Vincent OPIYO

Vincent OPIYO I hatch life, mentor minds, and live stories worth telling.
πŸ’§ From fry tanks to frontline lessons β€” my grind is real, my purpose louder. Vincent OPIYO
(2)

I don’t just watch All American β€” I live the hustle. Edge-living, heart-leading, and built for more.

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ”π“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Jemimah alipigiwa simu na Ray,akamuuliza mbona hukuniambia Chris ako na gun? Jemim...
16/12/2025

π€π˜π€ππ€ πŸπŸ”π“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Jemimah alipigiwa simu na Ray,akamuuliza mbona hukuniambia Chris ako na gun? Jemimah akamwmabia sikujua ataibeba...Jemimah akamuuliza na pesa mko nazo? Ray akamwambia yeah na sijui pa kuzieka..Jemimah akamwambia kaa nazo hadi mambo yatulie. Ray akajaribu kumwambia yoh mi siezi kaa na hizi pesa lakini Jemimah akakata simu,kwa nini? Kwa sababu Chris aliingia.

Chris amefika akiwa ameumia sana,alafu Jemimah anajifanya kuhurumisha sana but she is the maste rmind...akamuuliza k**a aliona wale wezi but Chris akamwambia zii,sikuwaona but shida yangu tu walijuaje niko na pesa. Ona Jemimah venye pia anasema na kweli walijuaje πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚makosa yenye akina Ray walifanya ni,waliacha motorbike.

Ray ilibidi arudi nyumbani,shida sijui ataambia Asha aliumia akifanya nini na bado yuko na zile pesa,mamillion ya pesa. Alifika k**a Asha kamelala akaingia pole poooole kwa room akaeka chini ya bed,but Asha hakua amelala,she was awake na akaona chenye kimeekwa kwa kitanda. Kuuliza Ray akasema ni vitu za job.

Asha akanotice kidonda kwa mkono wa Ray,akamwambia babe yafaa twende hosi lakini Ray akamwambia yoh mi niko sawa babe, usiwe na wasiwasi.

Kumbe Chris na yeye alisuspect mtu, Tyrone. Chris alimcall Tyrone akamwmabia najua ni wewe tru ulitumana watu waniibie pesa and you will pay for it. Tyrone akashindwa,sasa hii imetoka wapi ju kusema ukweli he has no idea what Chris is talking about πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ray ashatulia amefungwa mkono huku Asha anamwambia babe siezi taka kitu mbaya ikufanyikie ama ufanye kitu mbaya. Ray anamwambia tulia babe, siezi fanya kitu mbaya na nitamake sure unakaa maisha poa. Punde si punde wakikunywa chai, mlangoni kukabishwa.

Ray akauliza wee ni nani anabisha? Kumbe ni yule jamaa mwenye walikua na yeye jana,at least Ray roho ikatulia. Lakini cheki,wakati Ray ameenda kuongea na beshte yake kwanza anaitwa Along Lilo(AL)...hapo na hapo,Asha akafanya one, very big mistake,akaends kuangalia ni nini Ray alieka chini ya kitanda jana usiku,,aaah! Makosa. Hata k**a ni bwanako,as long as ushajua yeye ni gaidi na asuspect unaeza mset manze wewe ni kwisha maneno,Asha, ashajitangazia Kang'o ka Asha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
AL alikuja kuongea na Ray kujua venye ako na Ray akamwambia mnaona shida mumenieka? AL akamwambia tulia at least uko sawa.

Ray hawana habari Asha ashachukua bag. Kisha AL akaambia Ray unajua hiyo pikipiki waliipata? Ray akamwambia unaona, sasa si tutashikwa? AL akamwambia tulia,hiyo piki niliiba so wakitafuta watashika tu mwenye pikipiki but si sisi.

Ray akaambia AL achukue zile pesa aende nazo but AL akamwambia si unajua mi huwa siishi pahali so kaa tu na hizo pesa.

Wacha Ray arudi kwa nyumba,apate Asha ako na ile bag..lakini ajabu ni kuwa Ray hakushtuka,kwa nini,kumbe,enyewe akili mali, real bag ya pesa haiko hapa,real bag ya pesa Ray alificha akakuja an bag ingine yenye imejaa nyundo,koromeo na kokobilo..hizo ni vifaa za mjengo mshishangae πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Swali alibadilisha saa ngali? Usiku, wakati Asha amelala,Ray alishuki,akaamka pole pooole akachukue zile pesa akaeka kwa bag tofauti,.na bag yenye Asha aliona akaeka zile vifaa vya mjengo. Hivyo ndio Asha kalichezwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Tinah na yeye shughuli after shughuli,kwanza leo anaenda Gikomba na ashaitisha uber. But msee wa uber anamchelewesha sana akafanya Tinah akachelewa hadi akapatwa na Tinah.

Jemimah alimpata Tinah akamuuliza niliambiwa unanitafuta? Tinah akamwambia yeah, I just wanted to kuomba msamaha. Jemimah akamuuliza what if ni plan yako na Chris nidhani mumeachana kumbe mnanicheza? Tinah akamwmabia for real for real I mean it.

Lakini punde si punde, Jemimah akaona makarao wanaenda kwa Tyrone na Chris ako ndani. Jemimah akajua mara moja ni Tyrone ameendea.

Tyrone yeye hana habari whats coming, ashaoga anaenda kazini lakini punde si punde, makarao wakafika na Chris. Akawauliza shida ni nini? Chris akasema ni huyu,alitumana watu waniibie pesa zangu. Tyrone yeye hajui anything...amekuja tu kushikwa.

