Vincent OPIYO

Vincent OPIYO I hatch life, mentor minds, and live stories worth telling.
πŸ’§ From fry tanks to frontline lessons β€” my grind is real, my purpose louder. Vincent OPIYO
(2)

I don’t just watch All American β€” I live the hustle. Edge-living, heart-leading, and built for more.

π€π˜π€ππ€ πŸπŸπ“π‡ 𝐉𝐀𝐍 π–π‘πˆπ“π“π„π π”ππƒπ€π“π„π’π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏 Tena leo hii,Asha akija kwa room yake akapata Flora kwa room yake,akamuuliza una...
09/01/2026

π€π˜π€ππ€ πŸπŸπ“π‡ 𝐉𝐀𝐍 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Tena leo hii,Asha akija kwa room yake akapata Flora kwa room yake,akamuuliza unafanya nini? Kumbe Sabina ameambia Flora atoe nguo za Asha kwa room yake,apeleke kwa room ya mamake. Asha akamuuliza alafu? Flora akamwambia amesema ni mimi nitakua nakaa hapa. Asha akamwambia sikiza,enda mwambie akuje anitoe huku yeye mwenyewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚tokaa ama nikung'oe meno sai!

Saida amekuja kwa ofisi penye Robert ako kumbuka sai ati sasa yeye anakaa kwa ofisi ya Tyrone. Saida alikuja akaambia Robert,nimeishi kusikia money and power changes people but sijai kutana na the people until nimekuona. Robert akamuuliza so unajaribu kusema nini? Saida akamwambia sijai ona mwanaume anaenda kinyume kwa rafiki yake venye umefanyia Tyrone...lakini punde si punde, Sabina akafika,akiwa amewaka sana. Alitaka kupigana na Saida lakini Robert akamkataza akamwambia utampiga na afile assault ilete shida. Saida alitoka but akawaambia sikiza,sitaenda chini nikiwa peke yangu.

Saida alitoka akakuja kwa ward penye Tinah amelala na kumbuka sai Tinah anasikia kila kitu na anaongea. Kila kitu chenye Saida aliambia Tinah,alisikia kila kitu,akamwambia venye mamake na Robert wameamua kuenda kinyume na kuhakikisha wanahangaisha Tyrone na akamwambia hata maybe ukitoka hosi utapata mimi na Asha tushafurushwa.

Wakati tu Saida alitoka hivi....Tinah,akafungua macho. Amesikia kila kitu na akajua mamake na Robert hawafanyi poa. Tinah akajua baaaasi,she is the only hope kusaidia Tyrone.

Robert anajaribu kuambia Sabina,wee pia unaoverreact sana,hizi vitu peleka pole pole lakini Sabina akasema apana, huyu Saida k**a anataka kudeal na mimi akuje kudeal na mimi.Robert akamwambia hii mambo hayafai kuenda hivi,lakini Sabina akamuuliza, which side are you,mine or Saida's? Robert akamwambia of course your side...akaambiwa then nyamaza.

Huh! Sabina na Robert walikuja kwa ward,wakaambia Tinah soon unaenda home na sisi tutaenda kuhakikisha babako ametoka jela. Tinah alianza kucheka,akauliza mamake,wee unaniona matako yako sindio? Mnaniona mjinga sana..najua mnajaribu kuhakikisha my dad hatoki jela ju Saida ashaniambia kila kitu. Sabina na Robert wakajua basi kwisha wao.

Lakini Sabina akaambia Tinah, Robert is your dad,hiyo yafaa ujue and Tyrone will chose Asha anytime anyday. Tinah akasikiza wazazi wake akaona enyewe you guys might be right then. Sabina wakamwambia basi,you are our daughter sasa. Lakini Tinah si mjinga,alisema hivi kumaliza maneno na hawa but deep down she knows what to do.,

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Baadaye Sabina alimuita Robert akamuuliza do you think iam hard on Saida? Robert ju anajua akikataa italeta shida akasema tu enyewe she deserves it. Sabina akawambia sasa I will make her life a living hell.

Chris na yeye kimemramba,kumbe kuna loan alichukua na akaeka nyumba yake k**a guarantor na loan hajalipa so ashatumiwa eviction notice. Chris haamini venye maisha inaenda.

Sasa Saida na yeye alikuja tena kutafuta Ray...Ray akamuuliza mum Asha ni issue ya pesa ama? Saida akamwambia apana,this time round nataka usaidizi wako, as long as Sabina ako uhai hii kesi hatuezi shinda..Ray akamuuliza so unamaanisha? Saida akamwambia this time usaidizi nataka ni nataka umuue Sabina 😳😳😳ewoo!

Chris maisha imekua ngumu hadi marafiki wake wenye anacall kuwaomba tu hata chwani hawashiki simu zake. Manze alikuja kwa room akaanza kulia tu πŸ₯²πŸ₯²Jemimah alikuja akamwambia babe please,usijali haya yatapita lakini Chris anasema apana,mimi nimeisha na maisha yangu imeisha.

Sasa sikiza hapa,nik**a drama nik**a video..Saida amemtaka Ray kumuua Sabina,lakini wakiwa wanaongea hapo,kuna beshte ya Ray alikuja akamwambia bro, nataka kukuona haraka..Ray akaambia Saida kiasi nakuja acha niongee na rafiki hapa...Kumbe rafiki mwingine wa Ray,aliambia Ray sikiza,nimepewa kazi na Sabina, ya kuangusha Asha. Hii ina maana,nimelipwa kumuua Asha. Ray akashtuka sana..akaambia beshte yake bana I hope hujachukua hiyo kazi huyo ni empress wangu bna. Beshte akamwambia sasa sikiza,ningekua wewe,ju najua Sabina hata k**a hatanikomboa mimi lazima atatafuta mwingine,so cheza kiwewe.

