Vincent OPIYO

Vincent OPIYO I hatch life, mentor minds, and live stories worth telling.
πŸ’§ From fry tanks to frontline lessons β€” my grind is real, my purpose louder. Vincent OPIYO
(2)

I don’t just watch All American β€” I live the hustle. Edge-living, heart-leading, and built for more.

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ“π“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π‚π‡π‘πˆπ’π“πŒπ€π’ π„πƒπˆπ“πˆπŽπ 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Hawa bado wako kwa hosi. Sabina aliambia Tinah,unaeza enda nyumbani nitakaa huku...
24/12/2025

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ“π“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π‚π‡π‘πˆπ’π“πŒπ€π’ π„πƒπˆπ“πˆπŽπ
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Hawa bado wako kwa hosi. Sabina aliambia Tinah,unaeza enda nyumbani nitakaa huku na babako. Robert alipita hapo,akaangalia Sabina na macho ingine mbaya sana na akaenda. Kuna beef kati ya Robert na Sabina πŸ˜‚πŸ˜‚

Ni Asha tu hajamuona Tyrone. Asha alimwambia mum,enda ukamuone dad I will be waiting here.

Saida alikuja akajiongea akaambia Tyrone,najua Asha alikosea sana,tafadhali msamehe,k**a ni kupona tunakuombea sana upone,pigana hadi upone Tyrone we still need you. Tena tena, wakati Saida anatoka, Tyrone akafungua macho.

Saida alirudi na Asha akamwambia mum,enda tu nitakaa huku na dad but Saida akamwambia si Sabina yuko sisi twende tu but Asha akamwambia usijali,I will be ok,acha nibaki huku hata Sabina nik**a washaenda na hatuezi acha baba yetu hivyo.

Na ni kweli,Sabina na Tinah walikuja hadi nyumbani. Tinah akauliza mamake, mbona kuna sintofahamu kati yako na Robert,kwanza ukamkataza asiwe hapo tukipewa medical report,tena ya pili nikaona mnaangaliana vibaya,kuna nini mum? Sabina akamwambia wee unaoverthink tu Tinah. Punde si punde Saida pia akafika.

Sabina aliambia Saida sikiza,omba sana Tyrone asikufe ju akifa, walai utapack utoke and you will get nothing..lakini Saida pia akamwambia sikiza,omba sana Tyrone asitoke hosi akiwa mzima ju akifika tu hapa, tutaona kati yako na mimi nani ndio atapack aende bila kitu.

Sasa hapa kuna kiswahili mkuti...Saida anaambia Sabina aombe sana Tyrone asitoka hosi,akitoka kitaumana na Sabina anaambia Saida aombe sana Tyrone atoke hosi,ju asipotoka,kitaumana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Talking of Tyrone,he is now ok,ashapona and within hours he will be discharged kutoka hosi...he can now talk na ako sawa sasa. Asha alikua tu pale kwa waiting room hadi usingizi ikamshika. Wakati Annaliza anapita akaona msichana hata hana sweater akampea ile kikoi akamfunika.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Kumbe Sabina alifuta Nabalayo kazi,sasa Tinah akakuja akamuuliza, mum shida yako ni nini? sasa Nabalayo unamfuta kazi ju ya nini? Sabina akamwambia yafaa utumie akili Tinah, tunaishi na adui wetu huku huku...kumbe Saida alisikia akakuja akaambia Sabina,k**a ni uadui ningekua nishaanza na wewe already,so please usijaribu kuniingiza kwa maneno yenu kabisa.

Tyrone aliamka akakuja akapata Asha bado kamelala,akamfunika vizuri na akamwambia sleepo well my daughter.

Kumbe Chris ni mjanja, alienda akacheza na mtoto na jioni akamrudisha,akapata ndio wakati Robert wanajaribu kuongea na makarao. Chris akawauliza shida ni nini hapa? Robert akamuuliza unaezaje kidnap mtoto wako? Chris akamwambia mimi nimetoka out na mtoto wangu tukacheza,hadi Ivy akasema my dad made my day today.

Chris akaambia Robert sasa sijui unaongelea nini...ukimaliza kuongea jitoe tunataka kulala πŸ˜‚πŸ˜‚kisha Chris akamwambia shida yako ni kuamini sister yako ju umemuuliza what she did? of course Jemimah hakuambia Robert.

Jemimah alikuja akaongea na kamtoto akakauliza, mlikua wapi? Ivy akamwambia tulienda out tukahave fun it was dad and daughter moment. Jemimah akamuuliza,na mlikua na aunt Celestine huko? Ivy akamwambia apana tulikua tu peke yetu.

Huku Chris alikuja akachafua rada,akaambia Robert huyu sister yako,akapigiwa simu usiku akatoka kuenda kukutana na mwanaume huko nje,alafu unataka I take it lightly? Robert hakuamini...wakati Jemimah alikuja Robert akamuuliza, Jemimah are you having an affair? Jemimah akamwambia achana na huyu ngurue,usimuamini.

Saida alimpigia Asha simu akamuuliza utalala hukoo? Asha akamwambia yeah,nitakuja kesho nangoja niona k**a dad ataamka. Asha hana habari already babake ashaamka alikuja akamfunika na akamwambia good night.

