindwa maisha gani haya wajameni but yeye yafaa aamkie job alirudi kulala πŸ˜‚πŸ˜‚This time Selina hajarudi home.

Siku iliyofuata,kwa Chris sasa,yafaa adrop mtoto shule na hakulala nyumbani. Mkewe amejaribu kumcall lakini wapi. Leo hii ni graduatrion ya mtoto wao na venye mtoto wake alimtaka sana babake akuje but ona alilala nje,na simu hashiki. Makosa sana.

Kumbe sasa,report ishafika sasa..kutoka kwa KNEC,Tyran aliambia ukweli wa mambo sasa,akaambia mzee sikiza, matokeo ya mtoto wako si mistake hakupewa,she was caught cheating na matokeo yake haezi pewa. Sabina mwenye alikua amelala usingizi ikaisha mara moja πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sabina aliuliza bwanake sasa tutafanya aje? Tyran akamwmabia Tinah ama Selina has only two choices, arudi form 3 ama awe enrolled kwa TVET πŸ˜‚πŸ˜‚Sabina akamuuliza what of Asha? Tyran akamwamboa sikia wazimu mwingine,badala ya kuworry about your daughter unaworry kuhusu Asha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Selina alipigiwa simu na mamake,akaulizwa wee uko wapi? Selina akamwambia nitakuja mum. Sabina akamwambia sikiza, 5min uwe home sai sai,,matumbo ya ngamia wewe. Tina kalili lwa lodging na Chris hadi morning πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Baada ya 1hr hivi,mzee mzima Chris ndio anaamka akashangaa Selina hayuko,kumbe kalichomoka kitambooo,kitambo sana. Yeye na yeye badala acall mkewe kwanza after kuona missed calls,alimcall Selina wa kwanza kumuuliza ako wapi. Selina alimwambia mi nishafika home wee tafutana na bibi yako.

Selina kufika tu hivi alikaribishwa na kofi,akaulizwa wht did you lie? Selina akamuuliza nimedanganya wapi mum? Sabina akamfunika kofi ingine,akamwambia you lied in exam and now you are lying now. Tushajua ulicheat exam na ndio maana hukupewa matokeo sasa sikiza wewe na huu ulevi wako, mambo ni mawili,uende TVET ama urudie form 3. Selina pombe ikaisha kwa mwili mara moja πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kumbe yule dem mwenye alipona Chris kwa club akidance na Selina,alikuja mara moja hadi kwa bibi ya Chris. Akamwambia mammie,unajua nakupenda na nakujali,jana nikiwa out niliona bwanako an dem mwingine. Mkewe Chris akamwambia hakuna,mume wangu haezi fanya kitu k**a hiyo,punde si punde, Chris mwenyewe akafika, Kwa shirt ni rangu ya lipstick tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚and first thing aliambia mkewe, darling I can explain.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Selina kalimtumia Chris voice note,k**amwambia zaddy,I miss you already,I want to see you. Saa hiyo. Chris anajaribu kupombeleza mtoto wake kwa kumfail and mind you,he diodnt check his shirt,lipstick bado iko tu hapo.

Mkewe na beshte wakakuja,akaambia Chris, we need to talk now,kwa room. Swali la kwanza, you broke our daughter's heart. Ulikua wapi jana? Chris akamwambia imagine nilishikwa na polisi nikalala Kasarani Polisi....enyewe hata k**a ni kudanganya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ajabu,mkewe akaamini.

Tyran alikuja kazini akakutana na Robert,akamwambia guess what, its true Tinah cheated kwa exam thats why hakupewa results. Robert akamwambia usijali,hii ni Kenya do something mtoto apate matokeo. Tyran alikataa akasema siezi fanya kitu k**a hiyo,let her face the consequences. Robert akamuuliza k**a angekua Asha ungefanya the same? Tyran akamwambia yeah but Asha is not like Tinah, hadi sometimes nakaa nashindwa huyu Tinah ni mtoto wangu kweli ju hii tabia gani ako nazo hizi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚haya! Kimeanza kurambana.

Woiye Asha, katoto kajinga k**a sijui nani imagine pia kameanza kusnick kwa room ya Tinah na wanakunywa pombe pamoja πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mkewe Chris akiwa ametulia hapo,akiangalia ile nguo ya Chris,punde si punde, simu ikapigwa,na ilipigwa na nani? Cele Mtumba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hako ni Celestine kamesaviwa Cele MtumbaπŸ˜‚πŸ˜‚

Robert alikuja kuona Saida ju anatravel leo but wakati anatoka,hakua amesalimia Sabina. Sabina akamfuata akamuuliza,so unakuja kwangu na huwezi nisalimia? Robert akamwambia nilikuja kuona Saida si wewe...Sabiona akamuuliza so hunipendi tena? Robert akamwambia yoh,I dont have time for this. Kumbe Saida aliona kila kitu...mako..makosa sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

28/10/2025

Have u ever cried tears of joy,?

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ–π“π‡ πŽπ‚π“ π’π„πŸŽπŸπ„πŸπŸ‘ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Its Monday, weka LIKE tukiendelea kusoma mkuu.𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Tyran aliita katibu wa KNEC ...
27/10/2025

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ–π“π‡ πŽπ‚π“ π’π„πŸŽπŸπ„πŸπŸ‘ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Its Monday, weka LIKE tukiendelea kusoma mkuu.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Tyran aliita katibu wa KNEC akamwambia unaona hii Kenya, mtoto wangu alipata X and inanisumbua sana,have tried kuongea na principal but alisema ni hard sana thats why wewe k**a Mr Kinywa uko hapa...help me sir.