Ray akajua sasa adui ni Sabina but Ray alirudi alirudi akaambia Saida,story ya kumuua Sabina haiwezi,kuua mtu si kitu rahisi,ju naeza enda ndani tufungwe so hiyo mimi siezi na k**a unadhani kuua Sabina ndio kutafuta niwe na Asha then hata story za Asha pia nitachorea. Wah!

Saida anamtaka Ray amuue Sabina,na Sabina anataka beshte wa Ray amuue Asha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hii sasa si ni mauano basi πŸ˜‚πŸ˜‚

π€π˜π€ππ€ πŸ—π“π‡ 𝐉𝐀𝐍 π–π‘πˆπ“π“π„π π”ππƒπ€π“π„π’π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏 Leo ni siku ya kotini, Sabina na Robert wamekuja na lawyer wao, Saida na Annaliz ...
08/01/2026

π€π˜π€ππ€ πŸ—π“π‡ 𝐉𝐀𝐍 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟏
Leo ni siku ya kotini, Sabina na Robert wamekuja na lawyer wao, Saida na Annaliz wamekuja na lawyer wao. Cheki venye lawyer wa Sabina ameunga πŸ˜‚πŸ˜‚mind you this lawyer alikua lawyer wa Tyrone lakini ju ya pesa,asharuka Tyrone,sai ni lawyer wa Sabina.

Tyrone aliletwa kizimbani,anaangalia Robert anakosa kuamini. Sabina alisimama kizimbani,she seem teary teary, sorrow and very sad but all this ni games tu anaeka. Yani Tyrone aliangalia Robert hivi hadi akaanza kulia,anashindwa huyu ni rafiki wa aina gani,unikulie bibi kisha usimame kotini against me tena..dunia haina huruma. Imagine Tyrone alilia.

Chris na yeye kwake amewaka,alikuja akauliza Jemimah,so wewe na Robert are working together,anakupea pesa ndio ufanye shopping alafu mimi nionakena useless sindio? Jemimah akamwambia sijui unaongelea nini wewe...so ju nafanya shopping kwangu ni mbaya ama? Chris akamuuliza mbona basi ameninyima loan na wewe anakupea? Jemimah akamwambia Robert is my brother, si lazima akinipa akupe,wee twende tukule daddy,alah. Jikubali umesota usaidiwe. Sikiza,Jemimah pesa anatumia ni zenye waliibia na Ray,si ati amepewa Robert.

Huku kotini, ilifika wakati wa Tyron kuulizwa maswali,anaulizwa, unasema pistol ilienda off yenyewe,what made it go off itself? Tyrone alishindwa kujibu,alianza kulia,akasema I didn't mean to shoot my daughter. Imagine lawyer anamuuliza hii maswali,ni lawyer amekua wake,personal lawyer some days ago but ashanunuliwa na Sabina.

Hearing ya kwanza iliisha watu wakatoka nje. Lawyer wa akina Saida alikuja akasema hii kesi itakua ngumu kiasi lakini Annaliz akasema haifai kuwa ngumu na tumekulipa,so whats the option? Lawyer akawaambia kuna tu only two options, ya kwanza Tyrone kukubali kuwa it was attempted murder ndio apungiziwe miezi za kukaa jela..Saida akamuuliza na option 2? Lawyee akasema option 2 maybe kungoja miujizi zifanyike Tyrone aachiliwe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

π„ππˆπ’πŽπƒπ„ 𝟐
Lawyer wa Robert na Sabina alikuja akaambia Sabina,so mambo inaenda vizuri na kuna chances Tyrone atakaa ndani for soo many years...Robert akamuuliza how long? Akaambiwa as long as you two will have peace of mind.

Sabina na Robert wakisikia hivyo,wanaenjoy sana,ju wanataka Tyrone to rot in prison na chenye Sabina anataka sana ni kuhave access to every property Tyrone owns. Will they manage? Lets wait.

Huku hosi, for the first, Celestine akapata nafuu alafu ajabu wakati aliamka kitu cha kwanza alitaka kuona ni babake. Sasa hapa kuna confusion,hatujui anataka kuona babake mlezi ama babake mumezi..mumezi ni yule mwenye alipanda mumea,mlezi ni yule mwenye amekaa na yeye πŸ˜‚πŸ˜‚chenye tunataka ni Tinah alitaka kuona mamake na babake. Mbio mbio nurse akakimbia akaita Sabina akamwambia Tinah anataka kukuona wewe na babake. Robert na Sabina wakakuja mbio...Tinah akaona mamake akasmile,kisha akaona Robert pia akageukia mamake akamuuliza "where is my dad"..Robert akashindwa wait, your dad si mimi ndio niko hapa? Hadi Sabina akaambia Tinah, Tyrone shot you na sai ako jela na soon atapelekwa sayuni. Tinah akasema zii,mbona ashikwe na he didnt mean it,...I want to see him. Sabina na Robert hawataki hivi,ju sasa wasomaji acha niwaambie mapema,miujiza ya kutoa Tyrone ndani ni Celestine.

Robert akiwa maround zake kumbe Jemimah alikuja kumpasha. Jemimah akaambia Robert sikiza, k**a huwezi tusaidia then keep off my family..mbona umeambia Chris ati huwezi msaidia hadi nimuache. Robert akamwambia I was just be honest na k**a unataka nikusaidie,then I will do it only k**a Chris atakua out of the picture. Jemimah akamwambia sasa sikiza punda hii, Chris is my man,k**a huwezi saidia akiwa then baki na msaada wako...ama niseme msaada wa Sabina.

Sabina alisikia akakuja akauliza kuna nini tena huku Jemimah,mbona nasikia mnagombana? Jemimah kamwambia hatugombani,nilikua naongea na your baby daddy πŸ˜‚πŸ˜‚

Eish cheki Asha na Ray,kunaonekana penzi linarudi lakini Asha hafanyi hivi ju anamind sana Ray,anafanya hivi ju wanataka kutumia Ray kwa manufaa yao. Asha aliletwa hadi nyumbani na akaambia Ray usijali,incase tufukuzwe twende Mombasa,nitahakikisha nimekuja kukuona but please, you need to change,sana sana wewe na Jemimah na mienendo zako za wizi...Ray akashtuka haka kalijuaje story zangu na Jemimah,but ni Saida aliambia Asha.