Robert na yeye alitaka sana kujua who is this guy mwenye Chris alisema Jemimah anacheat na yeye lakini Jemimah alimwambia hakuna kitu k**a hiyo na k**a umemaliza kuongea kindly enda.

Asha aliamka akakuja kwa room penye babake amelala,akapiga magoti hapo akaanz akumuombea. Hii yote,Tyrione anaona hadi anasmile anasema enyewe I have a daughter.

MEANWHILE..

23/12/2025
π€π˜π€ππ€ πŸπŸππƒ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ’π„ππŸ‘-πŸ’ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Kuna venye Sabina hafeel fiti Tyrone akipea pea Tinah pesa za biashara ha...
19/12/2025

π€π˜π€ππ€ πŸπŸππƒ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ’π„ππŸ‘-πŸ’ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Kuna venye Sabina hafeel fiti Tyrone akipea pea Tinah pesa za biashara hadi Tyrone akamuuliza umekua ukisema simsaidii,sai namsaidia tena ishakua shida kwani wee unataka nini? Sabina akamwambia si hivyo,badala ya kumpea pesa, unaonaje umfungulie shop pahali awe anafanyia kazi? Tyrone akamwambia give her a chance tuone..punde si punde, Saida akaingia hata bila kubisha..akaambia Tyrone Asha ameshikwa,Jemimah amenipigia simu akasema wako station...hivyo ndio conversation ya Sabina na Tyrone iliisha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ray alikuja mbio hadi kwa AL,akaambia manze Asha amebebwa, na ako kwa ngori yenye hata mi sijui. AL akamuuliza na makarao walijuaje? na zile pesa walipata ama? Ray akamwambia acha ujinga,ni pesa unafikiria na kwela wa mine ameekwa ndani. Ray akaambia AL apigie Jemimah simu wasikie rada..lakini kuangalia simu akapta 27 missed calls kutoka kwa Jemimah. Mako..makosa sana.

Tyrone na Saida kufika police station, report ikatoka,Asha alishikwa for robbery with violence. Tyrone alijam sana akaambia Saida,ona sasa,yani Asha ni mwizi na sijui? Saida akamwambia noo namjua Asha yeye si mwizi. Punde si punde, Chris akafika,akaambia Tyrone na nilijua tu,so ukatumana mtoto wako aniibie sindio? Jemimah alikua hapo,anajua ukweli wa mambo but haezi jaribu kusemaπŸ˜‚πŸ˜‚

In as much Sabina wanawin wakiona Asha na Saida wanakasirisha Tyrone,on other side Sabina wako na wasiwasi ju leo ikiisha k**a Tinah hajapata matokeo kinaumana lakini kwa phone call Robert aliambia Sabina sikiza chenye najua Celestine haezi ambia Tyrone,ju anajua akimwambia she will lose everything in her life plus I Robert akasema Tinah anakaanga fala fala hata matokeo maybe si ya kumpeleka university.

Sabina na Robert wakaelewana hakuna kitu wanafanyia Tinah na kakitaka kaende kaambia Tyrone ju Robert ako sure haezi ambia Tyrone.

Tinah alikuja akauliza mamake mumepangaje na mpoa wako Robert,mnajua masaa inaenda? Sabina akamwambia sikiza, ukitaka kuambia babako enda umwambia na usinitishie. Tinah akamwambia walai nitaambia dad kila kitu? Sabina akamwambia enda useme alah..kumbe hata Tyrone alisikia akisema ataambiwa akakuja akauliza ni nini yafaa niambiwe? Tinah akidhani ni jokes Sabina akaambia Tyrone mtoto wako anataka kuongea na wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ray na AL na wao walianza kuletana juu ju Ray anadhani AL ndio alimset na AL anadhani ni Ray amecheza huu mchezo ju hata ile nyumba yenye Ray hukaa ni ya AL...lakini punde si punde, Jemimah akafika akawaambia muache ujinga,hakuna mtu aliset mwingine, ni fingerprints walipata kwa crime scene na wakazitumia kujua penye Ray anakaa na hizo fingerprints zilikua za wewe AL. Sikiza, walipata fingerprints za AL na wakajua penye anakaa,lakini ju AL alihama akaachia Ray ile nao,thats why Ray ndio walipatwa but Ray hakua,so ni Asha alipatwa.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Tyrone aliuliza Tina ni nini unataka kuniambia? Kumbe Sabina was right,Tinah haezi jisema ati yeye si mtoto wa Tyrone so akaulizia babake,nilitaka kukuambia ama kukuuliza hos is Asha,nilitaka tu kujua. Tyrone akamwambia mum,Asha ameshikwa na ameshikwa kwa robbery with violence ni yeye aliibia Chris na ndio maana Chris amekua akiniaccuse for everything.

Tinah sasa its game over Sabina na Robert washajua she cant do anything.

Turudi kwa AL na akina Ray, AL aliuliza Jemimah na mbona wewe hutense ama ni wewe ulitupeana? Jemimah akamwambia ningetaka kuwapeana sai mngekua mnafloat kwa Nairobi river.