Jemimah pia alifika akauliza Chris ujinga gani unafanya? Chris akasema huyu ndio alituma watu waniibie ju ni yeye alijua nimelipwa shares zangu. Tyrone alikosa otherwise wakaenda polisi kuandika statement but Tyrone aliangalia Jemimah kwa macho akamwambia sikiza Jemimah, I have nothing to do with this. Jemima anajua yeah its not Tyrone,ju ni yeye k**a Jemimah ndio alitumana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

π€π˜π€ππ€ 𝟏5𝐓𝐇 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒  𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Asha imebidi aanze kuuza makaa hapa Kinyanjui...ju kazi zimekua hard j...
12/12/2025

π€π˜π€ππ€ 𝟏5𝐓𝐇 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Asha imebidi aanze kuuza makaa hapa Kinyanjui...ju kazi zimekua hard joh...alafu mwenye amempea kazi ni madhe mwingine kichwa ngumu mbaya mbovuπŸ˜‚πŸ˜‚Asha anapelekwa mbio,anaambiwa hapa uzembe kazini sitaki na usifanye nikasirike πŸ˜‚πŸ˜‚woiye Asha. As this is happening, hapo mbeleee Jemimah anajionea kila kitu,haamini huyu ni mtoto wa sonko anafanya kazi ya kuuza makaa,lakini kazi ni kazi tu!

Kumbe Sabina na yeye alikuja kuona Robert lakini sasa kuna shida, Robert hataki Sabina aingie ndani anamwambia niko mbio sana leo hutaingia. Robert anajua huko ndani ameacha Monaliza akifanya kazi zake na Sabina akienda huko itakua balaa. Hata si Monaliza, ni Analiza.

Chris bado anajaribu kusweet talk Tinah lakini Tinah alimwambia sikiza, mimi na wewe its a done deal na usiwai jaribu kunitafuta tena. Chris haamini ati hatakwi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Robert amefika kazini,akapata Tyron is stressed sana hadi anamwambia najua uko worried ju ya Asha hata mtu anaeza dhani she is the only child of you...Tyrone akamwambia kwanza acha Asha, Tinah sikuhizi amechange sana,ashaanza biashara zake,she nolonger drink and she is really being a good girl.

Kumbe Sabina na yeye,alishuku kitu,akangoja Robert ameenda akarudi akabisha kwake πŸ˜‚πŸ˜‚nani alifungua, Analiza. Sabina akamuuliza wewe na wewe ni nani? Analiza akamwambia yoh, iam just his colleague,akaulizwa na unafanya nini kwake? Analiza akamwambia wee una maswali mingi sana kwani wee karao πŸ˜‚πŸ˜‚remember, Analiza ashaambiwa kila kitu na Robert and how he was helping Sabina kuhusu mtoto wake,hadi akamwambia najua una issues na mtoto Robert aliniambia but usijali atakua sawa.

Kitu kinasumbua Tyron ni hiki, Tinah alienda shule akapata X but now she is doing well, alafu Asha na yeye mwenye alikua wa kwanza ameacha shule ameenda kwa mapenzi. Tyrone anasumbuliwa sana na haya maneno mawili.

Ray ametoka mjengo akapata Asha amelala amechoka sana kwa kuuza makaa, akamuuliza babe, kwani umekua unafanya kazi gani? Asha akamwambia kuuza makaa na hata nimepata chwani nne leo. Ray akamwambia bebez please, hii si kazi yako,acha mi nifanye kazi ju hata leo mimi nimepata soo sita plus zako ni soo nane so for days tutakua sawa.

Kumbe yule jamaa tena alikuja kuona Ray, akamwmabia mzee leo leo usiku Jemimah amesema kuna mission so jipange tunatoka na unajua hufai kudissapoint Jemimah..makosa ikawa, Asha alisikia πŸ₯²πŸ₯²πŸ₯²

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Masaa ilifika, Ray akavaa makwanda zake na akadanganya Asha akamwambia babe, unajua foreman amesema nikimbie kazini kuna kazi ya usiku so acha nikimbie nipate pate tu pesa. Asha akamwambia ni sawa but si poa ukitoka usiku,just make sure unarudi na usichelewe. Huh! As if atarudi...

Robert mausiku pia akiwa ametulia,Sabina alikuja akamuuliza, huyo mwanamke wako ako wapi mwenye alilala hapa? Robert akamwambia relax Sabina hakuna mwanamke hapa. Sabina akamwambia usinione makota yako,kwanza anajua story ya mtoto wetu kwani alikupea nini ndio ukamwambia kila kitu? Robert alipiga piga kiswahili hapo na akamwambia hata k**a alilala hapa mimi nililala kwa kiti na hakuna kitu tulifanya ju I have you.

Chris na yeye alisetiwa kwa bibi yake,akaambiwa bwanako alipewa 15million na anatumia vibaya sana. Kumbe Jemimah alitumana akina Ray wamuibie Chris πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris wakati tu anatoka kwa bar akiwa happy kuspend time na mrembo mwingine,alishtukia nini, kuna pikipiki inamfuata,mako...makosa. Huyo ni Ray na yule beshte mwingine na mission yao ni moja tu,kuibia Chris pesa zooote zenye ako nazo.

Upande wa Saida amelia sana she is not used kukaa for long bila Asha wake,hadi ni Tyron tu anampombeleza.