Ray aliambia Asha,iam ready kuchange for good empress bora tu ujue nakupenda,I will change na nitakua mtakatifu k**a Nandwa na kazi zake za online za matakataka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ghia yani Ray anaita kazi zangu za matakataka guys na mumenyamaza tu πŸ₯²πŸ₯²

π€π˜π€ππ€ πŸ–π“π‡ 𝐉𝐀𝐍 πŸπŸŽπŸπŸ” π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 π…πˆπ‘π’π“ π„ππˆπ’πŽπƒπ„ Chris amerudi nyumbani akiwa amewaka sana,akauliza Jemimah, wee mwanamk...
07/01/2026

π€π˜π€ππ€ πŸ–π“π‡ 𝐉𝐀𝐍 πŸπŸŽπŸπŸ” π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
π…πˆπ‘π’π“ π„ππˆπ’πŽπƒπ„
Chris amerudi nyumbani akiwa amewaka sana,akauliza Jemimah, wee mwanamke shida yako ni nini? Ama madharau imeanza ju umejua nimeanza kusota? Jemimah akamuuliza Chris shida ni nini,sikuelewi. Chris akamwmabia mbona Celestine alipigwa risasi na hujaniambia na ulikua unajua? Jemimah akacheka πŸ˜‚πŸ˜‚akamwambia sikia ng'ombe hii,so ju side chick wako alipigwa risasi,ni kazi yangu mimi kukuambia sindio πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris anaamini Jemimah anamcheat pia hadi anamwambia naona mwanaume umeanza kudate anakufurisha kichwa sana. Jemimah anacheka tu,ju she knows hamna kitu ingine πŸ˜‚πŸ˜‚
Woiye Becka,alifunga vitu zake kuenda,lakini Saida na Asha wakamuona,wakamuuliza unaenda wapi? Becka akawaambia ni Sabina amenifukuza narudi zangu Mombasa. Saida akamwambia enda tu sasa utafanyaje. Becka akawauliza ama ni nyie mumenisaliti nikafukuzwa ju najua sana hamnipendi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Saida walicheka tu wakaambia Becka,tungetaka utoke huku ungetoka kitambo sana we are not involved. Hadi Saida akampea fare akamwambia hii utanunua machungwa hapo Emali.

Flora alimpigia Sabina simu,akamwambia yule kijana Ray amekua huku na akapea Saida pesa,nashuku kuna njama wako nayo. Flora huwa undercover kwa hii familia na anaambia Sabina kila kitu. Sabina akajua mara moja.Saida is playing a game.

Jemimah alikuja kwa Ray,kumbuka baada ya kusanya kale kamzee,pesa Ray alibaki nazo so Jemimah amekujia share yake. Sikiza, mzee aliibiwa pesa cash na akaibiwa na ATM card,so Ray alienda ATM akatoa pesa zoooote za huyo mzee na ndio hizi anajaribu kuzipanga hapa.

Alipea Jemimah share yake lakini Jemmy akamwambia hata haitoshi,ju ya mahitaji zangu ni mob sana. Ray akamwambia tunaeza piga kazi ingine pia ju niko roho juu mbaya. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Annaliza,Saida na Asha walikuja kwa lawyer waongee na yeye wajue venye Tyrona atatoka ndani,lakini lawyer kumuona tu Asha akashindwa alimuona waaaaaapi,akamuuliza wee,msichana si wewe ndio ulikua top student KCSE? Asha akamwambia yeah. Huyu lawywer sasa ndio atawasaidia waone k**a Tyrone atapewa bail.

π’π„π‚πŽππƒ π„ππˆπ’πŽπƒπ„
Robert akiwa hosi aliitwa na nurse akamwambia kuna non family member wa Tinah anataka kuona Celestine,he is a guy. Robert akashindwa sana huyu ni nani..kumbe ni Becka πŸ˜‚πŸ˜‚

Becka kabla hajaenda Mombasa alikuja kuona Tinah na yeah Robert anamjua Becka lakini akamuuliza, Sabina anajua kuwa umekuja huku? Ofcourse not ju Sabina alikua ashafukuza Becka. Becka aliomba sana hadi Robert akamhurumia akamkubali kumuona Tinah.

Lawyer ashapewa pesa zake na akaahidi atasimama na Tyrone. Lakini lawyer akauliza Annaliza,nakujua wee ni rafiki yangu,unafanya hii yote ju umefukuzwa kazi ama unataka Tyrone kupata justice? Anna hakumficha lawyer,akamwambia iam doing this so that Robert doesnt win after everything amenifanyia.

Woiye Becka,alikuja akamuona Tinah na huwa anamuita tajiri,akamwambia nakuhurumia sana tajiri wangu,mimi naondoka na huenda hatutawai onana tena,mamako kashanifukuza,na hata senti moja hajanipa ila namuachia Mungu tu. Haya yote, Robert anasikia anashangaa tu what kind of devil is this πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Huh! Saida na Asha kufika nyumbani,Sabina amewangoja,akawauliza,mbona mnaleta magaidi kwangu? Ray alikua anafanya nini hapa? Saida akamwambia alikua amekuja kumuona Asha,kuna shida hapo? Sabina akawaambia msijaribu huo upuzi tena. Saida anataka kumpiga Sabina lakini Asha anamshika πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Saida walijua mara moja ni Flora aliwaset.