Jemimah aliambia AL sikiza,wewe makarao washajua penye unakaa so wanakutafuta,shika hizi pesa uhepe uende na uende ushago an waluhywa sai wanaenda. Ray akauliza na mimi je? Jemimah akamwambia wewe hakuna evidence unless Asha wako asinitch but for now hauko kwa rada yao.

Huku police,Saida anauliza Asha,kuliendaje ukawa mwizi? Asha alimwambia mum mimi sijui pengine ni Ray ndio aliiba but mimi sijui anything. Asha evidence yoote ishamulalia.

Saida kufika nyumbani,kwanza alipata Sabina na Robert wakiwa kwa phone call,kisha Tinah na Sabina wakaanza kucheka Saida wakimwambia aki pole yani unalea mtoto mwizi woiye...Saida alijam,akawaambia sasa sikiza, sai ni saa tano na nusu,kesho by saa tano na nusu,k**a Asha wangu hatakua ametolewa police na Tyrone, nitaambia Tyrone kila kitu,atajua wewe an Robert mumekua mnakutana mkiogelea na atajua Tinah si mtoto wake...na sicheki. Sabina na Tinah wakashtuka...wacha hivyo,Robert kwa simu amesikia kila kitu...baaaaaasi,...sasa Sabina ako na less than 24hrs kuconvixce Tyrone kumtoa Asha ndani or else, kesho wakati k**a huu Tyrone atajua kila kitu kuhusu Tinah,Robert na Sabina,,wueh! Kimeumana sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ray na yeye alikua amepeleka AL stage hapo country bus apande gari aende ushago lakini punde si punde, plain cloth police walifika na kuvumba na kufumbau macho, AL alikua ashak**atwa. Ray kuona hivyo,eeh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚alitoka mbio,mbaya mbovu.

Sabina ailibidi akuje kuongelesha Tyrone akamwambia sweetheart,najua sai uko na stress sana but please, sidhani Asha anaeza fanya kitu ameekelewa,please sweetie,msaidie umtoe Asha ndani ju sai najua mamake ako na stress sana.

Baadaye Robert pia alikuja akaongelesha Tyrone akamwambia Asha haezi kuwa mwizi,it might be a mistake na hata nishaambiwa kuna suspect ameshikwa,so chez akiwewe uachilia Asha,she is still a kid,she was just in the wrong place at the wrong time. Hii yote ni njia ya Asha aachiliwe ndio Tyrone asiambiwe ukweli wa mambo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Yuaitwa Saida,alikacheza kakachezeka.

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ—π“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŽπŸ’π„ππŸ‘-πŸ’ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Mambio yashachemka, Saida ashapigiwa simu kuwa Asha ameshikwa alafu sasa ...
19/12/2025

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ—π“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŽπŸ’π„ππŸ‘-πŸ’ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Mambio yashachemka, Saida ashapigiwa simu kuwa Asha ameshikwa alafu sasa Jemimah na yeye,akapiga simu kwa AL,akamwambia AL k**a uko kwa nyumba hepa! Dem wa Ray ameshikwa na najua ataenda kupeana Ray na akipeana Ray,Ray lazima atanipeana. AL akamuuliza madam sasa unataka tukacheze aje? Jemimah akamwambia sikiza, enda tafuta wale magoons wa Umoja uongee na huyo kiongozi wao wa nywele kubwa mwenye huwa anatembea k**a dem,umwambia wafanye juu chini,Ray aulizwe kabla Asha hajampea. aah! Makosa. Jemimah ameamua kudelete nyayo sasa. Ray akaekewa wanted na magaidi wengine ju Jemimah anajua, as long as Asja ameshikwa, Ray lazima atatajwa na Ray akishikwa atafinywa fuinywa mandeke aseme kila kitu,kitu Jemimah haezi taka kurisk.

Wakati sasa Saida wanatoka na Tyrone kukimbia Central police station,wacha wafungue gate,wamuone Asha,akilia tu...najua hata pia mnashangaa Asha amefikaje hapa wakati yafaa awe police station...acha sasa niwarudishe nyumba,1hr ago.

Tuliona Asha akiwa ameshikwa anaenda kuwekwa kwa gari lakini wakati aliangalia nyuma,alimuona Ray..wakati Asha aliekwa kwa gari aliambia police sikizeni, iam just a girl in stupid love,mimi hizi pesa si mimi niliiba,ni boyfriend wangu mwiizi na mimi si mwizi,mimi ni mtoto wa Daktari Tyrone. Kwanza police wakashtuka,wakamuuliza wee ndio umekua unatafutwa? Asha akawambia sindio,. ona sasa mshanijua na ju sitaki kube a msalaba wa wenyewe,boyfriend wangu ako nyuma ya nyumba amejificha hapo,ningekua nyinyi ningeenda huko sai.

Wueh! Makarao kusikia hivyo, within minutes walikua washamfikia Ray. Ray akakiri akasema yeah hizo pesa Asha hausiki so Asha akaachiliwa,kisha Ray akaekwa ndani but Ray akawambia kitu moja, "siko peke yangu,tuko wengi" police akamwambia tutajulia mbele for now twende.