Chris akiwa kwa barabara akanotice kuna pikipiki inamfuata...punde si punde, akidhani ni watu tu,alishtukia nini..wamesimama mbele yake kisha wakashuka na mabunduki. Withini minutes,Chris alikua ashaibiwa pesa zote na akapigwa kofi hadi chini,lakini makosa ikawa,Ray hawakuambiwa ati Chris ako na gun yake,makosa...wakati tu wanaenda kuchukua pikipiki wahepe, Chris alipata kachance kadogo tu,akachukua gun yake kisha akamlenga Ray moja ya kifua,mbaya mbovu....woi! Ray,mpenzi wa Asha,mwenye aliambia Asha anarudi sai sai walale,manze....

Turudi kwa Tyron, yeye na Tinah wako in good terms and Tinah is now a changed girl...

Kumbe Ray alibahatika, ndio pesa washaziiba lakini alipatwa na risasi ya mkono na hii sasa huwezi ficha...kuhusu beshte yake,ni hadithi tu.

Tyron akiwa na Tinah,Sabina alifika alafu anajifanya mzuri anamkiss Tyron lakini Tyron akamuuliza,umetoka wapi usiku huu? Sabina akasema ooh walivisit a sick friend and blah blah but Tinah anajua kwenye ametoka.

Sabina alimuuliza Tinah ulikutana na Jemimah? Tinah akasema noo but nilikutana na Chris but nothing happened even though alikua ananiambia tu story za sijui pesa dad alikua anampea...Tyrone akasema yeah alipewa shares zake.

Sasa taabu,shida na hulabaloo imemlalia Ray sasa,ni usiku,pesa anazo lakini hajui hali ya beshte yake ju after lile risasi walikimbia njia tofauti.

π€π˜π€ππ€ πŸπŸπ“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒  𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Robert ameshtuka but ju ashafika wakamwambia akae hapo...Robert akaint...
11/12/2025

π€π˜π€ππ€ πŸπŸπ“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Robert ameshtuka but ju ashafika wakamwambia akae hapo...Robert akaintroduce Monaliza akaambia Sabina, this Monaliza na akaambia Monaliza, this os Sabina, Tyrone's wife. Lakini Monaliza akashindwa,bibi ya Tyrone mnafanya nini na yeye kwa bar πŸ˜‚πŸ˜‚

Ray ndio anarudi nyumbani kumbuka alitoka 3pm kuendea nyama amerudi 10pm bila nyama na akitoka alikua ameongelesha Asha vibaya sana. K**a mwanaume aliomba msamaha but Asha akamwambia mimi sipendi vita.

Asha alikua ashapika chakula but hakua amekula,alikua anangpoja barafu wa moyo wake. Yani mapenzi wewe,hivi ndio napendana wakati nilikua uhai.

Robert hakuenda alikuja akaambia Monaliza, najua umeshangaa umenipata na wife wa Tyron but ukweli ni Tyrone na mkewe are going through alot, they have a girl who is dating a married man so wanataka niongeleshe Tinah. Monaliza si mjinga πŸ˜‚πŸ˜‚anaona hapa napangwa vizuuuri sana.

Monaliza na Robert walikua wabenzi zamani,wakafanya tafia mbaya wakapata mtoto. Thats for the record.

Huku kwa Ray ilibidi Asha apike mabwoni 🀣🀣wanakula mabwoni na suturungi. Ray aliliza Asha,sasa story za kazi umefikia wapi? Asha akamwambia natafuta tafuta hope nitapata. Ray anamwambia inaniuma sana badala ya mimi kutafuta kazi ni wewe unatafuta. Asha akamwambia usijali pia ni mtu mzima na yafaa tunasaidiana.

Kwa Chris mambo hayajatulia 🀣🀣Chris alikuja na anytime anafika mtoto anaondika ju anamuogopa sana hadi Chris akauliza Jemimah kwani kunaendaje mtoto hadi hanitaki ama unanifunza? Jemimah akamwambia usijali, she is just learning how monster her father is 🀣🀣🀣woiye Chris. Chris akamwambia na nik**a you never learn the lesson sio? Jemimah akamuuliza utadu? Utanipiga ama utaleta mistress wako Tinah? Chris anasikia kutandika Jemimah but he just cant 🀣🀣🀣

Tinah kazi inashika kushika,she is making some money. Tyrone anaona enyewe his daughter is doing well and this is every man's dream daughter. Kuna kitu Tyrone alitaka kuongea na Tinah,akamuuliza mum, wewe na Chris iliisha ama bado? Tinah akamwambia waai dad hata ukitaka nihug miti for 90hrs I will,iam done with him na niliona ni ujinga tu nilikua nafanya. Tinah akamwambia good,but nataka unifanyie one thing...Tinah akamuuliza gani dad? Tyrone akamwambia if you can go and apologize to Jemimah. Kumbe Sabina asharudi akasikia,akasema upuzi,mtoto wangu haezi enda kuomba msamaha kwa Jemimah,na akiuliwa? Tyron akauliza mbona auliwe? Tyrone akaambiwa Jemimah wanted to harm Tinah

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Tyron ameshangaa sana,akauliza kwani ilifanyika lini? Tinah akasema ile siku ya party siku yenye Jemimah alikuja huku. Tyron ndio akajua ooh so Sabina lied to him kuhusu Jemimah's visit...Sabina hakufeel poa.

Saida still anamcall Robert kuuliza story k**a amesikia penye Asha ako. Robert alimwambia zii,bado sijasikia but nikisikia I will tell you. Wakiwa tu kwa simu, Saida akasikia Robert akiitwa na kamrembo fulani 🀣🀣akashindwa sana huyu mwanaume kwani anahanya sana aje.

Leo Monaliza ameamua anafanyia kazi home so she will be around better part of the day.