Robert alikuja kwa Sabina,Sabina akamuuliza mbona hukusema unakuja maybe nikuekee supper? Robert akamwambia hata sijakuja kula,nimekuja kukuuliza,shida yako ni nini Sabina? Sabina akamuuliza ni nini? Robert akamwambia hata k**a unataka kuwa on the top of the game,mbona unafire kila mtu? Sabina akamwambia ooh,so ni ju ya Annaliza? Robert akamwambia zii,ni Becka, amekuja hosi kuona Tinah na akasema venye umemfuta kazi. Sabina akajam,akaambia Robert wee pia kwenda huko,ukitaka kuwafuata uwafuate alah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Saida na Asha wakiona hivyo,wanaenjoy sana.

Siku iliyofuata, Chris ameamka anapata mtoto wake hajakula,ju nyumba haina chakula, Chris is broke. Chris alikuja kwa Robert akamwambia bro najua nilikufanya mbaya nisaidie bwana ongea na Sabina najua ni dem yako anaeza kusikiza uniokolee. Robert alimwambia bro,you waited hosi iishe,ukachukua shares,so kakufie mbali huko alah.

Siku ya kotini imefika,wanaenda kotini wajue k**a Tyrone atatoka ama hatatoka. Saida na Asha walitangulia. Sabina anawaambia si nyinyi mchukue tu vitu zenu muende kuliko kungoja niwafukuze k**a mbwa. Saida akamwambia hawa wenye unaita umbwa are very unpredictable...chunga sana mdomo wako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

π€π˜π€ππ€ πŸ•π“π‡ 𝐉𝐀𝐍 πŸπŸŽπŸπŸ” π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 π…πˆπ‘π’π“ π„ππˆπ’πŽπƒπ„ Its around 830pm huku kwa Tyrone nyumbani. Saida kuna venye anafeel Ash...
06/01/2026

π€π˜π€ππ€ πŸ•π“π‡ 𝐉𝐀𝐍 πŸπŸŽπŸπŸ” π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
π…πˆπ‘π’π“ π„ππˆπ’πŽπƒπ„
Its around 830pm huku kwa Tyrone nyumbani. Saida kuna venye anafeel Asha hayuko sawa and indeed Asha hayuko sawa ju hataki mambo ya Ray. Asha is being forced kuwa na ukaribu na Ray ndio Ray awasaidie kupata pesa za lawyer,na si ati Ray ni sonko fulani,apana,yeye ni mwizi,k**a tu chali yako but ju nataka kukufurahisha,thats why anaiba.

Ray na Jemimah wamefika penye mboka iko, na ungeshindwa sana ni deal gani wanafanya but msiwe na wasiwasi,nawaeleza sasa hivi. Hivi ndio kunaenda.

Jemimah na Ray wakuje kwa bar,kisha wajifanye ni couples. Walikuja kwa bar,kumbe target yao ndio iko huku,kuna jamaa sonko fulani na anapenda sana madem,so Ray ajifanye Jemimah ni dem yake but hamtaki ndio huyu sonko aone ahaa,kiachachwo ni chake 🀣🀣

Na ni kweli,wakanotice enyewe huyo mzae anawaangalia sana hadi Ray akaambia Jemimah walai wewe ni umeme,so nataka niende nje kiasi,alafu huyu mzae akuje akuteke.

Huh! Ray kutoka tu hivi,as if it was planned,mzae akakuja na wine penye Jemimah amekaa,akamuuliza beautifuldem mrembo k**a wewe mbona unakaa na maboys wakati niko hapa. Iam Paul by the way. Wakaanza kuvibe vibe kisha sasa hii ndio plan sasa..Ray akarudi akauliza Paul,unafanya nini na dem yangu? Paul akasema young man relax,we are just talking. Ray akajam akasema hata silipi hii bill na akaenda. Paul akaambia Jemimah relax beautiful,I will take care of everything 🀣🀣🀣

Paul akidhani ameanguki,hana habari ashatekwa.

It only took Jemimah 20min akawa ashaibia Paul pesa k**a elfu mia moja hamsini na kisha huyoo akatoka nje ya bar wakapatakana na Ray na wakaenda. It was a calculated move.

Masaa already ishafika saa saba ya usiku na ndio sasa Jemimah anarudi kwake. Kumbuka alitoka kwa kujiiba hakutaka Chris ajue🀣🀣🀣lakini siku za mwizi huwa tu arobain. Kumbe Chris aliamka,akajua bibiye hayuko na akakaa kwa bed kumngoja🀣🀣🀣

Jemimah kufika,mbele yake! Chris. Chris akamuuliza umetoka wapi sai? Jemimah akadanganya nimetoka nje kutembea tembea. Chris akamwambia usinichukulie mjinga wewe,unataka kuniona matako yako sindio. Chris alikua amejam,hadi karibu achape Jemimah,k**a si mtoto wao kusikia makelele na kukuja,Jemimah angekula zake zake 🀣🀣

π’π„π‚πŽππƒ π„ππˆπ’πŽπƒπ„
Becka na yeye,alikuja akaulisa Sabina hali ya Tinah..lakini Sabina akamwambia usinibebe ujinga,najua unashirikiana na Saida lakini Becka akasema hamna mamaa,mimi nakuheshimu tu wewe sishirikiani na Saida hata kidogo.

Sabina akaambia Becka sikiza, mwenye alikukubali kuishi huku ako jela,thats Tyrone. Mwenye alikuleta huku ako ICU thats Celestine,so mambo ni mawili,uende jela kwa Tyrone ama uende ICU kwa Celestine na hapa kwangu nakupea only 5min uwe umejitoa huku. Woiye Bakari🀣🀣🀣

Chris na yeye hakua anajua mambo ya huku hosi. Alikuja hosi akapata Robert hapo akamwambia please my brother, nataka kuongea na Tyrone aniloan pesa kiasi huku mambo si mazuri. Robert akamwambia Tyrone ako jela kwa kushoot Tinah,so usaidizi hutapata.

