31/10/2025
πππππ ππππ πππ πππππππ πππππππ πππππππ
Mtoke Tanzania kwanza weka LIKE ukiendelea kusoma.
Sorry its Late
ππππ π
Asubuhi na mapema.Asha aliamkia kwa room ya Selina,akamwambia Mathew amekuja anakungoja huko chini. Selina hakutaka kuonana na Mathew,akaambia Asha unaonaje uende umkeep busy umwambia sifeel poa aki sitaki kumuona. Asha akamwambia haina noma acha nijaribu πππ
Sasa Asha na yeye she was just kuambia Mathew Selina hafeel poa,but na yeye akaamua kumpikia kachai an wakaka hapo wakipiga story moja mbili wakicheka k**a Yesu ππ
They had a lot kuongea wakajadili na hata Asha akamwambia venye chali yake alimcheza hadi wakabadilishiana number. Kumbe Selina aliona.
Robert ashakutana na Sabina,akaambia Sabina walai mtoto wenu hana heshima hata kidogo,anaeza date rika ya babake? Sabina pia ako disapointed sana but akauliza Robert,what of Chris,mbona pia yee hangeona huyu ni mtoto? Robert akamwambia basi nitaongea na Tyron kuhusu hii swala unless uongeleshe Selina. Sabina akamwambia no usiambie Tyran,ukimwambia things will be worse.
Sikiza! Jemimah na Robert ni sister na bro. Sasa Sabina akiambia Robert aongeleshe Selina,Robert anamwambia noo,wewe ni umuongeleshe mtoto wako or else Tyran atajua lakini Sabina akamwambia nyamaza! Ngurue wewe...nimuongeleshe k**a mamake what of you k**a babake? Robert akamuuliza unamaanisha nini? Sabina akamwmabia Celestine ni mtoto wako,she is your biological daughter not Tyrans...wah! Makosa....
Robert hakuamini..akauliza Sabina why now,after 20yrs? Sabina akamwambia because you were broke,the only way Selina angeishi maisha poa ni kukaa k**a mtoto wa Tyran.
Robert aliona never,akaambia Sabina this madness ends tonight,naambia Tyran kila kitu lakini Sabina akamwmabia enda! Enda alah..enda uambie rafiki yako,how you slept with his wife and made hr pregnant ππππwah!
Selina alikuja akauliza Asha,so ukachukua babangu and sai unataka kuchukua chali yangu? Asha akamwambia tusikoseane heshima Selina,mind your mouth.
Jemima alisikia rafiki yake akaamua kurudi kwake. Chris ako soo emotional and apologetic akamwambia babe, ni shetani aki,shetani alinituma lakini Jemimah akamuuliza,imagine mtoto wako Ivy akiharibu ndoa ya wenyewe ama kuenda out na mubaba rika yako? Chris akamwambia aki I promise I will block her na sitawai mtafuta tena. Jemimah akamwambia sijarudi juu yako,iam here ju ya my daughter....
Watu wa Lulu mumenotice Chris huwa anapewa same same wrong kila kipindi ππsina loya.
ππππ π
Tyran alikuja akapata Robert akiwa stressed sana akamuuliza champez uko sawa? Robert akadanganya akamwambia ni homa homa tu...Tyran akamwambia I can drop you bna but Robert akamwambia usijali,kuna mgonjwa nangoja nikimaliza nitaenda. Tyran akamwambia ni sawa ukifika nyumbani,make sure unakunywa supu,now that ulikataa kuoa na miaka hizoo zinaenda ki Israel Burare ππππ
Punde si punde,huku nyumbani kwa Tyran,ndio tu Sabina anarudi after kuonana na Robert na kuambiwa kila kitu. Kwanza alipata Asha amekaa kwa room ya Selina,akaambia Asha ebu toka nje....Selina akauliza mamake,mbona this is my room na Asha anaeza kaa huku lakini Sabina akaambia Asha toka.
Selina anaambia madhe wewe pia acha zako lakini Sabina akauliza Selina, ni nini hii nasikia kuhusu wewe na Chris π³π³π³π³π²π²π²(Hivyo ndio Selina alishtuka) hakuamini mamake ashajua anadate na Chris mind you,Sabina anamjua vizuri Chris,kwa nini? Kwa sababu Chris is a family member,aaaa! Makosa.
Selina alijitetea,akasema mum,huyo mzee alinidanganya aliniambia hata hajaoa lakini Sabina akamwambia ujinga,you knew him he has been calling you his daughter kuliendaje ukaanza kulala na yeye mkifanya tafia mzuri mbaya mbaya? Selina anasema ati yeye hakujua ati ooh Chris alimwambia he is widower ππππImagine Chris is 54yrs na Selina kako tu 22yrs.
Saida na yeye alisikia venye Selina anapigiwa kelele akaona heri aongee na Sabina at least waone venye wanamtreat Selina lakini Sabina akamwmabia sometime nafeel huyu mtoto ananichukia yeye si k**a Asha wako,she is soo perfect,lakini Saida akacheka,akasema nani? Huyu Asha huyu,amenisumbua sana ππnapambana tu na yeye na hivyo ndio nataka upambane na Selina hivyo.
Selina alimcall Chris tena,akamuuliza wewe ni nini,mbona madhe amejua tulikua tunadate? Chris akamwambia lazima ni Jemimah,she is the one who always runs to Robert kusema issues zetu. Selina worry yake ni babake asijue but Chris alimwambia usijali,I will make few calls then nitakuambia,nothing will go wrong.
Baadaye.Saida,Asha na Selina walikuja mezani,Saida akauliza Selina na mamako hali ama? Selina akamwambia I dont care...sasa Saida akaanz akuongea ili kufurahisha Selina anamwambia sijui mbona mamako anakukazia hivi na pia yeye alikua msichana yafaa aache you explore the world na hata uwe na mubabaz...Selina akisikia hivi anaona wueh hawa ndio mabeshte zangu sasa.
Sabina anafeel amefika mwisho,alimcall Robert,anataka usaidizi aongeleshe Selina hadi anamwambia Robert,please nataka usaidizi sisi k**a wazazi tumejaribu sana but nik**a tumefika mwisho,kindly ongea na Selina. Robert akauliza Sabina,unataka niongee na Selina k**a nani, k**a uncle yake ama k**a babake? Sabina akakata simu...