Saida na yeye kuona Tyrone anaenda,alikimbia akakuja mbele ya gari,akaambia Tyrone please,nisaidie tutafute mtoto wetu lakini Tyrone alisema zii,mimi nina kazi zangu bwana. Saida alianza kulia akauliza Tyrone unanifanya hivi ju unajua siezi bila wewe sio? Nilimlea nikiwa peke yangu,na k**a hutaki kunisaidie,acha nikuonyeshe,nitamtafuta na nitamlea bila wewe.

Tyrone alimwambia basi nyamaza! Acha kulia basi,nimefanyia Asha kila kitu and she keeps disapointing me. Saida akamwambia ubaya wako ni hukumsikiza. Imagine just like that, Tyrone akaingia box aka shika Saida mkono akamuingiza kwa gari akamwambia mamaa,twende tutafute mtoto wetu 🀣🀣🀣

Asha nayeye amezunguka sana Kawangware anatafuta kazi yeyote,iwe ya hotel,iwe ya salon any job anatafuta. Ray naye on other side ako mjengo,anajituma sana lakini mbele yake, Jemimah 🀣🀣🀣

Tinah na yeye she took it serous..alikuja kwa Chris,anataka kuona Jemimah lakini kufika Jemimah hayuko,alimpata Chris. Chris akamuuluiza babe, umenitembelea mapema hii? Tinah akamwambia kwanza iam not your babe, and two iam not here for you niko hapa kuomba Jemimah msamaha.

Kumbe Saida na yeye, pia alikua amekuja kwa Jemimah kuona Jemmy,lakini kufika akapata ndio Chris anajaribu kuongea na Tinah...akafanya nini 🀣🀣akawarecord,kisha akamcall Jemimah.

Jemimah alikua na Ray wakati anapigiwa simu,akaambia Jemimah, niko kwa gate yako na nawaona Tinah na Chris mapenzi si mapenzi hata nishakutumia video so I think naeza uliza penye kuna mtoto wangu? Jemimah akamwambia yeah, I might be having some information...Ray kusikia hivyo akachukua simu ya Jemimah akakata,akamwambia please usitupeane please,hata k**a ni kazi niambie nikufanyie. Jemimah akamwambia good, kuna kazi nataka unifanyie, details nitakupea baadaye 🀣🀣🀣

wueh

π€π˜π€ππ€ πŸπŸπ“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒  𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Jemimah amejaribu sana kupigia Ray simu hashiki...akacall beshte mwing...
11/12/2025

π€π˜π€ππ€ πŸπŸπ“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Jemimah amejaribu sana kupigia Ray simu hashiki...akacall beshte mwingine akamuuliza yoh, Ray ako wapi namtaka haraka sana,beshte akamwambia zii,sijamuona pahali madam ningekua nishakuambia. Jemimah akamwambia sasa sikiza, ukimpata uniambie, na nisikupigie simu tena.

Kumbe Ivy na yeye,ile kulala kwa baridi ilimuaffect,maskini wa Mungu mtoto,hali mahututi sasa,ni bahati tu mamake alimuona haraka..so ikabidi mtoto achukuliwe aletwe hosi,na analetwa wapi? Kwa hosi ya Tyrone.

Huku kwa ofisi,Chris amekuja na lawyer wake apewe pesa huku anajigamba anasema manze poleni najua after nishatoa shares zangu mtasota na hii hosi ianguke. Robert akamwambia nipewe forms nisign haraka. Robert akasign and deal was done,lakini kiiidogo hivi,wakatitu Chris amefurahi ati pesa zimekuja sasa anaenda sherehe, mtoto wake,akaletwa na mamake mbio mbio,yuko hali mbaya.

Ray na Asha wakitoka matembezi,walipata jamaa hapo amewangoja. Ray anamjua vizuri sana,akaambia Asha aende aongee na yeye. Jamaa akamwambioa champez mbona unakua msoft soft na najua hauna pesa? Hadi jamaa alitoa pesa kupea Ray but Ray akataka kukataa akamwambia najua unanipea pesa ndio nikuje kazini lakini sitaki..jamaa akamwmabia usijifanye,sisi ni magondi na hiyo ndio life yetu.

Asha alikuja akauliza Ray,huyo beshte yako ni nani na mbona ulimwambia penye uko? Ray akapiga kiswahili hapo but Asha akamuuliza na anafanya kazi gani ju venye amevaa hakai mtu mzuri na siezi taka ujiingize kwa shida niregret mbona nilifanya huo uamuzi.

Chris amefurahi,hadi anasmile tu ju pesa zishaingia. Tyron alimwambia Chris, if you think kutoa pesa zako hapa hosi yangu itaanguka fikiria tena mzee. Tyron was very clear,akaambia Chris the reason nafanya hivi ni because of my daughter.

Wakati huo huo,ndio Jemimah anafika na mtoto akampea Robert akamwambia please, safe my daughter,mtoto wangu atakufa.

Chris na yeye kukuja,akaona Jemimah hapo akamuuliza unafanya huku ni wee na wewe? Jemimah alijam sana akaambia Chris ni ju yako mtoto ako hivi. Hapo ndio Chris anajua kumbe mambo si mzuri.

Chris walikuja kwa ward penye mtoto ako nauliza shida ni nini na mtoto,kwanza akakaribishwa na ngumu kutoka kwa Robert πŸ˜‚πŸ˜‚akamwambia you can mess na Jemimah but not Ivy...Jemimah akaambia Robert wee pia ulikataa kutukaribisha kwako jana tofauti yako na Chris hakuna hata.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
As all these drama zinafanyika, Monaliza alikua anasikia akakuja akauliza Robert,kuna mwanamke ulikua unamfuata, who is she? Hapa ni ile time Robert alikua na Sabina...aliambia Monaliza usijali, kila kitu iko sawa ni venye kazi zilikua mob.