Mr Kinywa aliahidi kuchunguza and he will get back to Tyran on the way forward but Tyran alimwambia k**a si possible,believe me nitaelewa.

Asha na Tina ndio wanarudi nyumbani,huku wamebeba shopping mob sana sana ya nguo za Asha. Saida alifurahi alifurahi sana hadi akaambia Tinah,asante sana kwa kushughulikie Asha. Tinah akamwambia no need,she is our blood why not...Saida akamwambia,ukishughulikia Asha vizuri,pia na yeye atakushughulikia vizuri,but! But..ukimesss na yeye, anakuanga umeme πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚danger in advance.

Kumbe Sabina aliamua kuja kumeet na Robert na kumbuka Sabina aliuliza Robert k**a bado ako an feelings na yeye and yeah,Robert alimwambia yes I do, I still hace feelings kwako and yeah nakutaka pia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚na usisahau,Robert ni beshte wa zamani sana wa Tyran alafu ndio huyu alikua anakula bibi ya Tyran na tena anamwambia sasa anataka Sabina na wawe pamoja for good..Sabina alishtuka..akamwambia yoh! We can be having an affair but we cant be with you aje sasa? Robert akamwambia tafuta divorce,uachane na Tyran twende na wewe..Sabina alishtuka sana...imagine sai tuseme like sasa mimi ni Tyran,alafu sasa Jamal..aki bro ujaribu hivi,panga ya makota twa! Na ujue huwa haiponi πŸ˜‚πŸ˜‚

Asha ashanunuliwa nguo ndio but mamake anaona apana,hizi nguo zinabana sana Asha na hajalelewa hivyo.

Sabina aliambia Robert its not that easy,kumbuka wewe ni rafiki wa Tyran? Robert akamwambia but sifeel poa nikijua nalala na wewe najua wewe bado umeoleka na Tyran. Sabina akamwambia but we have been,ama umesahau but for me sidhani tunaeza oana, iam Tyran's property. Mimi ni mtu wake. Robert akamuuliza,si ni wewe ulikuja kwangu ukitaka mechi,sai ni wewe unakataa..wee pia kwenda huko. Robert aliamka akamuachanisha Sabina hapo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Tina, ama Selina kako kwa room yake kanakunywa. Asha kukuja kakapewa kapioge sip but kunusa kakaona ni pombe akasema apana,huwa sinywi hii sorry πŸ˜‚πŸ˜‚Selina aliona Asha amemjudge,akamwambia kunywa pombe si kupenda kwangu,nimegrow up na wazazi hawako in for me so niliona heri nikae na fombe,kunywa na kulewa tu.

Asha aliongea sana kwa machungu,akaambia Asha amelelewa tu na nannies but Asha akamwambia but hii si excuse ya kunywa pombe,you are a baby girl,achana na pombe,unapoteza maisha yako ukiona tu hivi. Selina hapendi advice,aliambia Asha,thanjs but sitaki advice zako,unaeza enda πŸ₯²πŸ₯²πŸ₯²

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Mathew amekuja kuona Selinam,kufika akakutana na Asha kwa mlango. Mathew kuangalia Asha akashindwa huyu dem alimuona waaaaaapi,akamuuliza we si wewe ni Asha? Asha akamwambia yeah, Mather akamwambia I knew it nilikuona kwa news. Hadi wakasalimiana,lakini punde si punde,Selina akafika. Selina akaintroduce Asha kwa Mathew an Mathew kwa Asha kuwa mpenzi wake.

Asha akarudi kwa nyumba akaambia mamake wee, huyu mtoto yuko aje,jana tukienda kubuy nguo,alienda akameet jizee fulani wakakiss,na nashuku ni mpenzi wake,alafu sai imagine chali yake myoung sasa amekuja wako huko. Saida akamwambia unaona,huyo si msichana mzuri,chungana na yeye sana.

Mathew alitaka sana waende out na Selina tonight but kumbuka,hii hii tonight ndio yafaa Selina aende na Chris pout so Selina alikataa out ya Mathew πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wakiwa tu kwa mazungunmzo hapo,Mathew akaambia Selina wah,kumbe huyu msichana Asha ni mhumble hivyo. Selina akajam,akamuuliza ni mimi umekuja kuona ama Asha? Mathew akamwambia relax,ni wewe of course πŸ˜‚πŸ˜‚

Baada ya masaa,Mathew ashaenda, Selina aliamua kutoka aende but mamake akamuona,akamuuliza unaenda wapi? Selina akamwambia naenda kwa birthday ya beshte yangu lakini mamake akamuuliza, huoni Asha anasadia nanny kukunja nguo alafu wee unataka kuenda? Punde si punde, Tyran akafika. Sabina akamwambia basi ambia babako che nye umeniambia...Selina akamuuliza nimwambia nini sasa na naenda birthday ya beshte yangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Tyran alijitoa hapo akaenda,ashakazoea.

Selina alitoka nje k**a amengojewa kwa gate na Chris. Wanapendana sana.

Saida aliambia Asha,Selina si kupenda kwake, mamake amemtekeza sana na wewe ukijaribu uwe hivypo utaona moto πŸ˜‚πŸ˜‚

On other side, Tyran aliambia Sabina,acha kungoja Selina,kumbuka mtoto umleavyo ndio akuavyo and she is exactly how you brought her up! Ako hivyo.

Address

483
Homa Bay
40300

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Vincent OPIYO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Vincent OPIYO:

Share