Chris alishangaa sana alikuja akaona Tinah akiwa in a comma hapo lakini hata hakua amekaa sana, Sabina akafika akiwa amewaka sana,akamfukuza Chris na akaambia Robert usiwai allow huyu aje karibu na mtoto wangu.

Kumbe Ray na yeye,zile pesa waliibia yule mzae alipewa 100k. Asubuhi na mapema,Ray alikuja kwa Saida,akampea zile pesa na akamwambia ni 100k. Lakini makosa walifanya ama yenye hawajui ni Flora the maid ni mtu wa Sabina,so kila kitu chenye waliongea,na pesa Saida alipewa Flora alisikia na akaona. Makosa sana.🀣🀣Saida alinotice Flora anawachungulia akakuja akamwambia wewe,ole wako mtu asikie ,utaona moto.

Robert baada ya kusikia Chris amesota,alimcall Jemimah akamuuliza shida iko wapi,nasikia Chris amesota sana? Jemimah akamwambia yeah he is in a mess kiasi,alipatikana na fraud. Robert akamwambia then move out,wewe na Ivy. Jemimah akamwambia mimi si wewe,mwenye naeza move out of people I love. Robert akamuuliza so unajaribu kusema nini? Jemimah hakumficha,akamwambia iam not a traitor like you,mwenye I can go against my friends,so k**a unataka kusaidia Chris msaidie,if not keep your mouth out of my family. Wueh! Kubaya...

Saida na Annaliz wanawork out kupata lawyer mwenye ataenda kumtoa Tyrone ndani.

Huku nje Ray alikuja kuomba Asha msamaha kwa venye alimfanyia mbaya lakini Asha akamwambia usiwe na wasiwasi,mimi nilishakusamehe already na usiwe na wasiwasi. Ray anashangaa sana venye anasamehewa haraka aje🀣🀣🀣hana habari ni game tu Asha anacheza ju wanataka usaidizi wake. Woiye Ray🀣🀣

π€π˜π€ππ€ πŸ”π“π‡ 𝐉𝐀𝐍 πŸπŸŽπŸπŸ” π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 π…πˆπ‘π’π“ π„ππˆπ’πŽπƒπ„ Its now day 2. Tinah hajatoka kwa comma. Sabina alikuja akauliza Robert...
05/01/2026

π€π˜π€ππ€ πŸ”π“π‡ 𝐉𝐀𝐍 πŸπŸŽπŸπŸ” π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
π…πˆπ‘π’π“ π„ππˆπ’πŽπƒπ„
Its now day 2. Tinah hajatoka kwa comma. Sabina alikuja akauliza Robert,mtoto wangu atapata nafuu kweli? Robert akamwambia tuweke imani,ju Tinah alipoteza damu mingi sana wakati alipigwa risasi na wakati wa surgery. Sabina alisema walai Tyrone will pay for puting her daughter into this...but Robert akamwambia,its our daughter not your πŸ˜‚πŸ˜‚

Baadaye Sabina alikuja kwa ofisi ya Tyrone,akaanza tu kusmile hadi akaenda kukaa kwa ile kiti cha Tyrone. Robert akamuuliza, what are your plans ju sasa umekalia kiti cha CEO? Sabina akamwambia sikiza Robert, Tyrone nahakikisha aozee jela so hii hosi,ni yangu mimi,na wewe. Robert alimwambia na uchunge,he has connections.

Robert akamuuliza by the way babe,aao sorry mpoa wetu,mbon ukafuta Annaliza kazi..ju k**a unataka kurun hii hosi,she will be of great value. Sabina akamuuliza great value to me ama kwako wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ray na yeye number alipewa na Tinah,haiingii. Alijaribu kucall lakini haingii akaamua kuja kwa gate kubisha. Beckah ndio alifungua gate,akamuuliza unafanya nini hapa? Ray akamwambia nataka kuongea na Celestine. Becka alimwambia acha upuzi,unataka kuongea na Tinah ama Asha? Ray akamwambia mimi nataka kuongea na Tinah. Bekah akamwambia Tinah alipigwa risasi an sai yuko hosi.

Ray hakua anajua Tinah alipigwa risasi. Akauliza na Asha ako wapi. Becka akamwambia unaona,nilijua tu ni Asha ulitaka kuona alafu unajifanya hapa. Ray akamuuliza Asha ako wapi? Becka na kiburi akamwambia sikuambii fanya chenye unataka. Within minutes πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Becka alikua amenyanyuliwa na Ray,vibaya sana. Ray akamwambia ni useme ama ujue mimi ni jambazi.

Asha na mamake walikua washakuja hosi huku ju wameshindwa kupata lawyer mwenye anaeza saidia Tyrone atolewe ju lawyer wa Tyrone ashanunuliwa na Sabina ako upande wake. Annaliza pia alisikia hayo maneno,akaambia Asha na Saida, kuna rafiki yangu lawyer acha nimtafute. Annaliza ako na kinyongo na Sabina.

Ray alijileta hosi akapata akina Asha hapo,akasema yeye hajakuja kwa ubaya amesikia tu Tinah alipigwa risasi na amekuja kuona hali yake na pia kuangalia k**a Asha ako sawa. Saida akamwambia basi ushaona Asha ako sawa unaeza enda sasa.

π’π„π‚πŽππƒ π„ππˆπ’πŽπƒπ„
Mr & Mrs Chris ndio wanatoka police station. Mambio hayakuenda vizuri,hadi Jemimah amejam sana. Kumbe Chris ishajulikana anakuanga fraudester na serikali iko on his case vibaya sana. Jemimah anauliza Chris mbona ukatueka kwa hii maisha sasa? Chris akamwambia nyamaza, I did it ndio muishi vizuri ama wakati mlikua mnakaa vizuri hamkujua pesa zinatoa wapi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Saida alikaa akaona wueh,for now hafai kuwa na adui na Ray,alimuita Ray akamuuliza si ulisema unapenda Asha na unaeza fanya anything? Ray akasema yeah,naeza fanya anything kupata Asha. Saida akamwambia sasa tuko na shida ya pesa,na ju umesema unaeza fanya chochote then fanya kitu tupate pesa tutoe father in law ndani.