Tyrone alikuja kuongea na Robert,ju si poa kupigana hosi mbele ya mtoto. Tyrone alimuuliza shida yako na Chris ni nini I thought mambo yatakua sawa..Robert akamwambia that man is mad but she is messing na Jemimah anawafukuza. Tyrone akamwambia I understand you Robert but chenye najua hauezi fanya anything to harm us,we are brothers.. Tyrone angejua anagongewa πŸ˜‚πŸ˜‚

Ray na Asha πŸ˜‚πŸ˜‚kuna venye kuna hali ya sintofahamu. Asha ashanotice kuna venye Ray hana pesa na anakaa stressed sana hadi Asha akamwambia naonelea nianze kukusaidia na kazi pia niache kukaa kaa tu hapa...walijipata washagombana for somethinf very small.

Woiye Saida,amelia,akalia na ataendelea kulia,anashindwa Asha wake yuko wapi.

Huku Ray alitoka ameenda kutafuta kanyama sokoni,lakini kumbe,kuna msee anamtrail..yule yule mwenye alimpea tupesa,anamtrail,so Ray achunge sana πŸ₯²πŸ₯²

Ivy washatoka hosi na hata ni Tyrone ndio alilipa bill. Wakati Jemimah walibaki hapo na Robert, Jemimah akamuuliza niliona unakimbiza Sabina kwani what was soo important? Tobert hakujibu.

Baadaye Robert alijua penye anaeza mpata Sabina,kwa bar. Sabina wasnt expecting him pia alishtuka sana kumuona.

Chris kufika nyumbani anajifanya ameleta gift but mtoto hataki story za babake,akamwambia I dont want it...Jemimah akamwambia Chris, acha mtoto atulie lakini Chris amekua mkali,anamwambia this is my daughter and I can do what I want alah!

Robert na Sabina walikuja kuongea na Sabina akamwambia usiwe na wasiwasi Tyrone kujua ukweli na k**a Tinah ndio wasiwasi,I will make sure I stop her.

Yule boys mwenye anatrail Ray,alitumia Jemimah pin akamwambia nishajua penye Ray ako na hii ndio location. Ray akasetiwa.

Kisha kale kaboys,kakakuja kwa Ray kaamwambia bro unajua hauna akili wewe, uko na msupa na umesota utagongewa sana...so ningekua wewe,tupige shughuli moja tuingia mafutani tukafunge. Ray akaona enyewe anataka pesa so lazima afanye kitu...na kumbuka kazi ya Ray si ya restaurant,yeye ni gaidi kuruka.

Wacha sasa Monaliza,akuje kwa bar,apate Robert na Sabina wameshukana mikono,alishtuka hadi akamuita Robert. Robert kumuona Monaliza pia akashtuka sana..what! Kimeuana sasa na kumbuka Robert aliambia Monaliza huko hosi ati Sabina ni wife wa colleague,na sasa wamepatikana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

π€π˜π€ππ€ πŸπŸŽπ“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Kuna kale kachemist kati ya Beka na Tinah,hadi sasa Beka ameanza kuwa m...
09/12/2025

π€π˜π€ππ€ πŸπŸŽπ“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Kuna kale kachemist kati ya Beka na Tinah,hadi sasa Beka ameanza kuwa model wa Tinah,anavaa nguo Tinah anauza anazipiga picha anapost NGC πŸ˜‚πŸ˜‚Tyrone akiona hivyo anafurahi sana at least her daughter is doing something good but chini ya maji Tyron hana habari Sabina hataki huu upuzi πŸ˜‚πŸ˜‚

Saida na yeye,wasiwasi alikuja akaambia Tyrone imagine Asha bado hashiki simu..Tyrone akamuuliza so yafaa nifanye aje? Saida akamwambia ni Asha tunaongelea? Tyrone akamwambia she is old enough kutoroka,so please I wont waste time kwa mtoto mshenzi k**a mamake πŸ˜‚πŸ˜‚

Hata hivyo, Asha na Ray maisha lwalala,Ray ashanunua KDF wakunywe na suturungi. Ray akidhani Asha ni coolkid,msichana alirarua zile KDF vibaya sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sabina alikaa akaona she cant win,ilibidi ajoin na kusupport Tinah,hadi Tinah akamuuliza,uko sure ni kunisupport ama ni ju umeona nawin my dad's trust without your helo,ama unadhani ukinisupport sitaambia dad kuhusu your little secret? Sabina akamwambia come on,sasa utaishi kunikumbusha daily? Tinah akamwmabia ahaa,kumbuka 3 days remaining or else dad atajua kila kitu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Saida alikuja akapata Beka akikata kata maua,akamuuliza wewe na wewe, tangu ukuje huku Asha amebadilika sana kwani mliroga ama kumfanyia nini πŸ˜‚πŸ˜‚Beka alicheka tu,ju sasa yeye anaingilia wapi.

Chris aliona mkewe asharudi,akamwambia please babe, mbona ulienda kujaribu kuharm Tinah,plus she is innocent...Jemimah akacheka tu akamwmabia I know you with your blame games. Punde si punde, mlango kukabishwa. Chris akashindwa,who be this again,kufungua,ni Saida.