Hivyo ndio Asha aliachiliwa,akarudi nyumbani na ndio huyu kwa gate sasa,alafu Jemimah akidhai Ray ako on the run, Ray ashashikwa already..mako! Makosa sana,alafu sasa acha niwashtukie kitu ingine,leo sijapata updates nimekaa nikaona hakuna venye mtalala bila kulike post yangu,nikaamua niandika kitu hakuna sasa fanyeni hivi, ukiona nimekosa sana,kuja kwangu unitandike,univunje vunje macho na unitoboe mikono.

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ”π“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Jemimah alipigiwa simu na Ray,akamuuliza mbona hukuniambia Chris ako na gun? Jemim...
16/12/2025

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ”π“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Jemimah alipigiwa simu na Ray,akamuuliza mbona hukuniambia Chris ako na gun? Jemimah akamwmabia sikujua ataibeba...Jemimah akamuuliza na pesa mko nazo? Ray akamwambia yeah na sijui pa kuzieka..Jemimah akamwambia kaa nazo hadi mambo yatulie. Ray akajaribu kumwambia yoh mi siezi kaa na hizi pesa lakini Jemimah akakata simu,kwa nini? Kwa sababu Chris aliingia.

Chris amefika akiwa ameumia sana,alafu Jemimah anajifanya kuhurumisha sana but she is the maste rmind...akamuuliza k**a aliona wale wezi but Chris akamwambia zii,sikuwaona but shida yangu tu walijuaje niko na pesa. Ona Jemimah venye pia anasema na kweli walijuaje πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚makosa yenye akina Ray walifanya ni,waliacha motorbike.

Ray ilibidi arudi nyumbani,shida sijui ataambia Asha aliumia akifanya nini na bado yuko na zile pesa,mamillion ya pesa. Alifika k**a Asha kamelala akaingia pole poooole kwa room akaeka chini ya bed,but Asha hakua amelala,she was awake na akaona chenye kimeekwa kwa kitanda. Kuuliza Ray akasema ni vitu za job.

Asha akanotice kidonda kwa mkono wa Ray,akamwambia babe yafaa twende hosi lakini Ray akamwambia yoh mi niko sawa babe, usiwe na wasiwasi.

Kumbe Chris na yeye alisuspect mtu, Tyrone. Chris alimcall Tyrone akamwmabia najua ni wewe tru ulitumana watu waniibie pesa and you will pay for it. Tyrone akashindwa,sasa hii imetoka wapi ju kusema ukweli he has no idea what Chris is talking about πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ray ashatulia amefungwa mkono huku Asha anamwambia babe siezi taka kitu mbaya ikufanyikie ama ufanye kitu mbaya. Ray anamwambia tulia babe, siezi fanya kitu mbaya na nitamake sure unakaa maisha poa. Punde si punde wakikunywa chai, mlangoni kukabishwa.

Ray akauliza wee ni nani anabisha? Kumbe ni yule jamaa mwenye walikua na yeye jana,at least Ray roho ikatulia. Lakini cheki,wakati Ray ameenda kuongea na beshte yake kwanza anaitwa Along Lilo(AL)...hapo na hapo,Asha akafanya one, very big mistake,akaends kuangalia ni nini Ray alieka chini ya kitanda jana usiku,,aaah! Makosa. Hata k**a ni bwanako,as long as ushajua yeye ni gaidi na asuspect unaeza mset manze wewe ni kwisha maneno,Asha, ashajitangazia Kang'o ka Asha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
AL alikuja kuongea na Ray kujua venye ako na Ray akamwambia mnaona shida mumenieka? AL akamwambia tulia at least uko sawa.

Ray hawana habari Asha ashachukua bag. Kisha AL akaambia Ray unajua hiyo pikipiki waliipata? Ray akamwambia unaona, sasa si tutashikwa? AL akamwambia tulia,hiyo piki niliiba so wakitafuta watashika tu mwenye pikipiki but si sisi.

Ray akaambia AL achukue zile pesa aende nazo but AL akamwambia si unajua mi huwa siishi pahali so kaa tu na hizo pesa.

Wacha Ray arudi kwa nyumba,apate Asha ako na ile bag..lakini ajabu ni kuwa Ray hakushtuka,kwa nini,kumbe,enyewe akili mali, real bag ya pesa haiko hapa,real bag ya pesa Ray alificha akakuja an bag ingine yenye imejaa nyundo,koromeo na kokobilo..hizo ni vifaa za mjengo mshishangae πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Swali alibadilisha saa ngali? Usiku, wakati Asha amelala,Ray alishuki,akaamka pole pooole akachukue zile pesa akaeka kwa bag tofauti,.na bag yenye Asha aliona akaeka zile vifaa vya mjengo. Hivyo ndio Asha kalichezwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Tinah na yeye shughuli after shughuli,kwanza leo anaenda Gikomba na ashaitisha uber. But msee wa uber anamchelewesha sana akafanya Tinah akachelewa hadi akapatwa na Tinah.

Jemimah alimpata Tinah akamuuliza niliambiwa unanitafuta? Tinah akamwambia yeah, I just wanted to kuomba msamaha. Jemimah akamuuliza what if ni plan yako na Chris nidhani mumeachana kumbe mnanicheza? Tinah akamwmabia for real for real I mean it.