Saida ameona ni Ray tu anaeza wasaidia ju anajua anaeza enda akaiba.

Sabina aliambia Robert,sasa hii yote itakua yetu ju nitahakikisha Tyrone anakaa jela for good. Robert anamuuliza uko sure ju Tinah bado anamjua Tyrone k**a babake. Sabina akamwambia ni ju anaekwa vizuri so nikimueka vizuri niko sawa.

Saida ako very serious,aliambia Asha nishaongea na Ray atumie njia zake apate pesa atusaidie na wewe ujifanye unapenda then after hapo unaeza muacha πŸ˜‚πŸ˜‚In short,Saida anataka tu Ray aende kuiba.

Jemimah na yeye alikuja kwa Ray,akamwambia manze kuna shughuli nataka tupige. Ray akaona hii ni chance fiti ju pia yeye alikua anatafuta sana form wapate pesa na sasa form imejipa na kujileta πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Robert aliambia Sabina,yeye aende nyumbani he will be working overnight huku akiangalia mtoto wao.

🀣🀣🀣🀣ushawai kuwa umelala alafu bibi yako anakuangalia 🀣🀣🀣Hivyo ndio Jemimah anaangalia Chris,kumbe alikua amepanga Chris alale kisha yeye atoke.
Huku nje ya gate,Ray alikua anamngoja Jemimah. Ungeshindwa sana wanaenda wapi.

Kumbe Robert alimcall Annaliza wakutane akamwambia please iam soo sorry venye Sabiba alikufukuza na mimi si mnyama. Annaliz akamwambia you are an animal,how can you turn on your friend,unakula bibi yake surely? Robert akamwambia sijakuita ju ya hiyo,nimekuita kukuambia nakupenda sana.

Annaliz akacheka akaambia Robert sasa sikiza, sijakataa unanipenda but do one thing,call Sabina akuje hapa,uniambie unanipenda mbele yake. Robert anajia haezi fanya kitu k**a hiyo. Annaliza akamwambia yeah,I thought so 🀣🀣🀣matumbo ya ngurue wewe. Annaliza alienda.

Follow

05/01/2026

Man U and Chelsea are really behaving like twins
They win together
They draw together
They lose together
And even sacking coaches together
πŸ™‚πŸ™‚

π€π˜π€ππ€ πŸ“π“π‡ 𝐉𝐀𝐍 πŸπŸŽπŸπŸ” π–π‘πˆπ“π“π„π π”ππƒπ€π“π„π’π…πˆπ‘π’π“ π„ππˆπ’πŽπƒπ„ Wakati jamaa wetu Robert na mzee wetu Tyrone wakiwa viana vijana,kuna pa...
03/01/2026

π€π˜π€ππ€ πŸ“π“π‡ 𝐉𝐀𝐍 πŸπŸŽπŸπŸ” π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒
π…πˆπ‘π’π“ π„ππˆπ’πŽπƒπ„
Wakati jamaa wetu Robert na mzee wetu Tyrone wakiwa viana vijana,kuna pahali walipenda sana kuja kukaa wakipunga hewa. Hapo ndio Tyrone aliambia Robert wakutane hapo.

Tyrone alitangulia,akamngoja Robert and within minutes, Robert akafika. He is very apologetic sana lakini ile hasira Tyrone ako nayo...inaua mtu.

Kumbe Saida,ndio alukua chumbani mwa Tyrone wakati anaoga na aliona ile bunduki. Saida alikuja akauliza Asha ulikua unajua babako ako na bunduki? Asha hakua anajua. Kumbe Tinah kalisikia. Asha mara moja akajua lazima Tyrone ameenda kuumiza mtu either Robert ama Saida.

Tyrone aliambia Rober haina haja ya kuwa sorry,najua Sabina came to you willingly,so makosa si yako na siezi kulahumu. Robert akamuuliza uko sure bro,uko sure umenisamehe? Tyrone akamwambia yeah,you are my brother na sina anything against wewe,infact kuja tufanye handshake. Ona venye Robert anatetemeka 🀣🀣🀣🀣

Robert na Tyrone wakasalimiana..lakini Tyrone aliambia Robert,for now usiombe msamaha,lakini kuna wakati,muda na pahali utaomba msamaha and trust me huo wakati ukifika utaomba msamaha upende usipende. Robert anachanganyikiwa sasa,si amedhani washasameheana 🀣🀣

Chris aliita lawyer wake,akamuuluiza wee kwani serikali ilijuaje mipango zangu za ugaidi? Lawyer akamwambia sijui kuliendaje but washajua. Chris akasema maybe sasa ahepe aende Uganda. Lawyer akasema huwezi hepa,washaeka lock down airport huwezi toka.

Jemimah alisikia kila kitu na akajua kumbe ndio maana makarao walikua hapa.

Tyrone aliambia Robert sikiza,kuna vitu mbili mtu huwa hataki kutoka kwa rafiki wake, na hizo vitu huanza na D, Dishonest and Disrespect..Robert akamwambia please Tyrone aki ni shetani sherani ndio alifanya. Lakini Robert akidhani mambo yataisha...Tyrone alitoa gun,akamwambia sasa sikiza,nilikuambia wakati wa kuomba msamaha ukifika utaomba msamaha. Tyrone akaweka gun ready kupiga Robert risasi,kumbe Tinah na Asha walijua chenye kitaendelea na ndio wanafika. Tinah alikimbia akasimama katikati ya Tyrone na Robert,akaambia Tyrone please dad, dont shoot Robert n iwapo utampiga risasi basi,itrabidi rissi lipite katikati mwangu. Tyrone akamwambia ooh ju ni babako sindio...Its ok daughter k**a hutaki niumze babako,then myself,I cant leave with it, Sitaisha nikijua niligongewa na beshte yangu,I better finish myself then. Tyrone akaamua kujipiga risasi....lakini tena Tinah akafanya makosa akakuja akaangukia ile bunduki,maskini wa Mungu na Tyrone alikua ashaiweka ready kutoa risasi. Lile risasi kutoka, lilimuingia Tinah,mbaya mbovu,katikati mwa kifua...