Chris aliuliza wewe na ndio nani? Saida akajitambulisha akasema anaitwa Saida na anajuana na Jemimah. Jemimah alikuja akamkaribisha Saida but ilikua tu for the sake of Chris,ju wakati tu Chris ameenda,Jemimah aligeukia Saida akamuuliza wewe na wewe kwangu unafanya? Saida akamwambia please please, najua unajuana na Ray,please alitoroka na msichana wangu. Jemimah akamwambia mi sijui kwenye Ray ako but nikisikia nitakuambia,but Iam not promising na usiwai rudi kwangu bila kuniambia. Siana ici.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
"who is that" Chris alimuuliza Jemimah after Saida ameondoka. Jemimah akamwambia ni rafiki yangu lakini Chris akamwambia from the look of your face hakai rafiki yako..Jemimah akamwambia basi thats not your business. Chris akamuuluiza kwani hivi ndio tutaishi? Jemimah akamwambia yeah,the moment you started messing around with Celleh Mtumba πŸ˜‚πŸ˜‚

Robert sikuhizi ako na kiburi sana kwa Sabina hadi anapigiwa simu kuulizwa amefikia wapi anasema sina na sijui anything na niko busy πŸ˜‚πŸ˜‚Sabina anashindwa mbona Robert anamuongelesha na attitude hivi? πŸ˜‚πŸ˜‚Robert ako na mtu wake na hataki story za Sabina.

Ray na Asha hadi wameanza kutembea kwa barabara hapo wakiende side za Lavington wakiwa na furaha sana,they are really risking.

Saida alijileta kwa Robert akamwambia please nataka unisaidie, Tinah alipotea please nisaidie. Robert akakumbuka juzi Saida amemuongelesha vibaya sana akamuuliza, so unataka nikusaidie vipi na mbona nikusaidie after the stunt you took? Saida akamwambia noo,hata sijaambia Tyrone imagine. Saida alimwambia please najua wee huna roho mbaya nisaidie.

Ray na Asha washajisahau,wanatembea tembea tu ovyo ovyo huku Kona wakienda kwa kibanda kukula.

Tyrone alimuona Saida akamuuliza unafanya nini huku is Asha ok? Saida akamwambia yeah ako sawa ni venye nilitaka Robert anisaidie ju wewe ulikataa kunisaidie. Tyrone alimwambia sikukataa nilisema sina wakati kutafuta mtu hataki kupatikana.

Asha walikuja kibandaski kuuliza kuna nini? wakaambiwa kuna kuku,samaki na tupaka twa jana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ray aliitisha chakula ya Ksh 290 lakini kuangalia kwa mfuko walai mbele nyuma ako na 500 akajua hii akitoa 290 walai ashasota but hataki Asha ajue πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Tyrone alikuja kwa ofisi akaambia Robert,mimi hawa watoto sijui wako aje, mara Tinah anasumbua, mara Asha pia ndio huyo hadi wanafanya nashindwa sana kaam ni watoto wangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Robert anajua Tinah si wake,ni wake but haezi jaribu πŸ˜‚πŸ˜‚

Robert aliambia Tyrone,asioverthink saaana. Tyrone akamwambia its ok,kisha akauliza Robert by the way wewe na Monaliza kumbe mnajuana? Robert akamwambia yeah, tulienda na yeye same school na nilishangaa sana pia kumuona. Yuaitwa Monaliza..still Tyrone hajui ni baby mama wa Robert.

Robert ni k**a yule uncle yako mwenye hajawai oa lakini amejaza watoto, k**a Mula...Good Night guys.

π€π˜π€ππ€ πŸ–π“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Kumbuka kunipea LIKE ukiendelea kusoma.𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Tyrone ndio anatoka kuenda kazini...
06/12/2025

π€π˜π€ππ€ πŸ–π“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ•-πŸπŸ– π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
Kumbuka kunipea LIKE ukiendelea kusoma.
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Tyrone ndio anatoka kuenda kazini,kufika sitting room,akapata kuna vitu manguo za Tinah hapo zimetapakaa...kumbe ni nguo za Tinah. Saida pia ameshangaa ni za nani hizi. Tinah alikuja akaambia babake hizi ni zangu akaulizwa mbona ulete huku jamani? Tinah akamwambia tulia dad, nimeleta hapa ndio nizisort out nianze biashara kiasi za kuuza manguo. Tyron alicheka tu πŸ˜‚πŸ˜‚akamuuliza so umeanza kuuza mitumba? Tinah akamwambia yeah, nanza kuuza at least I earn something.

Tyron hakutarajia Tinah wake anaeza fanya hivi hadi akauliza Saida how do you think? Saida akamwambia naona kazi safi lakini sikutarajia kitoto k**a Tinah kinaeza....Tinah akamwambia usiniite kitoto wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Asha pia alipita hapo akienda shule akaacha Celle Mtumba aendelee na mitumba zake.

Celestine anafanya hivi only to earn her dad's trust hadi Saida akamuuliza, uko sure wewe ama ni mchezo unafanya πŸ˜‚πŸ˜‚

On other side, Jemimah aliambia Robert,nataka unifanyie kazi,nataka unitolee Ivy kwa Chris. Robert akamwambia yoh,mimi aki usinieke kwa maneno ya ndoa yenu tafadhali,mimi mwenyewe sijaoa...but Jemimah akamwambia mimi shida yangu ni Ivy,she is going through alot. Hadi Jemimah akamwambia imagine if Ivy was your daughter? Robert akamuuliza so ukishachukua Ivy,what next? he will come to find out. Jemimah akamwambia usijali, I will have it under control.