Lakini punde si punde, Jemimah akaona makarao wanaenda kwa Tyrone na Chris ako ndani. Jemimah akajua mara moja ni Tyrone ameendea.

Tyrone yeye hana habari whats coming, ashaoga anaenda kazini lakini punde si punde, makarao wakafika na Chris. Akawauliza shida ni nini? Chris akasema ni huyu,alitumana watu waniibie pesa zangu. Tyrone yeye hajui anything...amekuja tu kushikwa.

Jemimah pia alifika akauliza Chris ujinga gani unafanya? Chris akasema huyu ndio alituma watu waniibie ju ni yeye alijua nimelipwa shares zangu. Tyrone alikosa otherwise wakaenda polisi kuandika statement but Tyrone aliangalia Jemimah kwa macho akamwambia sikiza Jemimah, I have nothing to do with this. Jemima anajua yeah its not Tyrone,ju ni yeye k**a Jemimah ndio alitumana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

π€π˜π€ππ€ 𝟏5𝐓𝐇 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒  𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Asha imebidi aanze kuuza makaa hapa Kinyanjui...ju kazi zimekua hard j...
12/12/2025

π€π˜π€ππ€ 𝟏5𝐓𝐇 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Asha imebidi aanze kuuza makaa hapa Kinyanjui...ju kazi zimekua hard joh...alafu mwenye amempea kazi ni madhe mwingine kichwa ngumu mbaya mbovuπŸ˜‚πŸ˜‚Asha anapelekwa mbio,anaambiwa hapa uzembe kazini sitaki na usifanye nikasirike πŸ˜‚πŸ˜‚woiye Asha. As this is happening, hapo mbeleee Jemimah anajionea kila kitu,haamini huyu ni mtoto wa sonko anafanya kazi ya kuuza makaa,lakini kazi ni kazi tu!

Kumbe Sabina na yeye alikuja kuona Robert lakini sasa kuna shida, Robert hataki Sabina aingie ndani anamwambia niko mbio sana leo hutaingia. Robert anajua huko ndani ameacha Monaliza akifanya kazi zake na Sabina akienda huko itakua balaa. Hata si Monaliza, ni Analiza.

Chris bado anajaribu kusweet talk Tinah lakini Tinah alimwambia sikiza, mimi na wewe its a done deal na usiwai jaribu kunitafuta tena. Chris haamini ati hatakwi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Robert amefika kazini,akapata Tyron is stressed sana hadi anamwambia najua uko worried ju ya Asha hata mtu anaeza dhani she is the only child of you...Tyrone akamwambia kwanza acha Asha, Tinah sikuhizi amechange sana,ashaanza biashara zake,she nolonger drink and she is really being a good girl.

Kumbe Sabina na yeye,alishuku kitu,akangoja Robert ameenda akarudi akabisha kwake πŸ˜‚πŸ˜‚nani alifungua, Analiza. Sabina akamuuliza wewe na wewe ni nani? Analiza akamwambia yoh, iam just his colleague,akaulizwa na unafanya nini kwake? Analiza akamwambia wee una maswali mingi sana kwani wee karao πŸ˜‚πŸ˜‚remember, Analiza ashaambiwa kila kitu na Robert and how he was helping Sabina kuhusu mtoto wake,hadi akamwambia najua una issues na mtoto Robert aliniambia but usijali atakua sawa.

Kitu kinasumbua Tyron ni hiki, Tinah alienda shule akapata X but now she is doing well, alafu Asha na yeye mwenye alikua wa kwanza ameacha shule ameenda kwa mapenzi. Tyrone anasumbuliwa sana na haya maneno mawili.

Ray ametoka mjengo akapata Asha amelala amechoka sana kwa kuuza makaa, akamuuliza babe, kwani umekua unafanya kazi gani? Asha akamwambia kuuza makaa na hata nimepata chwani nne leo. Ray akamwambia bebez please, hii si kazi yako,acha mi nifanye kazi ju hata leo mimi nimepata soo sita plus zako ni soo nane so for days tutakua sawa.

Kumbe yule jamaa tena alikuja kuona Ray, akamwmabia mzee leo leo usiku Jemimah amesema kuna mission so jipange tunatoka na unajua hufai kudissapoint Jemimah..makosa ikawa, Asha alisikia πŸ₯²πŸ₯²πŸ₯²

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Masaa ilifika, Ray akavaa makwanda zake na akadanganya Asha akamwambia babe, unajua foreman amesema nikimbie kazini kuna kazi ya usiku so acha nikimbie nipate pate tu pesa. Asha akamwambia ni sawa but si poa ukitoka usiku,just make sure unarudi na usichelewe. Huh! As if atarudi...

Robert mausiku pia akiwa ametulia,Sabina alikuja akamuuliza, huyo mwanamke wako ako wapi mwenye alilala hapa? Robert akamwambia relax Sabina hakuna mwanamke hapa. Sabina akamwambia usinione makota yako,kwanza anajua story ya mtoto wetu kwani alikupea nini ndio ukamwambia kila kitu? Robert alipiga piga kiswahili hapo na akamwambia hata k**a alilala hapa mimi nililala kwa kiti na hakuna kitu tulifanya ju I have you.