π’π„π‚πŽππƒ π„ππˆπ’πŽπƒπ„
Tinah wakati tu alipigwa risasi,Asha alishtuka akafaint... Saida akiwa nyumbani akiosha glass ikateleza ikaanguka ikapasuka...Sabina pia akiwa anakata viazi kwa Robert,kibahati mbaya akajikata kidole,a signe of something wrong has happened.

Tinah maskini wa Mungu,yuko hali mahututi. Ikabidi sasa,Robert na Tyrone ilibidi waungana Tinah apelekwe hosi mbio mbio..Robert sasa amejam anaambia Tyrone,walai if Tinah dies nitakuua mimi mwenyewe.

Tinah ashaletwa theater,kuna madaktari wako hapo wanasaidian na ju madaktari wanajua mtoto ni wa Tyrone wanamwambia daktari usijali,mtoto wako atakua sawa. Robert akawaambia nyamazeni,mtoto ni wangu na wewe Tyrone wewe omba sana mtoto wangu apone. Madakatari wanashindwa kunaendaje hapa 🀣🀣🀣

Asha na yeye alikuja kulaumu mamake,akamuuliza mbona hukuuliza dad kuhusu ile bunduki,ama ulitaka aende auane ndio ukuje kuish huku ukitawala. Saida alimwambia usiniweke maneno kwa mdomo. Saida alijam sana hadi akamslap Asha. Asha alimwambia wee nifunike makofi,but ujue as long as dad hayuko huku hatuna letu. Kumbuka Tyrone alikuja akashikwa pale hosi for questioning.

Huh! Saida wakiwa wametulia tu hapo na Asha, Sabina alifika akauliza Saida na Asha,mnafanya nini hapa? Saida akamwambia ju huoni tumekaa ama? Saida akawaambia by now yafaa muwe mshatoka huku haraka sana. Saida akamuuliza unatufukuza k**a nani? Sabina akamwambia haya,hujui mimi ndio mkewe Tyrone? Saida akamwambia then niko hapa k**a mama mtoto wake. Sabina akataka kumslap Saida lakini Saida ni umeme,aliambia Sabiona,ni uanzishe,nimalizie.🀣🀣🀣

Annaliza alikuja akapata Robert amesimama kwa ward penye Tinah ako...akamuuliza unafanya nini hapa? Robert akamwambia huoni mtoto wangu alipigwa risasi an Tyrone na unaniuliza. Anna akamwambia how I wish you were the one mwenye ungepigwa risasi,you deserve it... "toka hapa" Anna aliambia Robert. Robert akamwambia unless sasa unitoa hapa cha lazima. Anna akamwambia ahaa,usijali,thats what iam going to do right now.

Annaliza alienda akaitisha security guards. Robert akidhani ni jokes,alijipata amebebwa juu juu hadi nje 🀣🀣🀣alikua na bahati sana Sabina alifika,akauliza kuna nini hapa? Akaambiwa kila kitu. Sabina akaambia Annaliza sasa sikiza,si umetaka Robert atoke,mimi k**a mkewe Tyrone,ni wewe sasa utatoka. Go back your things utoke hapa na usiwai rudi hapa tena. Robert akaona this was unnecesary,amejua Sabina aafanya hivyo ju ya wivu but atadu 🀣🀣🀣Annaliza alifukuzwa k**a mbwa.

01/01/2026

πŸ•‘
*HAPPY NEW YEAR*

0⃣1⃣//0⃣1⃣//2⃣0⃣2⃣6⃣

Resolutions LoadingπŸ’°

π€π˜π€ππ€ πŸ‘πŸπ’π“ 𝐃𝐄𝐂 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄 𝐄𝐍𝐃 π˜π„π€π‘ π„πƒπˆπ“πˆπŽπππ€π‘π“ 𝟏 Tunaanzia kwa Uncle Robert & Aunty Jemimah...washajipanga ni shule ...
31/12/2025

π€π˜π€ππ€ πŸ‘πŸπ’π“ 𝐃𝐄𝐂 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄 𝐄𝐍𝐃 π˜π„π€π‘ π„πƒπˆπ“πˆπŽπ
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Tunaanzia kwa Uncle Robert & Aunty Jemimah...washajipanga ni shule wanaenda na ni Jemimah ndio anampeleka. Jemima kufungua mlango,mbele yake...Robert. Jemimah akamuuliza yoh,leo unarauka kwangu is everything ok? Robert hata hakuongea alitingiza tu kichwa...siz,ni kubaya. Nililala na fifi ya wenyewe na nik**a mambo yashajulikana siz.

On other side, Tyrona ashaamka akapata Saida ameandaa breakfast ingine ya ajabu,mkate wa maji,tangawizi na chai nduvya🀣🀣chai nduvya watu wangu ni ile chai shosho yako alikua anapenda kukunywa after amekula ugali,majani nyasi na maji ya pombe 🀣🀣🀣

Asha ashajiandaa kuenda shuleni,akaambia mamake na babake tukutane jioni lakini Saida alimuita,akamwambia leta hiyo bag,wee unatokanga hivi na kumbe umeenda for good. Asha akaambia mamake please, mimi na Ray iliisha,niamini mum. Saida akamwambia sikuamini wewe...Asha was very clear,mum mimi na Ray imeisha na ni shule naenda tu. Tyrone akamwambia mum,dont let us down.