Kumbe Asha na yeye πŸ˜‚πŸ˜‚alidanganya ati anaenda shule lakini hakuna shule alienda,kalikuja direct hadi kwa Ray. Ray kumuona akamuuliza unataka nini huku? Asha akamwambia nimekuja kwa mpenzi wangu na huko sirudi tena. Ray akamwambia apana, babako alitaka kuniweka ndani ona venye nimegongwa na kusalimiwa na makarao,please rudi tu lakini Asha akamwambia sirudi,Iam here to stay na siondoki. wueh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Tyrone na yeye kufika kwa ofisi,alimpata Chris amekaa kwa ofisi yake,akamuuluza unafanya nini hapa? Chris akamwambia unajua Robert anatumia pesa vibaya kwa pombe na kwa wasichana so mambo ni mawili, either uongee na yeye ama nitoe shares zangu kwa hii hospitali yako. Tyrone akamwambia usijali, si ni shares tu ndio unataka, acha nikusaidie, by kesho jioni I will pay off your shares na nisiwai kuona tena kwa hii ofisi yangu. Chris akashtuka,ju alidhani akisema anataka shares zake,Tyron atambeg but not for Tyron,alimwambia kesho jioni shares zako unazipata...ngurue wewe.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Robert kufika alipatana na Chris akienda,akakuja akauliza Tyrone kwani huyu Chris anataka nini hapa? Tyron akamuuliza wewe na wewe nilidhani uliachana na maneno ya pombe? Robert akamuuliza kwani ni hiyo alikua amekujia? Tyrone akamwambia he want his shares...Robert akamwambia you cant do that...unajua tutasota? Tyrone akamwambia I wish ungefikiria hivyo before utuweke kwa mess. Kisha Tyrone akaitisha board meeting asap πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Celle Mtumba,ashaanz akuuza manguo online kwa tiktok. Wacha Sabina afike,apate Celle ako LIVE tiktok akitap tap,akiuza manguo akamuuliza unafanya nini wewe this ain't your class..Kumbe Saida alisikia akakuja akaambia Sabina tulia, unatarajia bongo lala k**a huyu afanye nini k**a si kuuza manguo πŸ˜‚πŸ˜‚Tinah kakajam kakataka kumpiga Saida lakini Saida akamwambia jaribu..nakufunika kofi unaisha.,kisha Tinah akaambia mamake wewe na wewe, siku ni tatu matokeo nipate or else, Tyrone anajua kila kitu.

Sabina alijam,akakuja akamcall Robert,akamuuliza wewe umefikia wapi kichwa ? Robert akamwmabia bado sijaanza na makosa ni yako k**a hungefungua huo mdomo wako umwambie mimi ni babake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kumbe wakati Robert anaongea, Tyrone akafika akauliza Robert,this is the second time nasikia ukisema wewe ni baba wa mtu,who is this kid? Robert akamwambia its nothing,don't worry....Tyrone alikua amekuja kuita Robert meeting inaanza.

Wakiwa kwa board meeting, Tyrone aliwaambia from today tutakua na new manager wa huku...manager ni nani? Anaitwa Monalizah na wanajuana vizuri sana na Robert hadi Robert kumuona alishtuka sana. Walishtuka kuonana hadi baadaye Robert akamuuliza mbona uko huku? Monaliza akamwambia hata sikujua you are part of this hospital na ningejua walai singekuja huku. Robert akamwambia please,I know how it feels but lets forget about our past. Monaliza akamwambia I closed that chapter kitambo sana...Robert akamuuliza what about Arnold? Monaliza akamuangalia na dharau akamwambia excuse me..kwani kuna nini hapaaaa? Baby daddy na baby mama πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kuna mambo huku.

Tyrone alimuita Robert akamwambia unajua maybe unashangaa kutakuaje after Chris amepata shares zake but usiwe na shaka, your shares utazipata as they are...Robert akauliza how,si we are using our shares kumlipa? Tyrone akamwambia noo,iam paying him myself and your 20million shares utazipata as they are,you have been a friend to me sana....

Kumbe Saida na yeye,wacha aangalie room ya Asha apate,hakuna nguo zake zote akajua mara moja lazima ameenda kwa Ray...Saida kufika kwa Ray kumbe Jemimha pia anamtafuta Ray,so walikutana kwa mlango πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Saida amejam,akiimagine Asha ako huku ,anakosa kuamini.

Robert alijaribu kuongea na Monaliza akamwambia we can go to my place I will cook but seems Monaliza hataki anything to do with Robert. Swali ni, will she hold on it?

π€π˜π€ππ€ πŸ“π“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ“-πŸπŸ” π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Wueh! Tinah kimemramba sasa...ameingia kwa room akidhani ni Chris kumbe ...
05/12/2025

π€π˜π€ππ€ πŸ“π“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π’πŸŽπŸ‘π„ππŸπŸ“-πŸπŸ” π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Wueh! Tinah kimemramba sasa...ameingia kwa room akidhani ni Chris kumbe ni Jemimah...Celle akajua sasa hapa ni ahepe atoke mbio,lakini kujaribu kuhepa,mbele yake..gaidi mwingine. Jemimah alikua ashajipanga proper.

Jemimah akaambia Celle Mtumba sikiza, kuenda na bwanangu was ok,lakini kujaribu kukaa karibu na mtoto wangu,hapo ndio ulijikosea. Celle kujaribu kuongea kalifunikwa kofi,mbaya mbovu. Usiongee nikiongea 🀣🀣🀣

Hapa sasa Celle akajua ataumizwa,na bahati tu alikua ametembea na spray ya pilipilil,akatoa mbio akaspray gaidi kisha akatoka mbio,mbaya mbovu,. Kwa lift na kuenda kuenda. Jemimah alimwambia ni sawa,utakimbia lakini hutaniponyoka. Tinah kalibakisha kido,...k**alizwe.

