KENYA News 24 HOURS

KENYA News 24 HOURS Get all local and international news across the world , sms news to 0721275527
LISTEN LIVE https://zeno.fm/radio/AyokRadio/

UPDATE: President Ruto hosts security and National Government Administration officers nationwide at State House, Nairobi...
28/06/2025

UPDATE: President Ruto hosts security and National Government Administration officers nationwide at State House, Nairobi to discuss security situation in the country.

Jamaa kutoka Elgeyo Marakwet Ameamua kutembea from Eldoret to Nairobi kwa miguu, Safari yake ameipangia kutembea kuanzia...
27/06/2025

Jamaa kutoka Elgeyo Marakwet Ameamua kutembea from Eldoret to Nairobi kwa miguu, Safari yake ameipangia kutembea kuanzia Taree 30th June Mwezi huu.
kulingana na Mc chemitei amesema ni wazo ambalo lilimjia akilini baada ya kutamani sana kufika jiji la Nairobi ila hajawai pata nauli pamoja na changamoto za kimaisha.
more details follows soon!!!!
Mc Chemitei Lelestap keiyo Northrift News Kassim Sash KENYA News 24 HOURS Kassim sash EJOK FM. 87.9 Turkana Digital News Turkana Gossip Club Baringo Top News NorthRift Online Citizen TV Kenya

Jamaa kutoka Elgeyo Marakwet Ameamua kutembea from Eldoret to Nairobi kwa miguu, Safari yake ameipangia kutembea kuanzia...
27/06/2025

Jamaa kutoka Elgeyo Marakwet Ameamua kutembea from Eldoret to Nairobi kwa miguu, Safari yake ameipangia kutembea kuanzia Taree 30th June Mwezi huu.
kulingana na Mc chemitei amesema ni wazo ambalo lilimjia akilini baada ya kutamani sana kufika jiji la Nairobi ila hajawai pata nauli pamoja na changamoto za kimaisha.
more details follows soon!!!!
Mc Chemitei Lelestap keiyo Northrift News Kassim Sash KENYA News 24 HOURS Kassim sash EJOK FM. 87.9 Turkana Digital News Turkana Gossip Club Baringo Top News NorthRift Online Citizen TV Kenya

The 4 minutes barrier remains but Faith has proven that it's not untouchable 4:06:42 fastest ever by a woman We keep the...
27/06/2025

The 4 minutes barrier remains but Faith has proven that it's not untouchable

4:06:42 fastest ever by a woman

We keep the FAITH šŸ‡°šŸ‡Ŗ

27/06/2025

We apologize for content delays we are trying to rectify and adjust our platforms so that you will be getting ,quality videos and pictures plus more trendings.

She was drowning.And nobody noticed…Nobody, except her.It was June 2022, at the World Championships in Budapest.Anita Ɓl...
08/06/2025

She was drowning.
And nobody noticed…
Nobody, except her.

It was June 2022, at the World Championships in Budapest.
Anita Ɓlvarez, an American artistic swimmer with Mexican roots, was performing a flawless routine.
But when her performance ended… she didn’t come up for air.

She had lost consciousness.
Her body floated for a few seconds, then began to sink.
Slowly. All the way to the bottom of the pool.

The audience didn’t notice. Neither did the judges.
Everyone was clapping.

But her coach, Andrea Fuentes, noticed.
She knew Anita—knew exactly how long it took her to surface.
She felt in her heart that something was wrong.

Without thinking twice, she dove in.
Fully dressed. Shoes and all.

She swam straight down, grabbed Anita by the waist,
and brought her back up.
She saved her life.

This story left me thinking…

Who knows you well enough to notice when you’re not okay, even if you’re still smiling?
Who would dive in for you without hesitation when you no longer have the strength to come up for air?

And more importantly…

Would you be that person for someone else?
Are you present enough in your loved ones’ lives to sense the moment they start to sink?
Or are you just another spectator, clapping, not realizing that inside, they’re fading?

In this life, we all need someone who doesn’t just see us—
but truly notices us.
Someone who knows when we’re about to give up,
and has the courage to jump in and save us.
KENYA News 24 HOURS

Sad news. Fatal Traffic Accident. Happened Matisi - Webuye bridge where a trailer and a Police Vehicle, a Ford, were  in...
03/06/2025

Sad news.
Fatal Traffic Accident.
Happened Matisi - Webuye bridge where a trailer and a Police Vehicle, a Ford, were involved in a deadly accident.
Officers lost their livesMay they rest in peace.