Lakini Asha kufika nje ya gate,kumbe Ray amemngoja. Ray akauliza Asha mbona simu yako mteja ama ulishaniblock? Asha akamwambia ni uongee haraka naenda shuleni na simu nilibadilisha number. Ray akamuuliza na mbona hukunipa mpya? Asha akamwambia ni ju hukuniomba ningejuaje unataka. Ray akampea simu yake Asha kajinga kakaeka number yake na sai sai tu kamesema story za Ray hakatakiπŸ˜‚πŸ˜‚

Jemimah alirudi mbio mbio kwa nyumba akauliza Robert,shida ni nini? Robert akamwambia siz,I have messed up,nimekua nikikulana na Sabina na Tyrone ashajua ukweli na kuharibu zaidi Tinah ni mtoto wangu. Jemimah alishtuka hadi akamwambia tulia,ebu rudia sasa pole pole nisikie. Kumbe Chris pia alisikia,na sasa ashajua amekua akilala na mtoto wa Robert,Robert ambaye ni brother wa bibi yake. Makosa sana.

Chris nguvu ziliisha tu. Robert akawaambia hata Tyrone ashafukuza Sabina. Jemimah akauliza Robert,all this time nimekua nafight na marriage yangu na uliacha tu Chris aendelee kulala na Celestine na unajua tu ni mtoto wako? Robert akadanganya akasema mimi sikua najua ndio nimejua juzi tu. Jemimah alimwambia wewe ni mjinga sana. Do you have any little idea of what you have done? Chris yuko tu hapo amenyamaza tu.

Tyrone na yeye akienda kazini,Sabina alifika. Tyrone akamuuliza,unajileta hapa k**a nani? Sabina akamwambia please,can I talk to you Tyrone? Tyrone akamwambia hey hey, enda kwa mpoa wako lakini Sabina alianza kulia akapiga magoti,akaambia Tyrone iam your wife, allow me tuongee lakini Tyrone hataki anything kwa Sabina. Saida alikua hapo akaambia Sabina mbona aibu ndogo ndogo,yani ulale na beshte ya bwanako hadi mzae mtoto na badi unajileta hapa.

Tinah alisikia mamake akiongea,akakuja akamuuliza mum,unataka nini tena huku? Sabina akamwambia please my daughter, come with,njoo twende tukaishi na wewe lakini Tinah alikataa,akaambia mamake,I already told you,naishi na mum and that was final.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Baadaye Saida alikuja akauliza Tinah,nilidhani unapenda mamako mbona umekataa kuenda na yeye ama ni ju Robert haezi kupea maisha mazuri k**a yenye Tyrone anakupea? Tinah akamwambia please, sihitaji Tyrone kuishi maisha mazuri. Saida akamwambia aje? Oh ju uko na wale wababaz wako akina Chris🀣🀣🀣🀣

Jemimah ndio haamini,anauliza Robert, yani hungepata mwanamke mwingine wa kumess na yeye,ukaamua bibi ya beshte yako,ama ndio maana hukutaka kusettle ju ulijua ukimbao kuna Sabina? Jemimah ako very much disapointed sana.

Tyrone ashafika kazini, akaambia Annaliz, we were to have a meeting but please, call a board meeting right now. Annaliz akamuuliza mbona? Tyrone hakumficha,akamwambia I want to get rid of Robert right now from my office. Anna akamuuliza is it because of Robert and Sabina issue? Tyrone akacheka tu akamuuliza so you also knew? Anna kamwambia nimejua tu jana,I was at Robert's when Sabina came. Tyrone akamuuliza so kwani Robert pia ashaanza na wewe 🀣🀣🀣

Tyrone hakumficha Anna,alimwambia hata my child ni mtoto wake,Tinah. Anna akashtuka,akamuuliza wait,the same Celestine mwenye najua? Ni mtoto wa Robert? Tyrone akamwambia yeah... Anna alishtuka sana.

Jemimah on other side aliuliza Robert,haya ushaongea,so nikusaidie aje? Robert akamwambia k**a unaeza nisaidia kuongea na Tyrone at least asikize my side of the story. Jemimah alicheka tu,akamuuliza ndio niuliwe,wee unajua uchungu wa kulala na bibi ya wenyewe,alafu uongeze mkapata mtoto pamoja,wee unataka wanitoe uhai wewe🀣🀣🀣Robert akasema itabidi amface k**a mwanaume sasa.

Robert kurudi nyumbani,alipata Sabina amemngoja. Robert akamwambia wee,hufai kukuja kuja hapa ovyo ovyo. Sabina akamwambia there is nothing to hide kila kitu kishajulikana but Robert akamwambia haijalishi hatufai kuonana bwana alah. Sabina akamwambia sijakuja huku ugomvi nimekuja kujua way forwward. Robert alimkaribisha Sabina ndani.

Jemimah aligive in,akakuja kuona Tyrone. Tyrone akajua mara moja Robert amemtuma,akamuuliza najua umetumwa na Robert? Jemimah akamwambia not really but he really want to speak with you,anataka sana kukuongelesha. Tyrone akamwambia sina shida mimi,iam open for any discussion.

Haya! Asha asharudi already hadi mamake anamuuliza kwani shule walimu wamegoma ama? Asha akamwambia si ni huyu Ray naenda shule namuona na nik**a ananifuata nikaamua kurudi mimi. Saida akasema sasa huyu Ray hajui anacheza na mimi,acha tuone atanijua hanijui. Asha akamwambia mum huyo mwanaume si mchezo anaeza kuumiza. Saida akamwambia usijali,si mimi nitadeal na yeye,kuna mwenye nitatumia na Ray by the time wanamalizana na yeye,atajua kumbe kuchezea binti wa wenyewe si sahihi...Asha akamuuliza utatuma nani? Saida hakumjibu...

I hope si Beka atatumwa kaende kafinywe shingo🀣🀣🀣

Address

483
Homa Bay
40300

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Vincent OPIYO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Vincent OPIYO:

Share