𝐄𝐑𝐈𝐂𝐎 𝐖𝐀 𝐐𝐔𝐁𝐀

𝐄𝐑𝐈𝐂𝐎 𝐖𝐀 𝐐𝐔𝐁𝐀 Thank you for following me God bless you ❤️🥺 follow me also on Instagram

Najua haiwahusu lakini nimeanza kumea ndevu Niko na tuwili lakini K**a uko wivu huwezi ziona😂Mambo ingine haitakangi kih...
18/02/2025

Najua haiwahusu lakini nimeanza kumea ndevu Niko na tuwili lakini K**a uko wivu huwezi ziona😂Mambo ingine haitakangi kiherehere ni pole pole tu😂trust the process😂Ww niite mtoto na naeza kupea mimba😂😂

Hakuna kitu hukera sisi watu warefu K**a kukosa pesa heri nyinyi wafupi mtaonekana watoto😂😂. @topfansood morning🙃
18/02/2025

Hakuna kitu hukera sisi watu warefu K**a kukosa pesa heri nyinyi wafupi mtaonekana watoto😂😂. @topfansood morning🙃

15/02/2025

Yaani Wakenya wanasherekea kuanguka kwa mkenya wao😂

Mnatupiga mabao adi hamjali Leo Ni Valentines😢hii imezidi heartbreak💔😭Chelsea Football Club
14/02/2025

Mnatupiga mabao adi hamjali Leo Ni Valentines😢hii imezidi heartbreak💔😭
Chelsea Football Club

Mbona uteseke na niko darling🙄🙆🏾‍♂️💔😂
14/02/2025

Mbona uteseke na niko darling🙄🙆🏾‍♂️💔😂

Wacha sasa nika suprise mvalentine kwa kazi😁AKI NAWAOMBEA NYINYI 💔☠️😂
14/02/2025

Wacha sasa nika suprise mvalentine kwa kazi😁AKI NAWAOMBEA NYINYI 💔☠️😂

14/02/2025

Nimpost ama kwanza mkule lunch 🙄 😂

Happy Valentine's to all the single ladies just know I love you darling🥺❤️Mmoja aniambie I love u kabla nikule simiti😂Th...
14/02/2025

Happy Valentine's to all the single ladies just know I love you darling🥺❤️Mmoja aniambie I love u kabla nikule simiti😂
The others muambiwe na watu wenu😂😂

Hii Chelsea itakuja kuniiua siku moja😢Pressure is increasing🥴🥴Hii Ni Mambo gani nkt☠️Huyu jamaa Ni yy tumeachiwa normal ...
08/02/2025

Hii Chelsea itakuja kuniiua siku moja😢Pressure is increasing🥴🥴Hii Ni Mambo gani nkt☠️Huyu jamaa Ni yy tumeachiwa normal hio team😭😭

Umeulizwa unataka nini Valentine ama nikisikia mjengo nikuite?😂😂Pesa ya mwanamke Ni K**a pesa ya Tanzania haifanyi kazi ...
08/02/2025

Umeulizwa unataka nini Valentine ama nikisikia mjengo nikuite?😂😂
Pesa ya mwanamke Ni K**a pesa ya Tanzania haifanyi kazi Kenya😂😂😂 Security Ni tight😊

Saa hii ukiangalia mpoa wako vibaya mtaonana tena date 15 ama uko na spare😂Hii mwezi Ni ile ya I thought you loved me💔Go...
07/02/2025

Saa hii ukiangalia mpoa wako vibaya mtaonana tena date 15 ama uko na spare😂Hii mwezi Ni ile ya I thought you loved me💔Good night😁

Her : Babe Niko na form ya Valentine😊Me : jaza upeleke huduma center ☠️Anyway najua mnashindwa nmeenda wapi nko tu nanga...
06/02/2025

Her : Babe Niko na form ya Valentine😊
Me : jaza upeleke huduma center ☠️
Anyway najua mnashindwa nmeenda wapi nko tu nangangana na maisha😂💔Nani amenimiss🙄

01/02/2025

The reason mbona huwa sifungi macho tukiombea chakula😂😂

Another one😂🙆🏾‍♂️Najua leo si Thursday but hii Ni Throwback😂😂This was me when I was fat💔mlisema Nani anataka kuchorwa na...
01/02/2025

Another one😂🙆🏾‍♂️Najua leo si Thursday but hii Ni Throwback😂😂This was me when I was fat💔mlisema Nani anataka kuchorwa na artist 😂

Leo nimeamua kujaribu caricature 😂😂.....a nais botto😂kukosa kazi ni mbaya😂 Nani anataka kuchorwa na artist😂
30/01/2025

Leo nimeamua kujaribu caricature 😂😂.....a nais botto😂kukosa kazi ni mbaya😂 Nani anataka kuchorwa na artist😂

Wasee huyu ni genuine ama ni kitu anataka😂
29/01/2025

Wasee huyu ni genuine ama ni kitu anataka😂

Haya nifikisheni 300 basi tiktok msupport msani tubalance followers na following😂😂
29/01/2025

Haya nifikisheni 300 basi tiktok msupport msani tubalance followers na following😂😂

Address

Wangige
Kikuyu

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when 𝐄𝐑𝐈𝐂𝐎 𝐖𝐀 𝐐𝐔𝐁𝐀 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share