Amaica Media

Amaica Media Amaica Group is dedicated to bringing the latest news, entertainment, and broadcasts straight to you. Stay connected and informed.
(1)

Katibu Mkuu wa KNUT, Collins Oyuu, amewasihi walimu kote nchini kuunga mkono Mkataba wa Makubaliano ya Pamoja (CBA) ulio...
04/08/2025

Katibu Mkuu wa KNUT, Collins Oyuu, amewasihi walimu kote nchini kuunga mkono Mkataba wa Makubaliano ya Pamoja (CBA) uliotiwa saini mwaka wa 2025/2029

"As of now, the biometric registration is now live in all level 4,5 ad 6 facilities, with ongoing efforts to onboard lev...
04/08/2025

"As of now, the biometric registration is now live in all level 4,5 ad 6 facilities, with ongoing efforts to onboard level 3 and 2 facilities across the country. We have also launched the practice 360 app today, which we have launched today and is now live from this minute, is geo-tapped to specific health facilities where healthcare professionals are stationed," the Cs added

Gari linalodaiwa kuwasafirisha ng'ombe wa wizi lachomwa moto huku waliokuwa ndani wakifaulu kutoroka, Kakoyi- Malava.
04/08/2025

Gari linalodaiwa kuwasafirisha ng'ombe wa wizi lachomwa moto huku waliokuwa ndani wakifaulu kutoroka, Kakoyi- Malava.

Chama cha ODM kimekanusha madai yanayoenea mtindaoni yakisema kuwa gavana wa Siaya James Orengo amejizulu kikisema kuwa ...
04/08/2025

Chama cha ODM kimekanusha madai yanayoenea mtindaoni yakisema kuwa gavana wa Siaya James Orengo amejizulu kikisema kuwa barua iliyo hapa chini ni ghushi.

04/08/2025

Karibu kwenye udadavuzi wa masuala ya soka,hasa michuano ya CHAN2024 na ujio wa mechi za FEASSSA2025.

Unasikiliza ukiwa wapi?



John Antony Orao
Alfred Chiteri

Akisema kuna pendekezo la  jukumu hilo kupewe maafisa 290 wa uchaguzi katika ngazi ya eneo bunge
04/08/2025

Akisema kuna pendekezo la jukumu hilo kupewe maafisa 290 wa uchaguzi katika ngazi ya eneo bunge

KNEC imesema PISA hupima jinsi wanafunzi wanavyotumia kile walichojifunza kutatua matatizo halisi ya maisha. Inapita zai...
04/08/2025

KNEC imesema PISA hupima jinsi wanafunzi wanavyotumia kile walichojifunza kutatua matatizo halisi ya maisha. Inapita zaidi ya kupima kumbukumbu za kitaaluma na inalenga kutatua matatizo na kufikiri kwa kina

"Kenyans in the US are hard-working. This person (Gachagua) has been complaining about fake advisers, yet he refused to ...
04/08/2025

"Kenyans in the US are hard-working. This person (Gachagua) has been complaining about fake advisers, yet he refused to listen to genuine advice that could have saved him from impeachment. I ask you not to donate any money or gifts to him"

Magazetini:Mrengo Mpya Wazaliwa
04/08/2025

Magazetini:Mrengo Mpya Wazaliwa

Je, unadhani Harambee Stars wataibuka  washindi na kujinyakulia mamilioni ya pesa waliyoahidiwa na Rais Ruto na aliyekuw...
04/08/2025

Je, unadhani Harambee Stars wataibuka washindi na kujinyakulia mamilioni ya pesa waliyoahidiwa na Rais Ruto na aliyekuwa gavana wa Nairobi,Mike Sonko?

Philemon 1:3...
04/08/2025

Philemon 1:3...

Waziri wa Madini Hassan Joho ameanzisha Kamati tisa za Makubaliano ya Maendeleo ya Jamii kati ya jamii mbalimbali na mas...
03/08/2025

Waziri wa Madini Hassan Joho ameanzisha Kamati tisa za Makubaliano ya Maendeleo ya Jamii kati ya jamii mbalimbali na mashirika mbalimbali nchini.

Address

Kakamega
50100

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Amaica Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share