26/05/2026
HABARI ZA SASA
Kuna ajali pikipiki imetokea asubui pale Mferejini , Kijipwa.
Kulingana na vianzo pikipiki hiyo ilikuwa imebeba watu watatu, wawili wamenusurika wakatimbizwa hospitali ya Kilifi mmoja amepoteza maisha papo hapo.