Murugami. ke

Love is a beautiful thing 🥰Come and see what the lord has done for them..... congratulations siz Leah Murugami and Isaac...
02/06/2025

Love is a beautiful thing 🥰
Come and see what the lord has done for them..... congratulations siz Leah Murugami and Isaac the zealot 👏👏..
"I pray that God’s presence surrounds your marriage with peace, joy, and unshakable love. May He remain the center of your union, guiding you both in every season."

EUROPA LEAGUE CHAMPIONS!!!
21/05/2025

EUROPA LEAGUE CHAMPIONS!!!

27/04/2025

Join us as we celebrate the beautiful tradition of the WAKURINO DOWARY presentation. A day filled with love, family, laughter, and heartfelt moments that bri...

ANDIKA "C" AFU URUDI KUINGALIA HIYO PICHA 🙄USIITUPE SIM YAKO TUU!!Kisha share uone maajabu
19/02/2025

ANDIKA "C" AFU URUDI KUINGALIA HIYO PICHA 🙄USIITUPE SIM YAKO TUU!!

Kisha share uone maajabu

Kuna wakati nilikuwa naendesha turela🤣usiku Moja kufika maahi mahiu kajam kakashika😢 na juu nilikuwa nimekawia kulala, n...
25/01/2025

Kuna wakati nilikuwa naendesha turela🤣usiku Moja kufika maahi mahiu kajam kakashika😢 na juu nilikuwa nimekawia kulala, nikateremsha kiti kidogo nitulie nikingoja jam ifunguke😌shetani naye ni nani,,,after 1hr jam ikafunguka. Mimi hapa nimelala fofofo, gari nimeweka hazard, wengine walikuwa wanakuja wanaovertake wakienda😢 nikakesha pale mpaka asubuhi ,,,niliraushwa na jua ya windscreen 🤣🤣gari sikuzima,,iliguruma usiku mzima😢 kwenda kuangalia gauge Iko almost empty😢🙆

Ikabidi nipigie boss nimpige kiswahili ndo atoe kitu nieke mafuta,, nikamuitisha pesa ya spare flani hapo..akaniambia hio yenye imeharibika nitume picha😲Wise man mbio mbio nikaingia google ku download...then nikamtumia kisha akakimbia pale river road akanunua na akanitumanishia hadi mechanic.🤣wapi makofi

Mechanic kufika akapata gari iko sawa ikabidi nimuelezee hio situation bahati nzuri akaingia box tuuze hio spare tena ndo itoe doh tunataka 😌😁

Kumbe boss alizunguka duka kadhaa akiulizia hio spare akapata hakuna 😲🙆alafu ndo hao sisi tukaenda kuuza mahali aliulizia akambiwa hakuna😢😟 kuharibu Sasa kwa hio duka,walikuwa na contacts zake so baada ya kuleta alipigiwa simu aty Ile spare alikuwa anatafuta imepatikana akuje aone.😢🙆🤣sisi hatukuwa tunajua ni nani🙆

Boss ( Getty Toto Official ) kukuja alipata ni mimi na mechanic wangu tumeleta 🫨😢

Hata k**a ni wewe??? Ungesimama hapo kweli???🤣🤣🙆

Follow Murugami. ke

Ndoto zingine😣😏Jana nimeota nimekuwa Dem🧐afterKukuwa Dem nikaolewa boy wangu akanipea ball🤰  After 9 months nikaanza kuk...
24/01/2025

Ndoto zingine😣😏
Jana nimeota nimekuwa Dem🧐after
Kukuwa Dem nikaolewa boy wangu akanipea ball🤰 After 9 months nikaanza kukuwa na pain 😓😥nikamwambia my huzzy anipeleke hosi 🤨😙kwenda hosi nurse akanipima nikaonekana am almost to deliver 🙄😏nurse akafukuza my husband 🥺but nikakataa akuwe karibu ndio ajue uchungu wa kupush mtoto 😢. after a while nikasikia labour pain ingine noma nikaanza kupiga nduru nurse akacome mbiombio na kuniambia push push. My husband alikuwa so worried 🤨🤨.. Nilipush nikaskia kukojoa nikajua hio ni ile maji😏hutoboka before mtoto azaliwe nikakojoa but nikaskia uzito 😒☹️fulani ikakam nikaipush ikatoka nikasikia tumbo imekuwa light ☺️next nikasikia kofi kwa mgongo kutoka kwa my girlfriend akiniuliza hujai wach kwa malazi na kupupu ☺️😒😒 hivyo ñdio nilaachwa na alikuwa amekam sleep over for the first time 😢😓😥🏃‍♂️

Follow Murugami. ke

Address

Nairobi
Kiambu
00100

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Murugami. ke posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share