Chris na yeye alisetiwa kwa bibi yake,akaambiwa bwanako alipewa 15million na anatumia vibaya sana. Kumbe Jemimah alitumana akina Ray wamuibie Chris πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris wakati tu anatoka kwa bar akiwa happy kuspend time na mrembo mwingine,alishtukia nini, kuna pikipiki inamfuata,mako...makosa. Huyo ni Ray na yule beshte mwingine na mission yao ni moja tu,kuibia Chris pesa zooote zenye ako nazo.

Upande wa Saida amelia sana she is not used kukaa for long bila Asha wake,hadi ni Tyron tu anampombeleza.

Chris akiwa kwa barabara akanotice kuna pikipiki inamfuata...punde si punde, akidhani ni watu tu,alishtukia nini..wamesimama mbele yake kisha wakashuka na mabunduki. Withini minutes,Chris alikua ashaibiwa pesa zote na akapigwa kofi hadi chini,lakini makosa ikawa,Ray hawakuambiwa ati Chris ako na gun yake,makosa...wakati tu wanaenda kuchukua pikipiki wahepe, Chris alipata kachance kadogo tu,akachukua gun yake kisha akamlenga Ray moja ya kifua,mbaya mbovu....woi! Ray,mpenzi wa Asha,mwenye aliambia Asha anarudi sai sai walale,manze....

Turudi kwa Tyron, yeye na Tinah wako in good terms and Tinah is now a changed girl...

Kumbe Ray alibahatika, ndio pesa washaziiba lakini alipatwa na risasi ya mkono na hii sasa huwezi ficha...kuhusu beshte yake,ni hadithi tu.

Tyron akiwa na Tinah,Sabina alifika alafu anajifanya mzuri anamkiss Tyron lakini Tyron akamuuliza,umetoka wapi usiku huu? Sabina akasema ooh walivisit a sick friend and blah blah but Tinah anajua kwenye ametoka.

Sabina alimuuliza Tinah ulikutana na Jemimah? Tinah akasema noo but nilikutana na Chris but nothing happened even though alikua ananiambia tu story za sijui pesa dad alikua anampea...Tyrone akasema yeah alipewa shares zake.

Sasa taabu,shida na hulabaloo imemlalia Ray sasa,ni usiku,pesa anazo lakini hajui hali ya beshte yake ju after lile risasi walikimbia njia tofauti.

π€π˜π€ππ€ πŸπŸπ“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒  𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Robert ameshtuka but ju ashafika wakamwambia akae hapo...Robert akaint...
11/12/2025

π€π˜π€ππ€ πŸπŸπ“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Robert ameshtuka but ju ashafika wakamwambia akae hapo...Robert akaintroduce Monaliza akaambia Sabina, this Monaliza na akaambia Monaliza, this os Sabina, Tyrone's wife. Lakini Monaliza akashindwa,bibi ya Tyrone mnafanya nini na yeye kwa bar πŸ˜‚πŸ˜‚

Ray ndio anarudi nyumbani kumbuka alitoka 3pm kuendea nyama amerudi 10pm bila nyama na akitoka alikua ameongelesha Asha vibaya sana. K**a mwanaume aliomba msamaha but Asha akamwambia mimi sipendi vita.

Asha alikua ashapika chakula but hakua amekula,alikua anangpoja barafu wa moyo wake. Yani mapenzi wewe,hivi ndio napendana wakati nilikua uhai.

Robert hakuenda alikuja akaambia Monaliza, najua umeshangaa umenipata na wife wa Tyron but ukweli ni Tyrone na mkewe are going through alot, they have a girl who is dating a married man so wanataka niongeleshe Tinah. Monaliza si mjinga πŸ˜‚πŸ˜‚anaona hapa napangwa vizuuuri sana.

Monaliza na Robert walikua wabenzi zamani,wakafanya tafia mbaya wakapata mtoto. Thats for the record.

Huku kwa Ray ilibidi Asha apike mabwoni 🀣🀣wanakula mabwoni na suturungi. Ray aliliza Asha,sasa story za kazi umefikia wapi? Asha akamwambia natafuta tafuta hope nitapata. Ray anamwambia inaniuma sana badala ya mimi kutafuta kazi ni wewe unatafuta. Asha akamwambia usijali pia ni mtu mzima na yafaa tunasaidiana.

