Amaica Media

Amaica Media Amaica Group is dedicated to bringing the latest news, entertainment, and broadcasts straight to you. Stay connected and informed.
(2)

14/12/2025

Aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike sonko amempongeza dereva wa basi la Climax kwa kuokoa maisha ya abiria 65 na kusababisha kifo cha mtu 1 (Cyrus Jirongo)




Magazetini~Iko Shida
14/12/2025

Magazetini~Iko Shida

Satisfy us in the morning with your unfailing love, that we may sing for joy and be glad all our days
14/12/2025

Satisfy us in the morning with your unfailing love, that we may sing for joy and be glad all our days

ROAD SIGN 20: NO MOTORCYCLE SIGNROAD SIGN OF THE DAY: NO MOTORCYCLE Prohibits motorcycles from entering the area, typica...
13/12/2025

ROAD SIGN 20: NO MOTORCYCLE SIGN

ROAD SIGN OF THE DAY: NO MOTORCYCLE
Prohibits motorcycles from entering the area, typically a pedestrian zone, cycle path, or restricted road

13/12/2025

Khalwale-Ruto ameniwachisha kazi kwa sababu nilimuuliza hatma ya Mluhya tukimuunga mkono 2027




MATOKEO YA LEO YA NSL Gucha Stars 0-1 Kibera Black Stars Darajani Gogo 0-1 Luanda Villa FC Talanta 0-0 MOFA3K FC 4-2 Vih...
13/12/2025

MATOKEO YA LEO YA NSL

Gucha Stars 0-1 Kibera Black Stars

Darajani Gogo 0-1 Luanda Villa

FC Talanta 0-0 MOFA

3K FC 4-2 Vihiga United

Wataalam wa afya wametaja matumizi ya pombe na sigara eneo la mlima kenya k**a sababu kuu zinazochangia kuongezeka kwa m...
13/12/2025

Wataalam wa afya wametaja matumizi ya pombe na sigara eneo la mlima kenya k**a sababu kuu zinazochangia kuongezeka kwa magonjwa sugu eneo hilo

Rais mstaafu Uhuru Kenyatta ameungana na Wakenya katika kuomboleza kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Lugari Cyrus Jirongo, ak...
13/12/2025

Rais mstaafu Uhuru Kenyatta ameungana na Wakenya katika kuomboleza kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Lugari Cyrus Jirongo, akimtaja k**a kiongozi shupavu na mwenye misingi thabiti aliyechapa kazi bila kuchoka kwa ajili ya taifa

Je, unadhani huu ndio mwisho wa Salah pale Anfield?Shiriki nasi maoni yako kuhusu kauli hii
13/12/2025

Je, unadhani huu ndio mwisho wa Salah pale Anfield?
Shiriki nasi maoni yako kuhusu kauli hii

13/12/2025

Karibu tudadavue matukio na matokeo ya ligi tofauti tofauti ndani ya Amaica Radio ukiwa naye John Antony Orao na Pappa chiteri.

.

Akisema inalenga kuimarisha uwezo wa usimamizi wa mamlaka na kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma katika idara zake.
13/12/2025

Akisema inalenga kuimarisha uwezo wa usimamizi wa mamlaka na kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma katika idara zake.

Address

Kakamega
50100

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Amaica Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share