Kwa Tyron Asha amejifungia hataki kuongea na mtu. Amelia sana akiimagine Ray wake ako jela kwa sababu yake.

Asha aliamka akaona hatakaa hapa,akachukua briefcase akaeka manguo zake kurudi Mombasa. Beka alimuona akamzuia akamuuliza Asha sasa uende nitabaki na nani? Kumbe Saida alimuona akamuuliza unaenda wapi? Asha akasema anaenda Mombasa. Tyron alisikia akakuja,akauliza kuna nini hapa? Asha akasema anaenda Mombasa ju huku nik**a hasikizwi.

Tyrone alijaribu kuongea lakini wapi, Asha aliwapea orders akawaambia wako na 2hrs wamtoe Ray ndani la sivyo huku hakai 🀣🀣🀣

Kumbe Tinah na yeye aliambia mamake chenye kiliendelea. Akakuja direct hadi kwa Chris akabisha akiwa na machungu sana. Chris kufungua mlango,akakaribishwa na kofi,akaulizwa mbona uite mtoto wangu kwa room moja ukiwa na Jemimah? Chris yeye hajui anything... Jemimah akakuja akauliza Sabina shida ni nini,akaambiwa wachana na mtoto wangu or else utajua mimi ni kusema nini...Jemimah anacheka tu.

Lakini Chris alikuja akawekelea Jemimah kofi akamuuliza, kwani what have you done? Jemimah hakumficha akamwambia jana ulikuja ukiwa umelewa,nikachukua simu yako nikatext Tinah nikamwambia akuje kwa room pahali fulani,I just wanted to teach her a lesson 🀣🀣🀣

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Kile kitendo cha Chris kufight na Jemimah kilifanyika mbele ya Ivy mtoto wao..big mistake.

All in all Tyrone alipiga simu polisi akaseme Ray aachiliwe na apewe simu. Tyron akaambia Ray sikiza, nishakuachilia,ole wako nikupate na mtoto wangu tena utajua hujui.

Asha akapelekewa simu kuongea na Ray alafu kushika kakasema "sasa my love" 🀣🀣

Kwa Chris mtoto ako soo traumatised hadi hataki kuona babake. Si poa kugombana mbele ya mtoto ju Ivy ashaanza kusema dad hates us hadi anakupiga kila saa. Jemimah anajaribu kutetea Chris lakini Ivy si mjinga,akaambia mum,najua unatetea dad but I have a kwesheni....Jemimah akamwambia uliza ,Ivy akamuuliza mum,niambie tu ukweli, is he my real dad 😲😲Jemimah akashtuka akamwambia yeah,he is your dad,come on.
Mnaona, wazazi hamfai kufight mbele ya watoto, mkiwa mbele ya watoto kaeni watulivu,watoto wakishalala ndio muende mnyongane na huko mkikatana mashoka 🀣🀣above all, k**a still unamuona k**a mkeo,ama unamuona k**a mumeo,dont fight...nyinyi ni watu wazima bwana solve things k**a watu wazima and finish it with some good sex...ujinga wa kupigana bwana na bibi uliisha kitambo,,msikue mafala eish!. Mnafanya hadi nakasirika πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris alijaribu kumcall Tinah lakini Tinah alimwambia yoh, I dont want anything to do with you or your wife na unikome kabisa.

Chris akakuja kwa bar,kumbe Robert amekunywa usiku yote. Chris alikuja akaambia Robert sikiza, nataka uongee na sister yako or else nitafanya kitu mbaya. Robert alimwambia acha kunitishia bwana,mambo yako na Jemimah hainihusu na I hope she deals with you.

Asha ashaconfirm Ray ametolewa lakini babake akamwambia sikiza, Ray ashatolewa na wewe hutawai muona tena. Asha akauliza mbona nisimuone wakati nampenda? Akaambiwa hakuna ujinga wa kumpenda hapa, we are doing this for the best intrest of you,we just dont want you uwe kwa such kind of relationship. Woiye Asha, atafanya nini,anampenda Ray na sasa wazazi hawataki awe na Ray. Asha alikubali tu ila shingo upande.

πŸ˜‚πŸ˜‚Robert alifika kwake k**a Jemimah ashafika anamngoja. Robert amelewa,vibaya sana hadi Jemimah akamuuliza umeanza kukunywa tena, I thought uliachana na pombe,whats going on? Robert akamwambia siz,iam ok ni kuchoka tu. Jemimah akamwambia apana,this is not you,whats up? Ilibidi Robert aambie Jemimah ukweli,akamwambia issue ni Chris anataka nikuongeleshe anasema unamsumbua sana. Jemimah akamwambia k**a ni huyo achana na yeye enda uoge I have made coffee for you. Jemimah anafeel vibaya sana akiona Robert kwa hali hii.

Kuna mizigo Beka ameleta za Tinah kisha Tinah akaambia Beka,wakiuliza useme wewe ndio ulileta hii idea. Beka akashindwa mbona niseme wakati ni wewe ndio?? Tinah akamwambia useme venye nakuambia si venye yafaa useme,sawa..Beka akaitika kishingo upande...swali ni,huu mzigo una nini? Kesho wakati k**a huu majibu tutayapata.

Address

483
Homa Bay
40300

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Vincent OPIYO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Vincent OPIYO:

Share