Kassim sash KENYA News 24 HOURS

TODAY. Meet a young vibrant guy who is very talented and hardworking. one of our top fan and facebook moderator and a jo...
29/05/2025

TODAY. Meet a young vibrant guy who is very talented and hardworking. one of our top fan and facebook moderator and a jounalist. Help us share his outstanding creativity and graphic design. Piga like tukisonga.
Kassim sash

UPDATE : šŸ“° šŸ‡°šŸ‡Ŗ Broad-based government leaders William Samoei Ruto and Raila Odinga in Kisumu today  inspecting  affordabl...
29/05/2025

UPDATE : šŸ“° šŸ‡°šŸ‡Ŗ Broad-based government leaders William Samoei Ruto and Raila Odinga in Kisumu today inspecting affordable Housing program and other government ongoing projects in Kisumu city

Weekend njema. Follow us today for exclussive content
27/05/2025

Weekend njema. Follow us today for exclussive content

improoved kienyeji
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kakamega: Wenye Biashara ya Ngono Wateta Wadai Nyumba Kumi, Polisi Wanawasumbua.ā€œPolisi walitupiga na kututupa nje!ā€ Hic...
23/05/2025

Kakamega: Wenye Biashara ya Ngono Wateta Wadai Nyumba Kumi, Polisi Wanawasumbua.
ā€œPolisi walitupiga na kututupa nje!ā€ Hicho ndicho kilio cha wafanyakazi wa ngono katika mji wa Kakamega, wanaodai kuwa wanakumbwa na unyanyasaji unaozidi kuongezeka kutoka kwa maafisa wa usalama na wale wa Nyumba Kumi nyakati za usiku wanapotekeleza kazi yao. Wanawake hao wamesema uvamizi unaodaiwa kufanyika kwa kisingizio cha kukusanya ushuru wa kila siku umegeuka kuwa wa vurugu, ukiwaacha na majeraha, mali iliyoharibiwa, na bila mahali pa kulala. Wakizungumza na wanahabari mapema hii leo mjini Kakamega, baadhi ya wenye biashara ya ngono walieleza jinsi wanaume waliovaa barakoa na nguo za kiraia – wanaodaiwa kuwa polisi wanaoshirikiana na maafisa wa Nyumba Kumi – walivamia vyumba vyao vya kupanga usiku wa manane, kuwacharaza, kuwaibia mali zao, na kubomoa makazi yao. ā€œWalikuja saa sita usiku wakiwa wamevaa barakoa na nguo za kawaida, wakificha utambulisho wao. Walitupiga na kututupa nje kwa nguvu pamoja na magodoro yetu,ā€ alisema Sharon Kimangi, mmoja wa wanawake walioathirika. Sharon, ambaye sasa amekuwa sauti ya kundi hilo, aliongeza kuwa angalau wenzake 12 walikamatwa bila sababu wazi. Baadhi ya wanawake walipoenda katika Kituo Kikuu cha Polisi Kakamega kuuliza kuhusu kukamatwa kwao, walidaiwa kufukuzwa. ā€œBaadhi yao walipigwa vibaya na kukamatwa. Lakini tulipojaribu kuwaona, tulinyimwa ruhusa na kuambiwa tuondoke,ā€ Sharon alilalamika. Aidha, alifichua kuwa baadhi ya waathiriwa walilazimika kulala nje baada ya nyumba zao kubomolewa na mali yao kulowana kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Mwenye nyumba ambaye anapangisha baadhi ya wafanyakazi wa ngono alithibitisha uharibifu huo. Aliliambia wanahabari kuwa mali ya wapangaji wake ilitupwa nje na juhudi zake za kuzungumza na walioendesha operesheni hiyo zilipuuzwa. Wafanyabiashara ngono hao sasa wanaomba serikali iingilie kati, wakilaumu polisi waovu na maafisa wa Nyumba Kumi kwa kutumia nguvu kupita kiasi.
kamanda wa polisi wa kaunti ndogo ya Kakamega Central, Vincent Cherutich, alikanusha madai hayo akisema operesheni hiyo ilikuwa inalenga kuwasaka wahalifu halisi mjini humo. ā€œTunaendesha oparesheni ya kuwasaka wahalifu wa kweli. Ikiwa kuna afisa wetu aliyekiuka maadili, tutamchukulia hatua za kisheria,ā€ alisema Cherutich. Aidha, aliwataka maafisa wa Utawala wa Serikali Kuu (NGAO), wakiwemo machifu na manaibu wao, kuwabaini wahalifu wanaojifanya maafisa wa Nyumba Kumi kwa lengo la kuwatisha wananchi na kuwaibia.

improoved kienyeji🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
23/05/2025

improoved kienyeji
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Address

30600
Kapenguria
30600

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KENYA News 24 HOURS posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to KENYA News 24 HOURS:

Share