05/03/2026
πππππ πππ πππππ πππππππ πππππππ
πππππππ π
Tinah wakiwa bado wanajadili na Chris, from nowhere Sabina akafika alafu anajifanyaaa,anawauliza "you two mnafanya nini hapa" Tinah akasema anaongea tu Chris mambo kiasi but deep down Chris ndio alimuita Sabina ππ
Sabina aliambia Tinah,nyi endeleeni kuongea but mimi naenda kucelebrate ju nishauza nyumba and iam soo happy. Chris akaambia Tinah,unaonaje uende na mum mcelebrate? Tinah akaona ni idea poa but hii yote ndio kitu walipanga,walitaka Tinah aende hukoππ
On other hand, Jemimah finally alikutana na Mathew akamwambia please niambie tu kila kitu what happened na Chris? Mathew akamwambia venye Chris alimuita,wakaongea and before he know it ako kwa room na msichana hajui and what followed Tinah amefika. Mathew aliambia Jemimah, lazima Chris ndio alifanya ju he still jealous kwa Mathew akiwa na Tinah.
Jemimah hana ubaya na Mathew,alimuuliza hiyo picha ya huyo dem uko nayo? Mathew ako nayo hadi alimpea..Jemimah akaangalia huyo dem akashindwa huyu nilimuona waaaaaapi?!
Sabina alimanage akaenda na Tinah kwake,they talked na Tinah akaambia mamake venye alitumiwa picha za Mathew na dem mwingine. Sabina akajiexecuse kiasi na akapigiwa simu na Chris akamuuliza kuliendaje? Sabina akamwambia kila kitu kiko sawa but plan yetu ya Mathew isiwai julikana. Chris alimwambia usijali,I will make sure all our steps are covered.
Sasa hapa kuna maneno ππSaida na yeye ameamua kufunguka kwa Annaliza,akamwambia wakati alikuja Nairobi alianza kumpenda sana Tyrone na wakati waliachana na Sabina alifurahi sana akijua atampata. Annaliza anaitika tu but deep down anajua pia yeye anamtaka Tyrone πππ
Saida aliuliza Annaliza,atafanyaje kumpata Tyrone? Annaliza akamwambia ukitaka Tyrone akupende,fanya una mtu mwingine ndio Tyrone asione ati uko desperate ππAnnaliza anasema hivi ju anajua hataki Saida awe na Tyrone anamtaka Tyrone yeye mwenyewe ππ
Turudi kwa Tinah na Sabina. Tinah aliuliza mamake,you mean wewe na Robert mlikua serious hadi mkaamua kumove in pamoja? Sabina akamwambia Tinah unajua si ati sikupenda Tyrone,ni venye Rober has always been there for me and he makes me happy. Tinah akamwambia its ok mum,iam happy for you hadi Sabina akaambia Tinah,my daughter, mbona usimpe Robert chance, at least afeel tu ako na mtoto,yes Tyrone amekulea but babako mwenyewe ni Robert,mpe chance. Tinah alimwambia its ok mum, I will try. Tinah akaingia box.
πππππππ π
Serena! Serena! Alikuja kumtafuta Tyrone akamuuliza, how often unaongea na Tinah? Tyrone akamwambia we do talk but Serena akainsist,akamuuliza do you talk like real talk ju nimeambiwa jana alirudi nyumbani akilia sana. Tyrona hakujua hilo.
Wakati Saida ameenda,Annaliza akarudi,akaulizwa na Robert Saida alikua anataka nini? Annaliza anakaa kujam akamwambia imagine ati anataka ushauri venye atampata Tyrone,nkt! Robert akashindwa, mbona unajam,si I thought yafaa muwe in same side na yeye ama ππRobert hana habari Annaliza anajam ju yeye anamtaka Tyroneππ
Mathew alikuja akampata Asha akamwambia please nisaidie niongee na Tinah lakini Asha akamuuliza wewe unamcheat Tinah na tena unamtaka? Mathew akamwambia I swear,sijamcheat wakati nataka tu kujieleza. Asha akamwambia ni sawa I will try.
Tinah kurudi nyumbani,Saida akamwambia by the way,Mathew amekua hapa na venye anaongea nik**a kuna tatizo,unaeza niambia tu nikusaidie. Tinah aliambia Saida sikia niko na mama nikiwa na issue naenda kwake na uache kujifanya hapa wakati najua you are happy about everything,,nkt!
Tinah amejam sana. Alikuja kwa room yake kulala. Tyrone akitoka kazini,alikuja kumuona Tinah,akamuuliza mamaa,shida ni nini? You can talk to me. Tinah akamwambia nishaongea na mum and Iam ok. Tyrone akamuuliza mbona hukuja kwangu? Tinah hakumficha alimwambia ulikua busy na Serena na sikutaka kukubother,so iam ok.
Wakati Tinah ako na stress zake, Asha na Ray wamekuja kwa restaurant kukula kwanza kwa hotel ya kifahari sana. Asha akauliza Ray,mbona tusiende tukule kwa kibanda,huku kunakaa expe sana. Ray akamwambia usijali, tumelipwa leo na tuko na pesa kushinda mamako πππ
Mathew na yeye,alikuja kuona Tinah...akafika hapo akapatana na Tyrone,akamuuliza k**a Tinah ako. Yeah Tinah ako na hata akaitwa. Wacha Tinah akuje amuone Mathew alimrukia vibaya sana,hadi Tyrone akashindwa kwani kuna nini hapa. Mathew alijaribu kueleza kwa Tyrone akamwambia I was framed and drugged by Chris lakini Tinah hataki kusikia any of it...wueh! Will she ever forgive Mathew? Tutakuja kujua.