Amaica Media

Amaica Media Amaica Group is dedicated to bringing the latest news, entertainment, and broadcasts straight to you. Stay connected and informed.
(1)

04/10/2025

Tume ya IEBC inawahimiza wakazi wa Siaya kujitokeza kwa wingi kujisajili kuwa wapiga kura.



Supahjam Saturday edition made in Kenya Dancehall music on Amaica Radio
04/10/2025

Supahjam Saturday edition made in Kenya Dancehall music on Amaica Radio

“For those who are saying I am a technocrat and that I will not campaign, let us meet on the ground,” Fred Matiang'i res...
04/10/2025

“For those who are saying I am a technocrat and that I will not campaign, let us meet on the ground,” Fred Matiang'i responded to Rigathi Gachagua

“Getting elected as President is about political mobilisation. Many people may want to spend a lot of time in boardrooms...
04/10/2025

“Getting elected as President is about political mobilisation. Many people may want to spend a lot of time in boardrooms and hotels, discussing theories,” The presidential aspirant stated

Nafasi hizo ni pamoja na kusaidia uandikishaji wa wapigakura, vifaa, elimu ya wapigakura na usimamizi wa uchaguzi wakati...
04/10/2025

Nafasi hizo ni pamoja na kusaidia uandikishaji wa wapigakura, vifaa, elimu ya wapigakura na usimamizi wa uchaguzi wakati wa uchaguzi ujao

When duty calls...
04/10/2025

When duty calls...


04/10/2025

Unasikiliza Mdahalo wa Elimu naye Agadias Ikoha na Mwalimu Seka. Unatusikiliza ukiwa wapi?

Wanafunzi wawili wa Shule ya Upili ya Wasichana ya AIC Litein kaunti ya Kericho, walilazimika kulala nje ya lango la shu...
04/10/2025

Wanafunzi wawili wa Shule ya Upili ya Wasichana ya AIC Litein kaunti ya Kericho, walilazimika kulala nje ya lango la shule baada ya kufungiwa kuingia na mwalimu mkuu kwa kosa la kurejea shuleni wakiwa wamechelewa

Mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo imesababisha msongamano mkubwa wa magari jijini Nairobi, hasa katika maeneo ...
04/10/2025

Mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo imesababisha msongamano mkubwa wa magari jijini Nairobi, hasa katika maeneo ya CBD na Westlands, baada ya barabara kufurika maji na kufanya usafiri kuwa wa kusuasua kwa maelfu ya wakazi wa jiji.

04/10/2025

Afisa Mkuu wa Uchaguzi wa Eneo Bunge la Malava, Salim Abdala, amewaonya wagombea wa eneo hilo dhidi ya kukiuka sheria za uchaguzi, akisema kuwa watakaopatikana watakabiliwa na hatua kali za kisheria



Magazetini~ Matiang’i Gachagua wakwaruzana
04/10/2025

Magazetini~ Matiang’i Gachagua wakwaruzana

I will be with you, I will never leave you nor forsake you
04/10/2025

I will be with you, I will never leave you nor forsake you

Address

Kakamega
50100

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Amaica Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share