Kwa Chris mambo hayajatulia 🀣🀣Chris alikuja na anytime anafika mtoto anaondika ju anamuogopa sana hadi Chris akauliza Jemimah kwani kunaendaje mtoto hadi hanitaki ama unanifunza? Jemimah akamwambia usijali, she is just learning how monster her father is 🀣🀣🀣woiye Chris. Chris akamwambia na nik**a you never learn the lesson sio? Jemimah akamuuliza utadu? Utanipiga ama utaleta mistress wako Tinah? Chris anasikia kutandika Jemimah but he just cant 🀣🀣🀣

Tinah kazi inashika kushika,she is making some money. Tyrone anaona enyewe his daughter is doing well and this is every man's dream daughter. Kuna kitu Tyrone alitaka kuongea na Tinah,akamuuliza mum, wewe na Chris iliisha ama bado? Tinah akamwambia waai dad hata ukitaka nihug miti for 90hrs I will,iam done with him na niliona ni ujinga tu nilikua nafanya. Tinah akamwambia good,but nataka unifanyie one thing...Tinah akamuuliza gani dad? Tyrone akamwambia if you can go and apologize to Jemimah. Kumbe Sabina asharudi akasikia,akasema upuzi,mtoto wangu haezi enda kuomba msamaha kwa Jemimah,na akiuliwa? Tyron akauliza mbona auliwe? Tyrone akaambiwa Jemimah wanted to harm Tinah

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Tyron ameshangaa sana,akauliza kwani ilifanyika lini? Tinah akasema ile siku ya party siku yenye Jemimah alikuja huku. Tyron ndio akajua ooh so Sabina lied to him kuhusu Jemimah's visit...Sabina hakufeel poa.

Saida still anamcall Robert kuuliza story k**a amesikia penye Asha ako. Robert alimwambia zii,bado sijasikia but nikisikia I will tell you. Wakiwa tu kwa simu, Saida akasikia Robert akiitwa na kamrembo fulani 🀣🀣akashindwa sana huyu mwanaume kwani anahanya sana aje.

Leo Monaliza ameamua anafanyia kazi home so she will be around better part of the day.

Saida na yeye kuona Tyrone anaenda,alikimbia akakuja mbele ya gari,akaambia Tyrone please,nisaidie tutafute mtoto wetu lakini Tyrone alisema zii,mimi nina kazi zangu bwana. Saida alianza kulia akauliza Tyrone unanifanya hivi ju unajua siezi bila wewe sio? Nilimlea nikiwa peke yangu,na k**a hutaki kunisaidie,acha nikuonyeshe,nitamtafuta na nitamlea bila wewe.

Tyrone alimwambia basi nyamaza! Acha kulia basi,nimefanyia Asha kila kitu and she keeps disapointing me. Saida akamwambia ubaya wako ni hukumsikiza. Imagine just like that, Tyrone akaingia box aka shika Saida mkono akamuingiza kwa gari akamwambia mamaa,twende tutafute mtoto wetu 🀣🀣🀣

Asha nayeye amezunguka sana Kawangware anatafuta kazi yeyote,iwe ya hotel,iwe ya salon any job anatafuta. Ray naye on other side ako mjengo,anajituma sana lakini mbele yake, Jemimah 🀣🀣🀣

Tinah na yeye she took it serous..alikuja kwa Chris,anataka kuona Jemimah lakini kufika Jemimah hayuko,alimpata Chris. Chris akamuuluiza babe, umenitembelea mapema hii? Tinah akamwambia kwanza iam not your babe, and two iam not here for you niko hapa kuomba Jemimah msamaha.

Kumbe Saida na yeye, pia alikua amekuja kwa Jemimah kuona Jemmy,lakini kufika akapata ndio Chris anajaribu kuongea na Tinah...akafanya nini 🀣🀣akawarecord,kisha akamcall Jemimah.

Jemimah alikua na Ray wakati anapigiwa simu,akaambia Jemimah, niko kwa gate yako na nawaona Tinah na Chris mapenzi si mapenzi hata nishakutumia video so I think naeza uliza penye kuna mtoto wangu? Jemimah akamwambia yeah, I might be having some information...Ray kusikia hivyo akachukua simu ya Jemimah akakata,akamwambia please usitupeane please,hata k**a ni kazi niambie nikufanyie. Jemimah akamwambia good, kuna kazi nataka unifanyie, details nitakupea baadaye 🀣🀣🀣

wueh

π€π˜π€ππ€ πŸπŸπ“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒  𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Jemimah amejaribu sana kupigia Ray simu hashiki...akacall beshte mwing...
11/12/2025

π€π˜π€ππ€ πŸπŸπ“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Jemimah amejaribu sana kupigia Ray simu hashiki...akacall beshte mwingine akamuuliza yoh, Ray ako wapi namtaka haraka sana,beshte akamwambia zii,sijamuona pahali madam ningekua nishakuambia. Jemimah akamwambia sasa sikiza, ukimpata uniambie, na nisikupigie simu tena.

Kumbe Ivy na yeye,ile kulala kwa baridi ilimuaffect,maskini wa Mungu mtoto,hali mahututi sasa,ni bahati tu mamake alimuona haraka..so ikabidi mtoto achukuliwe aletwe hosi,na analetwa wapi? Kwa hosi ya Tyrone.

Huku kwa ofisi,Chris amekuja na lawyer wake apewe pesa huku anajigamba anasema manze poleni najua after nishatoa shares zangu mtasota na hii hosi ianguke. Robert akamwambia nipewe forms nisign haraka. Robert akasign and deal was done,lakini kiiidogo hivi,wakatitu Chris amefurahi ati pesa zimekuja sasa anaenda sherehe, mtoto wake,akaletwa na mamake mbio mbio,yuko hali mbaya.

Ray na Asha wakitoka matembezi,walipata jamaa hapo amewangoja. Ray anamjua vizuri sana,akaambia Asha aende aongee na yeye. Jamaa akamwambioa champez mbona unakua msoft soft na najua hauna pesa? Hadi jamaa alitoa pesa kupea Ray but Ray akataka kukataa akamwambia najua unanipea pesa ndio nikuje kazini lakini sitaki..jamaa akamwmabia usijifanye,sisi ni magondi na hiyo ndio life yetu.

Asha alikuja akauliza Ray,huyo beshte yako ni nani na mbona ulimwambia penye uko? Ray akapiga kiswahili hapo but Asha akamuuliza na anafanya kazi gani ju venye amevaa hakai mtu mzuri na siezi taka ujiingize kwa shida niregret mbona nilifanya huo uamuzi.

Chris amefurahi,hadi anasmile tu ju pesa zishaingia. Tyron alimwambia Chris, if you think kutoa pesa zako hapa hosi yangu itaanguka fikiria tena mzee. Tyron was very clear,akaambia Chris the reason nafanya hivi ni because of my daughter.

Wakati huo huo,ndio Jemimah anafika na mtoto akampea Robert akamwambia please, safe my daughter,mtoto wangu atakufa.

Chris na yeye kukuja,akaona Jemimah hapo akamuuliza unafanya huku ni wee na wewe? Jemimah alijam sana akaambia Chris ni ju yako mtoto ako hivi. Hapo ndio Chris anajua kumbe mambo si mzuri.

Chris walikuja kwa ward penye mtoto ako nauliza shida ni nini na mtoto,kwanza akakaribishwa na ngumu kutoka kwa Robert πŸ˜‚πŸ˜‚akamwambia you can mess na Jemimah but not Ivy...Jemimah akaambia Robert wee pia ulikataa kutukaribisha kwako jana tofauti yako na Chris hakuna hata.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
As all these drama zinafanyika, Monaliza alikua anasikia akakuja akauliza Robert,kuna mwanamke ulikua unamfuata, who is she? Hapa ni ile time Robert alikua na Sabina...aliambia Monaliza usijali, kila kitu iko sawa ni venye kazi zilikua mob.

Tyrone alikuja kuongea na Robert,ju si poa kupigana hosi mbele ya mtoto. Tyrone alimuuliza shida yako na Chris ni nini I thought mambo yatakua sawa..Robert akamwambia that man is mad but she is messing na Jemimah anawafukuza. Tyrone akamwambia I understand you Robert but chenye najua hauezi fanya anything to harm us,we are brothers.. Tyrone angejua anagongewa πŸ˜‚πŸ˜‚

Ray na Asha πŸ˜‚πŸ˜‚kuna venye kuna hali ya sintofahamu. Asha ashanotice kuna venye Ray hana pesa na anakaa stressed sana hadi Asha akamwambia naonelea nianze kukusaidia na kazi pia niache kukaa kaa tu hapa...walijipata washagombana for somethinf very small.

Woiye Saida,amelia,akalia na ataendelea kulia,anashindwa Asha wake yuko wapi.

Huku Ray alitoka ameenda kutafuta kanyama sokoni,lakini kumbe,kuna msee anamtrail..yule yule mwenye alimpea tupesa,anamtrail,so Ray achunge sana πŸ₯²πŸ₯²

Ivy washatoka hosi na hata ni Tyrone ndio alilipa bill. Wakati Jemimah walibaki hapo na Robert, Jemimah akamuuliza niliona unakimbiza Sabina kwani what was soo important? Tobert hakujibu.

Baadaye Robert alijua penye anaeza mpata Sabina,kwa bar. Sabina wasnt expecting him pia alishtuka sana kumuona.

Chris kufika nyumbani anajifanya ameleta gift but mtoto hataki story za babake,akamwambia I dont want it...Jemimah akamwambia Chris, acha mtoto atulie lakini Chris amekua mkali,anamwambia this is my daughter and I can do what I want alah!

Robert na Sabina walikuja kuongea na Sabina akamwambia usiwe na wasiwasi Tyrone kujua ukweli na k**a Tinah ndio wasiwasi,I will make sure I stop her.

Yule boys mwenye anatrail Ray,alitumia Jemimah pin akamwambia nishajua penye Ray ako na hii ndio location. Ray akasetiwa.

Kisha kale kaboys,kakakuja kwa Ray kaamwambia bro unajua hauna akili wewe, uko na msupa na umesota utagongewa sana...so ningekua wewe,tupige shughuli moja tuingia mafutani tukafunge. Ray akaona enyewe anataka pesa so lazima afanye kitu...na kumbuka kazi ya Ray si ya restaurant,yeye ni gaidi kuruka.

Wacha sasa Monaliza,akuje kwa bar,apate Robert na Sabina wameshukana mikono,alishtuka hadi akamuita Robert. Robert kumuona Monaliza pia akashtuka sana..what! Kimeuana sasa na kumbuka Robert aliambia Monaliza huko hosi ati Sabina ni wife wa colleague,na sasa wamepatikana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Address

483
Homa Bay
40300

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Vincent OPIYO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Vincent OPIYO:

Share